Тёмный

PATANISHO: Ndugu wa toka nitoke wagombana vikali hewani 

Radio Jambo KENYA
Подписаться 407 тыс.
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 авг 2018

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 101   
@charleskibiro9159
@charleskibiro9159 6 лет назад
Wewe Ghost unacheka wakati huyu jamaa analia. Nikama unamchekelea nikama yeye nimjinga. Kunawakati wa kucheka na wakati wa kupeana pole.
@aishaelias3867
@aishaelias3867 5 лет назад
Hiyo shamba iuzwe kila mtu apewe share yake akatapikilie mbali
@lavenderlucy3444
@lavenderlucy3444 6 лет назад
Jesus protect this family the family that prays together stay together
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 Год назад
Gidi na Ghost thanks for taking us to kisiii🤣🤣🤣🤣🤣
@annymdg7647
@annymdg7647 6 лет назад
Ugonjwa ni ugonjwa tumia akili ww km ndugu mkubwa aja kutenganisha familia yenu shida kama iko tatua nyinyi kwa nyinyi ama muite watu wa familia ety ndugu mkubwa bure kabisa
@emmandakala5469
@emmandakala5469 5 лет назад
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.
@samueljr9105
@samueljr9105 6 лет назад
SELFCONTROL is needed here cool down hata mm nilikataa shamba ya home sababu jamaa wanaiuza nikiuliza naambiwa niheshimu wakubwa basi kwa hekma nilinyamaza coz mm sipendi stress but niliamua ni nunue kando nijenge niwaachie wauze chakushangaza zaidi wao ndio wako na watoto tena wanauza shamba sijui wanawapangia kuishi wapi siku zijazo same family zanye tunazaliwa nayo aky ni balaa tupu
@njeshkaris8957
@njeshkaris8957 5 лет назад
Omg mungu awakumbuke
@gracendungu5860
@gracendungu5860 6 лет назад
Aki sijui kwa nn nyinyi mandugu mnafikiria na matter core 😡😡😡especially huyo mkubwa 😡😡nkt mtu akitaka shamba afanye kazi anunue yake,as a firstborn you are deputy parents, unafaa ukaishe your siblings chini
@mohammedhadijellyboy8753
@mohammedhadijellyboy8753 4 года назад
This is a Trivial matter coz it's a family affair which is supposed to be sorted out by a chief but not bringing it in air it's a shame
@naimkangi6027
@naimkangi6027 5 лет назад
Obedi!!! Ni yy mbaya atumia kifua cz he's first born,na hapo hakuna boma imeisha bt respect muhimu obedi hesimu mdogo wako
@joyceakidiva9181
@joyceakidiva9181 6 лет назад
ghost wakati mwingine achanga madharau ya kucheķa
@lydiaaruba6670
@lydiaaruba6670 6 лет назад
Aii jamani ni Mungu aingilie hii jamii I feel from a far
@kenyanniggar357
@kenyanniggar357 4 года назад
wakisii ni moto kama pilipili
@maureenikambili6625
@maureenikambili6625 5 лет назад
Forgive and forget ...alafu mwendelee kama ndugu wa familia moja 😢😢
@jacklynebutichi1340
@jacklynebutichi1340 5 лет назад
Kumbe Patanisho huwekwa hapa You Tube!!, ckujua, Mimi husikiliza every day!!!
@carolynediana7841
@carolynediana7841 3 года назад
Njua ssa
@angelajohn8444
@angelajohn8444 6 лет назад
Waaaah wakisii ni nn shida kweli si mwongee muelewane mnatuharibia jina
@daltonmutsunga9571
@daltonmutsunga9571 6 лет назад
Tatatata wolololo kuna hidden agenda hapo ,shida ni shamba na nikama mabb wanawatenganisha bure kabisa,
@linetgikenyi4613
@linetgikenyi4613 6 лет назад
Ghai aki wakisii ni vichwa ngumu kama bunda ya kiangazi
@mariyanegoodone172
@mariyanegoodone172 6 лет назад
Mungu okowa iyo family naoma kuuwana umesimama
@wambuianne6847
@wambuianne6847 6 лет назад
dunia simama nishuke may God give this men wisdom
@jamilaomar6396
@jamilaomar6396 6 лет назад
waaah, nomaa
@bettiejoy-mtotowamama
@bettiejoy-mtotowamama 6 лет назад
Hayo ni mambo ya kinyumbani kaeni chini muongee woiyee 😓
@stevelampardouma7214
@stevelampardouma7214 6 лет назад
Waah
@Quilant749
@Quilant749 6 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwa mabati kumechemka sana wololo gidy kazi unayo leo
@user-ko4qk2qx2f
@user-ko4qk2qx2f 6 лет назад
Aki Ghost mengine sio ya kuchekwa
@ibugharib389
@ibugharib389 3 года назад
KAKA MKUBWA ANAELEKEA YUKO NA MAWAZO MAZUR LAKINI HUYU MDOGO ANAHAMAKI SANA KUWENI KAMA FARMILY
@madamboss348
@madamboss348 6 лет назад
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆makubwa haya. Hiyo shamba wanipe 😂😂😂😂😂😂😂
@eunicevwamula8545
@eunicevwamula8545 6 лет назад
Ukipewa unigawe
@eunicevwamula8545
@eunicevwamula8545 6 лет назад
Hehe
@stecybeib8030
@stecybeib8030 6 лет назад
Waa! mambo ya ndoa aki
@thirdborn6413
@thirdborn6413 6 лет назад
😂😂😂hiyo ni tenganisho aki,,,sio lazima uridhi mali ya wazazi wako,tafuta yako uringe nayo
@annnjoki5089
@annnjoki5089 4 года назад
Hahaha
@v.a.m.2549
@v.a.m.2549 6 лет назад
Mambo ya mashamba shida tubu
@prettybabygalmichelson6557
@prettybabygalmichelson6557 6 лет назад
Salaala..hawa mabrothers saa nani anaongea ukweli....Ngaaaiiii ati vitiso baridi...hio family ina faa maombi kali.
@lashymreal6555
@lashymreal6555 6 лет назад
Nani alizaa hawa wapumbav wasio na hekima
@mwimbimiheso5513
@mwimbimiheso5513 6 лет назад
Hi sijui nicheke ama nilie jamani. Hawa watu hawana adabu kabisa, sana sana huyo mkubwa ni mpumbavu sana. Watu wanatupiana maneno hewani hivi ni ungwana kweli
@sweetiepie8321
@sweetiepie8321 5 лет назад
Hehehehe nani anaketiswa 😀😀😀 thii ukiumaga
@sharonokuyo7413
@sharonokuyo7413 6 лет назад
That family it needs deliverance...aki mtu unakata kuitwa ndugu na vile mimi hua natamani ningekua na ndugu(brother) damu yako ni damu yako upende usipende mambo za shamba zisiwakosanishe jamani..waaah! Mimi spendangi ugomvi lakini hii imefanya nmecheka tu sana ghaii!hii life ...hii familia inafaa maombi ....
@carolynemanyonyi4896
@carolynemanyonyi4896 6 лет назад
Hi nayo Kidi Ni Tenganisho
@sharonokuyo7413
@sharonokuyo7413 6 лет назад
Carolyne mind yours' plz and leave my comment .....
@rodgersnyaenya854
@rodgersnyaenya854 6 лет назад
Mkisii ni mkisii tu na masira zake
@alisaalis9218
@alisaalis9218 5 лет назад
Hawa watu ni kabila gani,Kweli mpaka wameshindwa kuelewana,Kila mtu n mgali nani ataskiza mwenzake
@periswarish7022
@periswarish7022 6 лет назад
Izi shida za mashaba kwa familiya ndooooooooo zimezidi hapo kazi ipo
@jshahshsh2383
@jshahshsh2383 3 года назад
🤣🤣🤣🤣waaaah life uku inje
@scholarnasy7906
@scholarnasy7906 6 лет назад
Have peace please brother
@violetkerubo5079
@violetkerubo5079 6 лет назад
Waaa
@MRPRODUCTIONS_254
@MRPRODUCTIONS_254 5 лет назад
Ebikone
@violetkerubo5079
@violetkerubo5079 5 лет назад
@@MRPRODUCTIONS_254 tokumwa nabo ense ere igo
@carolmamakebritney5266
@carolmamakebritney5266 6 лет назад
Wapumbaaavu tu
@Jer74
@Jer74 6 лет назад
Hii ya leo 30/8 waaaaaaah gidi ghost amecheka yake yote
@ayadddd6040
@ayadddd6040 6 лет назад
makubwa hayo mashamba imeua wengi mbona msing'angane mnunue shamba kila mtu yake,,mandugu jamani mligrow pamoja k shida na raha nn mbaya??enyewe ndugu n jirani msichana ndiye mgeni wa waxaxi
@edinaokhonga1255
@edinaokhonga1255 6 лет назад
Hapa ni maombitu... maombi yata control kila kitu..
@symohsakani
@symohsakani 6 лет назад
Eeh! Hii ni kali.. lakini nimesoma kitu
@annmotor2737
@annmotor2737 6 лет назад
Ww mdogo unamambo mingi sana utakuja kutafuta bro yko kaeni chini muongee kama grownups
@yvonnevihenda2332
@yvonnevihenda2332 6 лет назад
Eee jamani maboma zilibeba mambo wahhh.
@thomashezekiah3764
@thomashezekiah3764 6 лет назад
Mnapatanishwa au mnazozana bure kabisa
@annnjogu972
@annnjogu972 6 лет назад
Sauti ni same...ugofi
@MoMo-ir3ph
@MoMo-ir3ph 2 года назад
Lastborn analia😭😭
@kenmusa3271
@kenmusa3271 6 лет назад
izi mashamba nazo
@maureenmuhonja722
@maureenmuhonja722 6 лет назад
walikua wanapatanishwa wanzishe ugomvi jaman
@agnesandalo6936
@agnesandalo6936 6 лет назад
Mako mako mako mako wuuuuueeeeh....huku ni wapi?
@georgymahi149
@georgymahi149 5 лет назад
KwenDENI huko nyinyi wawili.
@halimaomari7589
@halimaomari7589 4 года назад
Mashamba ya familia ni shida a jamani, tafuteni mali zenu
@samueljr9105
@samueljr9105 6 лет назад
Nakam kuskia poa
@avlinmoloj4902
@avlinmoloj4902 6 лет назад
Obed sauti yake ni kama ya Nyachio
@mercykhasiala
@mercykhasiala 6 лет назад
Afadhali kidongo na use na amani
@sharonokuyo7413
@sharonokuyo7413 6 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@aggycherry9400
@aggycherry9400 5 лет назад
Toka nitoke????
@reinhardokinda4887
@reinhardokinda4887 5 лет назад
Yea get away i get away
@joysorewitindi8542
@joysorewitindi8542 3 года назад
Pole uenda Hawa c madungu labda mmoja ni Yule anakuanga wa bodaboda amazing....
@moulinemoulinr9136
@moulinemoulinr9136 6 лет назад
mm naogopanga wakisii buree 😈...sasa wanagogombana "soprano" inakuwa juu
@tinasanta4080
@tinasanta4080 6 лет назад
Salaala mandugu hao
@samueljr9105
@samueljr9105 6 лет назад
Mbona hujanijibu daa?
@tinasanta4080
@tinasanta4080 6 лет назад
Nilikujibu kaka,pengine hukuiona,bt nilikwambia timboni stage ndio maskani,sokoni huwa umenipita
@samueljr9105
@samueljr9105 6 лет назад
@@tinasanta4080 unamjua LEONARD MAMBO ule muimbaji
@tinasanta4080
@tinasanta4080 6 лет назад
@@samueljr9105 namuju anaimba nyimbo za injili mwembamba hivi
@samueljr9105
@samueljr9105 6 лет назад
@@tinasanta4080 hes my brother
@perrykemmy9045
@perrykemmy9045 5 лет назад
ile uchawi ya kisii wajinga ushamba wa mwisho .shamba its 4by 4 coffin space endeni mkikauka !
@esthernzisa6284
@esthernzisa6284 4 года назад
Please brothers try to forget everything and understand each other
@perrykemmy9045
@perrykemmy9045 5 лет назад
kisii men !ebikone who bewitched you?
@MRPRODUCTIONS_254
@MRPRODUCTIONS_254 5 лет назад
😂😂😂😂😂 tigana na Abagusii kabisaa
@perrykemmy9045
@perrykemmy9045 5 лет назад
@@MRPRODUCTIONS_254 assuming m not a kisii!# style up minto *
@MRPRODUCTIONS_254
@MRPRODUCTIONS_254 5 лет назад
They have killed our good name
@perrykemmy9045
@perrykemmy9045 5 лет назад
@@MRPRODUCTIONS_254 bosa kapisa gaki mbare kobeka on air
@MRPRODUCTIONS_254
@MRPRODUCTIONS_254 5 лет назад
@@perrykemmy9045 hehehe
@emmandakala5469
@emmandakala5469 5 лет назад
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.siku hizi tunaishi kama familia moja tulikubali kusameana.
Далее
PATANISHO : MUME WANGU ANA MATUSI MBAYA SANA
16:47
Просмотров 41 тыс.
Deep Learning Interview Prep Course
3:59:50
Просмотров 355 тыс.
PATANISHO: Hata Akifa Mazishi Yake Nisialikwe
23:38
Просмотров 37 тыс.
Miekethano 12th-14th July 2024
7:56
Просмотров 556
😂😂😂THE BEST OF OLE MATOPE
17:36
Просмотров 1,5 тыс.