Unaweza kunichangia KUTIBIWA kwangu kupitia no hizi 0688199370)na 0766998994. JINA Paschal Cassian MALIYATABU MUNGU akubariki Shea link hio video HII kwamagrup yamarfiki
This song is directly speaking to my country Kenya 😢😢😢God is communicating,it’s high time we go back to our knees and ask God for mercy upon our country 😭🙏it is too much.
Wimbo huu umenigusa sana hasa wakati huu ambao Dunia imekumbwa na janga hatari la Corona,,,watu wanapoteza wapendwa wao kila siku kwa Corona,,wamekosa pa kukimbilia lakini wimbo huu unatuimiza kumrudia Mungu wetu kwa toba ya kweli kwakuwa kwake hakuna linaloshindika🙏🙏 Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu👏
Kiukweli nakupenda sana kaka yangu Paschal Cassian . Nashukuru Mungu kwaajili ya utumishi wako, unanibariki na kunifunza mengi pia namrudia Mungu Kila nikisikia huu wimbo na nyimbo zako zingine. Mungu akusimamieeee
Naona kupona yako mtumishi wa Mungu, Nilipo kuwa nasikia huu wimbo hakika moyo wangu umejaa machozi Hivo bas Yesu mweny miujiza amenihakikishia kupona kwako. Nakuandika kutoka Canada
Hata mimi nimeiwekea "repeat" mara kazaa. Ni nyimbo nzuri ya toba. Tangu miaka kazaa, nyimbo hii imekaa kwenye Flash disc yangu. Kabla kulala, tunafata hii nyimbo, mimi na jamaa yangu
Kwenli umeitwa walioitwa haijalish wanapitia magumu gani ubarikiwe nipenamba yako nikutumie hela ya maji nataka kuona watumish kama wewe Mimi hapo ndonaamini umeitwa
Hakika,Mungu wetu ni mkuu ndiye awezaye kuponya na kuokoa .Asante Mungu kwa kunyosha mkono wako wa uponyaji kwa kiumbe huyu uliyemuumba hakika wewe ni Mungu usiyeshindwa na kitu chochote.
Eeeeeeh Mungu wangu Uko wapi Tenda Miujiza katk maisha Yangu Yesu Naiua macho yangu Natizam Mulima Msaada wangu Utakotak wapi Amn Niguse Mungu Niguse Mungu
Napenda sana nyimbo sak kaka maan nikisikiliza kunakitu kinaingiya moyon.ata.kama nilikuwa nina mawaz yanatoka mungu akulinde na akupe afya uendelee kumtumikiya yey
tambua kaka kuna wakati matatizo huja kwetu tunaomwamin bwana ili kupima imani yetu tumuchae,hivo kwa hili shetani kajutia kukujaribu mana nia na Leo lake ili umukane Mungu,lakini kwa apo naamin amejionea vile Mwenyez Mungu alivo na nafasi kubwa katka akili yako na maisha yako naamini hakika atakuponya ili haya yote uje kuyasimulia,,Mungu wetu ni mkuu siku zote kwa wale wamwaminio na kumcha katika mapenzi yao ya dhati,hakika bwana ni mwema siku zote,,ameeen🙏🙏🙏🙏
Ameeen hij ni kweli kabisa mimi nlimjua Mungu zaidi wakati wa kifo cha mamangu, ndipo Mungu aliniubiyia injili ya kweli nikajikuya kumbe nlikuwa mkristo jina tu bila kujua
Hakika mungu ni mwema in wachahe sana wenye ujasiri kama wako kuna wengine wanapopitia haya wanasahau kma Luna mungu yupo ,,, ubarikiwe sana zidi kupokea uponyaji mtumishi was mungu,,
Hakika tunapaswa kuutafuta uso wa Bwana kwa nguvu zote lazima tumrudie Mungu na tujue ni wapi tulipo kwama maana Mungu abatafuta mtu wa kusimama mahari palipo bomoka
Tears can't stop coming from my eyes while listening to this song turudi 😭😭😭 be blessed my brother and you have really touched me with the song though i just heard it some few days ago
Je suis sénégalaise mais j'adore pascal kassian, un vrai artiste!!!! Son morceau Chuki y'a Nini je l'écoute sans cesse! Une pluie de grâces sur lui💞🙏🏽🙏🏽✌👌🤝🏽
Ça signifie «la haine pourquoi ? » ou encore «pourquoi de la haine » et cette chanson signifie «retourne » dans le royaume de Dieu , je suis congolaise et le swahili est une langue courante ici
Kweli umechagua fungu lililojema kipaj kinatoka moyoni kwakweli japo bado haujapona vizur lakini unawaza kumtumikia mungu japo u mgonjwa pole kakaangu... Naimani wengi tutapona kupitia ww naimani tunarud 🙏
Umenifanya nisikilize zaidi ya mara 100 asantee sanaa kwa kuimba wimbo huu...pia umenifanya nilie kwa kumbuka mama yangu aliye fariki dunia mwaka huu....lala salama mama.......R.I.P...
miungu inaweza kuleta maumivu lakini Mungu anatatua ila miungu haiwezi kuitatua maumivu au ghadhabu yake Mungu ikiwa si mapenzi yake Mungu uwe katika hali hii; ila iwapo ni mapenzi yake basi nayatimizwe kwako mpendwa kupitia uponyaji kamili,wimbo huo unaguza mioyo.Tunakusikiliza toka Kenya,barikiwa sana ndugu.
kwakweli umenigusa sana ...pamoja na matatizo yote lakini bado unasimamia IMANI na hujalalamika na ninaimani MUNGU anampango na wewe,kupitia hili tatizo lako wengine tunajifunza ...Mimi nitakua pamoja na wewe kwa njia ya maombi Hili Mungu akuinue zaid na jina lake lizid kutukuzwa kupitia wewe,MUNGU yu pamoja nawe hatakuacha kamwe.
This is a very good voice and the words of the song are so captivating . God bless you brother don't ever change . God has a plan with your voice to the rest of the world.God bless
Pascal cassian kaza kaka mungu anakutegemea kuwafungua katika njia ambayo hawakutegemea kama watatoka ila kwa nyimbo zako zinatupa nguvu respert nyingi kwako maana naweza hisi majaribu yangu makubwa kumbe kinawengine makubwa zaidi yangu Mungu yu upande wako na upitapo kwenye magumu sana neema ipo karibu sana vumilia na maliza mtihani huu ulio nao