Тёмный

PASCHAL CASSIAN TURUDI VIDEO AFRCAN 

PASCHAL CASSIAN OFFICIAL  YOUTUBE
Подписаться 139 тыс.
Просмотров 2 млн
50% 1

Unaweza kunichangia KUTIBIWA kwangu kupitia no hizi 0688199370)na 0766998994. JINA Paschal Cassian MALIYATABU MUNGU akubariki Shea link hio video HII kwamagrup yamarfiki

Опубликовано:

 

13 мар 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1 тыс.   
@alfrednziku9075
@alfrednziku9075 5 лет назад
Kama na wewe ulipousikia wimbo huu kwa mara ya kwanza umeuwekea 'repeat' zaidi ya mara zote kama chaguo lako la siku.....tupia like yako hapa!
@floridakimario2430
@floridakimario2430 Год назад
Mmm Bnppppppp99ooo Hjuuiuu7uuurfcççcgfyyy go e me
@boazrubeni3048
@boazrubeni3048 Год назад
🙏🙏🙏
@celestineivayo1343
@celestineivayo1343 Год назад
So emotional song
@celestineivayo1343
@celestineivayo1343 Год назад
Mimi kila siku
@MaryMbilinyi-ie7hv
@MaryMbilinyi-ie7hv Год назад
Nimeupenda 😊❤ Huo Wimbo
@martinwangeci
@martinwangeci Год назад
I think am a number 1 fan of this song here in Kenya...i love and love this song,... likes za +254
@johnson9244
@johnson9244 3 года назад
Walio kuja hapa baada ya Mungu kumchukua Jembe President like hapa Mungu atabaki kuwa Mungu tu
@blueryder293
@blueryder293 3 года назад
Tupo😭😭
@apostlejeremiahmwasenga5291
@apostlejeremiahmwasenga5291 3 года назад
Sijachelewa hapa
@Merline-ux8fw
@Merline-ux8fw 3 года назад
Tupo
@ireneseda1176
@ireneseda1176 3 года назад
😭😭😭
@gladysngamimakau7099
@gladysngamimakau7099 3 года назад
Kuna watu ni manabii i say
@drsmartdanial3735
@drsmartdanial3735 4 года назад
Malayangu yakwanza kuhangalia,huu wimbo lakini machozi yatililika,basi nipeni likes zenu ingawa siko mutanzania all the way from USA
@Bruno-ed1ps
@Bruno-ed1ps 3 года назад
Nimekuja hapa baada ya kupata taarifa za kifo cha mh. Rais mpenzi na kipenzi cha watanzania Dk. John Pombe Joseph Magufuli. Ee Mungu tunusuru
@masekete
@masekete 5 лет назад
Sauti ya huruma.... God bless you. Wapi likes za 254
@prettyakoth4306
@prettyakoth4306 5 лет назад
Kenya tunapenda sana Pascal anavyio tubariki na nyimbo zake
@annykiria2582
@annykiria2582 5 лет назад
Mungu akuponye kwa gafla
@evansluvita9567
@evansluvita9567 4 года назад
Abarikiwe sana huyu ndugu yetu
@mathewasango5802
@mathewasango5802 3 года назад
Life
@wilfredobutu5017
@wilfredobutu5017 3 года назад
wimbo hu ni wamachozi sana ujumbe unao ukweli ni kwamba tuombe sana mungu tu ndio anabeba uhai wetu
@rosemarymangapi2478
@rosemarymangapi2478 3 года назад
Kama unaamini huu wimbo unatushuhudisha kwa sasa katika nchi yetu nipe like yako, barikiwa kaka Paschal
@maumohjacky9611
@maumohjacky9611 3 года назад
Wapi like za wakenya tunaumia kwa sahi inchi yetu ina shida mingi, majoonzi tele kenya tumrudie mungu gonga like Kama unakubaliana 👇
@bahatinowela6684
@bahatinowela6684 5 лет назад
MUNGU WANGU KATIKA JINA LA YESU NAOMBA UNIPE MWISHO MWEMA😢😢😢
@hamisihamisi7983
@hamisihamisi7983 5 лет назад
Hadi nimelia jaman
@ronahemmajay1807
@ronahemmajay1807 4 года назад
Amen
@clintonmurunga1473
@clintonmurunga1473 4 года назад
pole enyewe n uchungu
@merryshipela924
@merryshipela924 3 года назад
Ubarikiwe mungu mwema Sana kweli tumrudie yeye
@martinmbingi2300
@martinmbingi2300 2 года назад
Asant mungu
@sammyombete2891
@sammyombete2891 7 месяцев назад
Tanzania is A GOSPEL POWER HOUSE. Huu wimbo wa upako kwa kweli . Sauti ina bembeleza ukweli
@gilbertmdemu9631
@gilbertmdemu9631 3 года назад
Hakika kwa sasa tanzania huu wimbo unahusika sana😭😭😭be blessed pascal
@ipmtv3298
@ipmtv3298 3 года назад
Hakika
@rabut.j.849
@rabut.j.849 Год назад
This song is directly speaking to my country Kenya 😢😢😢God is communicating,it’s high time we go back to our knees and ask God for mercy upon our country 😭🙏it is too much.
@calmmusa6229
@calmmusa6229 Год назад
So true
@eddakasela
@eddakasela 7 месяцев назад
❤ 0:53
@bitarawanjara2781
@bitarawanjara2781 3 года назад
Wimbo huu umenigusa sana hasa wakati huu ambao Dunia imekumbwa na janga hatari la Corona,,,watu wanapoteza wapendwa wao kila siku kwa Corona,,wamekosa pa kukimbilia lakini wimbo huu unatuimiza kumrudia Mungu wetu kwa toba ya kweli kwakuwa kwake hakuna linaloshindika🙏🙏 Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu👏
@rebeccajacobo6676
@rebeccajacobo6676 3 года назад
Asante mungu unanifaliji sana uhu mwimbo
@catherinebaraka1592
@catherinebaraka1592 2 года назад
🙏🙏🙏
@ngolomarco-7340
@ngolomarco-7340 Год назад
Kiukweli nakupenda sana kaka yangu Paschal Cassian . Nashukuru Mungu kwaajili ya utumishi wako, unanibariki na kunifunza mengi pia namrudia Mungu Kila nikisikia huu wimbo na nyimbo zako zingine. Mungu akusimamieeee
@jedielmwenda617
@jedielmwenda617 Год назад
2023 still listening to the voice of God through this wonderful servant
@josephatjord3445
@josephatjord3445 5 лет назад
Pascal umeniliza kwa hisia ....daaaah basi tu....kweli mungu hueza kuhubir katk matatzo
@maarifapaulo6460
@maarifapaulo6460 5 лет назад
Naona kupona yako mtumishi wa Mungu, Nilipo kuwa nasikia huu wimbo hakika moyo wangu umejaa machozi Hivo bas Yesu mweny miujiza amenihakikishia kupona kwako. Nakuandika kutoka Canada
@williamlucas2695
@williamlucas2695 5 лет назад
Dunia ya mambo na mambo yake, hakika yatakwisha tu turudi tu
@masadupendo7821
@masadupendo7821 5 лет назад
Kaka kweli hayo yote ni kweli manabii waiongo niwengi Sana mungu akupe welesi was.afya yako
@sekelaeliab9428
@sekelaeliab9428 4 года назад
Mungu akutie nguvu kaka ujumbe umefika
@scolakayanda7171
@scolakayanda7171 5 лет назад
Kaka ww ni fundi binafsi nakukubar sn hata nilivyo sikia umepata ajar nilihuzunika sn nakupenda kaka yangu
@kwitizabukakiye3737
@kwitizabukakiye3737 4 года назад
Jaman
@Kingsolokotv-
@Kingsolokotv- 4 года назад
Kayanda Mungu akubariki
@joshuayohana5054
@joshuayohana5054 3 года назад
Nani anasikia wimbo huu hasa ktk kipindi hiki kigumu kwa taifa letu la Tanzania
@slovemrlavalavaofficialtz7976
@slovemrlavalavaofficialtz7976 5 лет назад
Wee ndo muimbaji wainjili Bora Kwangu na itaendelea kuwa ivyo kwakua unaimbia rohoni napenda Sana
@anisiamedard3775
@anisiamedard3775 5 лет назад
Wee ni Shujaa piga kazi ya Mungu kwani amekuokoa na kifo. Barikiwa mno
@gladnssgeorge7480
@gladnssgeorge7480 5 лет назад
Ww nixhujaaa hakeka bwana hatakuacha
@ConscientKavusa
@ConscientKavusa 10 дней назад
Hata mimi nimeiwekea "repeat" mara kazaa. Ni nyimbo nzuri ya toba. Tangu miaka kazaa, nyimbo hii imekaa kwenye Flash disc yangu. Kabla kulala, tunafata hii nyimbo, mimi na jamaa yangu
@mropeclassic166
@mropeclassic166 5 лет назад
Sijawaji kukoment ktk video zako ila hii imenigusa kunako, May God bless you
@velmahmuhonja8212
@velmahmuhonja8212 5 лет назад
Waaa huo wimbo umeniguza ad mingu aedelea kukutumia ad pesa zuri zatoka kwa mungu ad nimeweza kuskia songs zako mob ad hio ni mesenji ya ukweli
@joelimanongi3121
@joelimanongi3121 4 года назад
Kwenli umeitwa walioitwa haijalish wanapitia magumu gani ubarikiwe nipenamba yako nikutumie hela ya maji nataka kuona watumish kama wewe Mimi hapo ndonaamini umeitwa
@kidugudiwilliam9517
@kidugudiwilliam9517 4 года назад
Amina MTU wa Mungu
@dicksonkimambo3855
@dicksonkimambo3855 4 года назад
Really kabisa
@davidmrukwamba9009
@davidmrukwamba9009 3 года назад
@@velmahmuhonja8212 sgsh go j this bddhtrj to zherr Ed eerejidtjtdtddrrjjejrree go
@jamillasembe5745
@jamillasembe5745 5 лет назад
Turudi sauti inabembereza mungu atakusaidia kaka angu
@denismwalukunga8686
@denismwalukunga8686 5 лет назад
Mungu anatafuta wa kujenga palipo bomoka ni mim na we mpendwa
@faudhiamwenga8938
@faudhiamwenga8938 5 лет назад
mungu mwema
@meraniahaule1973
@meraniahaule1973 5 лет назад
Polesana munguwetu siokiziwi asikusikie
@josepmwiter8206
@josepmwiter8206 3 года назад
Amina
@nancymakokha2251
@nancymakokha2251 2 года назад
Wimbo wenye mafundisho mazuri 🇰🇪
@Utulivu444
@Utulivu444 5 лет назад
Gonga like kama unasoma huku unasikiliza
@marynoni3712
@marynoni3712 5 лет назад
JPN Tv Mimi tena niko nasoma huku nalia kabisa wimbo unaujumbe mzuri pia namuonea huruma kweli maumivu anayopita nisile yake tu mangu amsaidie apone
@ealoyce7509
@ealoyce7509 5 лет назад
Mungu akutetee mtumishi
@rosejohn7942
@rosejohn7942 5 лет назад
Mungu akusaidie kaka katika mapito ya kuumwa unayoyapitia.
@hamisinickson9938
@hamisinickson9938 5 лет назад
Barikiwa kaka
@gracenazareti7604
@gracenazareti7604 4 года назад
Nabarikiwa sana kwakweli,,,,Mungu azidi kukutumia kama chombo
@michaelnkonyoka398
@michaelnkonyoka398 5 лет назад
Umeonyesha Mungu amekuita kumtumikia, kwani japo uko ktk maumivu lakini bado unamtumikia Mungu
@stelasasala5972
@stelasasala5972 5 лет назад
Kweli KBS huyu kiukweli anampenda Mungu toka moyoni. Mungu atamponya kbs
@matheibanka2958
@matheibanka2958 5 лет назад
Mungu akuponye ubarikiwe sana shetani hana nafasi katika bwana vita tumevishinda na tutashinda vita.
@calebmchamungu4350
@calebmchamungu4350 4 года назад
Nice and encouraging gospel, kongole wa tz
@sabali7171
@sabali7171 4 года назад
Amen Amen mtumishi wa mungu am blessed glory to God
@yusuphfute5013
@yusuphfute5013 4 года назад
Michael Nkonyoka kabisaaa
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 лет назад
Hakika,Mungu wetu ni mkuu ndiye awezaye kuponya na kuokoa .Asante Mungu kwa kunyosha mkono wako wa uponyaji kwa kiumbe huyu uliyemuumba hakika wewe ni Mungu usiyeshindwa na kitu chochote.
@lodrickmasawe6264
@lodrickmasawe6264 5 лет назад
Amen
@jumannejumanne2258
@jumannejumanne2258 5 лет назад
Amina kubwa
@joyceadolfina6437
@joyceadolfina6437 5 лет назад
Ameni mtumishi wa mungu
@rehemaedward7997
@rehemaedward7997 3 года назад
Eeeeeeh Mungu wangu Uko wapi Tenda Miujiza katk maisha Yangu Yesu Naiua macho yangu Natizam Mulima Msaada wangu Utakotak wapi Amn Niguse Mungu Niguse Mungu
@kimnyamu7201
@kimnyamu7201 2 года назад
Inaguza sana!
@isayamwasile3103
@isayamwasile3103 4 года назад
R.I.P wahanga waliofariki kwenye ajari ya gari ya mafuta Morogoro,hakika Mungu anasema nasi kupitia huu msiba kwa taifa letu pendwa la Tanzania
@annastevensteven9515
@annastevensteven9515 Год назад
Napenda sana nyimbo sak kaka maan nikisikiliza kunakitu kinaingiya moyon.ata.kama nilikuwa nina mawaz yanatoka mungu akulinde na akupe afya uendelee kumtumikiya yey
@ConscientKavusa
@ConscientKavusa 10 дней назад
I'm before a member number 1 to this beautiful gospel song. Congratulations to my lovely musician Paschal Cassian, a son of God.
@lazaronyingi4821
@lazaronyingi4821 4 года назад
Unae angalia wimbo huu mwaka 2020 gonga like yako hapa
@cosmasdeviddotto683
@cosmasdeviddotto683 3 года назад
Ndo hali iliyopo Tanzania February 2021,,, TURUDI
@tanzalivetv
@tanzalivetv 3 года назад
kweli kabisa
@annageorge7712
@annageorge7712 3 года назад
Mungu wangu naomba unipe mwisho mwema
@braytonjohn8332
@braytonjohn8332 5 лет назад
Turudi!!! Ujumbe mzuri sana. Pokea uponyaji mtumishi
@saraburton9209
@saraburton9209 5 лет назад
Wimbo mzuri Mungu aendelee kukuponya kaka
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 5 лет назад
😭😭Mungu akusaidie upone urudi kwenye majukumu yako kama zaman 🙏🙏
@esterchananji2657
@esterchananji2657 3 года назад
Nimeona ameshikilia catheter mkononi! Mungu amponye Kwa kweli
@leahmathius7634
@leahmathius7634 5 лет назад
tambua kaka kuna wakati matatizo huja kwetu tunaomwamin bwana ili kupima imani yetu tumuchae,hivo kwa hili shetani kajutia kukujaribu mana nia na Leo lake ili umukane Mungu,lakini kwa apo naamin amejionea vile Mwenyez Mungu alivo na nafasi kubwa katka akili yako na maisha yako naamini hakika atakuponya ili haya yote uje kuyasimulia,,Mungu wetu ni mkuu siku zote kwa wale wamwaminio na kumcha katika mapenzi yao ya dhati,hakika bwana ni mwema siku zote,,ameeen🙏🙏🙏🙏
@kakaproduction4156
@kakaproduction4156 Месяц назад
As Nation this song is preaching to us ..GOD have mercy in our country Kenya
@mystrocell2
@mystrocell2 Год назад
Ameeen hij ni kweli kabisa mimi nlimjua Mungu zaidi wakati wa kifo cha mamangu, ndipo Mungu aliniubiyia injili ya kweli nikajikuya kumbe nlikuwa mkristo jina tu bila kujua
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 3 года назад
Uonapo misiba inatawala katika taifa letu, Nisauti ya Mungu inaita. Rest in peace Magufuli 😭😭😭
@abelysimbeye8903
@abelysimbeye8903 5 лет назад
Daaa inauma sana aiseee mungu akuponye urd kama zaman
@esteriangailo5966
@esteriangailo5966 5 лет назад
Mungu akubariki
@adelahmlowe3595
@adelahmlowe3595 3 года назад
Ahsante kaka Mungu azidi kukutumia japo unapita katika Magumu .......... Unanipa ushuda Mungu akutunze
@faridashayo7761
@faridashayo7761 5 лет назад
Hakika mungu ni mwema in wachahe sana wenye ujasiri kama wako kuna wengine wanapopitia haya wanasahau kma Luna mungu yupo ,,, ubarikiwe sana zidi kupokea uponyaji mtumishi was mungu,,
@halmamagege7466
@halmamagege7466 5 лет назад
kaka CD za nyimbo zako nitazipataje
@naomicharles6002
@naomicharles6002 4 года назад
@@halmamagege7466 safi saana kaka mungu akuponye kwa kwli
@sophiatessia3914
@sophiatessia3914 5 лет назад
Amin.nawe upokea uponyaji Kwa jina la yesu. Kwa mungu yote yawezekani maana hakuna limshindalo huyu baba yetu.be blessed
@mwinjilistimwasenga8569
@mwinjilistimwasenga8569 4 года назад
Hongera sana Kaka,nakupenda sana kweli Mungu amekuita una huduma ndani yako Mungu hawez kukuacha milele
@amilcarjuma6274
@amilcarjuma6274 3 года назад
Hakika turudi Mungu atuhudumie
@SeverinoMauricioBandeira
@SeverinoMauricioBandeira 11 месяцев назад
🇲🇿 ibarikiwe msumbiji yetu tuishi kuaimani amina
@nellysonjeambrose5109
@nellysonjeambrose5109 5 лет назад
Mungu naakuponye kakaangu ww tu ndio pacha wangu nakupenda sana kaka
@floramumbua3393
@floramumbua3393 5 лет назад
Mungu atamponya from 254
@stevetvonlinetz28
@stevetvonlinetz28 5 лет назад
mngu nimwema akuponye mtumishi wamngu
@sikudhanimkwama6084
@sikudhanimkwama6084 2 года назад
Kaka ubarikiwe sana nyimbo zako zinanifariji sana ninapopitia magumu Mungu akujaze nguvu za kunena zaidi ya hapa
@catherinemsofe8020
@catherinemsofe8020 5 лет назад
Mungu akuponye Paschal. Wimbo Mzuri sana, turudi sauti inabemveleza.
@denismwalukunga8686
@denismwalukunga8686 5 лет назад
Hakika tunapaswa kuutafuta uso wa Bwana kwa nguvu zote lazima tumrudie Mungu na tujue ni wapi tulipo kwama maana Mungu abatafuta mtu wa kusimama mahari palipo bomoka
@gfhffgfhfftfyuf4353
@gfhffgfhfftfyuf4353 4 года назад
Kbs nikweri
@maksedessanga8815
@maksedessanga8815 3 года назад
@@gfhffgfhfftfyuf4353 penda sana
@martharmichael7221
@martharmichael7221 3 года назад
Mwana mwanza mwenzangu mpka sasa wewe Ndiye Mchungaji 🙏 WANGU mpka sasa Mungu akutie guvu katika maisha yako
@habibamanyanda9868
@habibamanyanda9868 3 года назад
Hakika ni SAUTI ya Mungu inatuhubiria...May the almight God blec you my brother
@mariamzephania3747
@mariamzephania3747 5 лет назад
Yan ww nakukubali sana haswa nyimbo zako umetufumbua macho weng Mungu akutie nguvu yan umenifanya nisiamini hawa manabii wa uongo
@benardedward8319
@benardedward8319 3 года назад
Tears can't stop coming from my eyes while listening to this song turudi 😭😭😭 be blessed my brother and you have really touched me with the song though i just heard it some few days ago
@lydiahnabwire128
@lydiahnabwire128 Год назад
Same here I can't hold it 😭😭😭😭turudi sauti ya Mungu yatuita
@praiseibrahim1625
@praiseibrahim1625 5 лет назад
Mungu ana jambo nawe ,kazi nzuri
@clementmwalimu7372
@clementmwalimu7372 3 года назад
Balikiwa mtumish
@daudcharlesmhoja1614
@daudcharlesmhoja1614 5 лет назад
Mungu anyooshe mapito yko mtumishi
@justokweka2340
@justokweka2340 5 лет назад
Oooooh thanks Jesus.... Pascal Mungu azidi kukubariki Sana Kaka yangu na akupe afya njema oooooh my God thanks Jesus
@doriceshivachi2268
@doriceshivachi2268 Год назад
I haven't played this song but today with how things are going kweli yafaa turudi kwake anatuita
@everlynmanigamaniga818
@everlynmanigamaniga818 5 лет назад
Mungu akuponye uzidi kumtumikia kakangu Ameeeeen🙌🙌
@everickosanga611
@everickosanga611 5 лет назад
Kwa anae elewa wimbo huu kiundan kuna har katika nafs yako imekugusa ebu turud saut inabembelezaaa kama umenielewa Sena amina
@everickosanga611
@everickosanga611 5 лет назад
Kwa anae elewa wimbo huu kiundan kuna har katika nafs yako imekugusa ebu turud saut inabembelezaaa kama umenielewa Sena amina
@ashleymechack5037
@ashleymechack5037 5 лет назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwakweli Mungu ni mwema
@jicholafursa7058
@jicholafursa7058 4 года назад
Amen glory
@myamya6584
@myamya6584 5 лет назад
Je suis sénégalaise mais j'adore pascal kassian, un vrai artiste!!!! Son morceau Chuki y'a Nini je l'écoute sans cesse! Une pluie de grâces sur lui💞🙏🏽🙏🏽✌👌🤝🏽
@justinmkembela7684
@justinmkembela7684 5 лет назад
mungu yupamoja nawe endelea endelea kulisongesha gurumu la maombi na kumtumikia bila kuchoka
@cycyk8484
@cycyk8484 Год назад
Ça signifie «la haine pourquoi ? » ou encore «pourquoi de la haine » et cette chanson signifie «retourne » dans le royaume de Dieu , je suis congolaise et le swahili est une langue courante ici
@hsenene2493
@hsenene2493 3 года назад
Umejua kuniliza hasa katika msiba wa magufuli nimelia mim jamn _😭😭😫😫asnte Pascal🙏🙏
@eliahabraham6131
@eliahabraham6131 5 лет назад
Mwenyezi mungu hamtupi mja wake get well soon pascal
@azeecoptelbabataifa
@azeecoptelbabataifa Год назад
Recommended by Mobifix.This one of the greatest songs I have heard since we opened this year! #Turudi
@jayvannyke9173
@jayvannyke9173 3 года назад
bwana apewe sifa dadi, hii ngomma imefaya nimekumbuka mba wakati babaangu aalifariki.. pia mimi nafanya gospel bt niko kenya, good work
@peterthadeo2375
@peterthadeo2375 Год назад
Nakukubali sana Paschal Cassian, mtoto wa mwanza
@anastasiaanastasia8348
@anastasiaanastasia8348 5 лет назад
Thank you Jesus kwa kua mtumishi wako anaendelea vizuri
@esterlendo8588
@esterlendo8588 5 лет назад
ubarikiwe sana hakika tubadilike tumludie mungu
@nyandwiziyada6451
@nyandwiziyada6451 3 года назад
Ubarikiwe sana nyimbo nyimbo ni nzuri
@kelvinidamiani7808
@kelvinidamiani7808 8 месяцев назад
Kaka kikweli Mungu akupe afya nyimbo zako zinabaraka nyingi sana
@StephenKasolo
@StephenKasolo 5 лет назад
Mungu akutie nguvu kaka Story yako ilinitoa machozi😭
@samwelrotobora4518
@samwelrotobora4518 4 года назад
stephen kasolo a seq we
@samwelrotobora4518
@samwelrotobora4518 4 года назад
stephen kasolo wrqe
@shaibubakari5912
@shaibubakari5912 4 года назад
AMEN UBARIKIWE
@mosesmboka6520
@mosesmboka6520 3 года назад
Best singer ever in east africa.wewe na kiudum toshaa
@aldakerobe3853
@aldakerobe3853 3 года назад
Mungu akakukumbuke mara ktk mtihani aliouachia mwenyewe ultimate.
@sesiliajoseph211
@sesiliajoseph211 5 лет назад
Kweli umechagua fungu lililojema kipaj kinatoka moyoni kwakweli japo bado haujapona vizur lakini unawaza kumtumikia mungu japo u mgonjwa pole kakaangu... Naimani wengi tutapona kupitia ww naimani tunarud 🙏
@nurukibona7743
@nurukibona7743 5 лет назад
Ashukuriwe mungu kwakuwa bado unamsifu yy haijalishi Hali yako iko hivyo hakika utapona
@barakajombaajr9892
@barakajombaajr9892 3 года назад
Inanifundisha sna hii nyimbo barikiwa sana mtumishi
@nancysubira8905
@nancysubira8905 5 лет назад
Mungu niwa maajabu kweli😍 pona zaidi uwekwe kando hizo vyuma
@esterchananji2657
@esterchananji2657 3 года назад
Na mm nataman apone,,kuumwa kwake pia Ni sauti ya Mungu inazungumza ndani yake
@linetligono1371
@linetligono1371 5 лет назад
Amen michugaji ,yesu kristo anaweza barikiwa sana
@jipesanga4495
@jipesanga4495 Год назад
Barikiwa mtumishi haipiti siku sijaisikiliza hii nyimbo🙏
@kijijindedo1075
@kijijindedo1075 2 года назад
Umenifanya nisikilize zaidi ya mara 100 asantee sanaa kwa kuimba wimbo huu...pia umenifanya nilie kwa kumbuka mama yangu aliye fariki dunia mwaka huu....lala salama mama.......R.I.P...
@gaudencemdegela9795
@gaudencemdegela9795 5 лет назад
Mungu akubarik kaka uweze kupona zaid amina
@bernicecharles8152
@bernicecharles8152 5 лет назад
Asante kwa ujumbe la kusongesha mbele. Uzidi kubarikiwa, uzidi kupokea uponyaji uje mnyooshe shetani. Upward and forward forever
@ericmajale6152
@ericmajale6152 4 года назад
miungu inaweza kuleta maumivu lakini Mungu anatatua ila miungu haiwezi kuitatua maumivu au ghadhabu yake Mungu ikiwa si mapenzi yake Mungu uwe katika hali hii; ila iwapo ni mapenzi yake basi nayatimizwe kwako mpendwa kupitia uponyaji kamili,wimbo huo unaguza mioyo.Tunakusikiliza toka Kenya,barikiwa sana ndugu.
@giftmlange3327
@giftmlange3327 3 года назад
Kabisaa turudi jamani 😪😪 Mungu atutetee mwaka 2021
@harrietshaniz8755
@harrietshaniz8755 4 года назад
I always listen to this song daily before l sleep , God bless you man of God
@agnesyjoseph3906
@agnesyjoseph3906 Год назад
Ameeen mtumishi
@norfenvgeraldo9493
@norfenvgeraldo9493 5 лет назад
Piga kazi Mtumishi wa Mungu paschal. Na chetani akitaka ajinyonge tuuuu
@dieumercibarrack6539
@dieumercibarrack6539 4 года назад
Mungu akubariki kbx kwa nyimbo hii
@calmmusa6229
@calmmusa6229 Год назад
Wakenya tupo wapi..This song speaks so much to us as a country... Shakahola...now Lodiani accident..its too much we need to turn to God as a country
@Morningstartv24
@Morningstartv24 4 года назад
Naomba like za +1 hapa tafadhali
@cassianbuwa108
@cassianbuwa108 5 лет назад
Mungu atakuponya paschal name of my dady Cassian this is my name .........Cassian paschal buwa
@zamdasalumu9740
@zamdasalumu9740 5 лет назад
kwakweli umenigusa sana ...pamoja na matatizo yote lakini bado unasimamia IMANI na hujalalamika na ninaimani MUNGU anampango na wewe,kupitia hili tatizo lako wengine tunajifunza ...Mimi nitakua pamoja na wewe kwa njia ya maombi Hili Mungu akuinue zaid na jina lake lizid kutukuzwa kupitia wewe,MUNGU yu pamoja nawe hatakuacha kamwe.
@jacquiekalema9368
@jacquiekalema9368 2 года назад
Mungu atusaidie turudi kuake, ubarikiwe mutumishi wa Mungu
@stellajumwa9948
@stellajumwa9948 5 лет назад
This is a very good voice and the words of the song are so captivating . God bless you brother don't ever change . God has a plan with your voice to the rest of the world.God bless
@ombenikisunga5059
@ombenikisunga5059 5 лет назад
Nakuombea saaana kaka angu
@josephmgumba6727
@josephmgumba6727 5 лет назад
Pascal cassian kaza kaka mungu anakutegemea kuwafungua katika njia ambayo hawakutegemea kama watatoka ila kwa nyimbo zako zinatupa nguvu respert nyingi kwako maana naweza hisi majaribu yangu makubwa kumbe kinawengine makubwa zaidi yangu Mungu yu upande wako na upitapo kwenye magumu sana neema ipo karibu sana vumilia na maliza mtihani huu ulio nao
@neemandunguru6603
@neemandunguru6603 3 года назад
Mungu akubariki sana na abaeiki huduma yako
@salimaechessa8933
@salimaechessa8933 Год назад
Nyimbo zako zote huwa zanibariki na kuniguza sana,Mungu akutie nguvu za kutuhubiria kupitia kwa nyimbo zako.
@norahkimuyu9097
@norahkimuyu9097 5 лет назад
Dungu yangu MUNGU akumbariki sana kwa kazi unayo Fanya...
@getrudedavid7257
@getrudedavid7257 5 лет назад
Ameni,hakika turudi ,
@tithompalanzi1915
@tithompalanzi1915 4 года назад
Mungu ibariki Tanzania,mungu mbariki pascal ameeen
@calebmchamungu4350
@calebmchamungu4350 4 года назад
Mbona wa tz mnatesa nyimbo zimeiva zimekolea neno LA Mungu
@arseneboss383
@arseneboss383 4 года назад
The guy can sing 🎤, the way he sing can says it all may God bless him
@maryncudo4526
@maryncudo4526 Год назад
Paschal sings with convictions certainty always
Далее
KIBOKO YA WACHAWI KALAANIWA EV PASCHAL CASSIAN
39:08
Просмотров 4,6 тыс.
WAMBIENI WATU' PASCHAL CASSIAN VIDEO. OFFICIAL
7:50
Просмотров 1,1 млн
The Voice Of God Ft Pasco Cassian Official Video
6:09
PASCHAL CASSIAN UTAKUFA UNAJIONA  VIDEO
12:39
Просмотров 465 тыс.
WA ACHIENI WATU VIDEO OFFICIALY PASCHAL CASSIAN
11:53
Просмотров 344 тыс.