Тёмный

PART TWO - MREMBO Tajiri mwenye Miaka 20 aliyeacha SHULE akiwa KIDATO cha Pili afunguka haya mazito 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 72 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 сен 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 194   
@ethanethan4437
@ethanethan4437 3 года назад
Huyu Dada mungu ampe maisha marefu ameniinspire hata mm mtoto wa kiume more life to you
@samysamy2921
@samysamy2921 3 года назад
Niko na mshangao kwenye part one ya hi video watu wametoa hate coments part two naona love coments congrats girl wangap wanadanga tu na kwao pesa ipo it takes a strong soul to get it on ur own
@latifahjanja6679
@latifahjanja6679 3 года назад
Nafurahi sana nikiona wasichana wenzetu wanajitambua kama hv wanamaendeleo am so proud of u mungu akusimamie ufike mbali zaidi
@Goals592
@Goals592 3 года назад
May Allah fulfill your dreams...am so excited to hear you looking after the orphans...always more and more blessing keep it up😎😎😎✌️
@trishtrish2349
@trishtrish2349 3 года назад
This girl is really focused , I wish many more young girls would borrow a leaf from her book instead of depending on sponsors for money.
@abdulrahmanhassan9254
@abdulrahmanhassan9254 3 года назад
Mbali na nia aliyokuwa nayo ila connection alikuwa nayo ya kuanzia ndio mana yupo hapo alipo. Mashaallaa mwenyezi mungu amuongezee
@mamunote3507
@mamunote3507 3 года назад
Mashallah Mashallah M.mungu Azidi kukubariki ziada nimependa sana huyu Bint ni MCHAPAKAZI
@miss_kay7703
@miss_kay7703 3 года назад
She's my new inspiration God protect her
@happiewilly8425
@happiewilly8425 3 года назад
Wapo watoto wengi tu wa matajiri lakni hawana akili hizi..yan wazembe tena ndo wanafuja mali za wazazi..lkn huyu kaenda extra mile kuweza kujiamjni na kutumia mali za wazazi wake vizuri..hongera saana
@barakaulomi3052
@barakaulomi3052 3 года назад
cyo za wazazi wake,za kwake hakuna hata senti ya babaake hapo,kama umemsikiliza vzuri.
@khadijaoman4085
@khadijaoman4085 3 года назад
Hongera sana mdogo wangu endelea kupambana maisha hayatabiriki kuna leo na kesho yetu hatuijui
@sultanabdullah1994
@sultanabdullah1994 3 года назад
,9¥
@therealbriannoel7389
@therealbriannoel7389 3 года назад
One can see how one is intelligent from juss how one speaks and make conversation..this lady is truly intelligent! Mungu aendelee kukusimamia🙏🏻
@user-fp4bo6qh6j
@user-fp4bo6qh6j 11 дней назад
Hongera kipenzi nimejifunza vingi kutoka kwako hongera sana .wapenzi tujifunze unapotaka kufanya kitu angalia mwisho wake na pia usipuuze mawazo ya mtu na lait anachozungumza huyu dada tungekua watanzania tunajiamini na pia kuwa na watu wanaotusikiliza ña kutusapoti basi tungekuwa mbali wengi sana
@vero57
@vero57 3 года назад
SAFI SANA DADA, WANAWAKE TUJITUME SIO KUNGOJEA KUPEWA AU KUDANGA
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 года назад
Kabisa
@ashakondo2809
@ashakondo2809 3 года назад
Anaakili sn uyu dada nimempenda bure❤
@jacklinemichael1069
@jacklinemichael1069 3 года назад
Nimependa story yako,una roho nzuri that's why unafanikiwa nakuombea zaidi
@fridaystartv9921
@fridaystartv9921 3 года назад
Hongera sana lkn umezikuta hela nyumbn ungekutana na sisi baba na mama shambani kulima ungesubiri kdg
@rahmamuhajir6854
@rahmamuhajir6854 3 года назад
Huyu mtoto ni genius
@fatmaadam8773
@fatmaadam8773 3 года назад
MashaAllah MashaAllah MashaAllah...TabaraqaAllah, Genius❤
@marinamooh4055
@marinamooh4055 3 года назад
MashaAllah MashaAllah Asbiallahu waneghmal wakel Allahu Barik bint 🤲🏿 Umeni inspire sana MashaAllah 😍😍😍♥️
@alimasigasaleh8659
@alimasigasaleh8659 3 года назад
Great inspiration. You have inspired many. You have sent me back to my talent.
@charlesdonkaswiza8916
@charlesdonkaswiza8916 3 года назад
Allah akupe hitaji la moyo dada keep it Up one love Pia umenifurahisha xana ulipo sema Hutaki RAFIKI wala huna shida na RAFIKI.god bless U.
@aisha-ro5fr
@aisha-ro5fr 3 года назад
Watu msijifananishe n uyu muamala uliisha soma ndomaana akaacha shule kwao Ella ilikuepo n utajir akaona shule inampotezea muda
@aminahassanmashaallah8983
@aminahassanmashaallah8983 3 года назад
Haswaaaa
@ERIMINATSHINE
@ERIMINATSHINE 3 года назад
@@aminahassanmashaallah8983 kweli kabisa
@jokharymasoud7396
@jokharymasoud7396 3 года назад
Kweliii
@sharonezekiel7234
@sharonezekiel7234 3 года назад
Kwelii
@agnespeter6421
@agnespeter6421 3 года назад
Kabisa
@tareqhilal6750
@tareqhilal6750 3 года назад
Allah akuongoze saana, japo upande wa ddini na stara pia muhimu
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 года назад
Kaahaaanza kuachia nywele nusu maakini
@ArarsoAli
@ArarsoAli 3 года назад
Masha Allah Masha Allah Masha Allah Masha Allah mungu aku ungee mkono dada baraka Allah
@abdulihafidhali5379
@abdulihafidhali5379 3 года назад
Dada hongera sana kwa interview yako umeimsha nilikuwa nimell.Akieamshwa kama mm like hapa chini kama mm👇
@feiz3180
@feiz3180 3 года назад
Na muomba Mwenyezi Mungu azidi kukufungulia milango ya kheri na mafanikio zaidi.
@idarusimohammed629
@idarusimohammed629 3 года назад
Mashaa allah ila jitahidi kujifunga vizuri mtandio ili nywele zisionekane dada yetu
@sakhiyamohammed8204
@sakhiyamohammed8204 3 года назад
MAY GOD BLESS U 💖🥰💕 keep it up...👍👍
@fadhilahassan5055
@fadhilahassan5055 3 года назад
Hongera sana Allah akuongoze ufike mbali zaid
@mariamomar8244
@mariamomar8244 3 года назад
Mashaa Allah amazing hardworking lady mabrook
@aishaali7778
@aishaali7778 3 года назад
Masha Allah,God bless you. Congratulation sister
@hassanmohammed9153
@hassanmohammed9153 3 года назад
Mashallah mungu akuzidishie inshallah
@veredianamagesa2953
@veredianamagesa2953 3 года назад
Mungu akisaindi dada uendelea kuwasaidia watu
@sarahaminiel1955
@sarahaminiel1955 Год назад
Hayo ndio matumizi sahihi ya akili timamuu, ,ee mwenyenzi Mungu tufungue na kututakasia fahamu zetu, ,imagine hiyo ni akili ya mtu wa fomu 2, ,degree holders mnaotembea na vyeti mikono juu mpate Toba
@dianaanyova4026
@dianaanyova4026 3 года назад
Congratulations girl and blessings
@mwajomaessa7513
@mwajomaessa7513 3 года назад
Mashaallah hongera san
@glorykimambo33
@glorykimambo33 3 года назад
Mungu akusimamie dada nimekupenda nimependa mdimamo wako
@oumswaferswaleh7367
@oumswaferswaleh7367 3 года назад
Mshlh keep it up sis Allah ibarik fik
@mamydeislamiqprincess
@mamydeislamiqprincess Месяц назад
MashaAllah Allah to you dear
@timothysixten176
@timothysixten176 2 месяца назад
MIMI NAMPONGEZA MAASHAALLAAH NA NATAMANI KUPATA MKE KAMA YEYE..
@saidahamisi6404
@saidahamisi6404 3 года назад
MashaAllah jazzakallahu kher dada
@chricensiandimbo4091
@chricensiandimbo4091 3 года назад
Congratulations mamii....
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 3 года назад
Mashallah honger she bless 🙏 ❤
@khdijahalmudhairb2147
@khdijahalmudhairb2147 3 года назад
MashaaAllah
@sweetberthacharles6960
@sweetberthacharles6960 3 года назад
Hongera sana mdogo wangu imeni inspire sana nitapambana bila kukata tamaa
@mohamedkhamis8745
@mohamedkhamis8745 3 года назад
Big up keep it
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 3 года назад
Safi sana binti,kiukweli huu ndiyo ujuzi sasa 💯👏👍🙏
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 3 года назад
Acha shule wewe mtoto wa mkulima uone kama hutaishia kuokota chupa tupu. Huyu kwao hela alizaliwa nayo maendeleo yakurithishwa haya. Tusio na kitu tusome tu mpaka kieleweke.
@monamonaa141
@monamonaa141 3 года назад
Love you sister sooo much kwa ukakamavu wako n kujiamini
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 3 года назад
Very smart girl!
@hijrafarid1593
@hijrafarid1593 Год назад
Jitahd kujistir kichwa chako dada Mengine yanafuata tuuu Na ukizingatia zaid kila anoona nywele yko unapata jukumu
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 3 года назад
Mungu akuhifadhi ndugu yangu. Amin. Sasa jamaa... mjuwe hupati mafanikiyo bure bure lazima upambane kwenye maisha. Msione watu wana PESA wametoka mbali.
@fariyaosmanali9220
@fariyaosmanali9220 3 года назад
Maashaallaah 👏👏👏
@janestephen4491
@janestephen4491 3 года назад
Nmependa hapo kujingea 👍
@charsevannu7125
@charsevannu7125 3 года назад
Mashaallah Allah akujalie kheri Zena natamani nikuone maybe unisaidie mawazo
@maryamm7765
@maryamm7765 3 года назад
👏👏👏 kila la kher
@rizikibakari3598
@rizikibakari3598 3 года назад
Masha Allah Allah akuzidishia
@user-go5eo5er8i
@user-go5eo5er8i 3 года назад
Mashaa Allah mashaa Allah
@mamuhamad2959
@mamuhamad2959 3 года назад
congrats mamy allah atuongoze sote tunaotaka kufanikiwa kwa kheri
@khadijahali4837
@khadijahali4837 3 года назад
Hongera sana kwa kupambana
@luganomugogo6373
@luganomugogo6373 3 года назад
Hongera Sana dada umeweza
@latifamoshi846
@latifamoshi846 3 года назад
Very Nice 👏
@aureliamuro8756
@aureliamuro8756 3 года назад
Ongera sana mdogo wangu mungu azidi kukuongezea
@smilemediatz
@smilemediatz 3 года назад
Sikuzite ukiwa na akiri timamu lazima utoboe sio kusubir miujiza ya raisi kama ambavyo weng wanazani na hii serikali,Serikali iko safi na inamipango mizuri juu yetu kikubwa niwewe kujituma katika mind yako
@carolineotara9482
@carolineotara9482 3 года назад
Do you have any of Royal cards in Kenya or similar to that.
@aminaheri5296
@aminaheri5296 3 года назад
Ur inspiring me
@nadhirasalum1633
@nadhirasalum1633 3 года назад
MashaAllah mungu akubarik
@barakajulius7147
@barakajulius7147 3 года назад
Tungekuwa tunapta klip nying za namnahii huenda vijna tungefokas ktk mambow ya msng kuliko hzo klip za kina Wema sepetu,,hta suara la kutaka kuajiliwa tusingezskia jama ilivo sasa
@zuweinaalhabsya8773
@zuweinaalhabsya8773 3 года назад
Mashaallah hakusoma kihivyo lakini anaakili Sana Sana
@RajeshChauhan-wb9pm
@RajeshChauhan-wb9pm 3 года назад
Looking nice
@allysaid26
@allysaid26 3 года назад
Huyu binti anaonesha atakua na future nzuri sana ikifanikiwa kufungua chuo cha bekary.
@susans4490
@susans4490 3 года назад
Mashaallah
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 3 года назад
Nimependa mawazo yako. Hata na mimi napenda kujituma safi sana
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 года назад
Very confident yaan AF ni wakishua ....na ugali hajui kupika
@isackkulugutu359
@isackkulugutu359 3 года назад
Nice
@zainathcuwimigishazchelsea2113
@zainathcuwimigishazchelsea2113 3 года назад
MashaAllah
@halimamohamed2146
@halimamohamed2146 3 года назад
Big up zena sharif 😍
@aishaaboud4406
@aishaaboud4406 3 года назад
Mashallah
@divinebernard2624
@divinebernard2624 3 года назад
Nimempenda bure
@MbullerMabuga-gz3bw
@MbullerMabuga-gz3bw Год назад
eeh mungu nisaidie na mm🙏🏿🙏🏿
@genovevalaurent6393
@genovevalaurent6393 3 года назад
Dada ww n mzuri sawa lkn heshimu maana ya hilo vazi hapo ni sawa n upo uchiii ukiamua kujistir jistir ipasavyo n siyobkutumia hijab kama fasion
@aureliamuro8756
@aureliamuro8756 3 года назад
Nikifikia malengo yangu nitakutafuta kwa msisitizo mdogo wangu nimependa sana unavyojituma
@kherimkose3669
@kherimkose3669 3 года назад
Mtoto wa Skabah huyo, pesa hipo kwao
@saveraedward1274
@saveraedward1274 3 года назад
Congratulation
@aminasaid7657
@aminasaid7657 3 года назад
Wataka wewe mtangazaji ujambo bdo hyo hli gani😂
@fadyaalmansoor6428
@fadyaalmansoor6428 3 года назад
Umenipa moyo wakujituma🌹
@ayoubsuleiman3675
@ayoubsuleiman3675 3 года назад
Huyu nimwalim wa masomo ya biashara nanimbunifu kinoma alitakiwa apate kipindi chuo kikuu
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 3 года назад
Nimejifunza kitu
@elizabethmelema6975
@elizabethmelema6975 3 года назад
Uko vizur sana dadaangu komaa
@rodrickgwassa5793
@rodrickgwassa5793 3 года назад
Mmmhh
@zclassicfashionz
@zclassicfashionz 3 года назад
𝐌𝐚𝐥𝐢𝐤𝐢𝐚 𝐰𝐚 𝐧𝐠𝐮𝐯𝐮
@chekakwaafya3099
@chekakwaafya3099 3 года назад
Nilitakaga kumuoa aisee sema sikuwa myemen.... saivi ningekuwa mkwe wa scaba scuba.
@asmahtamla6989
@asmahtamla6989 3 года назад
Cheka kwa Afya we
@mamuhamad2959
@mamuhamad2959 3 года назад
yes nimependa ya kwamba hana rafiki wala shoga.nimepensa sana
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 года назад
Sikulaumu na maugali yao
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 года назад
Huyu dada acha kabisa ..mbunge msukuma atasubili sana ....huyu dada kichwa sana, huyu haolewi na kanyaboya kanyaboya tu..mwenye kutaka kumuoa huyu heee ajichunguze sana kwanza .huyu ataoa siyo kuolewa
@fawziaalmaamry1312
@fawziaalmaamry1312 3 года назад
Napenda kujuwa a na huyu binti
@saveraedward1274
@saveraedward1274 3 года назад
Nahitaj ushaur wako dadaa ntakupataje
@brighthassan4699
@brighthassan4699 3 года назад
Hongera mungu akuzidishie
@faridkhalfan3119
@faridkhalfan3119 3 года назад
Anamjua mungu lakini nywele wazii ili ni kosa kwa mungu na munajua uchi wa mwanamke unaanza wapi jamani?!...abadilike mungu amzdishiee lakini nywele asiaje wazi
@kingzerock1504
@kingzerock1504 3 года назад
Ni kweli kabisa Maneno unayo. Sema
@juliusbamba4554
@juliusbamba4554 3 года назад
Sasa ndugu mtangazaji mmesema huyu Dada ni Tajiri mbona hujatuambia unamiliki utajiri wa Milioni ngapi au bilioni????. Embu nisaidie kumuuliza.
@faudhiyahimidi2129
@faudhiyahimidi2129 3 года назад
Tajiri awe yy huyo hajapty changamoto yyt ahh some time wanaujingahh
@noahlamecklameck1168
@noahlamecklameck1168 3 года назад
Kwanzia mtangazaji Hadi huyu Dada wote wamejielezea vzr na wanaongea vzr mno
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 3 года назад
Ndivyo inavyo takiwa sababu mambo ya kum tegemea mzazi no kitu kibaya bora kuji tegemea
Далее
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 14 млн
НОВАЯ ПАСХАЛКА В ЯНДЕКСЕ
00:20
Просмотров 1,1 млн
LIVE: SPORTS XTRA
Просмотров 224
Beautiful gymnastics 😍☺️
00:15
Просмотров 14 млн