Padre Kitima hakika wewe mtumishi wa Mungu. Lsiti dini zote wangejitoa vema kama uelezavyo, Tanganyika tungekuwa huru kweli kweli. Mungu akujaze akupe zawadi wewe unayostahili
Afadhali wangekuwa Makada tungejua ni makada, lakini SASA ni CHAWA WA RAIS !!! SIZUI JAMANI, RAIS ALITUAMBIA WAZI KUWA ANAWEZA KUSTAHIMILI KUKOSOLEWA LAKINI CHAWA WAKE....!!!! RAIS WA NCHI UNAFUGA CHAWA?!!!! UTAJIBU NINI MBELE ZA MUNGU ILE YA KIYAMA?
Siasa ni maisha yetu ndy maana unachagua kiongz kwa kupitia siasa ila akishinda anaogoza kila mwananchi ijalidhi ni chama gani, ila mbulula aziwez kuelewa
Yaani nchi hii watu wanazidi kuchanganyikiwa na fedha haramu za rushwa na uchawa kisa madaraka yasiyo halali na mwishowe matunda ni majanaga ya vifo na mengine yatakayokuja.
Mungu simama na mja wako uliyempa dalaja Kwa uwezo wako we mungu muondoshee fitna na husda za bindamu mpe afya na umlinde Kwa nguvu zako lilinde taifa letu na wenye uchu na madaraka maana mhhh
Pope John Paul II today apologized to black Africa for the involvement of white Christians in the slave trade. The Pope's remarks came in an address to Cameroon intellectuals on their tasks in society and on the importance of integrating the Christian message with African culture. John Paul said the task of Christians involved ''healing and compassion'' because ''the man who is in need, on the side of the road, is their brother, their neighbor.'' He continued, ''In the course of history, men belonging to Christian nations did not always do this, and we ask pardon from our African brothers who suffered so much because of the trade in blacks.'' ADVERTISEMENT
Hakuna dini ya kujificha swala ya maendeleo ya katiba kama inakikwa huwezi kunyamaza inagali watu wa chini hawajui katiba yao mbaya. Hiyo@@STEVENKAJUMBA
Salum, Ndo nyinyi mnatumika na kuhongwa magari na Raisi na Makonda. Kısa dini. Shehe kupewa Landrover na Samia kupitia Malinda ni bongo ya kidini kusudi ahutubie misikitini kama chawa . Huu udini mnsouingiza hatutawaliwi kiislamu. Hatupo Saudi Arabia. Tupo Tanganyika. Hatueneshei kifslme hapa.
Acha kuwafananisha watumishi wa Mungu na wanasiasa acha kabisa viongozi wa kisiasa ndiyo waliyotufikisha hapa wanafanya ufisadi wanajilimbikizia mali wakiwaacha wananchi kwenye umaskini wa kutupwa
Umesahau padre kwamba kuna dini zimeruhusu ushoga je unazijua acha uchawa uchawa ni kitu cha kawaida padre kazuiwa kuoa au kuzalisha watoto kinyume na sheria ya kanisa
Nyie nduguzetu hamna ukweli mawazoyenu yamejaa udini Aya mtu akiongea ukweli mnawaza dini wakati dini yenyewe inakataza unafiki uchawa ni unafiki mtu alifanya vibaya aambiwe sio apongezwe Tanzania ni Moja sote Kwa pamoja katika kuliongoza taifa tumkemee tulio mchagua alifanya kazi ambayo hakutumwa
Usihangaike na chawa mwache atamwagiwa maji ya moto atoke alikojificha,mwache abwabwaje atachoka,udini unawasumbua,wanaopewa somo ni waumuni wakatoliki wewe unawashwa na Nini?
KITIMA acha chuki kwa serekali ya mama yetu mpendwa SAMIA SULUHU HASAN,Au anzisha chama chako cha SIASA!!acha kuwachanganya waumini wako,hawajui kama wewe ni mtumishi wa kanisa au chawa wa akina LISSU!!
Huyo ni msomi wa theology na Sheria kwa level kubwa saana ya PhD, huyo ni mwakilishi wa TEC na sio bakwata ya ccm, peleka uchawa wako mbali wewe mbogamboga wa ccm, muache father azungumze na waumini wake