Huna haja ya kumchunguza la msingi kama umeshaishi nae kwa muda na maisha ni mazuri basi we jiongeze na kila pesa atakayo kupa ifanyie maombi ( Itakase) kabla ya kuitumia ndio maana wanaotoa Sadaka Misikitini na Makanisani ni Matajiri na Masikini kila mmoja anajua kaitoa wapi pesa yake
Allah akusamehee my brother lkn haya uliyoyafanya sio eti sababu ya yale maneno ya yule dada kashifa zake bari ni tamaa zako mwenyewe sababu maneno ya mtu ww hayakufanyi ukafanya mauaji ya watu ambao hawana atia tubu kabra ya umati hayajakufikia ila yale maneno ya uyo shemeji umeyafanya kama kichaka
Uwongo mkubwa kila anaepiga story anasema hukozamani alikua mdogo miaka kumi na tatu water wanapiga stories halafu hii chaneli niyawalokole wanatafuta watu waokoke
Sasa kumbe ushajua ukisikiliza story hizi za DM unakua mlokole sasa si uache kuangalia wapo kina Neiwamitego wameimba Hakuna Mungu, Afande Sele kamtukana Mungu, Diamond kasha imba Haleluya unaonaje ukawa unawafatilia hao watu utuache sisi na Walokole wetu waendelee kutufundishaa dunia ilivyo tumeipenda wenyewe, kwanza we mmoja tu ukipungua utasaidia kupunguza mawimbi ya wanao wahi kumi bora niwe nawahi ku comment mawimbi yatakua hayakinzani tena usituchafulie.
Mmmh yani huyu wala asimsingizie yule dd eti ndio kamsabisha kutafuta utajili ila sisi binadam wabaya sana mwenyezi mungu kantuambia kabisa sheytwan niadui yetu wadhahili kabisa bado vinadam wamekua naukaribu na majini yakisheytwan kuteketezabinadam wenzao kwa manufaa yao kwann usimtoe huyo mama ako au dd zako umekaa kuteketeza waja wa allah wamekukosa nn
Mimi wengi tu wamenichukiza hapa Duniani lakini ujinga Wa kuharibu maisha yangu kwa sababu Yao ilo wazo halipo. Kweli nimewachukia na hamna dua mbaya sijawaombea, lakini kufikia lipofikia huyu kaka,, mungu atunusuru. Inawezekana ashuura ndio sababu ya yeye kupotea🤔😁 yuko wapi ashuraa🤔🤔
Mi nahsi hivi Hivyo viumbe vingine vimehalaxhwa na mungu kuchingwa kwahyo wakichukuwa damu yao watakuwa hawamuunzi mungu xhetan anafanya kumuunzi mungu kuptia watu wake
Tuliona zabron alivokuwa akifika kwenye misosi alikuwa akisifia sana ,mpaka akaitwa bwana misosi😂😂,,Sasa huyu akifika kwa wadada anasifia mpaka bac,,Sasa cjui tukuiteje😂😂,,pamoja na hayo yote lakin hii story akihadisia mpaka Mimi natetemeka kwa woga,,
Tuma basi hata 2 mbili ndio stor mzuri lakini unavotuma clip moja moja hivo na sisi watu wazima tuna kazi itatusaidia hata kusave mda unapotuma 2 na zaidi ila ivi unatuchosha brother
Asilimia kubwa ya majini ni wararbu (Muslims and non Muslims) Wala usishangae. Huyu kijana hapa Katembea na warabu kwa njia za ushirikina na yeye pia si mwarabu au mwislam.point yangu hapa Mwarabu au sio mwarabu wote ni viumbe Wa mungu na hamna kiumbe aliekamilika si jini wala binadamu si mwarabu, muislam. Christian,, au wengine. Hapa nikufundihsana basi na kila mmoja na dini yake na Iman yake