Тёмный

Part 21b_DALILI 14 ZA FAMILIA/MTU ALIYEFUNGWA NA MAAGANO YA LAANA|USHUHUDA WA MCH.AMIEL KATEKELLA 

PROMOVER TV
Подписаться 154 тыс.
Просмотров 43 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@PascalinaLaurent
@PascalinaLaurent 2 дня назад
Amina mtumishi wa MUNGU,MUNGU ukutunze baba.
@EvaristaLutego
@EvaristaLutego 3 месяца назад
Barikiwa mtumishi sanaa kwa jina la yesu
@daudigabriel9860
@daudigabriel9860 11 месяцев назад
Amina mtumishi wa Mungu unaeleweka vzr
@suzanakiwele1832
@suzanakiwele1832 Год назад
ASANTE SANA YESU KWA AJILI YA MTUMISHI WAKO,NIMEFUNGILIWA SAA HII,
@lidamudy2842
@lidamudy2842 2 месяца назад
Mungu akubaliki mutumishi wa Mungu
@owenomwanawayesu6961
@owenomwanawayesu6961 Год назад
Mchungaji wa kweli kabisa.YESU ni BWANA.
@marthaumazi2197
@marthaumazi2197 Год назад
Ni mambo ya kweli kabisa Mungu atusaidie sana .
@mabulapaul
@mabulapaul Год назад
Ahsante promover TV kwa kuletwa na MUNGU MBARIKIWE ninashukuru sana mtumishi wa BWANA kwa huduma hii
@JaneKuyokwa
@JaneKuyokwa Год назад
Mungu akulinde Tena natena amieli katekela Asante kwakutu fungua macho yakilo Toka malawi
@anneokari3184
@anneokari3184 Год назад
Amen.maagano yote kwa maisha yangu yamevunjika kwa jina la Yesu...
@DoreenMwakibinga
@DoreenMwakibinga 11 месяцев назад
Asante yesu
@silyvianekesa4689
@silyvianekesa4689 Год назад
Thank u so much mchungaji kutufunza maisha ya hii duniani
@KomboSyengo
@KomboSyengo 2 месяца назад
Mungu akubariki na akuinue kiwango kingine Amina
@MaryestherAlphonce
@MaryestherAlphonce 9 месяцев назад
Amen mtumishi wa MUNGU naimani kila kitu changu kimerudi🙏🙏
@gladnesssomi6663
@gladnesssomi6663 Год назад
Amen Mungu tusaidie
@stephanomakoye6936
@stephanomakoye6936 Год назад
A blessed pastor,, you are a gift from heaven,, you designed to preach the secret of darkness kingdom,, don't dispise your way of teaching
@annjohn194
@annjohn194 Год назад
Ameen nimefunguliwa kwa damu ya yesu kristo
@Priska247
@Priska247 Год назад
Amena Mutumishi wa Mungu tumepokeya zaidi na zaidi, ubarikiwe na team yote.
@emelivaly1720
@emelivaly1720 Год назад
Ubarikiwe muchungaji am waching from oman be blessed katekera
@jerusalemsuccess4562
@jerusalemsuccess4562 Год назад
Nimemtukuza Mungu, kwamba utakuja kutueleza zile sura ya kitabu Cha kichawi. Asante Kristo Yesu kumuelekeza mtumishi wako Katekela aeleze yote kama ulivyo muagiza. Barikiweni sana
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 8 месяцев назад
Glory to God kwa upendo wake sisi wanadamu
@rachaelmuema2052
@rachaelmuema2052 Год назад
Ubarikiwe mtumish, watching from kenya.
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 Год назад
YAANI MTUMISHI MAFUNDISHO YAKO KAMA YA MTUMISHI WETU MAHANAHIMU CHURCH.UBARIKIWE SIJAPOTEA❤❤❤
@VictoriaMachozi
@VictoriaMachozi Год назад
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Bwana Asante sana kwa mafundisho mazuri
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp Год назад
Ubarikiwe san mtumishi kwa maombi ya kuniombea kukombollewa
@estheraruba1828
@estheraruba1828 Год назад
Mtumishi Amiel mungu akuinue daima
@maryojiema4591
@maryojiema4591 Год назад
Buana yesu apewe sifa mchungaji Mimi Niko Kenya nimekutana na ushuhuda wako sasa nimefutilia miezi mbili nimekua nikiomba kulingana navile unatufunza, kuanzia nianze kusikiza hushuhuda zako nimeamua kusimama Kwa yesu, Kwa ufupi nakuomba ukiona hi ujumbe wangu uniwieradhi unipee nafasi tuongee ili niweze kukusimulia hadithi ya familia ninayotoka, uniweke Mimi na familiar yangu Kwa maombi, familiar yangu Kwa maombi, yakufunguliwa, imagine mungu amemulinda mamangu Hadi sai ako na 86 years na Hana kiwanja ata nyumba iyo kitu inanisononesha moyoni kilasiku, na imagine tumezaliwa kumi na watatu ingwa wengine washa pumzika na kilamtu Amalia shida akuna awezae kusadia mwengine na masomo inaishiga njiani wenye wamefika kidato cha one akunakazi, ata sai wangu wawili moja aliachia darasa la tano akatoka mwengine akifika kidato cha tatu akatoroka sasaivi Niko namwenye ako kidato cha ine lakini afanyi vizuri na imagine amekua mwerevu akiwa primary ata ndio akifanya vizuri akaitwa kwenye anasomea naomba umuwdke Kwa maombi tafadhali mchungaji, na Mimi pia nakuombea mungu azidi kukutumia ili mungu yesu atufungue watu. wengi pamoja nawewe turned mbinguni AMEN 🙏
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Nimejikuta nalia ase lkn yote hayo amesema jaribu halikuwapata ispokua kawaida bali yeye Mungu atafanya na mlango wa kutokea
@floramongi1410
@floramongi1410 Год назад
Bwana atakutetea Kwa kwake funga hata siku tatu Yuko mtu anatumia nyota zenu funga ndugu yangu ufunguliwe mengine hayawezekani mpaka kufunga na kuomba.
@stephanomaduhu5426
@stephanomaduhu5426 Год назад
Pole Sana mtumishi
@francisshekifu8020
@francisshekifu8020 9 месяцев назад
Mawasliano yako ni yapi!
@gracemutono5023
@gracemutono5023 Год назад
Amen Asante pastor mafudisho masuri nabarikiwa sana
@liesharehema5193
@liesharehema5193 Год назад
Amina mtumishi WA MUNGU
@FelixTangu
@FelixTangu Год назад
Amen sana
@HappyLubida-zm6tf
@HappyLubida-zm6tf 10 месяцев назад
MUNGU akubariki sana
@jescaapolinary4858
@jescaapolinary4858 Год назад
Mungu azidi kukutumia
@KomboSyengo
@KomboSyengo 2 месяца назад
Highly Supportive , God Bless You
@lucylyale7169
@lucylyale7169 Год назад
Ujumbe wako unatuponya mch ubarikiwe sana karbu pia mkoa wa Simiyu ili nasi tuokolewe🙏
@gilbertndayishimiye7808
@gilbertndayishimiye7808 Год назад
Amen ubarikiwe Mtumishi, watching from Belgium
@kwagalarebecca9858
@kwagalarebecca9858 Год назад
Amen thanks for this eye opening
@letisiabudabya4030
@letisiabudabya4030 Год назад
Amen mtumishi
@Akinyisafi8361
@Akinyisafi8361 Год назад
Amen Amen 🙏 🙌 ni kweli kabisaa yale umesema
@paulinakiswaga7505
@paulinakiswaga7505 Год назад
Sahihi kabisa mchungaji
@fabricenindagiye1143
@fabricenindagiye1143 11 месяцев назад
Warundi tunakufuata 5/5. Ubarikiwe sana mchungaji
@JoshuaKagobera
@JoshuaKagobera 2 месяца назад
Je tuombeje ili tutoke kwenye laana za ukooo,? Ubarikiwe. Sana
@upendomhagama3236
@upendomhagama3236 4 месяца назад
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri mimi yamenigusa me nifanye nini ili watotongu wangu wakombolewe?watoto Watano hawana ajira na wamesoma mpaka chuo kikuu kila wakiomba hawafanikiwi sijui ni maagano ya kwa mume wangu au be mimi mama ?
@amandaangie4806
@amandaangie4806 Год назад
Amen 🙏 MUNGU Akutunze
@jameskotte-endtimegospel
@jameskotte-endtimegospel 9 месяцев назад
Kweli kabisa
@letisiabudabya4030
@letisiabudabya4030 Год назад
Ni kwel kabisa mchungaji watu wengi wametoka makanisan Kwa maneno ya uongo kisa ndoto
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Год назад
Yani na mie nipo humo kabla sijakoka, but tangu niokoke Namshukuru Mungu
@ProsperBinmedad
@ProsperBinmedad Год назад
Amen
@lydiamakenge5613
@lydiamakenge5613 Год назад
Ameen
@akothchristine4752
@akothchristine4752 Год назад
Amen 🙏🙏🙏 glory glory glory hallelujah
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
@dorcaswawira6096
@dorcaswawira6096 Год назад
Natumia aje sadaka yangu kupitia m-pesa nikiwa Kenya?
@isabilaisabila8722
@isabilaisabila8722 Год назад
Ameeeen Ameeeen Ameeeen
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Год назад
Nilishavishwa mie
@zadockmunala8778
@zadockmunala8778 4 месяца назад
MCH. Katekela nashukuru kwa mafundiisho mazuri sana lakini unapata wachungaji wengi sana hawana neema hii ,hawajui mambo haya.....so ombi langu ni kwamba unisaidie niweze kuvunja haya madhabahu ya familia...sijui kama yawezekana kama niko Nairobi wewe uko Tanzania?
@queenriziki5126
@queenriziki5126 Год назад
🙏🙏
@janethmwihumbo1289
@janethmwihumbo1289 Год назад
Kila maagano na laana zinazo fatilia zimeshindwa kwa jina la Yesu
@RachelMlingwa
@RachelMlingwa 11 месяцев назад
Mimi mtumishi nasingiziwa uchawi na ndugu wa mume leo nimejua
@neemataris3273
@neemataris3273 3 месяца назад
Bikira Maria ni mtakatifu na alikibeba kitakatifu amcaye ni Yesu mwokozi ndo maana wakatoliki wanamtumia kama mwombezi tu hawamwabudu kamwe ila tunamtumia kutuombea kwa sababu yeye ni chanzo cha kumleta mwokozi na kuna wanaomwomba awaombee na wanapata majibu.
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
NAMBA6 NA7 NACHOMOKA KWA DAMU YA YESUKRISTO NA NENO LA USHUHUDA WANGU KATEKELA KATEKELA UMEJUA KUNIWEKA WAZI NIKO HURU SASA NAKUSHUKURU SANA SANA NAKUITA CHUMA, LKN PIA KWA ALIYEKUELEWA KAMA MIMI HAWEZ KUMCHUKIA MUISLAM TENA LABDA KUWAOMBEA WAKAKUTANA NA NENO AMBAYE NI KRISTO
@GraceRichard-fn3yk
@GraceRichard-fn3yk 8 месяцев назад
napenda caana kumsikiliza amieli katekela, maana napata mafundisho mazuri
@neemataris3273
@neemataris3273 3 месяца назад
Hakuna mkatoliki anamwamini bikira Maria ila ni mwombezi tu, Yesu ni kila kitu kwa wakatoliki ndo maana pasaka inakuwaga hot sana kwa wakatoliki so usichanfanye
@juliuskalama2746
@juliuskalama2746 Год назад
Basi tufundishe kujitoa katika hizo laana ili tuwe salama mchungaji
@Neema-c3r
@Neema-c3r Год назад
MUNGU atusaidie na familia zetu zipone
@jackie4health
@jackie4health 7 месяцев назад
Ukiwa wafu hawapumziki basi utaelezaje Muhibiri tisa?
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
ila huyu mjamaa🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️tupate wapi tena mtu km huyu???? Manabii wa mchongo km nawaona wanavohaha kummaliza maana anazd kutufungua akili ase mm binafsi ni muhanga
@lydiamakenge5613
@lydiamakenge5613 Год назад
Napokea kufunguliwa
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
@@lydiamakenge5613 amen
@joannekesa1835
@joannekesa1835 Год назад
Amen 🙏🙏🇰🇪
@floramongi1410
@floramongi1410 Год назад
Kwani unachotaka ni sauti ya moses au kupona?
@MilkahMaritim
@MilkahMaritim 2 месяца назад
Asifiwe yesu Niko Kenya nimefurahia ushuuda wako Niki taka kuja nitakupata aje ani wapi?
@lifeinmiddleeast8179
@lifeinmiddleeast8179 Год назад
😢😢mi huota nawangiwa
@thomasmmoka4884
@thomasmmoka4884 Год назад
Sakramenti ya Ubatizo,Ekaristi na Kipaimara huondoa Laana za dhambi.Sakramenti ya Ekaristi ni Damu na Mwili wa Yesu Kristo.
@jackswat
@jackswat 9 месяцев назад
Lakini hapo mchungaji sijakuelewa unapozungumzia dini manabii na mitume wengine kuwa nao ni wa Mungu. Mf. Uislamu, ukatoliki nk. Sidhani kama ni sahihi kwasababu kiimani tunaona maandiko yanatuasa kutokuwa shirika nao, sasa sijui kama sijakuelewa vizuri lakini nimeona kama unawazungumzia vyema. Na la pili ni pale umesema kwamba Yesu ni nabii/mtume mkuu - nadhani Yesu si mtume ila wanafunzi wake ndiyo mitume YESU NI MWANA WA MUNGU!!
@AgnesKalinga-if3uf
@AgnesKalinga-if3uf Год назад
Mafundisho haya ni kioo kwangu najiona wapi nipo ila tufundishe namna ya kujinasua
@mwavithaniyburana932
@mwavithaniyburana932 2 месяца назад
Shukurani kwa mafunzo ss huyu aliye bebewa kizazi atafanyaje ili aolewe
@RoselineNyachwaya
@RoselineNyachwaya 5 месяцев назад
Mbona mtumishi unanisema mm haya mambo yote?? Naomba nikutane na wewe nisiwe next victim
@AzAz-sy6zp
@AzAz-sy6zp Год назад
Sasa nifanye nn mpaka vinitoke hivi mtumishi
@yvonnewitandaye1873
@yvonnewitandaye1873 Год назад
Sasa una wambiya wamuombeye Muhammed iweje ?asamehewe aene mbinguni
@estherwanjiku9278
@estherwanjiku9278 Год назад
Naweza pata number ya huyu mchungaji?
@neemamatiko3745
@neemamatiko3745 Год назад
Tafuta no za promova tv ndio akuunganishe nae
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Год назад
😢 Waombezi wengi wamechkua sadaka za family wakidai wanavunja madhabahu na hakuna mabadliko yoyote tunayo ipata
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Poleni sana Mungu awatetee
@kihilamasuke6976
@kihilamasuke6976 Год назад
Mmepigwa pole sana
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
@@kihilamasuke6976 unakutana na mtu anakwambia leta nywele za utosn na kucha naww kwaakili zako unapeleka😅😅😅😅😅😅😅Mungu atusaidie sana
@carolinederi5690
@carolinederi5690 Год назад
​@@gosbertmuta5421 Kule kwetu ni vikundi vya kina mama waombezi wanaomba alafu wanasema roho amewaonyesha tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu Baada mwezi wakija wengine kuomba pia wanaonyweshwa tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu I say wajiuliza kwan madhabahu zavunjwa mara ngapi 😊
@rerisamba
@rerisamba Год назад
Caroline Deri waa sasa umeshajua njia shukru Mungu
@AgnesKalinga-if3uf
@AgnesKalinga-if3uf Год назад
Mchungaji, kilingeni ndo nini sielewi
@joyprecious8822
@joyprecious8822 Год назад
Kilinge/kilingeni ni chumba cha waganga wa Jadi/wachawi wanahifadhi tunguli zao na pia katika kilinge ndio wanatibia wanaotafuta usaidizi kwao, Chumba maalum cha waganga.Shrine in English
@floramongi1410
@floramongi1410 Год назад
Mchungaji katekela Mungu akubariki sana sana.
@kersirukangika2440
@kersirukangika2440 Год назад
Una ongeya vitu gani una Washauri wa Islam waendeleye kumu ombeya Muhammad;mbona una wadanganya hatuwezi kuombeya mutu ariye Kufa asamehewe.
@victorianchimbi8640
@victorianchimbi8640 8 месяцев назад
Kaa chini utulie uelewe vizuri ❤
@mercykariithi7919
@mercykariithi7919 Год назад
Ndio mafundisho yako ni mazuri lakini Wacha kabisa kuongea lugha za kishetani siulishatoka huko??hizo lugha Zina bore sana
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
@rizikingena1149
@rizikingena1149 Год назад
Amen 🙏
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Kwani mtumishi, Roho ya Moses Kulola hii juu Yako, Kuna mda nasikia unazungumza kama yeye, harafu inakuwa na nguvu zaidi
Далее
Mchungaji Amieli Katekela         MASWALI YA UFAHAMU
34:34
Просмотров 10 тыс.