Ugonjwa ni ugonjwa tumia akili ww km ndugu mkubwa aja kutenganisha familia yenu shida kama iko tatua nyinyi kwa nyinyi ama muite watu wa familia ety ndugu mkubwa bure kabisa
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.
SELFCONTROL is needed here cool down hata mm nilikataa shamba ya home sababu jamaa wanaiuza nikiuliza naambiwa niheshimu wakubwa basi kwa hekma nilinyamaza coz mm sipendi stress but niliamua ni nunue kando nijenge niwaachie wauze chakushangaza zaidi wao ndio wako na watoto tena wanauza shamba sijui wanawapangia kuishi wapi siku zijazo same family zanye tunazaliwa nayo aky ni balaa tupu
Aki sijui kwa nn nyinyi mandugu mnafikiria na matter core 😡😡😡especially huyo mkubwa 😡😡nkt mtu akitaka shamba afanye kazi anunue yake,as a firstborn you are deputy parents, unafaa ukaishe your siblings chini
Hi sijui nicheke ama nilie jamani. Hawa watu hawana adabu kabisa, sana sana huyo mkubwa ni mpumbavu sana. Watu wanatupiana maneno hewani hivi ni ungwana kweli
That family it needs deliverance...aki mtu unakata kuitwa ndugu na vile mimi hua natamani ningekua na ndugu(brother) damu yako ni damu yako upende usipende mambo za shamba zisiwakosanishe jamani..waaah! Mimi spendangi ugomvi lakini hii imefanya nmecheka tu sana ghaii!hii life ...hii familia inafaa maombi ....
makubwa hayo mashamba imeua wengi mbona msing'angane mnunue shamba kila mtu yake,,mandugu jamani mligrow pamoja k shida na raha nn mbaya??enyewe ndugu n jirani msichana ndiye mgeni wa waxaxi
Ndugu mkubwa unganisha familia yako tafadhali kwetu kulikua na shida kama hiyo ya shamba baba yangu ni mkubwa lakini ndugu yake mdogo alikua anamukanyagia maisha. Baba yangu alinunua shamba nje ya boma baada ya MIAKA kama 20maisha ya mjomba Wangu iligeuka wakawa maskini wanalimia watu shamba saizi kwetu wanuliza msaaada baba yangu anawapea hawajiwezi. Saizi baba yangu ameonekana WA maana kulikua na watu wengi wamenunua shamba na bei kidogo tumewatoa wote mjomba Wangu alipofariki aliacha watoto 10 vijana kama familia forgive one another.siku hizi tunaishi kama familia moja tulikubali kusameana.