Nimemtukuza Mungu, kwamba utakuja kutueleza zile sura ya kitabu Cha kichawi. Asante Kristo Yesu kumuelekeza mtumishi wako Katekela aeleze yote kama ulivyo muagiza. Barikiweni sana
Buana yesu apewe sifa mchungaji Mimi Niko Kenya nimekutana na ushuhuda wako sasa nimefutilia miezi mbili nimekua nikiomba kulingana navile unatufunza, kuanzia nianze kusikiza hushuhuda zako nimeamua kusimama Kwa yesu, Kwa ufupi nakuomba ukiona hi ujumbe wangu uniwieradhi unipee nafasi tuongee ili niweze kukusimulia hadithi ya familia ninayotoka, uniweke Mimi na familiar yangu Kwa maombi, familiar yangu Kwa maombi, yakufunguliwa, imagine mungu amemulinda mamangu Hadi sai ako na 86 years na Hana kiwanja ata nyumba iyo kitu inanisononesha moyoni kilasiku, na imagine tumezaliwa kumi na watatu ingwa wengine washa pumzika na kilamtu Amalia shida akuna awezae kusadia mwengine na masomo inaishiga njiani wenye wamefika kidato cha one akunakazi, ata sai wangu wawili moja aliachia darasa la tano akatoka mwengine akifika kidato cha tatu akatoroka sasaivi Niko namwenye ako kidato cha ine lakini afanyi vizuri na imagine amekua mwerevu akiwa primary ata ndio akifanya vizuri akaitwa kwenye anasomea naomba umuwdke Kwa maombi tafadhali mchungaji, na Mimi pia nakuombea mungu azidi kukutumia ili mungu yesu atufungue watu. wengi pamoja nawewe turned mbinguni AMEN 🙏
Bwana atakutetea Kwa kwake funga hata siku tatu Yuko mtu anatumia nyota zenu funga ndugu yangu ufunguliwe mengine hayawezekani mpaka kufunga na kuomba.
Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri mimi yamenigusa me nifanye nini ili watotongu wangu wakombolewe?watoto Watano hawana ajira na wamesoma mpaka chuo kikuu kila wakiomba hawafanikiwi sijui ni maagano ya kwa mume wangu au be mimi mama ?
MCH. Katekela nashukuru kwa mafundiisho mazuri sana lakini unapata wachungaji wengi sana hawana neema hii ,hawajui mambo haya.....so ombi langu ni kwamba unisaidie niweze kuvunja haya madhabahu ya familia...sijui kama yawezekana kama niko Nairobi wewe uko Tanzania?
Bikira Maria ni mtakatifu na alikibeba kitakatifu amcaye ni Yesu mwokozi ndo maana wakatoliki wanamtumia kama mwombezi tu hawamwabudu kamwe ila tunamtumia kutuombea kwa sababu yeye ni chanzo cha kumleta mwokozi na kuna wanaomwomba awaombee na wanapata majibu.
NAMBA6 NA7 NACHOMOKA KWA DAMU YA YESUKRISTO NA NENO LA USHUHUDA WANGU KATEKELA KATEKELA UMEJUA KUNIWEKA WAZI NIKO HURU SASA NAKUSHUKURU SANA SANA NAKUITA CHUMA, LKN PIA KWA ALIYEKUELEWA KAMA MIMI HAWEZ KUMCHUKIA MUISLAM TENA LABDA KUWAOMBEA WAKAKUTANA NA NENO AMBAYE NI KRISTO
Hakuna mkatoliki anamwamini bikira Maria ila ni mwombezi tu, Yesu ni kila kitu kwa wakatoliki ndo maana pasaka inakuwaga hot sana kwa wakatoliki so usichanfanye
ila huyu mjamaa🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️tupate wapi tena mtu km huyu???? Manabii wa mchongo km nawaona wanavohaha kummaliza maana anazd kutufungua akili ase mm binafsi ni muhanga
Lakini hapo mchungaji sijakuelewa unapozungumzia dini manabii na mitume wengine kuwa nao ni wa Mungu. Mf. Uislamu, ukatoliki nk. Sidhani kama ni sahihi kwasababu kiimani tunaona maandiko yanatuasa kutokuwa shirika nao, sasa sijui kama sijakuelewa vizuri lakini nimeona kama unawazungumzia vyema. Na la pili ni pale umesema kwamba Yesu ni nabii/mtume mkuu - nadhani Yesu si mtume ila wanafunzi wake ndiyo mitume YESU NI MWANA WA MUNGU!!
@@gosbertmuta5421 Kule kwetu ni vikundi vya kina mama waombezi wanaomba alafu wanasema roho amewaonyesha tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu Baada mwezi wakija wengine kuomba pia wanaonyweshwa tutoe sadaka ya kuvunja madhabahu I say wajiuliza kwan madhabahu zavunjwa mara ngapi 😊
Kilinge/kilingeni ni chumba cha waganga wa Jadi/wachawi wanahifadhi tunguli zao na pia katika kilinge ndio wanatibia wanaotafuta usaidizi kwao, Chumba maalum cha waganga.Shrine in English