Тёмный

PATANISHO : MILLICENT - ATAFUTE MWINGINE APEE MIMBA PIA ARUKE 

Radio Jambo KENYA
Подписаться 417 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@bobogitau5383
@bobogitau5383 11 месяцев назад
Sijawahi ona mwanaume mjinga kama huyu hajui miaka yake
@سعيدالقحطاني-ث9ظ
@سعيدالقحطاني-ث9ظ 11 месяцев назад
Uzuri Millicent wanamua mara moja si wali wakushinda wakililia bwana pongezi kwako milly
@nusratbintabdullah5713
@nusratbintabdullah5713 11 месяцев назад
Wanaume wachosha sometimes ukitoka ndio anajua muhimu wako milly good job sana nilikua kwa ndoa uko kenya niko na watoto watu lakini nklimufu in niko Saudi Arabia kusomesha watoto wangu nae ameoa karibu wanawake kumi na bado kubata muvumilivu akama mimi sai anageseka yote nashukuru mungu kwa yote mungu asaidie all single mother thanks Gidi na Ghost much love from Saudi Arabia
@emmanuelsifuna1162
@emmanuelsifuna1162 7 месяцев назад
wah hiyo ni noma sana
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
😂😂😂😂Millicent namec. Pambana tu na life yako. Uyu Francis ame changanyikiwa Sana
@lukasobiria7912
@lukasobiria7912 11 месяцев назад
Mwanaume mburukenge huyo. Kula ujeuri. I support the lady 😂😂😂😂
@janewaruchia1992
@janewaruchia1992 9 месяцев назад
Millicent u are a strong woman move and never look back
@lilianrough6896
@lilianrough6896 11 месяцев назад
Napenda msimamo wa Millie sana,,may God be with u Millie
@millicentkiarie941
@millicentkiarie941 11 месяцев назад
Millicents leave na hatupendi ufala 😅😅i just left with 3 kids till today cjarudi nyuma nasirudi gud job milly
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
😅😅😅😅Yes mwambie sie ni wale strong mothers.. 15yrs mpaka mtoto ako Sec na bado na move on
@kyenallan3823
@kyenallan3823 11 месяцев назад
Who cares,lea watoto wako na amani
@hildainziani7147
@hildainziani7147 20 часов назад
Ahh mnacelebrate divorce so sad
@chzacrazy4285
@chzacrazy4285 11 месяцев назад
Nakubalina na uamuzi wa Milicent just move on mommy utapata anayekufaa maishani
@mutheu5233
@mutheu5233 11 месяцев назад
Huyo mwanaume anaboo,feel appreciated Millie for moving on and may God see you through na mtoto wako, Ghost mchekeleee akitaka alie
@decoloniz_afro
@decoloniz_afro 11 месяцев назад
the guy 😂 doesn't know when he was born means he is very confused boychild....I applaud that girlchild Millicent for showing her stand 😂😂😂😂
@alicemonyo5717
@alicemonyo5717 7 месяцев назад
Atafute Mwingine Apee Mimba pia Aruke It's funny but its really painful💔✌️i love you gal 💗keep going 🥰
@HajisandereeSanderee
@HajisandereeSanderee 10 месяцев назад
Wakenya mjege Kenya radio jambo
@rasyout3021
@rasyout3021 11 месяцев назад
Hiyo Haina come back 😅😅😅
@Shuu.A
@Shuu.A 11 месяцев назад
😂😂😂
@rachelmuch5788
@rachelmuch5788 11 месяцев назад
Huyo Mwanaume n Chizeee hahahaha ajui miaka yake aje🤷‍♂️
@Lilianmuriithi-nx3pv
@Lilianmuriithi-nx3pv 11 месяцев назад
Imagine 😂😂😂
@MuthediaElvis
@MuthediaElvis 11 месяцев назад
🎉😂😅 huyo jamaa hana msimamo
@sabbylulu1
@sabbylulu1 11 месяцев назад
Millie,good job❤😂😂😂
@bonifacemaena5412
@bonifacemaena5412 11 месяцев назад
Ati jamaa hatembei na ID!! Ustress fella!.. hajijui bwana!!😮😮😮😮
@mwendapoleee
@mwendapoleee 11 месяцев назад
Aki watoto wasikuhizi,a hubby who doesn’t know his age not serious.
@catherinemaria650
@catherinemaria650 11 месяцев назад
How did Millicent even end up with such a foolish compound idiot🤔🤔🤔. Yaani hiyo kichwa ni kama haina akili hata kidogo. Ukweli common sense is not as common as we believe.
@rahabmwaura1990
@rahabmwaura1990 11 месяцев назад
Hiyooo ndio dawa ya wanaume
@PaulineAchieng-ol1tg
@PaulineAchieng-ol1tg 11 месяцев назад
Huyu jama ako serious kweli yawa😅😅
@PatrobaP
@PatrobaP 5 месяцев назад
Wewe ni mjinga sana. Hakuna kitu kwa kichwa yako
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 11 месяцев назад
Huyu ni mapepe hajui umri wake jamani mtihani mkubwa huu 😮😮
@kefamwachala2703
@kefamwachala2703 11 месяцев назад
Jamaa shenzi sana huyo!! 😠
@AliceMutie-l1v
@AliceMutie-l1v 8 месяцев назад
Milli amove on aachane na huyo bwana waaah amenimalizah adi!
@b.3940
@b.3940 11 месяцев назад
St. Francis ana mambo.
@Sabrina1977-y
@Sabrina1977-y 11 месяцев назад
GIDI BELIEVE ME!!!!!! MAISHA STRESSSSS TUPUUUUU!!!!!! AMESAHAUUUUU
@deborahmoige2363
@deborahmoige2363 11 месяцев назад
Wah jamaa ako na kauongo na pia hajijui anajifanya mjanja huyo
@gilbertuwizeyimana6160
@gilbertuwizeyimana6160 11 месяцев назад
Niandikie tuzungmze nataka mschana Ako nakazi Tena alisoma
@clairclair6482
@clairclair6482 11 месяцев назад
Mtu wa 20 years ashaoa na ata hakajui miaka kashenzi😅😅
@OgencheObed
@OgencheObed 3 месяца назад
Huyo mwanamme aoe type Yake( yaani chokora)
@festuskips
@festuskips 11 месяцев назад
Huyo jamaa ni mlevi tayari,i can tell😂
@nellswambugu1510
@nellswambugu1510 10 дней назад
DADDY 2😂😂😂
@michaelkinyua2301
@michaelkinyua2301 11 месяцев назад
Deadbeat loading a few years
@Nana-do5po
@Nana-do5po 11 месяцев назад
Huyu mwanaume hajielewi na kuna kitu anaficha
@patrickj.136
@patrickj.136 11 месяцев назад
Kwani Naishi dunia gani jameni jamaa hajui miaka yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@SUZYNJOGU
@SUZYNJOGU 11 месяцев назад
Huyu mwanaume hata hajielewi coz for the first tym hajui miaka yake hajui alizaliwa ln n kichanganyikio tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan hata mtoto wa miaka tatu anajua ako na miaka ngapi hii n maajabu
@Evangelist.Bedan.Muthike
@Evangelist.Bedan.Muthike 6 месяцев назад
uyu jamaa anafaa kofi moja yakishua arudi factory reset.......ata hajui miaka yake na ameoa😂😂😂
@julietmackenzie7345
@julietmackenzie7345 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 hii ni kali
@hassanbinadow1190
@hassanbinadow1190 11 месяцев назад
Gidi leo pia amecheka kwli😂😂😂😂😂
@wambuikigo1582
@wambuikigo1582 11 месяцев назад
Nafeel hawa wawili(millie n francis) kama wanatucheze
@Julieshii8640
@Julieshii8640 11 месяцев назад
Pia mimi aki
@mosesmusa5193
@mosesmusa5193 11 месяцев назад
Huyu Francis ata hajui kuongea
@moengakepha4677
@moengakepha4677 11 месяцев назад
Huyo ni mlezi😂😂
@moengakepha4677
@moengakepha4677 11 месяцев назад
Huyo ni mlevi😂😂
@millicentmukoya1292
@millicentmukoya1292 11 месяцев назад
Millicent hatupendi ujinga...mtu hata hajui date wala year alizaliwa waaah this is aserious joker
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
😂😂😂😂Na kwambia atakama
@christineamlinger5630
@christineamlinger5630 11 месяцев назад
Jina langu sio Millicent lakini hii kinyangarika hata niapewa na niongezwe pesa siwezii na siwes 😂
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
@@christineamlinger5630 😂😂😂😂😂
@arapmoifaulu
@arapmoifaulu 11 месяцев назад
😁😁😁😁🤔😁😁
@KenyanUnicorn
@KenyanUnicorn 7 месяцев назад
Ghai! Mwanamme mzima hajui miaka yake??? Wolololo mayie denda, if stupid was a person ndio huyu tumempata.
@zohramariga6678
@zohramariga6678 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@zarabati1750
@zarabati1750 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂 he is confused
@VictorOmbungu
@VictorOmbungu 11 месяцев назад
Hahaha 😅
@bwari01
@bwari01 8 месяцев назад
Maybe he can’t read… yall….. woiii
@Swinton-ps7mi
@Swinton-ps7mi 11 месяцев назад
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@thogonuii
@thogonuii 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂
@delphine-o9d
@delphine-o9d 11 месяцев назад
Uyo Xxxx amekuwa kiruka mimbaaaa😂😂😂😂😂
@hassanbinadow1190
@hassanbinadow1190 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kime muramba. Arudi a study year yake kwanza.
@patrickj.136
@patrickj.136 11 месяцев назад
Alafuu kuna Mtu hajui miaka yake na ata hajui alizaliwa lini 😅😅😅😅😅😅
@mmilly8952
@mmilly8952 11 месяцев назад
@@patrickj.136 aki ame enda Sana ata child wa 2yrs ata kwambia ako ni miaka ngapi
Далее
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 14 млн
Mume Wangu Ananifanya Nilale Na Wanaume Wengine
15:44
PATANISHO : HIYO MIMBA SI YANGU..NI YA HUYU MWALIMU...
22:50
Tubonge Bila Kiki. Dan Sonko (Mental Health Warrior)
54:25
PATANISHO :  GIDI SI UMCHUKUE! WACHA KUNISUMBUA
19:21
Просмотров 109 тыс.
PATANISHO : GIDEON - MKE WANGU AKO NA MPANGO WA KANDO
22:29