Davistar am a Kenyan living in the USA your stories have build me and shocked me kabisa we need to support you. I always follow and listen to everything
Hello guys lets support this gentleman please he is doing a good job, he is requesting together we can, me personally he is a blessing to me,,, sai ningekuwa kwa hizi churches za mafuta na maji though am a catholic damu
Hi Davistar. I am pastor David from Kenya. Nataka niwasaidie swali la shetani kukunywa damu na nyama ya watu. Wakati Adam alitenda dhambi. Shetani alilaaniwa ale mavumbi. Mungu alikua ametengeneza mwanadamu kwa vumbi. Sisi ni vumbi na hivyo chakula Cha shetani. Ndio sababu tunaishi kwa kutegemea roho. Mwili Ni dhaifu
UFUNUO WA YOHANA 17vs 6 Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu. NOTE UKISOMA UFUNUO WA YOHANA chapter 17 YOTE UTAELEWA HUYO MWANAMKE ALOKUWA AKIOGA KWA DAMU. mbarikiwe sana Wana wa Mungu.
Unafiicha uso sawa...lakini inatoa namba ya simu...kumbuka wafiwa wengine bado Wana maumivu.labda wanaweza kukutafutia na kukudhuru...si tafuta njia sahihi ya kilezea hayo mauaji..iwe kifupi nasi keuleza kila gari majina yake.. hongera kwa kuacha hizo issue na hatua
Kweli tunajifunza sana.mm ndo kabisa nimejifunza mengi.mpaka nimemrudia muumba wangu ila kweli tunafaa tumsapoti anajitahidi sn.Hata ingekuwa ww hatulali.mpaka usiku tunachungulia tu umeweka nini na usipoweka tunalalamika umechelewa.jamani kuanzia mia tano na kuendelea Mungu atakubariki tu
Braza Davistar tuko pamoja na ninahakikisha subscribers wanaongezeka coz jamaa wa wakora amenibamba kinoma oyaah wanazengwe fanyeni hivyo love kama yote
Pesa ndogo sanaa hiyo kaka kwa tunayo jifunza ila kwa ushauri wangu uwe unakumbushia hata kila mwisho wa mwezi na uwe unatupa mrejesho wa hamasa ya watu je wanatoa au wanazingua.usikae na kitu moyonii sisi ni ndugu sasaa
Kwa ushauri Wangu davistar ungeweka hizi simuliz na kwenye tv hili watu wengine wapate kyjifunza pia because ni watu wengi sana awaingii RU-vid bro wamana wababa wabibi wanafunzi vijana mtaan ni wengi sanaa alafu vijana mtaan ndiyo wengi wanaotakiwa kupata hizi elimu mtaan uko wanaopitia maisha magum mpk inawapelekea kufikia atua hizi mungu awalinde sana watoto wetu jaman na dugu zetu dah
Kila kiumbe kimeumbwa na Mungu, viumbe wakuu wako wa aina tatu 1- Malaika kaumbwa kwa nuru. 2- Binadamu kaumbwa kwa udongo 3-majini waloumbwa kwa Moto. Kati ya viumbe hivi Binadamu na majini Mwenyez Mungu amewapa Uhuru kuchagua upande wa kufuata Kati ya upande wa sheitan au upande wa Mungu lakin malaika yy hakupewa option hiyo kwa maana malaika hakupewa uwezo wa kumuasi Mwenyez Mungu. Sasa Sheitan ni nin? Sheitan sio kiumbe Bali ni sifa tu ambayo Binadamu na majini wakifata upande mbaya Basi uivae sifa ya usheitan...sifa hii ya usheitan ndiyo kaivaa ibilisi.. ibilisi asili yake ni jini alikataa kumsujudia Adam akalaaniwa na Mwenyez Mungu akashushwa dunian!!!
Safi davistar ‘ tutafanya mchakato tuwezeshane...! Ila nataka niweke vizuri kidogo hapo Kwa Jini au shetani kaumbwa na nani...!..kwanza ni lazma tuelewe kiumbe chochote unachokiona ulimwenguni na usichokiona kimeumbwa na MUNGU hakuna kiumbe kilichojiumba chenyewe ‘ Kwa hivyo hili la hao majini tusikwepeshe kwamba hawakuumbwa na MUNGU kutokana na matendo yao mabaya ‘ Na mifano Ipo kwetu binaadam ‘ tumeumbwa lkn tunatofautiana ‘ wapo binaadam wenye roho za ajabu unaweza kujiuliza hivi Huyu ni binaadam ama..?...hata hawa binaadam wenzetu wanaotupa hizi stori maana yake wamevuka mipaka Kwa matendo waliyokua wanayafanya ni ya kishetani japo wao ni binaadam’ shetani Sio kiumbe ‘ shetani ni sifa ‘ Yaani ni matendo mabaya ‘ machafu ambayo binaadam pia ukiwa nayo tunaweza tukakuvika sifa ya kishetani’ kiumbe hapo ni JINI Kwa hivyo jini tabia zao chafu Ndio nao wanakua na ushetani ndani yao..!..Na wao waliumbwa Kwa MOTO na sisi binaadam tumeumbwa Kwa udongo’......pia wanajamiiana’ wanazaliana ..na wakati mwingine wanajamiiana na binaadam’ Na wana KOO zao ‘ tawala zao na nguvu zao‘ ..!...hivyo wanajilinda koo zao kama wao hawana ushirika na MALAIKA..! Na hapo kwenye MALAIKA’ hawa MALAIKA ni viumbe vilivyoumbwa Kwa NURU ‘ Na toka vimeumbwa havikuwahi Kumuasi MUNGU toka walivyoumbwa mpk Dunia itaisha ‘ wao ni Kumsujudia MUNGU muda wote Wakati wote ‘ Hawana mapungufu Ndio maana hawana sifa ya KULA...KULALA...KUCHOKA....KUJAMIIANA.....!...Na tukumbuke sifa zote hizo binaadam na Majini tunazo ‘ ni malaika tu ambao hawamkengeuki MUNGU...!...Kwa hivyo hao Majini unaosema ndugu RWANDA MAGERE ‘ ambao Ndio ibilisi au shetani hawapo na Malaika ‘ hawajatupwa na malaika ‘ Kwa sababu Malaika hawakuwahi wala hawamuasi MUNGU ..!...na vitabu vya dini vinasema hivyo...! Wapo Watu hutumia huu Msemo MALAIKA nae akizeeka huwa shetani ‘ ni makosa Kwa sababu malaika hawazeeki wala hawamuasi MUNGU...!...nilitaka kuweka sawa hapo..’..!..Ahsante
Davista nakupenda bure I will support you naishi marekani weka area code Ya TZ am not from TZ so am not sure how to send it I have wave app if that works InshaAllah
Yani ukiangalia hiyo ajali, utamchukia huyu kaka,daah. Kuna mkaka kahojiwa anasema hata uwezi elewa ajali imetokeaje. Chaaa! Mungu kumsamehe huyu, mwacheni Mungu aitwe Mungu.
Aisee mzee wa bakora kabla hata hujaitaja hiyo ajari ya kagera ya ma padri na ma sister tayari nimesha ifaham bila shaka niile iliyo tokea bukoba na hiyo ajari gari la masister na ma padri lililigonga bas la sabuni express