Nimefuatilia tokea epsod ya 1 mpka sasa bwana zabron anahitajika sana kwenye mambo ya misoc hasa kutoa promo kwenye mambo ya mahakuli yuko vizur aiseew
WaAah ubani makkah ama ya Makkah izi story tamu kweli nmekwama hapa kwa zabron.davistar sometyms punguza mziki nkiskiza na earphone inazingua jaribu kupunguza.
Oh, pole kwa maswaiba Zabron. Lakini kwa biashara zote hizo kwa nini usiwe unaweka bank sehemu kubwa ya pesa zako? Mbona kila mara unapoteza pesa zako zote?
kama umemsikiliza kwa umakini uwezi kumlaumu kwasababu yaonekana kama alikua na mkosi flani ivo na ukiwa ivo ata uweke pesa banki zitapotea tu. bahati alikua nayo lkn katika yake palikua na mikosi ya kutegenezwa na binadamu alaf akil za kitoto pia zilikua zinamsubua sana
Usitadhi mganga😢😢😢😢😢😢😢😢😢hirixi Mungu ninusiri na hili janga mana loo eti kichwaa chakuku mara hirixi rohoo zawatu🙆🏽♀️🙆🏽♀️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️ndoinapumua ndoutajiri tobaaaaaaa
Huyo mwamba kosa lake hakuishi kwa kujifunza kutokaana na makosa! Kwanza alipopata pesa angehakikisha anarudishiwa kwanza kimvuri chake ndo aanze maisha! Afu kuwa na maisha mazuri sio lazima utumie waganga! Ila kama unaumwa au unarogwa unaweza kutibiwa kyenyeji! lakini maisha komaa mwenyewe! Kama utadhibiti wachawi yatapatikana tu!
Sio ustaz huyo mganga mshirikina au mwanga mana ustaz hawez kufanya hivo . Ila waganga wengi au washirikina kujifanya kuvaa nguo za kidini . Ila mwenye dini ya kweli na kumuogopa mungu hawez kuwa na tabia kama huyo .mshirikina mana anajuwa kama kuna azabu ya moto . Wakat mwengine sema mganga au mchawi .usiseme ustaz .ustaz gani akawa rasta
Mm katika mahusiano manamke ama mwanaume wakunichomea picha amakuchana picha huyo niwakumuachaa hapohapo alipo sasa picha za Angle huyo dada alixitupa choon kisa nn ashangae mwenye picha amtokee🏃🏿♀️🏃🏿♀️masikini hayuko duniani watu wengine bn kama chafya wakikutoka unasema Allahhadhilillah