Niko na mshangao kwenye part one ya hi video watu wametoa hate coments part two naona love coments congrats girl wangap wanadanga tu na kwao pesa ipo it takes a strong soul to get it on ur own
Wapo watoto wengi tu wa matajiri lakni hawana akili hizi..yan wazembe tena ndo wanafuja mali za wazazi..lkn huyu kaenda extra mile kuweza kujiamjni na kutumia mali za wazazi wake vizuri..hongera saana
Hongera kipenzi nimejifunza vingi kutoka kwako hongera sana .wapenzi tujifunze unapotaka kufanya kitu angalia mwisho wake na pia usipuuze mawazo ya mtu na lait anachozungumza huyu dada tungekua watanzania tunajiamini na pia kuwa na watu wanaotusikiliza ña kutusapoti basi tungekuwa mbali wengi sana
Hayo ndio matumizi sahihi ya akili timamuu, ,ee mwenyenzi Mungu tufungue na kututakasia fahamu zetu, ,imagine hiyo ni akili ya mtu wa fomu 2, ,degree holders mnaotembea na vyeti mikono juu mpate Toba
Acha shule wewe mtoto wa mkulima uone kama hutaishia kuokota chupa tupu. Huyu kwao hela alizaliwa nayo maendeleo yakurithishwa haya. Tusio na kitu tusome tu mpaka kieleweke.
Mungu akuhifadhi ndugu yangu. Amin. Sasa jamaa... mjuwe hupati mafanikiyo bure bure lazima upambane kwenye maisha. Msione watu wana PESA wametoka mbali.
Sikuzite ukiwa na akiri timamu lazima utoboe sio kusubir miujiza ya raisi kama ambavyo weng wanazani na hii serikali,Serikali iko safi na inamipango mizuri juu yetu kikubwa niwewe kujituma katika mind yako
Tungekuwa tunapta klip nying za namnahii huenda vijna tungefokas ktk mambow ya msng kuliko hzo klip za kina Wema sepetu,,hta suara la kutaka kuajiliwa tusingezskia jama ilivo sasa
Huyu dada acha kabisa ..mbunge msukuma atasubili sana ....huyu dada kichwa sana, huyu haolewi na kanyaboya kanyaboya tu..mwenye kutaka kumuoa huyu heee ajichunguze sana kwanza .huyu ataoa siyo kuolewa
Anamjua mungu lakini nywele wazii ili ni kosa kwa mungu na munajua uchi wa mwanamke unaanza wapi jamani?!...abadilike mungu amzdishiee lakini nywele asiaje wazi