Тёмный

PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI 

Msomi News
Подписаться 11 тыс.
Просмотров 154 тыс.
50% 1

PASTOR EZEKIELI WA KENYA AMUWASHIA MOTO GEORDAVIE KUPANDISHA MAMISI NA WASANII MADHABAHUNI
Tafadhali tufatilie kwenye mitandao mengine ya kijamii kwa jila la Msomi news...

Опубликовано:

 

12 июл 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 261   
@upendofredrick8988
@upendofredrick8988 10 месяцев назад
Uko sahihi kabisa Mtumishi wa Mungu, walio katika mwili hawataelewa ila walio katika Roho nadhani wamekuelewa Sana, Mungu azidi kukutunza na uendelee kuyanena maneno ya Mungu kwa ujasili
@LuciaSimeo-yc7hc
@LuciaSimeo-yc7hc 7 месяцев назад
Wewe nimtumishi, uyo Dev sio mtumishi wa Mungu aliyeumba mbingu na nchi, uyu mtumishi ni wakara wa sheitani.
@LuciaSimeo-yc7hc
@LuciaSimeo-yc7hc 7 месяцев назад
Watumishi jitaidi kuwajua manabii wa uwongo na wakweli, utamuitaji wakara wa sheitani kusema ni mtumishi wa Mungu
@LivingstoneOdimba-qv5cm
@LivingstoneOdimba-qv5cm 7 месяцев назад
That's true pastor.
@user-zf9ou8gb8t
@user-zf9ou8gb8t 6 месяцев назад
Hallelujah 🙏🙏🙏 umesema ukweli mtubu kwa sababu ukiangalia hizo video mwanadada atembea mbele akiwa uji nusu
@labanmwamburi498
@labanmwamburi498 6 месяцев назад
Roho ipi
@wendynkya1309
@wendynkya1309 6 месяцев назад
Uko vizuri Pastor shida watumishi wengine wako kimwili zaidi kuliko kiroho,huwezi kuchanganya mambo ya Mungu na ya dunia,huwezi kufanya hekalu la Mungu km soko au mahali pa michanganyo,sasa hapo anahubiri Yesu au anaubiri muziki wa kidunia?Mungu amrehemu
@LucyRobi-iu5rr
@LucyRobi-iu5rr 6 месяцев назад
Napenda pst ezekiel vile unavyo hubiri God bless you ❤
@sophianabintu6666
@sophianabintu6666 7 месяцев назад
Ubarikiwe mtumishe Ezekeli
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 месяцев назад
Nabarikiwa nawew pastor wangu mungu akutunze maelfu ya miaka
@FortunataMrgwowe-fh2rx
@FortunataMrgwowe-fh2rx 7 месяцев назад
Pastor Ezekiel Watumishi wote wa Mungu wakusikie na wawe kama wewe, uko vizuri sana pastor Mungu akutunze
@praisehappiness8312
@praisehappiness8312 6 месяцев назад
MaPastor wote hawwezi kuwa kama ezekiel kila mtu ana mwito wake.kwa mfano ezekiel anavyouza maji na vitamba,Mchungaji mwingie hawezi
@HabilyTech
@HabilyTech 6 месяцев назад
​@@praisehappiness8312Hilo neno analoongea wasikie na wazingatie
@luckyngumbi4243
@luckyngumbi4243 6 месяцев назад
Hakika mungu unibariki sikuzote hunipa uzima Asante mungu piya naomba unibariki zaidi sikumoja niweze Toka Tanzania nifike Kenya katika nyumba Yako mungu inayotumiwa na huyu mtumishi wako Ezekiel ni imani yangu🙏 Amina🙏
@dadamuebrania1539
@dadamuebrania1539 6 месяцев назад
Madhabahu ya Goege David haimuhubiru Yesu Kristo wanazareti definitely So, yanayoendelea hapo nisawa tu
@Solomonkarurek
@Solomonkarurek 7 месяцев назад
God bless you pastor 🙏
@naylukumay3393
@naylukumay3393 7 месяцев назад
uko rohoni sana mchungaji kutoka Kenya umejibu vizuri 🎉🎉🎉🎉❤
@user-do1ut4gb1e
@user-do1ut4gb1e 6 месяцев назад
Hiyo siyo kanisa ni sinagogi la shetani ,Wala usimumunye maneno.Amen
@nyimbozakuabudu2650
@nyimbozakuabudu2650 6 месяцев назад
​@@magretomondi8312haitaji kutumia akili sana , Yesu alisema utawajua kwa matendo Yao kama ni washetani au wana wa Mungu
@elishabsimkokp8321
@elishabsimkokp8321 6 месяцев назад
Huyu Pastor Mungu ampe siku nyingi za kuishi na zenye furaha chini ya jua akizihubiri habarii za Bwana
@humphreybilly7437
@humphreybilly7437 6 месяцев назад
Pastor Ezekiel Mungu Akubariki sana.nitakuja Kenya.
@dorothykalikamo
@dorothykalikamo 6 месяцев назад
Very true, man of God
@wakulampekazadi2987
@wakulampekazadi2987 7 месяцев назад
Merci excellence pasteur pour tes conseils afin d'hériter la vie éternelle depuis DRC( Lubumbashi)
@endrewmwasomola6506
@endrewmwasomola6506 7 месяцев назад
Mungu akutunze pastor kwa kusema ukweli
@MatiasMandi
@MatiasMandi 7 месяцев назад
ubalikiwe pastor ezekiel kwakusema ukweli Mungu akuongezee nguvu zaidi
@user-ny5we4kj3u
@user-ny5we4kj3u 7 месяцев назад
Truly said man of God. Educative.
@placidkomba9701
@placidkomba9701 7 месяцев назад
it's very true man of God
@fridaminja7191
@fridaminja7191 7 месяцев назад
Dah Mungu atusaidie mkewake anapitia changamoto sana basi tuu anashindwa afanyaje. Mchungaj G hapana kwakwel
@user-sk9zr4bn2k
@user-sk9zr4bn2k 6 месяцев назад
Naitwa james anton nipo tz mchungaji ukweli mungu akuongezee baraka ktk huduma zako zote zaibada nk,ubarikiwe pamoja na sis amen
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 месяцев назад
Aminaaaa
@helenayamwaka211
@helenayamwaka211 7 месяцев назад
Geo dave aombewe rehema. Kamuacha Mungu zamani
@user-do2wb3rb7h
@user-do2wb3rb7h 7 месяцев назад
Nabii WA uongo aliwahi Kua WA ukweli. Geordavie ashakengeuka
@user-tj3wu4jw2p
@user-tj3wu4jw2p 9 месяцев назад
Nihatari, heshima ya Mungu imepewa mwanadamu
@ChescoMartin-ni3ql
@ChescoMartin-ni3ql 5 месяцев назад
Amen sana mtumishi Bwana aizidishe hekima ya utakatifu ulionao
@charlesmbunda6759
@charlesmbunda6759 7 месяцев назад
Waana wa ULIMWENGU huu, watakubeza!! Ila tunaoipenda Mbingu, tunakubaliana 100% na wewe!
@johnsimbeye7692
@johnsimbeye7692 6 месяцев назад
Amen watching you from Zambia Lusaka 🇿🇲
@shirimaanthoni95
@shirimaanthoni95 10 месяцев назад
I got you pastor
@ConfusedChicken-ze9fz
@ConfusedChicken-ze9fz 6 месяцев назад
Me too isay may God bless you so much man of God
@apostlesammymutachicfc.3744
@apostlesammymutachicfc.3744 7 месяцев назад
Kwa dalili nyingi, zinaonyesha Geordavie amepoteza mwelekeo.
@OMEGATVTANZANIA
@OMEGATVTANZANIA 7 месяцев назад
Sema ukweli pasta napenda nije kuimba kwako mwimbaji naitwa Obadiah Jackson toka tanzania
@SifaelMpagike-gt1gz
@SifaelMpagike-gt1gz 6 месяцев назад
Kweli Amezidi sana anapiga bongo flavor kanisani😱😱😱 Ni hatari sana
@peterodera5685
@peterodera5685 6 месяцев назад
God bless you pastor.
@habililailo271
@habililailo271 7 месяцев назад
Uko sahihi mtumishi Mungu akubariki sana
@DominaPatrick-ri8sc
@DominaPatrick-ri8sc 6 месяцев назад
Ameen pastor ubarikiwe sana mungu azid kukueka zaid na zaid ameeeen naiwe ivyooooo kwa jina la yesu
@Rashid-vm1fk
@Rashid-vm1fk 7 месяцев назад
Wenye macho wanajua kuwa hii ni agenda ya shetani,tatizo sisi binadamu hatujui majira na nyakati, haya lazima yatokee ili kuyatimiza mandiko maana kila kitu lazima kitokee ili YESU KRISTO arudi ila ole wao.
@NATACIARAPHAEL-iz8kr
@NATACIARAPHAEL-iz8kr 7 месяцев назад
Kabisa
@amanimakombe7141
@amanimakombe7141 6 месяцев назад
Amina baba ubarikiwe sanaa baba
@magrethtenga9217
@magrethtenga9217 6 месяцев назад
Ubarikiwe Mt...
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 месяца назад
Hakika mtumishi wa Bwana Yesu sisi ndo wa kuigwa na kufatwa na sio sisi wana wa Mungu kuwafuata wao
@user-sw8fo7wz8i
@user-sw8fo7wz8i 6 месяцев назад
Sawa Kabisa Mtumishi wa Mungu, huo ndiyo Ukweli Kabisa, Kabisa.!
@mcfinee7469
@mcfinee7469 9 месяцев назад
Emen barikiwa Baba
@bensonndigori
@bensonndigori 6 месяцев назад
God bless you man of God
@mst1studio270
@mst1studio270 6 месяцев назад
Asante Prophet Ezekiel
@hamismabula9934
@hamismabula9934 8 месяцев назад
Ev. Ezekiel ubarikiwe sana!
@user-kt8xh9nj5v
@user-kt8xh9nj5v Месяц назад
Amina pastor Ezekiel Amen 🙏🙏🙏
@AbrahamMjema-di1li
@AbrahamMjema-di1li 6 месяцев назад
You speak the truth
@user-og2sz9wp2i
@user-og2sz9wp2i 5 месяцев назад
Mungu anipe piya nafasi nimtumikie kwa roho na kwa kweli kama wewe BABA YANGU EZEKIEL
@user-cx6bn6kq5u
@user-cx6bn6kq5u 5 месяцев назад
Amen barikiwa Sana Pastor huko sahihi kabisa YESU Azidi kukutunza
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 6 месяцев назад
God bless pastor 🙏
@user-db5nx3uc7d
@user-db5nx3uc7d 7 месяцев назад
Amina
@johnmushi5836
@johnmushi5836 5 месяцев назад
God bless u .. Big Postor
@user-eb3hf1lm9e
@user-eb3hf1lm9e 6 месяцев назад
Hii kitu sio sawa jmn,wenye dhambi waingie kanisani abadilishwe sio kuishi na dhambi zake ndani ya kanisa
@germamassawe6968
@germamassawe6968 6 месяцев назад
Amen Pastor Ezekiel
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 7 месяцев назад
amen pastor
@mlewamlewa976
@mlewamlewa976 8 месяцев назад
Huyo godevi mpuuzi tu , hajitambuwi siku zote Giza na Nuru havifungaman, hyo ,ama abudi miungu sio mungu, mungu ampe mocho yarohon,
@user-zz4qc2ww2x
@user-zz4qc2ww2x 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana pastor umeeleza sahihi kabisa uje na tanzania
@user-zl3wg1xm2e
@user-zl3wg1xm2e 6 месяцев назад
God bless you pastor
@user-ii6oe7df2k
@user-ii6oe7df2k 7 месяцев назад
Amina baba umeogea vizuri sana pasta ezekili
@mamybaraka8115
@mamybaraka8115 6 месяцев назад
Asante sana baba yangu.Mungu aendeleye kukutulindiya
@marklyanga3969
@marklyanga3969 5 месяцев назад
Pasta Ezekiel, asante kwa mwongozo mzuri ktk jambo hili. Swali; ikiwa yuko msichana katika kanisa na anatumia uchawi ili aweze kuzini na mvulana wa kanisani nini kifanyike
@user-ty2lu6ip1m
@user-ty2lu6ip1m 6 месяцев назад
Uko vizuri mchungaji,Mungu akutunze
@uwimanadady6563
@uwimanadady6563 7 месяцев назад
Mungu akutunze
@user-xb3kc1lz9p
@user-xb3kc1lz9p 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nakuombea mema kama ww uniombeavyo mema Ichi za ugaibuni Aki ww Mungu alikutuma Kwa makusidi yake Be blessed dady
@babahilimollel5254
@babahilimollel5254 6 месяцев назад
Ubarikiwe sana Ezekiel
@ramadhanwetoto8329
@ramadhanwetoto8329 6 месяцев назад
Mungu akubariki Ezekiel
@user-jm4sx9du9b
@user-jm4sx9du9b 9 месяцев назад
Amen 🙏
@ShakuruFreeman
@ShakuruFreeman 6 месяцев назад
Ubarikiwe
@user-ys3rf6ch8z
@user-ys3rf6ch8z 7 месяцев назад
Mungu wangu tuhurumie
@NdolozKathele
@NdolozKathele 7 месяцев назад
Mungu azidi kukuongezea hekima mtumishi
@salomondjumajoshua972
@salomondjumajoshua972 6 месяцев назад
Daaaah shida sana...Kanisa limevamiwa .
@emmiemmi3861
@emmiemmi3861 7 месяцев назад
Asante pastor Ezekiel sema baba
@furahamwambola1517
@furahamwambola1517 7 месяцев назад
Neno sana Barikiwa Pastor
@racheluwda6552
@racheluwda6552 7 месяцев назад
Uko saa ii man of God🙏🙏
@aliasha804
@aliasha804 6 месяцев назад
Kweli kabisa pastor wangu
@janetkalu3870
@janetkalu3870 6 месяцев назад
Mungu akumbariki sana pastor
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 4 месяца назад
Dunia ni dunia na ufalme ni ufalme wa Mungu kwanini tufanane na wadunia ndani ya kanisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu sana
@chrissmichaelmashouda1726
@chrissmichaelmashouda1726 6 месяцев назад
Neno zuri mchungaji, hello from Dar es Salaam
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 6 месяцев назад
Ila jmn tuwe wakweli mtumishi unaweza weka mambo umiss madhabahuni?
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 6 месяцев назад
Daaah roman catholic hatunaga huu usenge 🙌🙌🙌🙌
@user-zz4qc2ww2x
@user-zz4qc2ww2x 7 месяцев назад
Barikiwa saaana
@geitandelwa299
@geitandelwa299 7 месяцев назад
Mmmmh ni wakati wa kumutafuta MUNGU kuliko chochote shetani anadanganya watu na manabii wa uongo ni wengi mno
@baybeshayo18
@baybeshayo18 6 месяцев назад
Jamani mathabahuni mamisi ni wa nini jamani. tutawatambua kwa matendo
@DominicKimutai-te7md
@DominicKimutai-te7md 6 месяцев назад
Educative talk.
@paulmully3706
@paulmully3706 6 месяцев назад
Mafunzo unayofunza yako sawa mtumishi wa Mungu Ezekiel. Mungu akutie nguvu zaidi.
@user-pg1li2sq7y
@user-pg1li2sq7y 6 месяцев назад
Uko sahihi mtumsh wa mungu
@user-xb5ll1we8s
@user-xb5ll1we8s 6 месяцев назад
Uko sahihi baba yangu Mungu akuweke
@EnockButiko
@EnockButiko 6 месяцев назад
Great projection....
@domitilarwakunda807
@domitilarwakunda807 5 месяцев назад
Mungu akubariki baba yangu ukweli utabaki kuwa kweli sio kupaka fatuta mauvu hekalu la bwana sio ibada ya byashara tuone mbali jamani ata kama ni baba yako uanapo kosea nilazima umupokeye kisha kweli na watu wana aza kuimba nyimbo za kidunia kani sani na wa misses kani sani kweli kisha watu wana sema Ezekiel ni frima kweli anaye ona iyo vituko Mungu atusaidie kwakweli
@williammwakipesile1111
@williammwakipesile1111 7 месяцев назад
Mtumishi upo sawa kabisa tulitoka wapi na tuenda wapi
@user-zk2px8sm6f
@user-zk2px8sm6f 6 месяцев назад
❤❤barikiwa sana mtumwa wayesu🎉🎉
@HMOZ872
@HMOZ872 7 месяцев назад
Kweli kabisa pastor 🙏🙏🙏
@RoseMapunda-pd6vg
@RoseMapunda-pd6vg 4 месяца назад
Yani huyu nabii mungu amsaidie
@lucyngwale4365
@lucyngwale4365 6 месяцев назад
Mungu akutunze nakuelewa sana
@Rockyline7386
@Rockyline7386 6 месяцев назад
Hatariiii.
@user-eb7yr5bj8l
@user-eb7yr5bj8l 7 месяцев назад
Huyu mchungaji anasema kweli kbsaaa wote mnaopinga nivipofu wa rohoni
@sokakilumbi9293
@sokakilumbi9293 6 месяцев назад
Ukristo ni Shiddah😮😮
@rukiaabubakali5886
@rukiaabubakali5886 6 месяцев назад
🙏🙏🙏
@user-gn4ww9sx6v
@user-gn4ww9sx6v 7 месяцев назад
True
@octavinaalphonce6898
@octavinaalphonce6898 7 месяцев назад
Jamani Sikuja kuwaita watu wema Bali wenye dhambi ili wapate kutubu..❤❤
@mwalukochimwaga3303
@mwalukochimwaga3303 7 месяцев назад
Muelewe Mchungaji anacho sema, hajakataa wasiomjua kristo wasiingie kanisani, bali ni ajabu sana mtu asiyemjua kristo kuhudumia kanisa.
@valeriamtenga3384
@valeriamtenga3384 7 месяцев назад
Msikilize pastor vizuri! Hawa wasanii hawakuja kuchukua cha Mungu , wao wameleta vya kwao tena juu ya madhabahu, meaning watu wapokee walichonacho, wao hawakuja kwa habari eti wajue huyo Kristo, bali vyao vipate kibali! Na nabii karuhusu hilo, meaning ndo madhabahu ya hapo ilichokibeba, kuna vitu viko wazi sana! Soma matendo ya mitume 10 yote
@bukurupierre7902
@bukurupierre7902 7 месяцев назад
Inaoneka auja muelewa mbele uongeye musikilize vizuri pastor
@teresanyoero5566
@teresanyoero5566 6 месяцев назад
I support you pas
@SelinaMalikula
@SelinaMalikula 6 месяцев назад
Nakupenda sana pastor
@shabanilugi5858
@shabanilugi5858 7 месяцев назад
Amen
@SaraphinaPhisoo
@SaraphinaPhisoo 6 месяцев назад
Truee baba
Далее
Вопрос Ребром - Субо
49:41
Просмотров 1,3 млн
NEWLIFE CHARITY PROGRAM .
41:28
Просмотров 186 тыс.
Вопрос Ребром - Субо
49:41
Просмотров 1,3 млн