Тёмный

#PART1 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 426 тыс.
50% 1

#PART1: SIMULIZI ya KIJANA YASSIN ALIYESINGIZIWA KUMBAKA BOSS WAKE na KUFUNGWA JELA MIAKA 30....
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 148   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@Sesy717
@Sesy717 11 месяцев назад
O
@Sesy717
@Sesy717 11 месяцев назад
😅
@SecretariatMihake
@SecretariatMihake 6 месяцев назад
@YohanaKitundu-dg5hs
@YohanaKitundu-dg5hs 5 месяцев назад
Mal
@SenetaKilaka-o1c
@SenetaKilaka-o1c 9 месяцев назад
Pole sana na izi kazi selikali muwe nazo makini sana mana wengi wapo jela kwa kesi zakusingiziwa
@Dullachaka-i2i
@Dullachaka-i2i 11 месяцев назад
Duuuuuh pole sana mwanangu mombe mungu usikate tamaa kumuomba mungu kila siku muombe mungu
@WigiberthiMutahaba
@WigiberthiMutahaba 6 месяцев назад
Pol xan kaka ang hao walio kufanyia hv watapew adhab na mwenyenz mung pole xan dady❤,,
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 11 месяцев назад
Watu Wana roho mbaya sana.. Wote walio shughurika kuwakandamiza watu kuanzia leo.. Naomba mungu andaa adhabu juu yao
@maimunahemedi6491
@maimunahemedi6491 Год назад
Assalam aleikum, dua aliyoomba itamlipua siku moja, kwa sababu kamfanya mwenyezi mungu kuwa shahidi wa uongo wake
@farajasallah2338
@farajasallah2338 Год назад
Watoto wetu wa kiume wanapitia sana, Mungu awasaidie, nimeumia sana
@BarcoKazige
@BarcoKazige 7 месяцев назад
Pole sana kk 'ngumu ile natokeya congo gm
@JumanneRashid-kr2nv
@JumanneRashid-kr2nv Год назад
Sio haki ata mungu apendi mtu mzima Ivo unabakwa vp mungu akulaani sana
@WitnessMmlamba-zx7lc
@WitnessMmlamba-zx7lc 7 месяцев назад
Pole sana
@Anoldi-yj7mf
@Anoldi-yj7mf 5 месяцев назад
Muombe mungu sana maana hakuna kisicho na mwisho amini Mungu yupo majaribu nimtaji
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 27 дней назад
Poli kaka siwengia pelika hospitali huyo mke waboss akatezamwea kama amibakwa jamania mungu msaidia wanawake musiwea naroho mbaya
@VeronicaMarsel
@VeronicaMarsel 9 месяцев назад
Pole Sana chaliingu mungu atalipa
@AwzaMstafa
@AwzaMstafa 5 месяцев назад
Pole sana mdogo wangu
@FALESWALWA
@FALESWALWA 7 месяцев назад
Pole Sana kijana!
@priscamagambo5320
@priscamagambo5320 6 месяцев назад
Yani mpaka nashindwa niandike Nini,Ila Mungu ni hakimu wa haki,pole sana
@RidhaaHamisi
@RidhaaHamisi 6 месяцев назад
Pole sana mwenyenzim atamlahani huyo mama
@sam-l3z9i
@sam-l3z9i 9 месяцев назад
Pole sana kijana
@AishaOmary-fl8qo
@AishaOmary-fl8qo 6 месяцев назад
Mwenye kusubiri yupo na mungu Allah akufungulie rizki zako kaka
@Aishanasma
@Aishanasma 18 дней назад
Pole sana kaka hiyo ndio dunia muombe mungu sana endelee kukulida ❤🎉
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh
@BARIKIELMICHAEL-fc7oh 5 месяцев назад
Pole sana kaka
@MohamedAly-zp3zh
@MohamedAly-zp3zh 8 месяцев назад
Duniani watu wana mazonge Allah atufanyie wepesi, nimeshaona interview moja ya huyu jamaa kafanya Mbengo TV imeruka Julai, 2021 anajitambulisha kwa mtangazaji kuwa ni mzaliwa wa Bagamoyo Mapinga na alikua akiishi na huyo mama kinondoni... kwenye hii amezaliwa Kilwa na anaishi Chamazi inatia ukakasi kidogo kama mtu anataka kusadia lakini maelezo yako tofauti inatia shaka.
@BenardRamadhan
@BenardRamadhan 11 месяцев назад
Pole san
@Shimboy-hl4eg
@Shimboy-hl4eg Год назад
Pole bhana hizo changamoto za maisha tu.
@KsmTv-yl5fy
@KsmTv-yl5fy 11 месяцев назад
Pole sana Kaa ,
@MasharubuMoshi-h9p
@MasharubuMoshi-h9p 7 месяцев назад
Pole san kaka
@AdrianNtarambe
@AdrianNtarambe 5 месяцев назад
Aisee
@SalimOmary-r5g
@SalimOmary-r5g 10 месяцев назад
Da! Pole
@zawadimapumba7557
@zawadimapumba7557 8 месяцев назад
Enyi matajili msiwatese wafanyakazi wenu maliulizonazo ni uwezo mungu😂inaumiza sana
@Tosana202
@Tosana202 11 месяцев назад
Najuta mimi kusikiliza huu mkasa😭😭😭😭roho inaniuma jaman me watoto wangu wakiume tupu daah😭😭😭pole sanaa home boy Mungu ni mwema
@KiZoMidundo
@KiZoMidundo 11 месяцев назад
Inasiktsha
@HasanOmar-c3p
@HasanOmar-c3p Месяц назад
Pole
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Huyo mama ana dhambi kubwa sana,na wote wanaoshiriki dhambi hz mmelaaniw nyie na vizazi vyenu,maana mwenye pesa ananunua haki ila Mungu yupo hakimu wa haki.
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 6 месяцев назад
Hii ni tabia ya wanawake sis hangi kwa hili. Ila natamani kuja kumfundisha adabu mwanamke mmoja.
@RashidThabite
@RashidThabite 6 месяцев назад
Umetoa radhi nzito sana mama
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 5 месяцев назад
@@RashidThabite inaumiza sana ndugu yangu vaa kiatu cha huyu ndugu ndo utajua aliumia kiasi gani,alikuwa kesha potea tayari
@JohnEmmanuel-u9p
@JohnEmmanuel-u9p 11 месяцев назад
Polle kaka lla mungu hajaribiw jibu atapata
@PAUlWEKESA-de6tb
@PAUlWEKESA-de6tb 11 месяцев назад
Pole sana brother yangu
@SaidinaYateri-j2z
@SaidinaYateri-j2z Год назад
Mungu amlaani huyo. Afanyae dhambi bia kumuogopa mungu
@ElinuruMdali
@ElinuruMdali Год назад
Duuuh hyo mama mungu anamuona ipo cku2 mungu atakulipa
@ondb.tv593
@ondb.tv593 11 месяцев назад
Mungu atakulipia hapa hapa duniani.
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan 6 месяцев назад
Ila yote tisa, Vitimbi vya wanawake ni vikubwa sana. Anaweza Akakusingizia kitu na dunia nzima ikaamini.Mungu Awaongoze Ndugu zetu hawa.
@allandavid870
@allandavid870 Год назад
Global mnahitaji kuji evaluate story zenu, most of the time mnaleta story zenye kutia shaka sana kama hii. Maelezo anayotoa anajichanganya sana
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
Inatia shaka kwa maelezo yapi? Isitoshe hujasikiliza part two, unafikia conclusion story inatia shaka kwa kigezo kipi?
@aisharamadhani1948
@aisharamadhani1948 Год назад
Siku hizi kuna story za kutungwa ili kupata watazamaji au wafatiliaji wa vipindi vyao so chakuambiwa changanya na zako
@omanoman2044
@omanoman2044 18 дней назад
Siyo kujichanga tuy hatanhajielew anacho eleza wamakonde wengi ndo wako jiv hawajui kuongea vizur
@SandaliKubuli
@SandaliKubuli 7 месяцев назад
Daaah pore sana dogo uyo mama ata azibiwa tu na mungu apa apa duniani
@PaskaliJohn-z3p
@PaskaliJohn-z3p 9 месяцев назад
pole sàn
@Ibrahim21784
@Ibrahim21784 Год назад
eh 🇰🇪 Kenya watu wana soma bakaaa from 4 na hakuna kazi
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Год назад
pole saaana dogo .
@JeanIradukunda-qw6eb
@JeanIradukunda-qw6eb 4 месяца назад
Pore sana kaka yangu
@ESTERMKALI
@ESTERMKALI 4 месяца назад
3:11
@KideliMalanda
@KideliMalanda 22 дня назад
Selikari haina tatizo tatizo lipo kwa baadhi ya viongoz jameeeeen
@B-horbir
@B-horbir Год назад
B-horbir from DRC Congo but muzaliwa wa dar , Tanzania,mimi naona yule mwanamuke hakutakakumulipa kijana pesa aliona afanye mpango iliashie
@AlainMapesa
@AlainMapesa Год назад
Hello, uko Drc sehemu gani please
@utaani1
@utaani1 9 месяцев назад
Ndio hata mimi nadhani ni hivyo hakutaka amlipe akaona apange uwongo huo
@annafredinandmatandiko8438
@annafredinandmatandiko8438 8 месяцев назад
Yes
@JosephMdachi-l3h
@JosephMdachi-l3h 10 месяцев назад
Pore sana
@herberthatibu8439
@herberthatibu8439 Год назад
Hii story inatia mashaka sana, kwanza polisi siyo rahisi kukuweka ndani wakati mlalamikaji hayupo, eti unapelekwa kituoni na watu wengine mlalamikaji atakuja kesho.
@likimaro6
@likimaro6 Год назад
Polisi ya nchi gani unazungumzia? Ulisikiliza ripoti ya Tume ya Haki Jinai majuzi?
@abdallahmwanga5792
@abdallahmwanga5792 Год назад
Hayaja kukuta ndugu yangu,ipo siku utajionea mwenyewe... Huyo dogo namjuwa na amepata shida sana kutokana na kifungo hicho,nimemshuhudia huyo dogo akiwa jela...
@Nyaburyaofficial217
@Nyaburyaofficial217 Год назад
Polle sana Kijana
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 27 дней назад
Huyo mama sio muslamu wa kweli kama amishika kurania kitabu chakuslamu wallahe huyo mama mungu atamuadhibu huyo mtoto kasema kweli hajambakka
@Hot_rod-lies
@Hot_rod-lies 27 дней назад
Mm natokia kenya hakee huyo kaka aminitowa machozia bat mungu yuko naww kaka
@KomboMaarif
@KomboMaarif Год назад
Pole sana uyo mam ana matitz
@saudmohammed3390
@saudmohammed3390 Год назад
Dhuluma Kubwaaaaa hii mshitakie Mungu atakulipa. Police wamekula pesa sheria wamchukuwe yule Mama akapimwe nawe upimwe. Wamsoka yote hayo
@frankndiga6122
@frankndiga6122 Год назад
Hiyocm nitaipataje nijulishe
@JOHNBNBC2
@JOHNBNBC2 11 месяцев назад
Pel❤
@VeronicaMilinga
@VeronicaMilinga 4 месяца назад
Yanga usajil 19:02
@kachabisnea8815
@kachabisnea8815 Год назад
Yaani hapa ndio unapojua kabisa hizi dini zililetwa kwa ajili ya watu kupiga hela tu mtu anahapia hadi na msahafu kwa mambo ya uongo tena bila kuogopa
@rajabungatanda630
@rajabungatanda630 Год назад
Swala la mtu kuogopa ni jambo jengine na ukweli wa dini ni kitu kingine Kushika msahafu na kuapia kwa jambo la uongo uo ni uamuzi wa mtu Lkn mungu ameahidi kumlipa yule atayeapia uongo "Kwahiyo uyo mama asubiri kitachomkuta "Lkn pia jiulize kama unashangaa uyu mama kushika msahafu ndomana unahisi dini zimeletwa Jiulize kwani vituo vya polisi vimewekwa kwaajili gani ? Jee wahalifu awajui kama vituo vya polisi na mahakama Vipo kwaajili ya wahalifu? Kwanini watu wanafanya uhalifu bila woga wakati wanajua ukifanya uhalifu unakamatwa ? Kwahiyo uyo mama anajua kama mungu yupo lkn ni mhalifu wa kiimani anamcheza shere mungu Inshaallwah kama kweli amefanya hivo atalipwa tu
@JohnsonMpweza
@JohnsonMpweza 3 месяца назад
😢
@sinyoritamoha1629
@sinyoritamoha1629 Год назад
Wamatumbi Wapole sana, hawawezi kufanya ujinga, huyo mama yatamkuta makubwa. Nimejiskia vibaya mno, Ila hao wanaoita mchumba nimecheka😂
@josephatpius5594
@josephatpius5594 Год назад
Uyo mama in Katie sana kamwalibia maisha kijana
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 Год назад
Kumbukeni WANAWAKE LEO WZNATAKA KEDI NAPESA
@juliuskibaso1976
@juliuskibaso1976 8 месяцев назад
pole sn
@JohnKapwaga
@JohnKapwaga 10 месяцев назад
Hahaha jaman hugo mama balaa pole sana mwanaume mwenzangu MUNGU ni mwema hata akina YUSUF walitiwa gerezn na ikawa Waziristan,
@SalimOmary-r5g
@SalimOmary-r5g 10 месяцев назад
Da; hatar
@Teddygeorge-ub7su
@Teddygeorge-ub7su 8 месяцев назад
Pesa inawafikisha watu pababaya huyu mama mungu amlaani ingewezekana hii Kes ingeanza upya afu imgeukie Yani mungu amlaani Saba mara sabini!!!!!!!
@OscarOuma-ho6hl
@OscarOuma-ho6hl 8 месяцев назад
Wangepima na kuwa na uhakika kutoka kwa daktari
@frankjulius12
@frankjulius12 Год назад
Part 2 ikowap
@aboually2472
@aboually2472 6 месяцев назад
Maturubai hyo
@SellahMohamed-it7dg
@SellahMohamed-it7dg 8 месяцев назад
Pore Mwanang San
@UswegeRichard
@UswegeRichard Год назад
Dah huyu jamaa nilimsikiliza kwenye radio free afrika kipindii cha sintosahau😢😢 dah huyu jamaa kapitia maisha magumu saana❤❤sema mwanangu usikate TAMAAA MUNGU ANAENDELEA KUKU PIGANIA
@AbdiSekarani
@AbdiSekarani 4 месяца назад
😊😊😊😊😊😊❤😅😊
@EginoMilinga
@EginoMilinga 11 месяцев назад
Mambo vp pole
@tumainimalulu7708
@tumainimalulu7708 6 месяцев назад
Hivi MUNGU yupo? Kwanini wanyonge na wasio na fedha hudhulumiwa haki zao bila kumwaibisha adhulumuye haki. Mtu anaswali na anasali na anashika kitabu cha Mungu anaapa uongo na Mungu yupo kimya. Hapana kuna kitu natafuta nifanye utafiti kuhusu dini hizi tulizoletewa na wageni.
@BraysonKileo
@BraysonKileo 6 месяцев назад
Daah MUNGU atamwonekanaye
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 5 месяцев назад
Kwenye interview ingine anasema hapakua na godoto
@abdiazizmohamed444
@abdiazizmohamed444 5 месяцев назад
Yamini ni muongo Kwenye interview ingine amesema vingine hapa anasema vingine
@JuliusBudodi
@JuliusBudodi 10 месяцев назад
Bv
@ramadhanmzagira7831
@ramadhanmzagira7831 Год назад
kamakweli basi makosa yalianza kituo chapolis inatakiwa alie bakwa awepo ili akapimwe kama kafanikisha jambo ilo nasio aende peke yake anaenda na polic wakike
@WarwinuKaremeri
@WarwinuKaremeri 5 месяцев назад
Huyo mama ni shetani
@NtahoZuberi
@NtahoZuberi 5 месяцев назад
Mbona uhujasema kama hajakulipa miezi yotehiyo
@SalimaBukomwana
@SalimaBukomwana 11 месяцев назад
Mungu.atasimama.nao Inshalla.watoto.wote
@josphatokongi3361
@josphatokongi3361 8 месяцев назад
God have plan to him
@cosmasibundala
@cosmasibundala 6 месяцев назад
Mambo vp
@AredFered
@AredFered 10 месяцев назад
Dah wafanyakaz kaz tunayo
@JumaLichombo-ev9zi
@JumaLichombo-ev9zi 10 месяцев назад
Duuh hyo mam ni hatar pole mwamba
@TumainBosco
@TumainBosco 10 месяцев назад
Like
@safnosmosha
@safnosmosha Год назад
So sad
@YusuphIbrahim-j8h
@YusuphIbrahim-j8h 11 месяцев назад
Mh inauma
@jacksonjamesndyabawe471
@jacksonjamesndyabawe471 11 месяцев назад
Wewe dada au mama uliye mkandamiza huyu jamaa.. Rana yako hitakuwa mbaya sana kwasababu, huyu jamaa imesha kuwa doha kwake
@AtanasMasuka
@AtanasMasuka 6 месяцев назад
Walioko jela wengi wao hawana makosa?
@JamesKisabo
@JamesKisabo 7 месяцев назад
Hata mm lazima nibake kwahali hyo
@TumainBosco
@TumainBosco 10 месяцев назад
Iike
@hashimmziray7416
@hashimmziray7416 Год назад
ha ha ha eti Mama yako umemuacha kijijini
@MOHAMMEDABDI-lb7yp
@MOHAMMEDABDI-lb7yp Год назад
Siku kumi na9 ya nini jamani wakati sheria ni kuka police ni maa saa 24 tu
@JuliusBudodi
@JuliusBudodi 10 месяцев назад
.
@hamisibaharia-bl9og
@hamisibaharia-bl9og Год назад
Malipo dunian apa apa mwanang kaza loo2
@JhosefuChale
@JhosefuChale 8 месяцев назад
Mabos wengi wakion hawan Hela ya kumlipa mfanyakaz Wana msingizia mabay
@SalehSalum-ri1jn
@SalehSalum-ri1jn 6 месяцев назад
Loho inauma
@MutuaDominic-t6t
@MutuaDominic-t6t 11 месяцев назад
Sipowa
@SoudyRajabu
@SoudyRajabu 8 месяцев назад
Adi ufanyi ivo shida nini, kwa mtoto wa watu
@JamesAndrew-xs5bt
@JamesAndrew-xs5bt 9 месяцев назад
Sema tatizo mabos wengine wanashoboka.
@AndreYome
@AndreYome 11 месяцев назад
Mama uyo ni muchawi kabisaha.uyo.kijana.mtoto.alimubakaje.serkali.yenu.aichunguzi.kitu.mimi.ni.mu.congo.mani.uyomama.wanipe.yeye.nimubake.kabisahaaa.onamakalio.yake.kubwa.kama.makalio.ya.tembo.mungu.ahatakuwaja.katika.dunia.iyi
@LadslausKyandoh-ru1il
@LadslausKyandoh-ru1il Год назад
Ooe
@ferguslyagoda4049
@ferguslyagoda4049 Год назад
Hii ni kiki?
@frankndiga6122
@frankndiga6122 Год назад
Kweli huyo mama siobinadamu walahanahofuya MUNGU
@HasanOmar-c3p
@HasanOmar-c3p Месяц назад
Man ndochangamoto
@JumaCharura
@JumaCharura Год назад
Dah pol San wem s wot
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 Год назад
Same Yasin kule Mbengo tv kasema mzaliwa wa Bagamoyo, huku mzaliwa wa Kilwa same story same person?
@fatumajumanne198
@fatumajumanne198 Год назад
🤣🤣🤣
@alasigoodluck9608
@alasigoodluck9608 11 месяцев назад
😂😂😂😂 hii ni Tanzania broh
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 11 месяцев назад
Ufanye uchunguzi ulipwe fidia
@DavidMuhindo-q4q
@DavidMuhindo-q4q 11 месяцев назад
mama huyo hatauona ufleme wambingu kabisa
Далее
SHAJARA NA LULU | Simulizi ya Joseph Kimeu
43:30
Просмотров 96 тыс.