Papaa Misifa kweli ulikua na Misifa ila ulikua unalengo lakusaidia Vijana kiukweli Upande wako ulifanya vyema ila uliowafanyia hawakubali kuumia kwa ajili yako hili nifunzo kwa Maisha yakawaida ya Wanaadamu niwachache wanaoweza kukumbuka Fadhira.
Diamond ana shukrani kweli amekupa mil 15, bado akakulipia Kodi ya nyumba mil 3 kwa maelezo yako.... nafikiri hayo anafanya Kama shukrani siyo kuwa analipa Deni lake la kimkataba...Ni vizuri ushukuru kwa Hilo.
Interview nzuri ila fanya tafiti kabla ya kuleta habari!! Nineshangaa sana kuona interview ni ya 2020!! Qboy na mwarabu hawakutoka walifukuzwa isitoshe tofauti zao walishamaliza na qboy yupo wasafi tena
Sana brother ona Tupo wengi sana hadi serakalini kweye 100% 75 % kigoma. ....fipa ...na Tanganyika. Yote ni asili ya congo WABÉMBÉ...ndio baba zangu WABWARI ,WAMASAZE ,WAVIRA,WAREGA na pia mwanza 35% ni Sisi tabora special urambo 80 % ni wenye asili ya congo tanzania wenyewe ni wachache ukija ngara ni wa Burundi Ukiwa Bokoba ni wanyarwanda na wanganda wa hasili ukija kusini wamakonde ni watu wamsumbiji Ukiwa mbewa pia wa nakinasaba. Na majirani kama ufahamu wazanaki hasili Yao ni Burundi kina Nyerere Tatizo historia yafichwa sana hata Raisi Mangufuli wahaa pia wana kinasaba na Burundi na Wanyarwanda ni wamoja hata kilugha wana higiliana mno wa kulaumiwa ni mzungu halipo igawa Africa mwaka Feb 26/1885 ujeremani kama mngelijuwa story ya kigoma na jina kigoma na kipi kimewayi kutokea wakati ya mjeremani kigoma igelikuwa inch huru wala kuwa upande wa congo Historia hiwekwi bayana. .na tunajuwana kwa majina sote kama kabwe ,tambwe,nyembo, etc majina yetu yana kujuza asili zetu na koo zetu .na Burundi ukisikia wapo wasahili ni kabila hizo kutoka congo 🇨🇩 na wana familia Tanzania na congo pia .nyerere aliwayi kusema tusichuguzani makabila halikuwa na mana kubwa la sivyo6 tanzania ingesamba Kitambo .na kila manyema ni Mcongomani ya hasili .
@@lutulalihim1585 umejitahidi sana kuelezea lakini kwa bahati mbaya sana mimi sio mtu wa kugoogle ila ni msomi mzuri sana wa vitabu na historia ya kweli, ukitoa uongo ulioandikwa kwenye vitabu na ukweli kihalisia unapaswa kutambua Tanzania ni kubwa katika nchi za bara la Afrika, East Africa ni ya kwa ukubwa na afrika nzima ina nchi zisizopungua 54 na Tanzania ipo ndani ya 5 bora za nchi kubwa barani Afrika na pia ndio nchi pekee yenye Lugha rasmi kwa taifa zima na hata nchi za jirani ikiwemo hiyo Congo baadhi wanajua kiswahili lakini sisi hatujui kifaransa ambacho mmekigeuza mnakiita kilingala, unapaswa utambue Tanzania imeingiliana na nchi zisizopongua nane na zote hizo wanasikia kiswahili kiasi, Tanzania ipo ndani ya tatu bora katika nche 54 zenye lugha nyingi za ndani ya nchi tuna lugha zaidi ya 144, hiyo historia yako mtafute mvivu wa kusoma ndio umueleze hivyo, kwa ufupi Kenya wana wakuria wajaluo wamasai, na tanzania pia wapo wakuria wajaluo na wamasai, nakupa matatu×3 malawi wana wamakonde, wayao na wamwera Tanzania pia tunao, so ukisema nyerere ametokea burundi sikushangai sana maana hizo ni propaganda za kisiasa akiliza kuambiwa changanya na zako, hata Oscar Kambona aliambiwa aliambiwa si mtanzania mtu aliezaliwa nakukulia Tanzania na darasa lake la kwanza kabisa alianzia chini ya mti so sikushangai. Nb sikuongelea ubaguzi wa makabila ila nimeongelea fact.
Ukiona mtu anaongea kwa kujiinamia ujue mnafki uyu... Yan mtu akupe mwaliko kigoma af unataka muelewane hahahhahhahahahh loh, kisa kumtoa tu ndo unataka ukae akuletee tu mxxxiixiixiiiiiiiiuuuuuuu