Kwa Shetani hakuna ambacho MTU anaeza faidi,,,,, let's always pray for our families alot is happening out here,,,,,, before you start your day always embrace the culture of going down your knees and pray dearly 🙏🙏for the loved once
Ndugu msimuliaji,uskubali kutaja majina ya watu, jamaa ana kudanganya uyataje lakini wala majina ya wahusika hayana umuhimu kwetu,story ndio tunayoitaka.
Duh kaka kweli uliua watu weengi mpaka roho yangu inaumia kwa kweli, Mungu tuu ndo kimbilio lako hakuna jingine, kweli shetani ni baba wa maaasi hana huruma. Tujifunzeni kwa huyu kaka kwa kweli. Shetani hana bure.
USIKUBALI KUTAJA MAJINA ,WALA MAHALI EXACTLY ULIPOWAHI KUFANYA MATUKIO,KWA MTU ANAEKUFAHAMU ATAFAHAMU NI WEWE TU KWAKUA KWA MTU ANAEKUJUA ATAJUA SAUTI YAKO NA KUKUTAMBUA NI WEWE HATA KAMA UMEGEUZA MGONGO.
Daaah so sad.Ni majini hayo hayo ndo yalimpumbaza jamaa akaacha mlango wazi na yakamshawishi binti aende kuchukua funguo. Yote ni kutafuta sababu ya kupata damu ya ndugu yake.
Duh amakwel mungu wetu n mwenye huruma tunamkosea mengi Sana na bado anatusamee lakin hiyo miungu yao wakiikosea kuwasamee nikazi Sana hakika jina la bwana lihidimiwe🙏
Amen MUNGU wewe ni wa huruma san .. shatan kwel hana hurum watu wasionahatia unamaliza siku zota pesa za sheran hazin maana Mungu tupe pesa halali kwa ajili ya Utukufu wako.
Mimi ni mmoja wapo ambae nanufaika na Kazi hii hapa. Tusisahau wote kwenda na lile wazo letu lililopendekezwa la kutuma TigoPesa. Niwaombee wa Mungu tuzidi kusoma maandiko ya Biblia hekima zipo humo za kuelewa kuwa mali, pesa, starehe si kitu kama huna Mungu, Raha na Starehe ya kweli ipo kwa Yesu Kristo nae pia anatuombea kwa baba
kuishi kwa ndugu tajiri ni mbaya sana maana ,unaweza ukajifanya unafanya usafi kumfurahisha huyo ndugu yako ili akuone wa maana kumbe unajisogeza kwenye kafara.
mara nyıngı shetan hawez kukuacha hiv hiv yaan kama upo makin kitemdo cha kusema mtoto wa shangaz nikae naye jua ni mpango wa shetan huyo ndıo atakaye kıjaribu au n mpango tu wakutaka kutoa kafara ndugu n sababu mpango tu wa shetan huoo shetan hawez kukupa utajır wa furaha dunıa
Inabidi ndungu zetu matanjiri tuwachungunze vzr kama alivyo kuwa anafanya hayyate dr John John pombe magufuli serekali iingilie kati kama huyu jamaa mali nyingi ndungu hawajiulinzi anazipatapatanje na wakati yenye ni mwalimu mkop ndo anunue vitu vyote hivyo
Hivi Kuna faida gani ya huu utajiri unapoteza ndugu marafiki na watu wasio na hatia bado pesa anayo kupata ukifanya maendeleo niyake pia mm naona shetani Kakutia hasara sana
@@Oneofhiskind123 😆Yan Malkia na wenzak wanapanga bonge la gemu, kwamba jamaa ampige bakora shemej yake Wakampandikiza huyo shemej roho ya kwenda kupeleka umbea kwa Mama ake mhusika ili imuume apate mshtuko wamchue vizur🤣🤣
Ni mungu wake kikweli. Sie viumbe hatusujudu ila mbele ya mungu wetu. Na yeye pale na hayo mapepo yaliokuwa mwilini mwake lazima wamsujudie mungu wao, "malkiya"