Wanaume wachosha sometimes ukitoka ndio anajua muhimu wako milly good job sana nilikua kwa ndoa uko kenya niko na watoto watu lakini nklimufu in niko Saudi Arabia kusomesha watoto wangu nae ameoa karibu wanawake kumi na bado kubata muvumilivu akama mimi sai anageseka yote nashukuru mungu kwa yote mungu asaidie all single mother thanks Gidi na Ghost much love from Saudi Arabia
How did Millicent even end up with such a foolish compound idiot🤔🤔🤔. Yaani hiyo kichwa ni kama haina akili hata kidogo. Ukweli common sense is not as common as we believe.
Huyu mwanaume hata hajielewi coz for the first tym hajui miaka yake hajui alizaliwa ln n kichanganyikio tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan hata mtoto wa miaka tatu anajua ako na miaka ngapi hii n maajabu