Тёмный

EXCLUSIVE: MUHUBIRI DR. GEORDAVIE AFUNGUKA YOTE, KUTEMBEA NA WALINZI, KUPANGA KIWANGO CHA SADAKA N.K 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 373 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

18 апр 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,3 тыс.   
@OLE8894
@OLE8894 2 года назад
Milad is super genius he's so confident .
@shedracksimbeye8460
@shedracksimbeye8460 2 года назад
🔥🔥🔥 So excellent interview ya kibabe Sana big up my brother Millard Ayo ufalme wa Mungu umewafikia wengi Heshima kwako Baba Mh Nabii Mkuu
@AndrewGerayo
@AndrewGerayo 3 месяца назад
Ubarikiwe nabii mkuu kwa huduma yako tuombee na sisi atuinue katika huduma zetu changa mchungaj andrew gerayo mwanza
@prophetsayitv1541
@prophetsayitv1541 2 года назад
Ahsante Sana Mirlad Ayo, ubarikiwe Sana, kwa kutuhabarisha Habari za ukweli, Nimefurahi kusikia na kuona Upo kwa Nabii Mkuu, Nabii Mkuu Geodav ndiye Nabii anayetumiwa Sana na Mungu kuwainua Watumishi wadogo, Nabii Mkuu Geodav Ni Nabii ambaye hana wivu. Anatamani Watumishi wengine pia wainuliwe Nabii mwenye Upendo na UKARIMU wa kimungu.
@chumusamuel80
@chumusamuel80 Год назад
Mtumishi hongera kwa maelezo mazuri na huduma njema ila kumbuka usipasahau madugike p/school kuweka alama yako kwa namna Mungu alivyokuinua
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
Ni sihukumu ili nami nisije hukumiwa, Ee Bwana Yesu niombee pia niongoze imani yangu iongezeke kiroho 🙏🏽🙏🏽
@hancevalence4936
@hancevalence4936 2 года назад
omba lolote kwa jina lak nawe utapata,sio akuombee,akuombee wapi
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
@@hancevalence4936 Unanitaka nn ndg yangu? Labd nikupe ili usinighabishe na kwann uparamie comment isio kuhusu? Sitaki kkujibu vibaya sawa
@japhethgeriad4519
@japhethgeriad4519 2 года назад
@@hancevalence4936 “Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye MWOMBEZI kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki, ” - 1 Yohana 2:1 (Biblia Takatifu)
@maryaugustino8716
@maryaugustino8716 Год назад
Amina docras umenena vyema
@ibrahimsokoine
@ibrahimsokoine Год назад
⌚️NASUBILI MAJIRA YA MUNGU KWAKWELI NIMEKUELEWA
@isakamangola1617
@isakamangola1617 2 года назад
Very smart in all angles man of God ......I real appreciated you though I never come
@evasonlushaka767
@evasonlushaka767 2 года назад
Millard uko vizuri. Nimesikitika swali lakoulilotakakuuliza ukalisahau kutokanana maelezo " neno ngurumo lilikujaje" Othrwiseam proud you since day one. Stay blessed
@gabriellyadam9415
@gabriellyadam9415 2 года назад
Millard jasiri kwel kumhoji nabii mkuu nadhan haikua kazi rahisi.congratulation millard.Mungu akubariki Nabii wa Bwana Mh.Geordavie.
@ericstephenm.844
@ericstephenm.844 2 года назад
Huo Ukuu wa Unabii wake aliuidhinisha nani? Akina Isaya, Ezekieli na manabii wengine mbona hawakujiita wao wenyewe majina ya kujitutumua kama hawa?
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 года назад
@@ericstephenm.844 Sahihi
@Alex_Anania
@Alex_Anania 2 года назад
Asante Sana Prophet na Millard.
@joycesalvatory7768
@joycesalvatory7768 2 года назад
Amina Tutumike kama Bomba la Maji Mungu akubariki, utoaji Kwa wahitaji ndio Siri ya kupokea thawabu kutoka Kwa Mungu, wanaokuhukumu wanajitengenezea vitanzi maishani mwao na vizazi vyao, ACHA injili isonge mbele
@shaluamagandi2184
@shaluamagandi2184 2 года назад
Interview nzuri sana. Ubarikiwe na MUNGU Dr Davies. Mungu akuinue zaidi na kufanyika baraka kwa watu wote.AMEN 🙏 🙏 🙏
@joycemalima2790
@joycemalima2790 Год назад
Nabii mkuu, umesahau kutaja kiti chako cha ushuhuda, kiti Cha machozi Cha kuombea maono yako ya kazi, miaka 30 iliyopita. Ubarikiwe na mama Anna na watoto wenu
@mahubiritv
@mahubiritv Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-sOhtHKQ6Cbc.html
@yusterbmwaipungu929
@yusterbmwaipungu929 2 года назад
Ubarikiwe nabii wa Mungu nimekuelewa sana majibu yako
@comradeambrocedaviemalai5871
@comradeambrocedaviemalai5871 2 года назад
Kongole sanaa Comrade Doctor Geordavie, interview nzuri sana.watumishi wakubwa Wanyeyekevu wa MUNGU kama wewe ndiyo tunawahitaji katika Taifa Letu...Dumu kuiombea Taifa Letu na Chama Chetu CCM.
@benjaminmachange6239
@benjaminmachange6239 2 года назад
Hongera sana mtumishi umetoka mbali na miladi yupo vzr kwa mahijiano safi sana milad
@iammichaellukindo
@iammichaellukindo 2 года назад
Interview nzuri Sana. Mm nikianzia career ya kutangaza kwenye Radio ya Dr Geordavie 2009
@coolzeddy_official9216
@coolzeddy_official9216 2 года назад
Baba muheshimiwa Nabii Mkuu Geordavie, Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu🙏
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 года назад
Huyu prophet ni mtoaji Sana namkubali ana moyo we kijitolea
@mwanahamisbwanga1184
@mwanahamisbwanga1184 2 года назад
Sanaaa mtoaj sanaa uyu baba
@nangatv9218
@nangatv9218 2 года назад
Anatoa nini na ss tuje
@yohanamhagama8975
@yohanamhagama8975 2 года назад
@@nangatv9218 mfatilie utajua anatoa nini..
@lovenessaron2669
@lovenessaron2669 2 года назад
Hongera sn kwa kazi ya Mungu Nabii
@modeemojombo5662
@modeemojombo5662 2 года назад
Nabii Mungu aendelee kukutumia vema kutimiza agano lake kwako. Hongera sana. Milad God bless you man, unapambana mno , una bidii na ni jasiri pia
@annehaysanday9214
@annehaysanday9214 Год назад
Nimeipenda hii interview imeondoa maswali yangu na sasa namuamini nabii mkuu.Naomba rehema kwa kwa kuwaza tofauti.
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Год назад
Unaomba rehema kwa Nani?
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Год назад
Mwamini Mungu pekee kupitia kwa Yesu, Mwanadamu atakutenda Nini?
@kyagaribabamwongera5271
@kyagaribabamwongera5271 2 года назад
Ubarikiwe Millard kwa kutufikishia HUYU baba I feel blessed
@anethmichael3893
@anethmichael3893 2 года назад
Sanaaaa barikiwa millard
@danielladavid2251
@danielladavid2251 2 года назад
Wow Nabii Hongera sana sana ilikuwa one of the powerful Anointing Nabii mkuu
@edwardzakayo3140
@edwardzakayo3140 2 года назад
Daaah., Mungu atabaki kuwa Mungu ,yoote aliyoongea mtu wa Mungu ni kweli kabisa ,Mwaka wa 1994 nilikuwa kiongozi wa vijana nyumban kwake sebuleni na nilikuwa nikipiga naye story ya Neno la Mungu kila baada ya Ibada ,alikuwa akifundisha Sana kuhusu kuwa na Maono makubwa Sana!!!!!Mungu ni mwema...ni Mimi Edward Zakayo!
@Wamimedia
@Wamimedia 2 года назад
Hatarii aisee
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 Год назад
Hamna kitu huyu nabii wa mchongo
@catherineramadhani33
@catherineramadhani33 Год назад
Hilo sio tatizo yawezekan alianza vzr na Bwana ila kwa sasa hpn kashakua wa mchongo
@madetetv6576
@madetetv6576 Год назад
@@catherineramadhani33 ww ndio wa mchongo halafu acha kushambulia manabii wa Mungu
@catherineramadhani33
@catherineramadhani33 Год назад
@@madetetv6576 kakojoe ulale😏
@bestkimali216
@bestkimali216 2 года назад
Nmeheshimu kila kitu ulichokiongea mtumishi naku~respect sana na nmejifunza sana na ntasogea hatua moja katka huduma nuliyopewa na Mungu🙏🙏
@rehemadaudi4390
@rehemadaudi4390 2 года назад
Mungu aendelee kukutuza Nabii wetu. Asiokuelewa basi sisi tunakuelewa
@abedkirway9020
@abedkirway9020 2 года назад
Nimesikiliz kwa umakin Mwenyez Mungu awabrik Mh nabii mkuu Geardav n milad ayo kwa kaz ya kutumikia jamii asanten san
@kulwamigo9127
@kulwamigo9127 Год назад
Bonge la interview,nimeridhika. Hongeren, tuzidi kumtafuta Mungu..Mungu awabariki🙏
@prophetsayitv1541
@prophetsayitv1541 2 года назад
Nabii Mkuu, Kweli Mungu anakutumia Sana kwa miujiza mikubwa Sana, Nakumbuka ulifanya mkutano mkubwa Jijini mwanza vilema walitembea, vipofu waliona Lakini hata baada ya mkutano, Wagonjwa walipokanyaga eneo ulipokuwa mkutano waliponywa.
@shekinahrevivalinternation6614
@shekinahrevivalinternation6614 2 года назад
Nimekukubati Baba ,nimesikia habari zako kwa ubaya miaka mingi sikukufuatilia Mungu Leo amenipa neema kupitia mahojiano haya kwa kweli nimemtukiza Mungu ,kwa hazina hii Tanzania .Mimi ni Askofu mkuu wa Shekinah Revival International mission Church [SRIMC] nitakutafuta Baba nimependa majibu yako .
@ramadhanimasudi6904
@ramadhanimasudi6904 2 года назад
Kuna watu wanaweza kuponda watumishi ama watu wanaolitangaza neno la Mungu. Ila ukweli unabaki kua, ni heri hawa wanalifundisha neno la Mungu kuliko wewe unaeponda usie kua na mchango ama faida yoyote katika neno la Mungu.
@issamwakapiki5858
@issamwakapiki5858 2 года назад
It to
@ejelanta7829
@ejelanta7829 2 года назад
Umeongea kama wazee 20,hata mimi huwa nawaza hivyo hivyo.Hua najisemea bora yeye kuliko mimi hata kufanya usafi kanisani sifanyi
@castrokassoga7271
@castrokassoga7271 2 года назад
Heri asiyemjua Mungu kuliko wanaomposha na kuhubiri uongo hao Mungu anawaita mbwa.soma yohana 8:44 ufunuo 21:6:ufunuo 22:15
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Год назад
Siku hiyo Yesu atasema ondokeni kwangu Mimi (Yeye) siwajui mlio laaniwa, wao watasema tuliponja kwa jina lako nakufufua kwa jina lako tafakari hayo yakusaidie
@goodluckjustin8579
@goodluckjustin8579 2 года назад
Tunaishi kwenye dunia yenye dhambi ,Ambayo kwasasa hali ya dhambi mtaani imechukuliwa kua ya kawaida sana.Sitaki kuhukumu lolote ila ni kheri huyu anaeishi kwa neno la Mungu na kuiishi nalo kuliko wengi wetu tunaoishi kwenye dhambi ambayo tumezoea na kuona ni kawaida . Tuombe Mungu atupe neema na hekima ya kujua neno lake ili tuishi tukimtegemea yeye.🙏🏽
@SKILLS360TV
@SKILLS360TV 2 года назад
Kweli kweli tupu.
@ejelanta7829
@ejelanta7829 2 года назад
Kweli kabisa ndugu
@WillyMetta
@WillyMetta 2 года назад
Kweli
@djejjjejeje2825
@djejjjejeje2825 2 года назад
Amen
@Platnumz11
@Platnumz11 2 года назад
Jama huyu mwongo sana daha shetani anaweza kukujiya kwa njiya nyingi sana na alijuwa imani ya huyu jama
@farihiamass8739
@farihiamass8739 2 года назад
Mallard u rock it maaaaan!!
@edwinalexander1170
@edwinalexander1170 2 года назад
Huyu alikuwa akijulikana kwa jina la George David Kasambala, enzi hizo anaimba sana nyimbo za Mungu. Anajua kuimba sana.
@solangesola1952
@solangesola1952 2 года назад
Nakupenda past
@mariamthomas5554
@mariamthomas5554 3 месяца назад
Baba napenda sana huduma Yako naipenda mno mungu akulinde akupe maisha marefu akulinde nakila kitu kibaya
@josephinemaendaenda3259
@josephinemaendaenda3259 Год назад
Asante miradi hayo.naomba mwambie nabii mkuu dr jodev.mimi mwenyekiti wa mtaa janga mlandizi.mwambie nabii anisaidie mabat niezeke ofisi ya ser ya kitongoji.tunaitaji bat 80
@jamesobedy3687
@jamesobedy3687 2 года назад
bora udang'anywe na anaye tumia neno la Mungukuliko udang'anywe na mganga 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🇧🇮🇧🇮
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
Umewasahau wanasiasa
@preciousgrayson2021
@preciousgrayson2021 2 года назад
Mbona wanganga ndo wengi makanisani sema wanajiita manabii na wachungaji sio wote wa ukweli
@ibrahkazoba3678
@ibrahkazoba3678 Год назад
Unamaanisha Kuna Dhambi Njema? 😁
@hindisaid2413
@hindisaid2413 Год назад
Mwizi ni mwizi hata awe mzungu
@nessa4899
@nessa4899 2 года назад
Baba Geo Davie siku zote nakupenda, Mungu akuweke, akutunze na akubariki.
@aikashayo4305
@aikashayo4305 2 года назад
Barikiwa sana Millard kwa kutuletea Nabii Dr.Geodavie
@user-ni7ke3hp1q
@user-ni7ke3hp1q 5 месяцев назад
Lovely interview God bless you both
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 года назад
Huyu baba ni mchungaji smart since day one tatizo watu wamezoea kuona watumishi wa Mungu wakiwa wamepauka..
@florahemmanuel8323
@florahemmanuel8323 2 года назад
Ndio tunapofail hapo yani Mitazamo haijabadikishwa
@micamathew2595
@micamathew2595 2 года назад
Umepotea dada!! Kumbe hujui.
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 года назад
@@micamathew2595 hongera wewe unaejua Geordavie namfahamu tokea 2005 wewe ambaye umemuona sasa hivi mtandaoni ndo unashangaa na amekuwa role model wa wachungaji wengi.
@giuseppemanaos75
@giuseppemanaos75 2 года назад
Mimi naswali... Mwanzo alikuwa anasali wapi... Nini kimefanya afungue kanisa lake..? Why asingefanya ndani ya hilo.. Kanisa ambalo alikuwa anasali...?
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 2 года назад
Very smart ndani mpaka nje
@goodluck373
@goodluck373 2 года назад
Interview bora sana kutokea. Asante sana Millard kwa unyenyekevu wako mbele ya Mtumishi wa Mungu. Una nidhamu mno na ustadi wa kutosha katika kazi yako. Hakika umetusaidia sana kufahamu mengi juu ya Nabii Mkuu, Mheshimiwa Dr. Geordavie. Hakika tumebarikiwa
@abelakabalimu4135
@abelakabalimu4135 2 года назад
Tuombee na as milad tutoke kama wewe. Nakukumbka sana milad mung akutie ngv
@emmdotsea
@emmdotsea 2 года назад
Ni kiongozi wa manabii wa uongo.
@victoriajulius5072
@victoriajulius5072 2 года назад
@@emmdotsea usihukumu kabla hujaukumiwa lkn kama unauhakik ubarikiwe
@wemakingdaily1462
@wemakingdaily1462 2 года назад
@@emmdotsea Wewe muumini wa Zumaridi mfate sentro ondoka hapa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 2 года назад
@@emmdotsea Zumaridi campany!
@giftpamelagiftpamela4494
@giftpamelagiftpamela4494 2 года назад
Wow nice karibu tena mombasa tunakupenda sana
@sweetbertbichumu528
@sweetbertbichumu528 2 года назад
Doctar Nabii anazungumza Vizur Sana pia hongera Sana Milad Ayo,, kwa kuweza kumfikia mtumishi wa MUNGU,, HAKIKA MUNGU FUNDI
@oliversambala5999
@oliversambala5999 2 года назад
Namuomba Mungu atupe kibali na watoto wangu tufike Ngulumo ya upako tufunguliwe.Amen.
@noelbryson7840
@noelbryson7840 Год назад
Ufunguliwe nini sasa?
@yuzotv458
@yuzotv458 6 месяцев назад
​@@noelbryson7840anataka akamuone mtu aliemuona yesu bro😂😂😂😂.
@janetngui487
@janetngui487 2 года назад
Much blessed watching this,be blessed servant of God,from Kenya wish one day nitafika kanisani,am happy coz I was given the key ambazo amedescribe,I hope God atatenda kwangu pia,
@emanuelmhoja2411
@emanuelmhoja2411 2 года назад
Duh!
@gracekirway8720
@gracekirway8720 9 месяцев назад
Shalom. ..Dad! I miss you so much also i miss NYU,nawapenda sana.,.mtumishi mwanafunzi Grace
@janesiwingwa3142
@janesiwingwa3142 2 года назад
He's very smart... I love him so much.... Nabii mkuu
@irenesaigilu4214
@irenesaigilu4214 2 года назад
Best interview ever love you Daddy
@edwinmaruchu5566
@edwinmaruchu5566 2 года назад
Hongera Miladi Ayo kwa kutuletea mahojiano na Nabii huyu ambae ni adimu sana kuonekana. Napenda sana mahubiri yake sababu hufundisha watu namna ya kuishi ,pia namna ya kufanikiwa. Namnukuu "Usipochosha akili ukiwa kijana utauchosha mwili ukiwa mzee" "Time the time before time time's you" Namkubali sana.
@frankmasabo4460
@frankmasabo4460 Год назад
Mh
@jamesmpiluka4041
@jamesmpiluka4041 Год назад
🤣
@mahubiritv
@mahubiritv Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-sOhtHKQ6Cbc.html
@bellatvonline
@bellatvonline 2 года назад
MCHUNGAJI MASHIMO AFUNGUKA HAKUNA WA KULINGANISHWA NA NABII GEORDAVIE ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-OgXM-YfZ4eQ.html
@patrickacapel5494
@patrickacapel5494 2 года назад
Nabii wa Mungu,tumwombe Mungu atuzidishie hekima zaidi....nimebarikiwa sana
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 2 года назад
Huwa najiuliza mbona watu wakiona manabii wanafanya miujiza wanasema ni freemason,, kwani kwa Mungu Hakuna vitu vizuri!? Mpaka nabii awe anatumia nguvu za giza?, Mbona mtu akiambiwa kuna mganga kiboko na anataka pesa ya maana tu Ndo akuhudumiae asilalamike, lakini watumishi watu wanasema wanataka tu sadaka, Hakuna huduma inayoenda bila pesa
@oscarnyakunga3113
@oscarnyakunga3113 2 года назад
Wajinga mtu akiwa tajiri wachawi
@massawegod5942
@massawegod5942 2 года назад
True sema kwa wengi masikini huwaga wanawaza kuhusu sadaka sio huduma
@gracejosephy2242
@gracejosephy2242 2 года назад
Nakumbuka 2006 nikiwa form two viwanja vya MRINGA Secondary ulikuwa unafundisha somo la imani.ilikuwa nzuri sana..
@glorythomas7650
@glorythomas7650 2 года назад
Love u Daddy 😘 am greatful God gave u to us 🤗
@dickchambilo9138
@dickchambilo9138 2 года назад
Miradi Ayo...wewe Ni super kjana 💪 kazi safi Sana aiseee una kpaji
@noelgodson691
@noelgodson691 2 года назад
Nabii mtu wa mungu namshukuru sana mungu wako kwa maisha yako ..asante sana baba umebadilisha sana maisha yangu
@jameskenny1808
@jameskenny1808 2 года назад
Starehe za duniani ni nyingi sawa na hali yenu ila vyote vina mwisho wao. Don’t forget about anything but remember that you have to pay back after everything you are doing
@janethnkembo9194
@janethnkembo9194 2 года назад
Nakukubali sana nabii.mungu azidi kukupa mema
@kelvinnassary6165
@kelvinnassary6165 2 года назад
Asante Millard Ayo kwa kunikutanish na nabii kupitia interview
@atukuzwelameck4324
@atukuzwelameck4324 2 года назад
Eheheeeeee😂💔🙌 Make apo kwanza ncheke😂 yesu angaliaga na watu wa kuwapa ufunguo basi😂
@florianakhweso5749
@florianakhweso5749 2 года назад
Thank you daddy, I proud you as my spiritual father,Your story is totally healing me. Glory to Jesus Christ who gave you.
@johnsonulomi993
@johnsonulomi993 2 года назад
Mwiz mijitu aina akil inaibiwa sana
@DBrownstain
@DBrownstain Год назад
Millard Ayo, nimesikiliza mahojiano haya na yamenibariki sana, hongera kwa kuhoji vizuri kwa ufundi na kwa nidhamu safi. Nimejifunza vingi juu ya hekima ya mtumishi huyu. MUNGU AWABARIKI NYOTE
@meshacklekie4002
@meshacklekie4002 Год назад
Karibu Europe baba 🙏🙏
@sarawinnerexaud4510
@sarawinnerexaud4510 2 года назад
millard kazi nzuri👏
@charlesrongo3615
@charlesrongo3615 2 года назад
KAKA MILAD SIJAWAH KUKOMENTI KWAKO HAKIKA UMETISHA SANA.... UR SUPer super super zaidi... kunywa soda nitalipa
@jay-nyeye1900
@jay-nyeye1900 2 года назад
Atawadanganya wale ambao hawamjui Mungu na wale wasiomjua shetani
@petermollel1471
@petermollel1471 2 года назад
Wonderful man of God. Amina
@ab3ab313
@ab3ab313 2 года назад
Mungu akupe maisha marefuuuuu
@emmdotsea
@emmdotsea 2 года назад
Soma Mathayo 7:21-23 na Mathayo 23:25-28
@mamertarweyemamu3438
@mamertarweyemamu3438 Год назад
Wewe ni mpinzani was kristu.
@mahubiritv
@mahubiritv Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-sOhtHKQ6Cbc.html
@aishahemedi8452
@aishahemedi8452 2 года назад
Ukikutana na Nabii mkuu Geordavie, lazma maisha yako ya yabadilike. Kama ilivo kwangu.
@tracyyusuph5466
@tracyyusuph5466 Год назад
Napenda huduma zako baba mbarikiwa GeoDev naomba Sana unikumbuke siku zote mm na familia yangu ktk maombi yako baba mtukufu.Kiukweli nabarikiwa mno na huduma zako mtumishi.
@sarawinnerexaud4510
@sarawinnerexaud4510 2 года назад
I love u my spiritual dad God bless you forever through you we are being energetic
@mahubiritv
@mahubiritv Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-sOhtHKQ6Cbc.html
@christineneema3008
@christineneema3008 2 года назад
This interview is very perfect
@makambakogottalent7969
@makambakogottalent7969 Год назад
Nimeipenda psychological answering kweli ni nabii na msomi mungu akubariki
@josephakure6743
@josephakure6743 Год назад
Mwenyezi Mungu ni mwema kila wakati.Amen..................................................
@dynamicpreschoolschool434
@dynamicpreschoolschool434 2 года назад
Amen mtumishi wa mungu...real u are a man of God...I wish one day to attend your church...be blessed my prophetic man of God
@neemakombe67
@neemakombe67 2 года назад
Unaenda kupotea
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
@@neemakombe67 jmn Ney acha bhna tunaokolewa kwa NEEMA ya MUNGU pkeeee
@neemakombe67
@neemakombe67 2 года назад
@@maryandason1815 yani mm hawa manabii hawa siwaamini mm ila imani yako inavyokutuma fanya vile upendavyo
@maryandason1815
@maryandason1815 2 года назад
@@neemakombe67 kwa kweli MUNGU 🙏 atusaidieee mmaaaaaa
@magrethjohn8638
@magrethjohn8638 2 года назад
Karibu Sana tunakukaribisha
@kassebo
@kassebo 2 года назад
Nimeipenda kazi yako millirdiayo ubarikiwe sanaaaaaa ✍️
@luckyvenance4576
@luckyvenance4576 2 года назад
Millard yuko vizuri Jaman Mungu Akuzidishie
@williamraphael2881
@williamraphael2881 Год назад
Mungu akubariki sana , nimekuelewa mno
@brother_majesty
@brother_majesty 2 года назад
Spokesman of the Kingdom....much love Sir
@patiencehumbled3519
@patiencehumbled3519 2 года назад
Nooooonsense
@mahubiritv
@mahubiritv Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-sOhtHKQ6Cbc.html
@nassibabdallah566
@nassibabdallah566 2 года назад
Mwenyezi mungu atuokoe kwa watu kama hawa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 2 года назад
Akuokoe ww uwe na upeo wa kumjua Mungu zaidi.
@milickenock9275
@milickenock9275 2 года назад
Wajinga ndiyo waliwao
@milickenock9275
@milickenock9275 2 года назад
Katokewa na yesu 😀😀😀
@highthemetv7857
@highthemetv7857 2 года назад
Akuokoe wewe ngurue
@nestarnestar4520
@nestarnestar4520 Год назад
Wenye majini yao
@mazoenyongo1479
@mazoenyongo1479 Год назад
Mtumishi wa Mungu mm ninashida sana nilikuwa nakuomba unisaidie laki mbili nijisaidie ninunue chakula mtumishi wa Mungu,
@shedrackdamian2870
@shedrackdamian2870 2 года назад
Milad sautiii Jana iko powa sana
@filomenabarongo693
@filomenabarongo693 2 года назад
Kwa miaka 10 nyuma nimemfahamu,I appreciate him and his services Mtumishi wa Mungu.
@adelinamalema6766
@adelinamalema6766 2 года назад
millard upo vizuri sana kwenye kuuliza maswali
@msafirimfilinge4308
@msafirimfilinge4308 Год назад
Ubarikiwe nabii mkuu prophet geor
@dallasmusic764
@dallasmusic764 2 года назад
Huyu jamaa Leo nimemuelewa ni mzur Sana kwenye kujibu maswali
@leaherasto929
@leaherasto929 2 года назад
Mimi pia
@barakakusa7606
@barakakusa7606 2 года назад
Ila Hapo pa kumwona yesu live umetupiga na kitu kizito kichwani. Ila hongera na ubarikiwe kwa kazi yako.
@isiakamfugale3621
@isiakamfugale3621 2 года назад
Hapo tumepigwa na likitu lizito bhana
@jamesgasper731
@jamesgasper731 2 года назад
Inawezekana ata Mimi alinitokea
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 2 года назад
😂😂😂😂hata Musa hakumuonaaa Ila yy anadai alimuona 🤸🤸🤸
@naomijonas6300
@naomijonas6300 Год назад
Mm nampenda Sana mtumishi huyu wa mungu,,,,piga kazi baba tupo nyuma yako
@chalessabaya2938
@chalessabaya2938 2 года назад
Millard ayo wew lazma utakua umetoka na upako apo mana duu umekaa nae muda mrefu Sana nabii mkubwa salute to you umejibu maswali kisomi sana
@timetravellor5367
@timetravellor5367 2 года назад
Namshukuru Mungu kwa kunijaaliya kuwa muislam maana .....
@stevenmwenda3005
@stevenmwenda3005 Год назад
Namshukuru mungu kunitoa kwenye ukristo na kuningiza kwenye uislamu laiti watu wangejua dhamani na neema ya uislamu wasingekubali kupotezwa kama wanavyopotezwa inasikitisha sana sana
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Год назад
Namshukuru Mungu kuniteua niwe mwanafunzi wa Yesu.Siambiliki kutangatanga kwa sababu yanayotokea yalitabiriwa.
@gesha4759
@gesha4759 2 года назад
Only God knows
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 Год назад
Ubarikiwe Sana baba good interview
@felistertsere2011
@felistertsere2011 Год назад
Mungu tupe macho ya rohoni siwezi kuongea mengi ila mwenyezi mungu ndo anayejua ila maandiko yameandikwa jihadharini mtu asikudanganye wengi watakuja kwa jina langu wakisema Mimi ndiye nao watawadanganya wengi lakini msitishwe haya hayana budi kutokea
@leahchalresi5632
@leahchalresi5632 2 года назад
Jamani ndungu naomba msipende kuwaziak watumishi sisi jukumu retu nikusikiliza tu ukiona umuerewi nibola uwache kumsikiliza kuliko kumuukumu
@vailethkinabo7961
@vailethkinabo7961 2 года назад
Kweli nakupongeza ndugu yangu kwa kusema ivyo ivii unawezaje kumuongelea vibaya Mtumishi wa Mungu haki Mungu atusameehee
@djwise1887
@djwise1887 2 года назад
@@vailethkinabo7961 kwani yeye ni mkamilifu?? Yeye ni mtu kama watu wengine Hata yesu alikosolewa akiwa ni Mungu. Je yeye ni nani?? Kinachotakiwa sisi sote tuwe wa unyenyekevu kwa Mungu na sio kuwapatia utukufu watumishi wa Mungu kama watu wengi wanavyowapatia heshima kubwa manabii kuliko Mungu. Na manabii hawa wengi hawana unyenyekevu kwa Mungu.
@jonathankyando2698
@jonathankyando2698 2 года назад
@@vailethkinabo7961 acha uoga wa kijinga😂
@terashangwe255
@terashangwe255 2 года назад
Namkubari sana huyu mzee I wish kufanya Movie ya maisha yake kwakiwango cha kumpendeza Mungu na wanadamu.
@chalessabaya2938
@chalessabaya2938 2 года назад
Gud sana
@isackmichael9315
@isackmichael9315 Год назад
Mungu akubariki sana ndugu yangu
@johnuswege3979
@johnuswege3979 2 года назад
Nimesikiliza mahojiano haya vizuri sana na nimeona hekima ya mtumishi huyu, nimejifunza mengi na nimependa majibu yake yote.
@victorsanga2229
@victorsanga2229 2 года назад
Poor people made this man extremely rich!
@anicetusmbuligwe8121
@anicetusmbuligwe8121 2 года назад
Iq
@hiacinthanjau641
@hiacinthanjau641 Год назад
They make Rich OFFCOURSE. PHD!! Mh
@raphaelkaswahili323
@raphaelkaswahili323 2 года назад
Hapo kwa yesu tumepigwa .....funguo tumepigwaaa....... Asante Mr Ayo ...umemuuliza maswali mpaka akataka kupoteana ukambalansia ila tushampata uongo wake
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 Год назад
Yesssssssss ,,mh Jokate Mwegelo schools
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 года назад
Dahh Geordavie acha kutupanga mkuu! Wanaokufahamu ndani wanajua mishe ulikuwa unapiga sema umekana kabisa kwamba haukuwa na mambo mengi. Sema kula maisha tu umezichanga vyema.
@jonathankyando2698
@jonathankyando2698 2 года назад
Kaupiga mwingi 😂😂😂
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 года назад
@@jonathankyando2698 Sana yaani!
@Kijana-wa-Tanzania
@Kijana-wa-Tanzania 2 года назад
@@georgematola2447 Acha upumbavu kijana ndio kwanza naona Matola bwege kama wewe. Wewe endelea kupalilia kizazi cha majizi yanayosafisha hela sema sababu wewe ni mtoto kiakili basi ukikua utashangaa ulivyo na watoto mashoga na wasagaji. Hiyo laana ni suala la muda tu sababu unakosa maarifa. By the way sikujua kati ya wale mnaomwona huyu jamaa ni Mungu mpo huku pia! Wajinga ndio waliwao.
@emmdotsea
@emmdotsea 2 года назад
Ni msaka tonge ila kwa kupotosha🤓🤓🤑🤑
@georgematola2447
@georgematola2447 2 года назад
Unaejiita kijana wa kitanzania yaonekana hujitambui nani mpumbavu sana, wewe umeshamwita Mkuu na unamtambuwa kama Nabii mkuu huoni hujui ulisemalo ni bora unyamaze tu, Ningekutana na wewe ana kwa ana ingependeza zaidi huwezi ukanena maneno machafu kama wewe mwenyewe ulivyo mchafu hadi kwenye kinywa huenda kinanuka
@jacksonjosephkungunde6337
@jacksonjosephkungunde6337 2 года назад
Ni laana kubwa sana kuwasema vibaya watumishi wa Mungu, Mungu ndiye aliyewaweka kutumika kwa hiyo kama unaona kwako ana mapungufu hiyo haikuhusu wewe maana wewe hujamuajiri, Mungu ndiye amemuajiri na kumuweka hapo kwa hiyo wewe amini tu kwamba ni mtumishi wa Mungu hayo mengine muachie Mungu ambaye ni boss wake, kumbukeni kilichompata Miriam dada yake Musa alipozungumza vibaya kuhusu mtumishi wa Mungu Musa kitu kilichompata.
@husseinchiaseeds2653
@husseinchiaseeds2653 Год назад
Huyu ni mtumishi wa shetani
@eliasitairo9546
@eliasitairo9546 Год назад
Ishu sio kuhukumu ishu NI kutokulijua neno la Mungu ili likuongoze, ukiongozwa na kipofu hakika yako nawe NI kipofu soma neno la Mungu likusaidie
Далее