Тёмный

UJUMBE WA MONICA DAVIE KWA MARA YA KWANZA 2023 - GeorDavie TV 

GeorDavie TV
Подписаться 246 тыс.
Просмотров 171 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 422   
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Год назад
Binti Bwana Akufunulie Zaidi lipendezalo be blessed Bigup MUNGU Akupe hekima ufahamu wake Have The Best fureture On Jesus Name Glory be to God
@GabrielChumbi
@GabrielChumbi 2 месяца назад
Powerful you're a great preacher,, teacher and servent of God,,may God bless you Monica,,, wonderful message what you have preached is reality in life
@laurentjoseph5646
@laurentjoseph5646 Год назад
Amen, sipotezi tumaini langu na naitunza Imani yangu najua nafasi yangu ipo Kwa jina la yesu
@salmampinga4995
@salmampinga4995 Год назад
"Kujishusha na kukubali kujifunza Ili uweze kuvuka"Powerful Asante sana Monica
@lilianmungure8374
@lilianmungure8374 Год назад
Ooooh Hallelujah, thak you JESUS for this girl,Mungu akukuze kiroho zaidi,ufundishe mataifa yote kwa jina la YESU,AMEN
@stevenakyoo7020
@stevenakyoo7020 Год назад
Neno lako limebariki kila mmoja Mungu aendelee kukuweka na uzima dada una nizamu sana utafikiri ijakulia kwenye mapesa mengi ivyo kwa baba nabii. Una nidhamu sana.🙏🙏
@marianajoseph1892
@marianajoseph1892 Год назад
Monica kazi nzuri sana,nimekuelewa, kutunza Imani na tumaini wakati wowote.🙏🏻🙏🏻💕💕
@DottoKitambi
@DottoKitambi Год назад
Nimeguswa sana na neno Yani kanigusa sana na kanifariji ameen
@annamboya2822
@annamboya2822 Год назад
Hongera Monica nimekuelewa somo zuri sn, nimejifunza jambo kutoka kwako. Mungu akubariki dear.
@mussatete2618
@mussatete2618 Год назад
Somo lako zuri, nimelielewa limenikaa moyoni, I SALUTE U❤❤❤
@richardmartin6429
@richardmartin6429 Год назад
Dada Monica Mungu akubariki, Mungu amekupa Karama nzuri endelea kuitumia kwa Utukufu wake.
@lisajoerpodcast
@lisajoerpodcast Год назад
You did amazing Monica. Extremely blessed by your message. ♥️🔥🔥
@jasminimalaso9417
@jasminimalaso9417 Год назад
Ila nyie mungu ana waona mungu so wamchezooo ayyyyaaaaàà
@monicandengo4680
@monicandengo4680 10 месяцев назад
Asantee Sana Mtumishi songs mbele Ameeeeen
@celecridamatilya7625
@celecridamatilya7625 Год назад
Safi sana , ❤ Ubarikiwe na Mungu wa mbinguni azidi kukuinua zaidi uweze kuifanya kazi yake kwa ukubwa❤
@monicahmueni627
@monicahmueni627 Год назад
Blessed so much, hapo kwa kulalamika umenisaidia Sana
@davidngonyani5599
@davidngonyani5599 Год назад
@davidngonyani5599
@davidngonyani5599 Год назад
​@@monicahmueni62788888i8888ï 11:41
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Uyu baba niwakipekee sana love u nabii mkuuu
@nabiialuta8234
@nabiialuta8234 Год назад
God. Bless you Monika for transfer our heart s pia msalimu baba yetu nabii mkuu tunamuombea kwa machozi kwa hekima aliyo nayo ambayo watesi wake hawawezi kushindana nayo amen Dada Monika bwana yesu akulinde ww na familiya ya ngurumo ya upako
@marcellyimo9292
@marcellyimo9292 Год назад
Amen na hongera upo vizuri nimekuelewa
@JEREMAYPaluku
@JEREMAYPaluku Год назад
Asante sana kwaujumbe huu lakini nakusisanakama mutoto wa mungu unkebadili muonekanowakowaje iliuwevizurikwamungu wako sababu petro 3:3inasemahivi kujipambakwenukusiwekwakusukanyele navienginevio nivionakokwako dadangu sikusemevibaya❤
@AlistidiusKagyabukama
@AlistidiusKagyabukama 3 месяца назад
Ubarkiwe sana mtumishi wa Mungu mimi unanibarki sana
@elisantennko1585
@elisantennko1585 Год назад
Nabii ubarikiwe kwakuwalea watoto ktk kulihishi neno hii nimeipenda ni zuri sana wengi wataongea wawezavyo ila hauwezi kuubadilisha wakati no ningumu tu🙏
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Год назад
Binti, mafundisho yako mazuri na mazito sana, nakushauri usichekecheke, unapunguza uzito wa mafundisho, somo zuri sana!
@anastaziaayubu3642
@anastaziaayubu3642 Год назад
Akicheka ndo inaongeza bidii ya kutuelezea vizuri wengine tunapenda akicheka
@tumainiisrael9378
@tumainiisrael9378 9 месяцев назад
Huo ndo ualimu, kucheka muhimu
@stelayunami7779
@stelayunami7779 Год назад
Amejitahidi sana kufafanua! Kwa kweli maji hufuata mkondo kuhusu mwonekano! Kuna watu wanavaa mavazi ya kujisitiri ila matendo yao ni machafu kupitiliza siwezi kumwukumu! Tumwachie Mungu aonae ya sirini ahukumu mwenyewe!!!
@agneskapwani3484
@agneskapwani3484 Год назад
Umesema vema
@petermwenda6470
@petermwenda6470 Год назад
Mungu akikuonyehsa tatizo ataka wewe iwe sehemu ya mabadiliko, kumwachia Mungu ni kiburi
@officialmtiamoyo6922
@officialmtiamoyo6922 Год назад
Kubali kubadilika hata wewe unajua sio sawa
@lovesallu5292
@lovesallu5292 Год назад
@@petermwenda6470 😃🤣😂 nimechekaa atiii kiburi kabisaaa..hii gauni Haina utukufu😃hata nywele😄
@chezariboy
@chezariboy Год назад
Huwezi kuchunguza nguvu ya neno tuu bila kuchunguza appearance ya mhubiri,, huyu hana tofaudi na muonekano wa watu wanaodanga kama makahaba walivo, huwezi sema fuateni maneno msiangalie mavazi ,,iyo ni kuhubiliwa na wapuuzi wanaokalili neno ila mioyo yao ni vipofu.
@kevinseleman8921
@kevinseleman8921 Год назад
nakupenda baba unavyo saidia watu akika wewe niwapekee mungu akubariki naomba nafasi yakuja naimani ntabarikiwa
@aishakilimba5938
@aishakilimba5938 Год назад
Petro 1 3:3 kujipamba kwenu ,imeelezewa Mungu apendi tupoteze asili yetu na mapambo hayatatuingiza mbinguni pamoja na mavazi yasiyompendeza Mungu mbingu ipo kuzimu ipo mtu unabadili kucha, nywele, ngozi , jamani Mungu hazihakiwi tufuare Yesu ametuagiza Nini?
@lucykapinga369
@lucykapinga369 Год назад
ona makuchaa'nywele hivyoo vyamapamb9 awazungumzii na mavazii wakati lipo kwenye biblia Wajanjaa wanarenga kwenye kipatoo Dah
@AbbahCostaabbahCostaabbah
@AbbahCostaabbahCostaabbah 10 месяцев назад
Uhakik
@victoriamkilya928
@victoriamkilya928 Год назад
Amina, binafsi nimekuelewa sana! Barikiwa sana! ❤
@gudilahshirima5070
@gudilahshirima5070 Год назад
Mungu akubariki dada Monica....somo lako halichoshi kujifunza.....sitaman umalize
@DeussMtogela
@DeussMtogela 10 месяцев назад
Kajitahidi sana kufafanua ila mavazi hanaendani na mazingira aliyopo binti geor dav jiaribu kuheshimu madhabao mama nakupenda❤
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 6 месяцев назад
Mungu akulinde sana una kipaji na kalama za mungu mungu anaangalia matendo haangali nguo acheni kumnuku vipaya mtoto wa wawatu Amina pambana mungu yuko na wewe
@kileopajoseph2158
@kileopajoseph2158 Год назад
Angalia nafsi yako wewe usiangalie ya mwenzako! Huyu amejitahidi sana kwa mara ya kwanza tu ameweza hivi! Huyu ni kipaji mavazi nywele wala havina shida kabisa sikuliza ujumbe tu.
@josephitangishaka960
@josephitangishaka960 11 месяцев назад
God bless you Mona Davie I appreciate your message
@gracemwangi4880
@gracemwangi4880 Год назад
Nayaweza Mambo yote katika yeye anitiae nguvu.usipoteze Imani yako...itunze tumaini lako. GOD BLESS YOU ABUNDANTLY 🙏 MISS MONICA DAVIE.❤ Powerful Message. AHSANTE SANA
@DeusOgenda
@DeusOgenda Год назад
Iko vizuri mis you
@DeusOgenda
@DeusOgenda Год назад
Iyo umeka poa
@elizabethkambi5221
@elizabethkambi5221 9 месяцев назад
Ni kweli tupo wenye shida lakini wapo wanaosema watatumia vipi pesa zao . Ameeen ubarikiwe tuombeane Barikiwa sana
@gracemgumba
@gracemgumba 10 месяцев назад
Barikiwa sana Monica Umeifanya vizuri snaa🌹
@catherinendwiga6207
@catherinendwiga6207 Год назад
Asante. Monica. Kw ujumbe mwema. Umenitia Imani na mungu. Ukazidi. Kutuombea. Ameni
@elizabethnamwinga3210
@elizabethnamwinga3210 Год назад
Be blessed Father.songa mbele usimwangalie mwanadamu,nikigeugeu mwangalie mungu pekee
@Debbiegrac3
@Debbiegrac3 Год назад
Amen Amen Monica Davie 2023.powerful.
@rahabasaid
@rahabasaid Год назад
Amen
@jasminimalaso9417
@jasminimalaso9417 Год назад
Akuna k2 sipendi unafiki ila nyie mnao sapoti ujinga mungu ana waona wajingaa nyiiiee3e
@CatherineSummary
@CatherineSummary 6 месяцев назад
❤❤sana
@MargarethKisse
@MargarethKisse 9 месяцев назад
Monica uko vizuri be blessed
@JoyceSwai-b9x
@JoyceSwai-b9x 10 месяцев назад
Ameen!Nimependa sana mafundisho yako binti
@dorahisinika7576
@dorahisinika7576 Год назад
Blessed family..loving and humble child.
@saturinimushi4746
@saturinimushi4746 Год назад
Song. Iende Mbele Injili hiyo...... Iyende Mbele... Ndiyo Mana tunawambia Iende Mbele....(x4 ) Yaokoa Injili hiyo.... Yaokooa....
@alexchaula4088
@alexchaula4088 9 месяцев назад
Nakubali maneno
@bonabonala5559
@bonabonala5559 Год назад
haya ndio mambo mungu arikutuma kuriko kuitetea viongozi wa ccm wakanye kwa kuuza bandari utakua nabii wa kweli goerdevie
@Maryam-kl6gj
@Maryam-kl6gj Год назад
Dah umenifariji sana moyowangu kutokana namapito yngu😢. MUNGU AKULINDE
@tumainiisrael9378
@tumainiisrael9378 9 месяцев назад
Good teacher
@annonciataumingabire1460
@annonciataumingabire1460 Год назад
Ubarikiwe dada monica ❤
@zomasamweli
@zomasamweli Год назад
Mungu akubarik
@mwash7777
@mwash7777 11 месяцев назад
Mwanadada ni mwalimu wa neno mzuri sana. Nimefurahia sana sana ..from +254.
@monicandengo4680
@monicandengo4680 10 месяцев назад
Monica wajina wangu nakupenda mno Mungu anakutumia Sana wewe unakitu kukubwa Sana umepewa kusema namataifa
@annatarimo686
@annatarimo686 Год назад
Kwa kwel Baba Umewalea watoto wako vyema .nashukuru kwa SoMo zur Sana.🙏🙏🙏
@mediavumbi9243
@mediavumbi9243 Год назад
Monica ,ndakuombeya kwa Mungu akuze hico kipawa cha uinjiliste, ubarikiwe sana
@elizabethkambi5221
@elizabethkambi5221 9 месяцев назад
Natunza Imani yangu na muujiza wangu upo
@ej4409
@ej4409 Год назад
Mungu, akutie nguvu usonge mbele zaidi, coz watoto wengi wa wachungaji huwa hawajaokoka na hawapendi kabisa neno. Kwahiyo kitendo cha huyu binti kupata ujasili wa kufafanua na kufundisha vizuri ni neema ya Mungu. Hata kama atakuwa na mapungufu machache ,lakini hakuna aliye mkamilifu, huu ni mwanzo, tuendelee kuwaombea ili Mungu awatienguvu ,wasonge mbele.
@imanikambindu6830
@imanikambindu6830 Год назад
Acheni umbea na kukariri mambo, kakwambia nani kwamba watoto wa wachungaji huwa wanakuwa hawajaokoka , we ndio unatazama mioyo ya watu, na mbona huelezi watoto wa waalimu , wakulima, na wengine , hao Je huwa wanakuwa wameokoka ? Don't generalise mambo
@ej4409
@ej4409 Год назад
Achakukurupuka kuongea bila kuelewa nilichomaanisha.Kwani mi mi nimewataja wakulima na walimu hapa? Unatakiwa utoe comenti zako kulingana na ulivyomuelewa aliyehubiri, siyo kudakia tu mzee! Au usije ukafikiri kila mmoja anapenda malumbano yasiyo na maana, Alwayz tafakari kabla ya kutoa maneno, kuwa makini sana
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 Год назад
Ni kweli watoto wengi wa wachungaji wanakuaga hawajaokoka na watukutu balaa sijui shetani ndo anakuwaga kazini, mf Linah Sanga baba yake mchungaji lakini mwangalie
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 Год назад
Mungu AKULINDE Monica songa mbele piga hatua.Umefundisha vizuri. Mifano mizuri sana.KUJISHUSHA, KUKUBARI KUJIFUNZA.HONGERA KWA WAZAZI.
@HadijaZabroni-pu1lt
@HadijaZabroni-pu1lt Год назад
Asante monica ❤❤❤❤
@juliusmollel9570
@juliusmollel9570 Год назад
Binafsi nmetambua uwepo wako maneno yako all in all I thanks to God
@zomasamweli
@zomasamweli Год назад
Asante🙏 Monica maneno yako nimafunzo kwa watu
@upendoibrahim5030
@upendoibrahim5030 Год назад
Eeee Mungu ahsante kwa neno lako takatifu, kupitia Mtumishi wako Monica,amegusa nafsi yangu mpaka mwili umesisimka, Mungu akutunze mwanangu,Pia wabariki wazazi wake kwa malezi mazuri ya kumjua Mungu, AMEN
@mugishomwenda4265
@mugishomwenda4265 Год назад
Kweli ni NENO la kusisimua mweli WALA sio kuponya roho
@helenbahati8038
@helenbahati8038 Год назад
@@mugishomwenda4265 hapo sasa watu tunapenda neno la kusisimua mbali sio neno la kuponya Roho 😭😭
@williammduma4180
@williammduma4180 Год назад
Thanks for the good message
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Barikiwa kwa kuwa biological daughter of prophet. It's blessings
@ngayaimkwe5175
@ngayaimkwe5175 Год назад
Umeva vibaya sana kwenda za kwendeya disco
@unclegmihale455
@unclegmihale455 Год назад
Safi sna ❤
@festodaniel2252
@festodaniel2252 Год назад
Thank you so much for a nice word.I have lern something so precious ofcorse you touched my situation. Be blessed servant of God.
@nawechi4818
@nawechi4818 Год назад
Amen Amen Amen dada nimekuelewa sana somo zuri sana
@anastaziajohn7792
@anastaziajohn7792 Год назад
Amina mungu akubariki mtumishi
@davidmike6054
@davidmike6054 Год назад
Daddy natamani nikuone tu sir amini Mungu atafunguwa njia baba yangu
@barnaba3037
@barnaba3037 Год назад
Mungu tusaidie
@estermatara2220
@estermatara2220 7 месяцев назад
MUNGU 🎉🎉
@DaudiLaiza
@DaudiLaiza 11 месяцев назад
❤❤❤ mtumishi wa mungu tunashuru Sana mkuu wetu amina
@lilianmungure8374
@lilianmungure8374 Год назад
Good girl, be blessed in JESUS name MONICA
@onolatharobert
@onolatharobert 10 месяцев назад
Amina
@stellatemu2458
@stellatemu2458 10 месяцев назад
Amina binti wa Yesu Ubarikiwe
@georgemuro245
@georgemuro245 6 дней назад
Great
@anascholasticandagiwe6977
@anascholasticandagiwe6977 Год назад
Mungu pekee akakuinue monica ukafanye zaidi binti yangu
@mbezionlinetv3399
@mbezionlinetv3399 Год назад
Amina Somo zuri sana lenye kutia moyo hakika mtu hutakiwi kukata tamaa cha msingi ni kupambania ndoto zako huku ukimtanguliza Mungu yeye muweza wa mazito na mepesi ipo siku atatenda kwa njia usiyoitaraji zidi kubarikiwa
@rutagengwasteven7879
@rutagengwasteven7879 Год назад
Amen amen
@sellinaayoma108
@sellinaayoma108 Год назад
Thank you for a wonderful message. Watching from Nairobi, Kenya
@philipomwakasala8937
@philipomwakasala8937 Год назад
Fhee
@philipomwakasala8937
@philipomwakasala8937 Год назад
Hapo sasal
@HagaiKisaka-et1uk
@HagaiKisaka-et1uk Год назад
I do appreciate you Frankly speaking, you inspired me
@santinosabugo2114
@santinosabugo2114 Год назад
Mrs nabii nimeelewa mahubili yako zidi kumpendeza mungu
@monicabeneditomatipani9109
@monicabeneditomatipani9109 Год назад
Hakika leo nimejua Kuna Siri kubwa Sana ya kimungu kwa watu tunaoitwa Monica my sos umenitia moyo Sana nakupenda wajina wangu na hakika sitakata tamaa tena.
@saramartine7330
@saramartine7330 Год назад
Siskiii Bwana Yesu asifiwe,
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Год назад
😃😃😃
@emanuelayubu5021
@emanuelayubu5021 Год назад
usikariri, hapo ni kusikiliza mafundisho kwanza.
@roberttryphone2400
@roberttryphone2400 Год назад
ujumbe mzuri sana hongela
@nikodemmwahangila3334
@nikodemmwahangila3334 Год назад
Mungu alinde uzao awainue awalinde ni fraha sana sisi watumishi kuona mtoto wako anasimama madhabahuni analisema neno la Mungu ni fraha sana Mungu awainue hawa watoto wa huyu baba awainue sana awatukuze sana nawaombea
@davidwambura5915
@davidwambura5915 Год назад
Hii comment ni yako au naona vibaya
@emanuelkidali9733
@emanuelkidali9733 Год назад
Utanitambuaje kama mie nimeokoka? Nope majibu waumini wa kweli
@FabiolaJoseph-iq5kw
@FabiolaJoseph-iq5kw 10 месяцев назад
Nguo hazimpi MUNGU Utukufu ,Na blich kichwani,Hadi hapo Ushamkosoa MUNGU,Ni machozii😭😭😭Hakika Mwana WA Adamu yupo karibu YESU tusaidie😭😭😭
@jacobletema3681
@jacobletema3681 Год назад
Una ujumbe mzuri sana, except! be serious!! pungunza kucheka!
@imansmwatete4953
@imansmwatete4953 3 месяца назад
Good job Monica.
@damarisnjerunjeru399
@damarisnjerunjeru399 Год назад
Amazing family
@namicktz_official
@namicktz_official Год назад
She talked to me direct this lady,abarikiwe.
@nellykibukila5677
@nellykibukila5677 6 месяцев назад
Ni kweli Dada Monika Imani inatembeya na mapendo.imani passport mapendo na matumaini ni bure.
@DAMIANPNIIMA
@DAMIANPNIIMA Год назад
Monica love you so much god bless you
@gosbertmuta5421
@gosbertmuta5421 Год назад
Dah inauma sana baba na mwana wote vipofu......
@ShedrackJoseph-j4b
@ShedrackJoseph-j4b Год назад
Barikiwa Kwa ulichopanda Rohoni,
@enelissadickson7618
@enelissadickson7618 Год назад
Mungu akubariki sana mtoto❤
@upendowaziri1382
@upendowaziri1382 Год назад
Barikiwa sana , nakupenda
@jmntwari4714
@jmntwari4714 Год назад
Shalom nipe number ya nabii mkuu
@afandebrighttz2887
@afandebrighttz2887 Год назад
Amen Amen Tunatakiwa kuitunza Imani Monica umeongea point sana
@BarakaGidson
@BarakaGidson Год назад
Ameeeen naiwe katika maisha yangu
@zaitunamiri6988
@zaitunamiri6988 Год назад
Had raha
@alainkubwimana5061
@alainkubwimana5061 Год назад
Yes kabisa
@ziadamarcus9699
@ziadamarcus9699 9 месяцев назад
Amen
@constanciapeter2497
@constanciapeter2497 Год назад
U made it lady..keep it up 🥳
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Monika umejitahd sana hongera sana
@KaningoGoldian
@KaningoGoldian Год назад
Monicaaaaaaa
@josephinenkuubi4485
@josephinenkuubi4485 Год назад
Asante Monica
Далее
ELEWA SIRI YA NGUVU YA ZABURI 23 (SEH. A)
56:42
Просмотров 162 тыс.
НИКИТА ПОДСТАВИЛ ДЖОНИ 😡
01:00
Просмотров 116 тыс.
ОНА БЫЛА ПЕВИЦЕЙ🤪
3:13:12
Просмотров 1,1 млн
MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA
1:06:20
Просмотров 98 тыс.
Allahu ya Allahu ya Allahu .
53:56
Просмотров 321 тыс.