Kwa hiyooooo umo ktk ilo jeneza..kulala ni kila siku...huu ni mtihan kwel..... Yarrab atusitir na mitihan ya duniya ... atupe mwisho mwema.....haya ndio yale yale maisha ya kisheitwan tusidanganyanye ...
Huyu niuongo mwanzo Alikuw na muke a kamutowa kafara huyo huyo akabaki nawa toto ma pacha sasa hapo inaonekana hayomapacha ameshawatowa kafara duuuuuh dunia inamambo kweli