Тёмный

LAVISH: MREMBO, MSOMI anayeuza NGUO kwa kuzivaa na kuzifanyia CATWALK, video zake HUTREND Instagram 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 39 тыс.
50% 1

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Опубликовано:

 

26 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 57   
@Isynick
@Isynick 11 месяцев назад
Katika wageni wote niliowaona kwenye business diary kwanzia ianze mpka hapa nimebaini yafuatayo. Huyu dada ndo the most humble, anam acknowledge Mungu, anawa acknowledge watu waliokuwa baraka kwake, anaongea vizuri, story yake ina make sense haina mashimo ya missing information na ingawa atakuwa kapitia changamoto ila hayupo negative minded anaongea kwa kuwapa watu moyo with practical precautions. Hongera sana Sky kwa hii interview bora kabisa. Mungu azidi kukubariki wwe na team yako kwa kutupa content nzuri sana na ahsanteni kwa muda wenu na efforts zenu. 🙏
@KenethTaurine-uw3lv
@KenethTaurine-uw3lv Год назад
Ahsante Sana sky me ni mfanyabiashara mdogo nimehtimu chuo kikuu 2022 hiki kpnd nakipenda sana sana keep pushing brother me ni shabk wako Toka uko redio free Africa nmekuskiliza sana Toka nko shule ya msingi napenda sana hiki kpnd Busness diary nataman siku Moja na mm nifke SnS
@ngwacahnyagwaswa9979
@ngwacahnyagwaswa9979 Год назад
She is so humble and matured 💜❤️ she speaks so calm and soft mashallah 💜
@mwajumakitano842
@mwajumakitano842 Год назад
Jamani natamani sana unijengee Nyumba,je nifanyeje ili tuwasiliane??😊
@ruthbkambalile9357
@ruthbkambalile9357 Год назад
Keep it up lavish… nguo zako ni balaa mm ni mteja wako na nguo zako ni classic na una kauli nzuri kwa wateja Mungu akubariki sana
@maureenkamugisha2448
@maureenkamugisha2448 Год назад
This lady is so humble n composed,nlifika at her shop nkamkuta n the customer care n way she pays attention to u….Dope❤️
@brownie_dee8655
@brownie_dee8655 Год назад
I really love her kwakweli,keep on winning sis..afu yo r so beautiful..
@blessedannethmilley5381
@blessedannethmilley5381 Год назад
Thank you Lavish, this was a great sharing. All the best Lavish.Looking forward to coming at your shop🙏🏽
@teychriss3248
@teychriss3248 Год назад
Na mwili wa kuuza nguo anao!! Ujue nguo unanunua ukiona fulani kapendeza na wewe unataka
@karennimrod1527
@karennimrod1527 Год назад
She’s very humbleee! Nimempenda
@janethmutoka
@janethmutoka 2 месяца назад
Yaaan kila nikiwa down huwa narud kuchek hiii interview inanipaga nguvu sana Brother sky + Lavish God bless you all✊
@judithfrancey7068
@judithfrancey7068 Год назад
Very creative lady
@Igauf3
@Igauf3 Год назад
That business structure is called business arbitrage. She bought outfits for Tshs 5,000 sold for Tshs 15,000. She is dope !!
@chrissdilly
@chrissdilly 4 месяца назад
Tell us more pls because we need to do this business 🙏
@pastorygumiye6388
@pastorygumiye6388 Год назад
This session is the best kaka
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 8 месяцев назад
Hongera sanasana keep it dear, una uwezo na talent ya kufanya mambo mengi❤❤.
@user-kr2yk6gn4q
@user-kr2yk6gn4q 4 месяца назад
Yes,she is open minded girl and very attractive.big up🎉
@anyjosy9899
@anyjosy9899 Год назад
Great lavish👏👏👏 Mungu akutimizie hitaji lakoo
@happyfashionista1325
@happyfashionista1325 6 месяцев назад
This is realy me.Am soo inspired na ntarekebisha vision yang kwenye biashara ya nguo ninayofanya currently
@shejamy06
@shejamy06 Год назад
God bless u mama. ❤❤
@mwanatz5980
@mwanatz5980 Год назад
Hongera Dada 😍😍
@DORACHARLES-zr9md
@DORACHARLES-zr9md 9 месяцев назад
i really love u lavish your among of my role model ❤️💪
@sunrisekitchen1
@sunrisekitchen1 Год назад
Kadada kapole kanasema mhhh ndio sky
@user-kg5uk2rp1j
@user-kg5uk2rp1j 4 месяца назад
Thank you for inspiration
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Sky siku nikiw boss ntkuja kuwa motivate hapaaaa Mapambano yaendeleeee😂 karibun @Rene liquor jamn Tupo mbeyaa ❤❤❤
@luluwillium1364
@luluwillium1364 Год назад
Wow congratulations dear ♥️
@solangekubota9487
@solangekubota9487 Год назад
ANAONGEA KIDOGO KAMA HAMISA
@shelahcabandour996
@shelahcabandour996 5 месяцев назад
This is so inspiring ❤
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
She's beautiful, smart, enthusiastic, down to earth, humble and business minded deeply. Ongeza bei lakini; that dress should be 55K - 70K...honestly, amka kidogo on that. Kuna class haivai very cheap stuff; alafu you need to grow bigger fast, be realistic and wake up. ❤
@lennymallya
@lennymallya Год назад
Customer welcoming anaongea Bei ndogo ili hawavute wengi na kuna bei kubwa maybe zaidi ya hapo Dukani kwake
@brownie_dee8655
@brownie_dee8655 Год назад
Awe na nguo za watu wa level zote tu...maana akiongeza Bei Kuna wengine hawataweza kununua hzo nguo
@neematemba2677
@neematemba2677 Год назад
She is so smart kufanya biashara ni ngumu sana tunapitia mambo mengi yaan mpk unasema kwan mafanikio nimeyakosea nn mpk nakula za uso ivii😂😂😂😂😢
@nancyg8664
@nancyg8664 4 месяца назад
😂😂😂
@trendvibeke
@trendvibeke Год назад
❤❤❤
@Thisisgrace979
@Thisisgrace979 4 месяца назад
Keep it up wajina
@Hassen-ge7zk
@Hassen-ge7zk 3 месяца назад
Mungu akubariki sana
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
🎉🎉🎉 congrats dada
@SashaMadata-jc9jr
@SashaMadata-jc9jr 4 месяца назад
Nampenda huyu dada jamani.❤
@ritarutaihwa6276
@ritarutaihwa6276 3 месяца назад
Ila ngiuo zako sio quality kabisa
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 2 месяца назад
Martin luther king say. He you to say have dream so follow your dream
@AronKitomary-ku1xb
@AronKitomary-ku1xb Год назад
Kitu nlichojifunza ni kwamba ukitaka kuwa mfanya biashara mkubwa lazima uwe na nidhamu ya pesa ... Wote wanaokuja hpo co watu wakwenda kidimbwi
@vadoxwakiafricatz
@vadoxwakiafricatz 6 месяцев назад
✊🏿
@sumayyahally
@sumayyahally Год назад
❤️❤️❤️❤️
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Wajina hi
@sumayyahally
@sumayyahally Год назад
@@sumayaishengoma4543 mambow
@hance2746
@hance2746 Год назад
Shiiiii
@danielpatrickrobert125
@danielpatrickrobert125 Год назад
Sky mke huyo
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 Год назад
⚠️⚠️ Sky anamke
@sharifaally9404
@sharifaally9404 Год назад
Baby sky kuja hapa😅
@MightyLumber
@MightyLumber Год назад
Grace uko single, natafuta a partner?
@lidyakepha2928
@lidyakepha2928 Год назад
Ana mtu na wanapendana mnoooooo😅😅😅😅
@nayomi6498
@nayomi6498 Год назад
Sky tuelekeze vizuri kuhusu hayo mambo ya kuchonga nguo China🙏
@happinesszuberi7364
@happinesszuberi7364 10 месяцев назад
Umiza kichwa cyo kucopy kila kitu
@user-kg5uk2rp1j
@user-kg5uk2rp1j 4 месяца назад
Thank you for inspiration
@user-ui1qs9yl1n
@user-ui1qs9yl1n 2 месяца назад
Martin luther king say. He you to say have dream so follow your dream
@user-kg5uk2rp1j
@user-kg5uk2rp1j 4 месяца назад
Thank you for inspiration
Далее
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 13 млн
ЧУТЬ НЕ УТОНУЛ #shorts
00:27
Просмотров 6 млн