Тёмный

PAUL CLEMENT ALIVYOKUTANA NA MKE WAKE/NILIKUWA NAKAA KWA KINA JOEL LWAGA/WALINISHUSHA MADHABAHUNI 

Chumvi Ya Dunia
Подписаться 19 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

Baada ya #PaulClement kuachia wimbo wake wa Mwema aliyomshirikisha Bella Kombo,kwa mara ya kwanza amefanya mahojiano maalum na Mfinanga kwenye kipindi chetu cha #TheSoundOfGospel akielezea jinsi alivyoupata wimbo huo baadae kufunguka kinagaubaga kuhusu milima na mabonde ya huduma yake,Hii ni moja ya interview chache sana ambazo Paul ameongea kwa uwazi kuhusu yeye,ebu cheki nae..
The Sound of Gospel is a radio and Online Program brought by SirMbezi, Mfinanga In Association with Bethel Radio going live every Tuesday at 2PM On bethel Radio and later on In this You tube Channel.
Executive Producers - SirMbezi & Ignas Yonah (Bethel Radio)
Presenter - Gadielson Charles Mfinanga
Cameras - Edward Fanuel, SirMbezi
Studio Set Up - Ignas Yona/Bethel Radio
Photography - SirMbezi
Editing - Sirmbezi,

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 134   
@lovenessibrahimu6730
@lovenessibrahimu6730 3 года назад
Mungu Awabariki Wazazi Wa Joel Lwaga
@stellawangari-Godsgirl
@stellawangari-Godsgirl 3 года назад
Watching from Kenya and we love Paul Clement, his songs really ministers to me,God bless you Paul, I pray God for the revelation of writing songs,I just love the way you composes your songs
@RwagasoreDanny-p4l
@RwagasoreDanny-p4l 6 месяцев назад
My favourite gospel artist
@isayasonelo4087
@isayasonelo4087 2 года назад
mwakanyamale respect sana kwako paul Mungu akuinue zaidi
@lydiabrown2664
@lydiabrown2664 3 года назад
I admire Paul's humility and staying true to the calling much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🔥🔥🥀❤️
@sarahmtuka2292
@sarahmtuka2292 2 года назад
Napenda sana nyimbo za Paul clement especially wakati wa Mungu Huu wimbo unanitia nguvu za kuendelea mbele hata ninapokuwa nimevunjika moyo, barikiwa zaid paul🙏
@seth_pdmofficial.
@seth_pdmofficial. 10 месяцев назад
Big up sana kak Paul Clement, Sina maana ya kukushabikia kwa sura ya nje.... Hapana, Bali Nina maana ya kukushuru wew na MUNGU anayekutunza na kutuoabmaarifa ya kutuhudumia.
@laurahmwangala9823
@laurahmwangala9823 3 года назад
Wow what a testimony Paul Clement...waaa Great Mungu akuzidishie neema.. 🙏 Your songs are such a blessing to me..Let your light continue shinning For God's Glory .lots of love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MusaNosigwe
@MusaNosigwe 2 месяца назад
Mungu akutie nguvu
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 2 года назад
Mungu akubariki una kitu cha tofauti Paul be blessed na your real servant of God
@janethmollel406
@janethmollel406 2 года назад
Daaaaaah mwamba Mungu akufikishe mbali. Nimetiwa moyo sana
@yasminyasmin4587
@yasminyasmin4587 3 года назад
Watching from mombasa kenya,,,,,, mungu akuzidishie neema umekuwa wa baraka mno na uzidi kuwa wa baraka zaidi,,,, mungu aibariki familia ya joel
@robinnyarango9533
@robinnyarango9533 3 года назад
I love this guy...l thought he was a kenyan...God bless you paul. I would want to meet you in heaven someday
@tatu-jumaa
@tatu-jumaa Год назад
More grace bro,we love you from 🇰🇪🇰🇪
@jonathanjackson5253
@jonathanjackson5253 2 года назад
Kikubwa Nikua mwaminifu Kwa BWANA, GOD IS FAITHFUL looking forward to you bro
@loverofHS
@loverofHS 3 года назад
God bless you Paul Clement. You are a rich blessing to the body of Christ. Watching from Nairobi Kenya
@messamwisongo725
@messamwisongo725 3 года назад
Very humble guy. May God favor him exceedingly and abundantly.
@womanoffaith2001
@womanoffaith2001 3 года назад
We love you Paul clement keep on delivering what God gave u❤️🙏
@FunnyBeetle-gd3ko
@FunnyBeetle-gd3ko 5 месяцев назад
Kaka zuravo nampenda sana kwa huduma yake nzuri
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 3 года назад
Mtangazaji nimempenda sana mungu akubariki sana
@mrvixtz
@mrvixtz 6 месяцев назад
Mungu anawatoa mbali watu wake Paul barikiwa sana
@glorialusingu730
@glorialusingu730 2 года назад
I love paul clement ....
@jacklynechesang5267
@jacklynechesang5267 2 года назад
paulclement we love you so much, watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪
@nimohelenmusic
@nimohelenmusic Год назад
Story yako ni ya ku encourage @paulclement na nyimbo zako zina bless sana. God bless you for keeping on despite the changes. Endelea
@unitedtune_tz5369
@unitedtune_tz5369 4 года назад
Very powerful! Interview ever! 🙌🙌🙌🙌🙂....Kaka Paul kanibariki Sanaa na Kaka mfinanga unamaswali fire Sanaa 🔥🔥🔥 Mr.sir-mbezi the quality z super gwud! 🙌🙌🙌🙌🔥🔥😊
@telesphorykitali3514
@telesphorykitali3514 2 года назад
Mtumishi wa Mungu Bwana Asifiwe sana naitwa Telesphory kitali pia napenda uimbaji katika interview yako nimejifunza mengi sana pili pia naomba uniinue pia na mmi katika uimbaji wangu wa nyimbo za injili ningependa unisaidie pia na mimi Amen sana naimani majibu mazuri
@josephmshana_official
@josephmshana_official 3 года назад
Nimejifunza vingi na nimebarikiwa pia. Mungu ambariki sana Paul Clement.
@priscashangu7967
@priscashangu7967 7 месяцев назад
I good story ubarikiwe mno i m apostle Paul kalenga from lubumbashi drc
@elcapitainemughendio6601
@elcapitainemughendio6601 3 года назад
Vraiment courage homme de Dieu suis béni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@nelsonmsaki2465
@nelsonmsaki2465 4 года назад
Ushuhuda unainua sana,mimi binafsi nimepata vitu vingi sana,safari ya imani nikumtazama Yesu
@yetromtambulo3452
@yetromtambulo3452 5 месяцев назад
Be blessed bro poul. Najua ipo siku moja tu tutakutana
@johngita4833
@johngita4833 3 года назад
So amazing nimeguswa Na kiongozi wetu Paul
@heriazaria1901
@heriazaria1901 3 года назад
Dah!unanijenga saana bro!Unanibariki!naona kuinuka sana!siku Moja!nitakuwa pale!kuna mahali napaona
@damianruhinda1761
@damianruhinda1761 3 года назад
Umetisha Sana brother
@elizabethkayombo5284
@elizabethkayombo5284 2 года назад
Mungu akubariki sana nyimbo zako ni nzuri sana. Big up! God bless
@helenkapinga2333
@helenkapinga2333 4 года назад
touchable story oooh my God...stay bless Paul
@estherwamalwa3961
@estherwamalwa3961 3 года назад
Amenifanyia amani is still a hit in Kenya,hadi leo napenda huo wimbo.
@ministerwilliegitatah3372
@ministerwilliegitatah3372 3 года назад
My mentor Paul Clement 🔥🔥🔥🔥Neema ikutoshe bro
@miriamnoel6486
@miriamnoel6486 2 года назад
Kimetokea machoz mno Kuna wakat mgumu naupitia umefanya nipate nguvu ya kusonga mbele 😪🙏 MUNGU akubariki Sana Sana nyimbo zako zinafanyika Barak Sana kwangu🙏
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Месяц назад
AMINA.MUNGU AKUKUMBUKE NA WEWE NA UKUPE USHUHUDA UJE USHUHUDIE SIKU MOJA ILI UMTIE MTU MOYO
@adelinachengula7151
@adelinachengula7151 Год назад
Atainyosha njia yako ni wimbo ambao huwa unaniinua sana be bressed brother
@tuombesunzuesperance5196
@tuombesunzuesperance5196 3 года назад
Wow God is good! Thanks for sharing your story binafsi I learn something.
@serahrobath7685
@serahrobath7685 2 года назад
Hongera kwa uvumilivu pamoja na Mungu
@neemanyagawa9479
@neemanyagawa9479 3 года назад
Endelea kunyenyekea kaka Paul, Bwana Atazidi kukuinua juu.
@fransiscoanthony1065
@fransiscoanthony1065 2 года назад
Hustle is really mazee.. minister 🔥
@emmanuelbernard8628
@emmanuelbernard8628 4 года назад
Nmebarikiwa sana na kipindi
@gressyjulius2596
@gressyjulius2596 3 года назад
Thanks so much brother
@gracekamendu7995
@gracekamendu7995 3 года назад
Aminaa kaka
@seth_pdmofficial.
@seth_pdmofficial. 10 месяцев назад
Hahaaaaah.!! Hyo nimekuelewa............ Kimufindi
@exarakimay8490
@exarakimay8490 2 года назад
Some one very humble asee daah
@esterjimmy7573
@esterjimmy7573 3 года назад
Ushuhuda unafurahisha sometimes but yote ni kwa ajili ya kushuhudia ukuu wa Mungu
@wangarimwangi7395
@wangarimwangi7395 2 года назад
For sharing your life with us, thank you. More grace, man, more grace...
@remmyalfred6736
@remmyalfred6736 2 года назад
Yani Kuna maisha watu tunapitia ni zaidi ya wafungwa dah umetoka kwenye gereza kaka mwanafyale Mungu azidi kukuinua
@tunkuh661
@tunkuh661 3 года назад
Amenifanya amani... wimbo pendwa wa mwanangu Jjj love yeye much
@innocentcv6112
@innocentcv6112 5 месяцев назад
nice
@salvashaban9194
@salvashaban9194 4 года назад
Mungu ni mwema kwa kweli...🇦🇬
@johnjackson3049
@johnjackson3049 3 года назад
mr paul congratulations
@dorismsilu2973
@dorismsilu2973 2 года назад
MUNGU amekutoa mbali, maisha marefu MUNGU AKUPATIE brother 💪
@messievictorsong7724
@messievictorsong7724 Год назад
Mungu ni mwaminifu sana
@zablonmazengo6629
@zablonmazengo6629 3 года назад
Very inspiring brother 💪
@lilianmsumba7146
@lilianmsumba7146 3 года назад
Pole mtumishi kwa hiyo sinario ya kushushwa madhabahuni, lkn si kila madhabahu inamuabudu MUNGU wa kweli so inawezekana kazi yako ilishusha moto pale ambao ulianza kuharibu kazi za watu, you never know, coz mimi nikisikiliza nyimbo zako nasikia uwepo wa MUNGU mno.
@sarahezekiel5170
@sarahezekiel5170 2 года назад
Barikiwa na uzidi kuongea mbele...I like the song...Mungu ni mwema...unapolia ni mwema,siku zote ni mwema
@jacksonmusician7528
@jacksonmusician7528 8 месяцев назад
Nakupenda mtumishi naamn Mungu alokuvunsha ww atanivusha na mm n n mwimbaj mdogo.....
@gracekamendu7995
@gracekamendu7995 3 года назад
Polee sanaaaa Kaka angu jmniiiiiiii Mungu mkuu mnoo Acha Mungu aitwe Mungu
@elinipadamas6647
@elinipadamas6647 3 года назад
Mungu akubariki paul
@jackmichael1953
@jackmichael1953 3 года назад
Adui alijitahidi kukupiga sana ila Mungu ni mwema
@mercyjesus6637
@mercyjesus6637 4 года назад
Thanks JESUS,I see my life
@goodiemgeta
@goodiemgeta 4 года назад
Mpo vizuri bethel radio
@cynaidahzoy7220
@cynaidahzoy7220 3 года назад
I like your song niwewe usiyeshindwa
@margaretmbaimwenga7248
@margaretmbaimwenga7248 3 года назад
God is faithful you are going far
@festusmwikwabe9322
@festusmwikwabe9322 3 года назад
Paul nimekusikiliza kwa makini sana. Naomba namba yako pliz.
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 года назад
Mungu wangu daaah inauma
@ezekielamos252
@ezekielamos252 3 года назад
Paul najifunza sana kwenu umenyenyekea sana bro na Mungu atakubaliki sana alafu mwanza nilikuwepo bro kwa Zakayo nzogere pastor amebarikiwa yule Sana na na lile kanisa jingine mmmmh! kanisa Mungu awasaidie zaid hatuwahukumu lakin walikuumiza sana
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Месяц назад
Yote hua ni matayarisho ya ushuhuda ili MUNGU ajitwalieUTUKUFU
@happylema3801
@happylema3801 Год назад
Big up sana
@nordfreyepson5518
@nordfreyepson5518 3 года назад
Kila unayemuona leo hajawa tu hvo kuna sehem katoka
@pudelwanzali955
@pudelwanzali955 3 года назад
Ya nimebarikiwa mnoo na ushuhuda huu i can't how to explain it
@mukaitepaulo4945
@mukaitepaulo4945 3 года назад
Sasa haya maisha ndo zamu yangu 🤔
@mtumishi6175
@mtumishi6175 3 года назад
Kumbe kulia kwenye huduma ni kawaida Yesu nitaimba sasa nitaimba tena
@marykagulilo5588
@marykagulilo5588 3 года назад
Paul is so funny,raha sana kumskiliza
@gibsonlaureangmail.
@gibsonlaureangmail. 2 года назад
In short through this interview, there alot of lessons I have got, Pau l Clement through your ministry there many people in cluding me as Gibson laurean th e great gospel singer, we see God in your ministry.Long live.
@samwelimwakatobe2855
@samwelimwakatobe2855 4 года назад
Ni nzuri sana
@inteafrica6640
@inteafrica6640 4 года назад
Barikiwa
@nahumukalolomyamba4565
@nahumukalolomyamba4565 2 года назад
HAKIKA NAPATA KUBALIKI SANA KUPITIA HUDUMA YA POUL CLEMENT JAMANI@@@@@@@@@NABARIKIWA SANA
@rosekapufi5219
@rosekapufi5219 3 года назад
Nice work kakaa
@salometumainiely9455
@salometumainiely9455 3 года назад
Siku zote. Mti wenyematunda ndio unaopigwa mawe
@mariamayoob8734
@mariamayoob8734 3 года назад
🚶😍😍😍 duuuh kila mwanaume mwenye mafanikiyo kuna nyuma yupo mwanamke
@damianruhinda1761
@damianruhinda1761 3 года назад
Wazo jema
@michaelmasanja5168
@michaelmasanja5168 4 года назад
Paul ni baraka kwa Tanzania napenda kumsikiliza, ana historia nzuri sana japo inaumaa. Lakini ndio iliyomfanya afike hapo alipo.
@ashahame7627
@ashahame7627 3 года назад
,katyumii
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Месяц назад
Si Tanzania tuu ila Dunia nzima.Sisi uku Kenya tunapenda na pia tunabarikiwa na nyimbo zake
@elishahaule171
@elishahaule171 3 года назад
Dah nimeguswa sana
@fediliaulomi4969
@fediliaulomi4969 3 года назад
Ongera
@salometumainiely9455
@salometumainiely9455 3 года назад
Ooh I see me
@petroprenge8716
@petroprenge8716 3 года назад
Hawa watu wanajisikiaje kuona hii interview huku wakijua wao walikua ni miongoni mwa waliotaka kukushusha.
@godfreysanziki1461
@godfreysanziki1461 Год назад
Mambo yalikuwa mengi kiukweli broo duh!
@jehovamunuo4808
@jehovamunuo4808 4 года назад
Mmmm pole sn P hakika lazma opposite kwenye moto ndio ungare, ujue kpind cha umenifanyia Aman nkua Nairobi, ni wimbo ulokua wapigwa kla sehem afu walkua wanajivunia sn wewe nlokua nae yaan my boss alkua anakupenda na kukusfia sn, ukwel tuljua sku ulfiwa na mdg wako kumbe n Mtz mwenzangu
@ashahame7627
@ashahame7627 3 года назад
Katuni
@ramamajuzuu154
@ramamajuzuu154 Год назад
❤🎉
@soniamelissa2099
@soniamelissa2099 3 года назад
Woooooow!!😍
@elizabethjustice520
@elizabethjustice520 4 года назад
Nimetiwa moyo kabisaaa
@JacquelineJanuary-ll8oz
@JacquelineJanuary-ll8oz 2 месяца назад
🤣🤣nimecheka hy nailoni🤣daah maisha ni safari ndefu hakika. Mungu hajawahi kumuacha mtu.
@hillarytheworshipper
@hillarytheworshipper 4 года назад
That's my bro💥
@mercyjesus6637
@mercyjesus6637 4 года назад
Paul ulilia walipokucrash kwny uimbaji,hujanifikia mimi but God is good
@olivermfinanga1268
@olivermfinanga1268 3 года назад
Walimcrash VP?
@floramajor3381
@floramajor3381 3 года назад
Msiwe mnaweka mlio wa mzuki ili pawe kimya
@RobertJohn-x3x
@RobertJohn-x3x 6 месяцев назад
Kwaio inakukela niuelewa wako ila ujui nguvu ya mziki au wimbo ungejua kitu kinachooneza ujasir hapo
@happyholm1761
@happyholm1761 3 года назад
Mtaje tu, wachungaji wasio na maana hao..
@CatherineNzeki
@CatherineNzeki Месяц назад
Ata hapaswi kumlaumu ndio bibilia ikasema tuwapende adui zetu tena tuwakmbee mema wanaotuudhi.Hayo yte yalitendeka ili MUNGU ajitwalie utukufu
@robyjoh838
@robyjoh838 2 года назад
Brow!
@paulomlewa4575
@paulomlewa4575 3 года назад
Anatengeneza ushuhuda wako,umshinde adui kwa ushuhuda wako
@mtumishi6175
@mtumishi6175 3 года назад
Nitakuimbia Yesu ushuhuda huu umenipa nguvu
@pasuakaratu2601
@pasuakaratu2601 Год назад
Hii story inatufundisha kutendea wema watu wenye uhitaji hivi wazazi wa joel wangemtendea mabaya sasa hivi wangeweza kumtazama usoni🙄
Далее
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,4 млн
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Просмотров 2,6 млн
这到底是怎么做到的 #路飞#海贼王
00:10
Просмотров 4,4 млн