Kwa kawaida panya ni mnyama ambaye kwa wengi ni kero katika maeneo yao kutokana na uharibifu wake hususan katika mazao ya nafaka yaliyo shambani na hata nyumbani.
Hali ni tofauti kwa wakazi wa Kijiji cha Msangano wilayani Momba Mkoa wa Songwe, ambapo huko panya wanaitwa koyo na ni fursa ya kujiingizia kipato.
@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024