Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani yuko katika rasi ya Uarabuni ambako ni chimbuko la Uislamu katika ziara ya kuhimiza amani na kustahimiliana duniani.Tazama Kurunzi-04.02.2019
Read Book of Revelation and Daniel you will understand we are in the last day,Sunday law coming plus worshiping of the Beast.Jesus is around the corner we are in the last days keep your garments white.
@@kingihassan3540 Tatizo lako unapenda sana udini ndio mana umejawa na dharau af kama ujuh hapa 𝗗𝗨𝗡𝗜𝗔𝗡𝗜 dini ya kwel ni Imani kanisa na msikiti n ushaid tu""""na pia hata nkifa kesho sijar na siofii chochote kile sab hakuna aijuwae kesho yake GOD ndiye mwenye kunipangia ukumu yangu ya mwisho sio wew mbanian😂😜
@@bazilkisibo5811 amani haiwezi kuletwa na makafiri ndio hao wanao chafua amani Wamarekani wamekwenda Libya Iraqi Afghanistan kwenda kugombanisha watu na kupeleka mamluki na kuleta machafuko wakauwa viongozi wakauwa watu jee kwako wewe hii ni amani? Mpaka Leo nchi hazija tulia kwa mauwaji ya Wamarekani
@@wamoroboy8963 Hivi hawa wenzetu historiailiwapita wapi maana haya mambo ata shule unafundishwa kuhusu Ukristu na Muislam naona vichwa vyao boksi 🤣🤣🤣🤣
Sisi tunajua warabu ndo wenye dini ya kislam nyie waTz mmeletewa tu afu mnataka kuwapangia si utahila huo hata Leo wakiwazuia msiende kuhij mack kwani mtawafanyeje?????
Ww ukristo unajua chimbuko lake ni wapi, uislam sio dini ya waarabu, mnamfata yesu, ebu nambie yesu aliteremkia nchi gani, au nitajie nabii ata mmoja alieshukia nchi yoyote ya kizungu,
@@dm-rv5mf ukristo chimbuko lake ni kristo ambaye ndo yesu na ndo njia yetu, kwahy sisi ni wake yesu kristo tena labda nikueleweshe kristo mana yake ni utakatifu
Mtume muhammad akuwah kusema yeye ni mtume wa waarabu wala uislamu sio dini ya warabu kasome kwanza Alafu ukristo sio dini kristo maana yake ni mpakwa mafuta
@@kingihassan3540 yani hata huelewi unaropoka tu basi twende na akili zako mpakwa mafuta au kitu kilichopakwa mafuta kwa lugha ya bible unajua maana yake nn?
Hawa ndio walio tuletea dini.kwahio kaeni kwakutulia chamsingi mungu moja na kila dini inafunza matakwa na sheria za mungu kazi kwetu kufuata sheria za mungu na kumuabudu mungu au kuabudu dini zetu!!!!!
Hawa si waislam ni maskia wislam unamipaka hairusiwi kafuri kuingia msikitini ila kwa kusilim na mwanamke kumpa mkono papa au shenke au mtu yeyote ila maharim wake si kila mtu apewe mkono
Unaposema chimbuko la uislam unakua bado hujawa mkweli maana uislam ni dini ya ulimwengu maana hapa patakua na dhana kwamba uislam ni uarabu sema ni chimbuko la mtume tunaweza kuwa sawa ila dini ni ulimwengu sio tamaduni ya kiarabu
Sharif Abdul uelewa wako mdgo xna na yeye hajakosea ila hujamuelewa tafadhali tafakari mambo huko ndio uislam ulikoanzia baada ya mtu na kutangazwa kwa ulimwengu mzma haujaanzia tanzania xwa kijana
Wanapitisha sheria ya SUNDAY LAW, na wakuu wa dini ya uislmu walikumbaliana na pope na sign ikawekwa, nyinyi kwa sababu hakuna lingine mnajua, kazi yenu ni kusema uislamu ni dini ya haki, mtapindiliwa mchana jua likiwaka😂😂.mwenye ataenda msikiti Friday mtatolewa na viboko kama wakati wa corona. Pope akisema dunia yooote inainama.Rev 13 &17
Waanzilishi wa dini hawanashida shida ni kwa ninyiwapokeaji mnashikilia kama urithi, uko uharabuni waislamu na wakristo wanashirikiana lakini ninyi mloletewa dini kwa bakora huruma sn
Sinyinyi mnae endekeza unazi wa kidini na wakati wenye dini zao na ndo ziliko zaliwa wao wako ki social sana ila ninyi mnajifanya vidume wa wislamu kweli ovyo kabisa hao mabinti kwa taarifa yenu ndo mabinti safi wa kiislamu kuliko wanao jinyesha kwa nje lakini wayatendayo silini hakika ni jehanam tupu nanimsiba mkubwa kwenu ,hongera abu dhabi hakika ninyi ni wa islamu safi
Nan kakudanganya uislamu ni uarabu kwa kila kitu kuanzia tamaduni za kiarabu, mavazi ya kiarabu, lugha ya kiarabu, mpaka manukato na mwislamu atajiona kakamilika na uislamu akionekana kama mwarabu.
Uwislamu upo mbali na makutano haya kama ni lamu wana uhusisha basi umewakataa uwislamu nidini ya ALLAH na siyamtu uwislam haumuhitaji mtu mtu ndio anahitaji uwislam kwa anaetaka uwislam haukumbatii mtu kwa kabila wala mavazi uwislam hautikisiki ulicho kataza basi umeataza ulichoruhusu basi umeruhu
nikweli wametembelea ila matembezi hayo ni nini lengo haswa lengo ni kuuzalilisha uislamu na ndyo mana wamewapanga watu wasio na hofu ya allah kwa tamaa zao ili wafanikishe kuwaweka wanawake vichwa wazi na kumpa mkono mwanamke
Huyu mbwa uyu ndo anatuletea ule mwisho wa dunia . Me nilijuaga2 kwamba hii dini ya roman ni ya mpinga kristo nilifikiriaga sana. Kwa nn kuna makatazo juu ya waabudio sanamu alafu wao wamejichongea masanamu makanisani wanayaabudu. Af hata gongo ni powa2 kunywa ilimradi2 padri aibariki.
Nimeshakuambia wewe umelaaniwa tayari. Kwa sababu hata lugha Yako yaonesha ni WA baba Yako shetani. Sasa katika mazungumzo yote wewe mkristo fake na Jao waislam Bado mnashambulia kitu kimoja huku mkiwa na tofauti Sasa hii yaonesha nyie makundi mawili yenye mitazamo tofauti juu ya adui yenu nyie ndio wapinga Kristo kabisa. Falme ikifitinika yenyewe imekwisha anguka. Sasa jitafakari wewe mkristo fake na huyo muislam ubwabwa mnakwenda sawa. Ninyi ndio wapinga kristo
#sheikh, kama uislamu ni dini ya kwanza Moha aliambiwa awe wa kwanza kwa wenye kusilimu, je hao wengine walisilimishwa na nani na mtume alisilimishwa na nani?? TENA, Qor'an inatambua kuwa wakristo na wayahundi ndio wa kwanza, je wewe na Qor'an nani muongo??
Warabu ndo wamekuletea ww Hiyo dini afu ulivyo tahila unawapangia cha kufanya mbona hawakuja Tanzania kufanya huo upatanisho tumieni akili kenge nyie acheni mihemko
Sisi tunawajua hao ndo wenye dini ya kislam nyie simarimbuken tu,yani wamewautea dini na ustarabu wa kuabudu afu mnataka muwapangie hata Leo wakigoma msiende makha mtawafanyeje
@@Gokjunior7 kwaakili zako umeona ni big dil kukojoa ukaosha? Sasa Mimi ninaekojoa na kuacha na wewe unaekojoa na kufuta namichanga nani msafi ?mkristo ndo mstarabu wa kwanza duniani
@@francisjoseph1074 jua dini yako kwanza ndio ujue kama mko kwa njia ya kweli ama mnapotea upotevu..mnasema yesu ni Mungu ilhali yesu ni mtume tu kama wengine..aje mtu anaabudu binadamu kama yeye..Karibu kwa dini ya ukweli ndio usipotee ndugu yangu.
@@Gokjunior7 yesu ni mungu mkuu na mwokozi na ni njia ya kweli na uzima na sio mtu kama unavyofikili 1} yesu alichagua mitume je ni mtu gani awezae kuchagua mitume 2} yesu alikuepo tangu misingi ya dunia kuepo 3} Yesu husamee zambi je ni mtu gani awezae kusamee zambi za watu? 4} Yesu ni neno LA mungu na neno hilo lilifanyika mwili ili kufikisha ujumbe na Mungu hashindwi chochote 5} na baada ya mwili kufa au kuuwishwa neno likaenda kuwahubirilia injiri kuzimu watu waliokufa katika dhambi kisha baada ya kazi kuisha neno likauvaa tena mwili na kurudi duniani kisha kurudi mbingu katika utukufu wake na makazi yake
Steve Timber huna unachojua endelea kubaki na elimu ya kumezeshwa tafuta asili ya uislamu wako ni wapi mtu alianzia kufnya kazi ya mungu hapo ndipo uliko aanzia uislam
Usitangaze vitu kwa namna ambayo hujui,hivi unadhani kwamba uislamu umezaliwa!!! UISLAMU ni.dini ambayo ALLAH mwenyewe ametuletea waja wake ili tuishi katika mafunzo ya dini hiyo. eti wasema UISLAMU ULIPOZALIWA weeee kama mambo huyajui ungeuliza kwa kina ndipo utangaze kwa usahihi wake.
Uislam haujazaliwa huko...na hapo alipotembelea ni ikuli tu ya rais sio ktk nyumba za Allah...pia uislam hauusiki hapo kwakuwa wanawake wanacheza vichwa wazi..kuhusu kuvaa kanzu sio kwamba ndio uislam bali ni vazi la heshima hasa kwa waarabu
Uislam enyewe ndiyo Hu mwanaume anampa mkono mwanamke ambae anauwezowa kumuowa na Hawa wasichana kichwa wazi wanatikisha minywere na Hao wanaume kupega Mingoma hapo Kuna Mushikila WA dini yote naona. Ni haram vinatendeka subuhanallah
@@gosbertmuta5421 Dini ya kiislam ni ya kila mtu siyo ya waarabu sematu mitume imetoka uwarabuni na mtumewetu Muhammad swalalahu alahi was Alam mgekua kawaletea waarabu tu Sawa ila uislam WA Dunianzima kwahiyo wakikosea waarabu kuwakumbusha muhimu wakijitia kibri wataona a na molawetumlezi
Dah hii Dunia kweli imekwisha kafiri kama huyu anakaribishwa katka ardhi tukufu kwenye kitovu cha Uislam.. falme za kiarabu mbona hamko serious.. Uislam unakataza ..wakristo tunatakiwa kuwatenga katka masuala ya dini.. ispokuwa masuala ya kibiashara tu ndio tushirikiane nao
Huyu jamaa anachekesha.kunafamilia baba mkristo mama mwisilam watoto hivyohivyo. Nawao wajitenge nawazaz.Mungu nimmojatu.hizi din nimpango wa binadam mwamini Mungu aliekuumba acha kuamin din utapotea
Usinilazimishe kwamba niache kuamini dini Kila mtu amesoma na anacho kipenda na kila mtu ameamua kuchagua njia sahihi na ungejua natokea wapi Wala usinge ongea huo upuuzi wako Mzanzibar kuutambua ukristo ni kazi kubwa sana huku utakuta familia nzimah waislam ukoo pia mababu wa mababu waislam hakuna mchanganyiko huku tunajijua wenyewe