PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...
Uko sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu, walio katika mwili hawataelewa ila walio katika Roho nadhani wamekuelewa Sana, Mungu azidi kukutunza na uendelee kuyanena maneno ya Mungu kwa ujasili
Uko vizuri Pastor shida watumishi wengine wako kimwili zaidi kuliko kiroho,huwezi kuchanganya mambo ya Mungu na ya dunia,huwezi kufanya hekalu la Mungu km soko au mahali pa michanganyo,sasa hapo anahubiri Yesu au anaubiri muziki wa kidunia?Mungu amrehemu
Hakika mungu unibariki sikuzote hunipa uzima Asante mungu piya naomba unibariki zaidi sikumoja niweze Toka Tanzania nifike Kenya katika nyumba Yako mungu inayotumiwa na huyu mtumishi wako Ezekiel ni imani yangu🙏 Amina🙏
Wenye macho wanajua kuwa hii ni agenda ya shetani,tatizo sisi binadamu hatujui majira na nyakati, haya lazima yatokee ili kuyatimiza mandiko maana kila kitu lazima kitokee ili YESU KRISTO arudi ila ole wao.
Pasta Ezekiel, asante kwa mwongozo mzuri ktk jambo hili. Swali; ikiwa yuko msichana katika kanisa na anatumia uchawi ili aweze kuzini na mvulana wa kanisani nini kifanyike
Mungu akubariki baba yangu ukweli utabaki kuwa kweli sio kupaka fatuta mauvu hekalu la bwana sio ibada ya byashara tuone mbali jamani ata kama ni baba yako uanapo kosea nilazima umupokeye kisha kweli na watu wana aza kuimba nyimbo za kidunia kani sani na wa misses kani sani kweli kisha watu wana sema Ezekiel ni frima kweli anaye ona iyo vituko Mungu atusaidie kwakweli
Msikilize pastor vizuri! Hawa wasanii hawakuja kuchukua cha Mungu , wao wameleta vya kwao tena juu ya madhabahu, meaning watu wapokee walichonacho, wao hawakuja kwa habari eti wajue huyo Kristo, bali vyao vipate kibali! Na nabii karuhusu hilo, meaning ndo madhabahu ya hapo ilichokibeba, kuna vitu viko wazi sana! Soma matendo ya mitume 10 yote