Тёмный

PART32:BINADAMU MWENYE ASILI YA JINI ALIEISHI GAMBOSHI YA UCHAWI/NAKULA WATU/NAISHI NA JINI/NILIKUF 

Davistar Media
Подписаться 242 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 346   
@johnisenyagwa9860
@johnisenyagwa9860 3 года назад
Nimefuatilia tokea epsod ya 1 mpka sasa bwana zabron anahitajika sana kwenye mambo ya misoc hasa kutoa promo kwenye mambo ya mahakuli yuko vizur aiseew
@violinenyakara5028
@violinenyakara5028 3 года назад
Hirizi si nzuri, noma sana, hela za hirizi mtu huwa hakumbuki kufanya maendeleo Pole kwa kifo cha Angel💔💔💔
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 года назад
Hapo kileleni mm nimefaham kivyang maan mhhhhh!! Ahhaahah lazim uanguk 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 3 года назад
WaAah ubani makkah ama ya Makkah izi story tamu kweli nmekwama hapa kwa zabron.davistar sometyms punguza mziki nkiskiza na earphone inazingua jaribu kupunguza.
@salehfarid1003
@salehfarid1003 3 года назад
HII STORY NI TAMU SAAANA ✅✅✅✅ iko sawa
@apolinemalungano9155
@apolinemalungano9155 3 года назад
Zabron unajuwa kupiga stori, na unahakili Mungu aendelee kukusimamia mzee wa misosi
@tracyirene8917
@tracyirene8917 3 года назад
Nipo nipo nimewahii 👍👍Mr.facts .. Zabron Duhh stori 🔥🔥
@zettyhassani2244
@zettyhassani2244 3 года назад
Enjo kafariki !!! Innalilahwainnalilah rajiun
@babaalex5062
@babaalex5062 3 года назад
Mm mgeni naishije mnijali na vi like like 😋😋😋
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
Karbu nyumban
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂 me nilijuwa unaomba kabuku buku kumbe like 🤔🤔
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@dorcaskidoti249 🤣🤣🤣
@IANA2030
@IANA2030 3 года назад
Davista keep going👏🏿👏🏿👏🏿💪🏿🤗ubarikiwe sana
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 года назад
Duh Mimi nilikuwa natamani kujua tu kuhusu enjoy duh pole sana jembe
@didasrichard3068
@didasrichard3068 3 года назад
Dope
@aminsalimali793
@aminsalimali793 3 года назад
Ahhh sasa story inaanza kuboesha maelezooo mengi sana story inakua kidogo
@vellarose2596
@vellarose2596 3 года назад
Oooh pole sana kwa kifo cha Angel Jamani😭😭😭😭
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 года назад
Pole sana kijana mpambanaji
@badymsuya6093
@badymsuya6093 3 года назад
Yeah
@bakarimbonjo7182
@bakarimbonjo7182 3 года назад
Jamaa katisha sana,,,big up sana kwako mzee wa gamboshi
@happylife349
@happylife349 3 года назад
Ewaaa🥰🥰🥰
@hagurukamwana4095
@hagurukamwana4095 3 года назад
Tunaomba vipindi viwe vilefu zaidi vitamu 🤣🧏💆💆💆💆💆💆
@abdulhalimhumud1917
@abdulhalimhumud1917 3 года назад
Dah maskini kumbe angel alifariki kweli duniani binadamu Sie c kitu 😔😔😔
@hildaernest1090
@hildaernest1090 3 года назад
Pole zabron kwa msiba wa angel
@chrissackland5369
@chrissackland5369 3 года назад
Huyu Jamaa Namkubali Sana yani Mpaka raha
@alitoufik5477
@alitoufik5477 3 года назад
Dah inasikitisha, inahuzunisha sana kwakweli enjo jmn dah
@veeinn7965
@veeinn7965 3 года назад
Pole kaka Zabroni
@kawtharsaleh9229
@kawtharsaleh9229 3 года назад
Wallah nimecheka leo mzee baba hiridh haina manukato haipumui tena imekufa mzee baba mzee baba mzee baba
@learnselfdefense765
@learnselfdefense765 3 года назад
Nimeumia sana yaan kama ndo yamenikuta mm kwamba Angel ashafariki... R. I. P 😭 😭 😭 😭 Angel
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 года назад
Hiyi story iwekwe kwa movis aki uta pata faida wewe nimutu muzuri sana .zabroni tunagupenda sana
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 года назад
😭😭😭😭jaman enjoy Allah akurehem mama ang😭😭😭pole san kaka zabron
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
pole kwa majanga
@neemaomar76
@neemaomar76 3 года назад
Kumbe sekunde 25🤗 nimewahi
@halimahali8684
@halimahali8684 3 года назад
Pole san zabro kufiwa na mpendwa wako inauma san
@suleymanally4729
@suleymanally4729 3 года назад
Majin pes zao hazin maan hata waallh tunajifunz meng sana kwawal wapend mitelezo km zabron enz zake 😂😂😂
@jangombeboys4536
@jangombeboys4536 3 года назад
💪💪
@aishahassan9812
@aishahassan9812 3 года назад
Mm ndo nimefika leo wapendwa wang😥🤣
@ibraah7679
@ibraah7679 3 года назад
Watu wapo fastaaa mmh😋
@nyendochamwela3031
@nyendochamwela3031 3 года назад
Hongera Sana Bro, Kazi nzuri Sana.
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
leo umetupea supper mapema
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 3 года назад
😭 oh yani kumbe Angel kafarikii!!! na nlikua nawaza hii story ulimdanganya na sumu eti waaa, thamira yangu .
@أبوحاتمطلحةخميسعلي
Nakukubali Sana
@upendoluv7197
@upendoluv7197 3 года назад
Our Best series 2020💥💣
@OmanCom-ky8tn
@OmanCom-ky8tn 3 года назад
Pole kwa kutumbukizwa picha za enjo chooni huyo alikuwa siyo mwelewa
@angelmilele4730
@angelmilele4730 3 года назад
Mh noma sana
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 3 года назад
Zabron kwa misosi ndio maana miyayo mingi hajawahi kufanyakipindi akapewa brek ya msosi
@gablielsamwely1081
@gablielsamwely1081 3 года назад
Zabron ni mtu mzuli sana mungu ambaliki
@maryamumapenzi1257
@maryamumapenzi1257 3 года назад
Jamaa hamlali ama hamuendi kazi
@reubenlameck6225
@reubenlameck6225 3 года назад
✔️
@abassking9400
@abassking9400 3 года назад
Sema bro zabron una roho ngumu mana hirizi ya kupuma ni binaadamu huyo uliye kuwa unatembeya naye .
@wantangosaimon5295
@wantangosaimon5295 3 года назад
Dah Mimi nasikitikia mwarabu wetu aisee
@nakundwamkubwe7823
@nakundwamkubwe7823 3 года назад
Nimeumia ulivyo sema Enjo alifariki 😭
@angelmilele4730
@angelmilele4730 3 года назад
Ata mimi maskini
@aishasaid6749
@aishasaid6749 3 года назад
Umepitia mengi broo
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 3 года назад
Oh, pole kwa maswaiba Zabron. Lakini kwa biashara zote hizo kwa nini usiwe unaweka bank sehemu kubwa ya pesa zako? Mbona kila mara unapoteza pesa zako zote?
@mwajiranimesalimu5509
@mwajiranimesalimu5509 3 года назад
kama umemsikiliza kwa umakini uwezi kumlaumu kwasababu yaonekana kama alikua na mkosi flani ivo na ukiwa ivo ata uweke pesa banki zitapotea tu. bahati alikua nayo lkn katika yake palikua na mikosi ya kutegenezwa na binadamu alaf akil za kitoto pia zilikua zinamsubua sana
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 3 года назад
@@mwajiranimesalimu5509 Asante kwa ufafanuzi
@salhakhamis4629
@salhakhamis4629 3 года назад
Mh pole sn
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
number1
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Hongera wa kuwahi😂
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
@@pilimusa7770 nashukuru
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
@@pilimusa7770 kabisa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@moreenmbatha1147 wakwanza nlikua mie😥
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Usitadhi mganga😢😢😢😢😢😢😢😢😢hirixi Mungu ninusiri na hili janga mana loo eti kichwaa chakuku mara hirixi rohoo zawatu🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️ndoinapumua ndoutajiri tobaaaaaaa
@khadijaomari9344
@khadijaomari9344 3 года назад
duuh kumbe enjoy alifaliki 😢😢😢😢😢😢😢
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 года назад
R.i.p
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔💔😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kifo tena
@aishahernandez4201
@aishahernandez4201 3 года назад
🥰🥰🥰
@mr.jasonfxsignals4873
@mr.jasonfxsignals4873 3 года назад
Msosi kabisa
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 3 года назад
Pol sna bss
@danieljoseph1610
@danieljoseph1610 3 года назад
Huyo mwamba kosa lake hakuishi kwa kujifunza kutokaana na makosa! Kwanza alipopata pesa angehakikisha anarudishiwa kwanza kimvuri chake ndo aanze maisha! Afu kuwa na maisha mazuri sio lazima utumie waganga! Ila kama unaumwa au unarogwa unaweza kutibiwa kyenyeji! lakini maisha komaa mwenyewe! Kama utadhibiti wachawi yatapatikana tu!
@georgedavid9924
@georgedavid9924 3 года назад
Davistar badilisha rangi ya hzo namba ili ionekane vzur kweny video ya Quality yoyote
@Oneofhiskind123
@Oneofhiskind123 3 года назад
😳😳😳😳😳Mzee baba mali inaisha siku hiyo hiyo duh noma
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 3 года назад
angel morale ikaisha bana
@sallo27.70
@sallo27.70 3 года назад
Baba Stori Imempata Msimuliaji.
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 года назад
Nakwambia, pumu imepata mpumuaji😂😂
@susannyamwitha1354
@susannyamwitha1354 3 года назад
Angel wangu pole, duu alikufa, hukupata mtoto na angel,
@farhathamdansalum9725
@farhathamdansalum9725 3 года назад
Mzee Baba uliharibu hapo aiseee😄😂😂😂 uliifua hirizi mzee baba
@popoali6641
@popoali6641 3 года назад
Leo mapema
@sheikhaalmandhari125
@sheikhaalmandhari125 3 года назад
Daaaa nime wahi sana leo
@sheikhanasser4714
@sheikhanasser4714 3 года назад
Sheikha Almandhri Salaam wajina 🖐
@babymkuya359
@babymkuya359 3 года назад
😘😍😍
@somoeawadh7774
@somoeawadh7774 3 года назад
Leo mapema, na mzee Wetu wa misosi 💃
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
🤣🤣🤣🤣
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 года назад
Ayayayaya!😩😩😩Sad news,Angel alikufa? Roho inaniuma km vile mimi ndo Zabron.
@twahilchaurembo9946
@twahilchaurembo9946 3 года назад
asee iko poa sana
@shantellemwanakombo3703
@shantellemwanakombo3703 3 года назад
Leo na mapema
@vellarose2596
@vellarose2596 3 года назад
Watu humu hawalali kweli 😂😂😂
@hagurukamwana4095
@hagurukamwana4095 3 года назад
Jama amastori matamu 🤣🙌 kutoka Canada 🇨🇦 musalimiye sana
@mamskiumbe4057
@mamskiumbe4057 3 года назад
Mamb
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 3 года назад
Sio ustaz huyo mganga mshirikina au mwanga mana ustaz hawez kufanya hivo . Ila waganga wengi au washirikina kujifanya kuvaa nguo za kidini . Ila mwenye dini ya kweli na kumuogopa mungu hawez kuwa na tabia kama huyo .mshirikina mana anajuwa kama kuna azabu ya moto . Wakat mwengine sema mganga au mchawi .usiseme ustaz .ustaz gani akawa rasta
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 3 года назад
hebu tuone picha ya Angel brother😛
@jeaninemugisha6395
@jeaninemugisha6395 3 года назад
Jamani nimependa story hiyi sana
@susannamusindi9950
@susannamusindi9950 3 года назад
Tafadhali zima simu
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@faustinaalukungu8511
@faustinaalukungu8511 3 года назад
🙏
@kelvindaudi6765
@kelvindaudi6765 3 года назад
Nikweli kaka avilte mbeya
@matukicmagere3331
@matukicmagere3331 3 года назад
Huyu saidi makonyeza family moja ya kipenda bila shaka. Kwa hapa dar familia yake inaishi kigogo dar
@happyoshea
@happyoshea 3 года назад
😂😂😂Eti kidogo niseme oya mazingambwe haya . Nimecheka
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@stivenmgonja5908
@stivenmgonja5908 3 года назад
Kumbe ad vmbaumbau wanaweza dindoka presha😂😂😂
@raheemaraheema5453
@raheemaraheema5453 3 года назад
Davista inavyomwangaliia uko usooni hapo kwenye utuuri 🤣🤣😀
@sadamhuseein2989
@sadamhuseein2989 3 года назад
Sojaaa kaishia wap??😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@naifatabdulqadir4300
@naifatabdulqadir4300 3 года назад
Me ningmtfta nikampga🤣🤣
@mwajiranimesalimu5509
@mwajiranimesalimu5509 3 года назад
hapo kwa angel ndo nimehuzunika pole sana..kwel ukipendacho uwa hakidumu
@bintimrope
@bintimrope 3 года назад
Leo mapemaa
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
Kabsa
@bintimrope
@bintimrope 3 года назад
@@ayshamahariq6665 👌👌
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@bintimrope 😍😍😍😍
@carolinewanjeri9916
@carolinewanjeri9916 3 года назад
Unasinya saana wacha kupokea simu Kaka wacha ushamba
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 года назад
ushamba huo kwioo...😀😀😀😀
@wazomyakinifu2301
@wazomyakinifu2301 3 года назад
🤣 🤣 🤣 🤣 Hapo mwisho pameniacha hoi. Eti akaja akanigongea, "Eh unaniita?"
@martinmaryogo6081
@martinmaryogo6081 3 года назад
Hahahahahaaaaa, alkuwa anahitaji mchezo huyo mama
@martinmaryogo6081
@martinmaryogo6081 3 года назад
Huyu jmaaa amepitia magum jmn
@theunseen.believe5672
@theunseen.believe5672 3 года назад
😁😁alikuwa na kiu ya hicho kitu mumewe alikamatwa 😂😂😂
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
ongea pole pole utaniua haki
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@moreenmbatha1147 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mariamshabani6853
@mariamshabani6853 3 года назад
🤝🤝🤝🤝Umoja ni guvu 💪💪💪
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
Kabsa
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 года назад
utengano ni udhaifu
@hamisimtemi3803
@hamisimtemi3803 3 года назад
mariam njoo bobo mama
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@hamisimtemi3803 ndio hivo
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@hamisimtemi3803 bubu au bobo🤣🤣🤣🤣🤣
@moreenmbatha1147
@moreenmbatha1147 3 года назад
za kwake yeye😁😁😁😁💣💣💣💣💣 sio za kwako tena watanzania mtanimaliza😁😁😁😁💣💣💣💣
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 года назад
Hi story inanifanya nisahau siasa za CCM na Chadema.😳😳😳
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
😂😂😂😂😂😂
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 3 года назад
@@pilimusa7770 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@charlesmapunda5905
@charlesmapunda5905 3 года назад
Ndo kwanza tupo nusu ya story mpaka tumalize tutakuta Mboye nae kateuliwa Mbunge viti maalumu
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
@@charlesmapunda5905 😂😂😂😂😂
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 года назад
@@charlesmapunda5905 Heheeee!!!😅😂😆😆🙉🙉🙉 Kwamba Mbowe nae avae Dela au unamaana gani?
@raheemaraheema5453
@raheemaraheema5453 3 года назад
Mmmmh baunsa
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 3 года назад
ushaunda filamu kulingana na hii habari?
@martinmaryogo6081
@martinmaryogo6081 3 года назад
Leo kawahi kuweka, pia kaweka ndef kwel
@esthergasper8086
@esthergasper8086 3 года назад
33 iwahi jaman
@IANA2030
@IANA2030 3 года назад
Nooooooo Angel😭😭😭😭whyyyyyyyy
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mm katika mahusiano manamke ama mwanaume wakunichomea picha amakuchana picha huyo niwakumuachaa hapohapo alipo sasa picha za Angle huyo dada alixitupa choon kisa nn ashangae mwenye picha amtokee🏃🏿‍♀️🏃🏿‍♀️masikini hayuko duniani watu wengine bn kama chafya wakikutoka unasema Allahhadhilillah
@venahsithole6463
@venahsithole6463 3 года назад
Hehehee unaniita!!!!!!
Далее
Скинь той самой ❤️‍🔥
00:15
Просмотров 17 тыс.
Ilkinchi hotin oberasanmi deb o’ylabman🥹😄
00:26