Тёмный

PAUL MAKONDA: HISTORIA YAKE/NILIBEBA MCHANGA/UKWELI WA JINA LA MAKONDA/ELIMU NA UTAJILI WAKE 

SAN TZ MEDIA
Подписаться 35 тыс.
Просмотров 71 тыс.
50% 1

#DULLYSANTZ#SANTZMEDIA#paulmakonda
FUATILIA HISTORIA YA PAULMAKONDA ELIMU YAKE NA NYOTA NA UTAJILI WAKE

Развлечения

Опубликовано:

 

30 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 72   
@richardburengengwa6998
@richardburengengwa6998 10 месяцев назад
Siku moja uyu mzee mweshimiwa atakuwa RAIS wainchi ya Tanzania mimi siyo Tanzania alakini nakuaga namfatilia sana, MUNGU akuwezeshe mzee
@Santzmedia
@Santzmedia 10 месяцев назад
👊👊👊
@richardzakaria8669
@richardzakaria8669 5 месяцев назад
Siku moja atakuja kuwa rais makonda Mungu atupe uhai
@neemanziku5403
@neemanziku5403 11 месяцев назад
Nampe nda Makonda Eewe mwenyezi Mungu mpe wazfa mkubwa serikalin
@prospergirimwa7120
@prospergirimwa7120 2 месяца назад
Achauongo mjinga wewe,makonda hakuwahi soma chuo kikuu mwanza . Makonda amesoma chuo cha uvuvi nyegezi na dipoloma yake alichukua mbegani bagamoyo kozi ya taaluma ya samki baadae ndo akaenda arusha kutafuta digrii .
@DaudiGavanage-c8v
@DaudiGavanage-c8v 5 месяцев назад
Nakupenda bure makonda
@CantiusBenedict
@CantiusBenedict 2 месяца назад
Jaman jamn mtuweke wazi yuko wapi Rc makonda? Nanikwanini mnatusomea historia fupi ya mkuu wetu wa mkoa?????
@pauloipanga7881
@pauloipanga7881 Месяц назад
Huyu ni aina ya viongozi kama sokoine na nyerere mungu ampe maisha marefu huyu mwamba
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m Месяц назад
Mmmh! Hii historia inamaana gani? au inamaanisha nini?! mbona inanichanganya😅😅😅😅
@FarajaelibarikiLaunoni
@FarajaelibarikiLaunoni Месяц назад
Iyo storia yako no ya uwongo kabisa
@asanthlewanga3941
@asanthlewanga3941 2 месяца назад
Kwanini mnasoma historia yake au amefariki mnatuficha jamani mimi naumia sana
@PeterJackson-kk3by
@PeterJackson-kk3by Месяц назад
Twambiani yuko wapi?
@AnnalukasMartine
@AnnalukasMartine Месяц назад
Yu wapi kamanda wetu imn
@KidawaRashid26
@KidawaRashid26 Месяц назад
Tutaandamana
@janechengula1733
@janechengula1733 Месяц назад
Makonda mungu akuvushe hata mimi unaniuma sanaa mungu akumbuke kazi yako akuponyee
@songeza
@songeza Месяц назад
Kwan kusoma nn kasoma kweli sawa yuki wapi???? Elezeni mmechukua moyo jama wanavyochukuliwa watoto kutolewa vungo nae katolewa viungo achilieni mabaki azikwe kwa heshima zake. Daaaah inauma jamani inauma mtoto wa mwenzenu mmmmh hatari
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 месяцев назад
Mtu amalize chuo kikuu halafu achome mkaa na kazi za ajabu miaka ile???!!! Hizi habari zina mashaka .Ina maana Mhe Gwajima alimzingizia mengineyo?
@ekkymumba8566
@ekkymumba8566 Год назад
Awe kasoma hajasoma mie nampenda hivyo hivyo💯💯✅️
@Santzmedia
@Santzmedia Год назад
😂😂 umetisha sana,ila usiache kutazama SAN TZ MEDIA
@RamadhanMakunja-i5m
@RamadhanMakunja-i5m Месяц назад
Kweli kizuli hakidumu😂😂😂😂😂😂
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye
@JamaldaudlulyehoJamaldaudlulye Месяц назад
mie siyo nabii inshaallah Paul makonda atakuwa Rais siku zijazo
@Nurdinimwakisale
@Nurdinimwakisale 4 месяца назад
Nahis kuwa rahisi uyu jamaa😊
@epimackjohn461
@epimackjohn461 2 месяца назад
Inasaidia nini Historia hii kama binadamu wote wana historia za aina zao na ni zao ?
@costantineelisante8587
@costantineelisante8587 2 месяца назад
Muguampe Maishamarefu bab yet po kristian makonda
@LaurenceSanga-ft7ou
@LaurenceSanga-ft7ou Месяц назад
Hata mm nataka sana awe lais wa tz ila asiwanyanyase wapinzan
@sarahkingunza1516
@sarahkingunza1516 11 месяцев назад
Hongera makonda Mungu akutunze akupe uhodari zaid
@Santzmedia
@Santzmedia 11 месяцев назад
Usiache kutufuatilia SAN TZ MEDIA
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 7 месяцев назад
Historian hii ya Makonda sijui kama iko sawa 1998 alitakiwa awe kidato cha pili lakini yeye alikuwa tayari amemali shahada ya awali na ameanza kufanya vibarua?Nina mdogo wangu wa umri kama wake 1998 alikuwa kidato cha pili umri wake ulikuwa miaka 16 yeye makonda alikuwa anasoma sekondari na wakati huo anachimba shahada ya kwanza chuo kikuu basis ndiyo maana anamwakilisha Rais wetu kama mnavyomwona ni MTU pekee katika nchi hii na Africa kwa ujumla
@safiaothman5175
@safiaothman5175 7 месяцев назад
MWENYEZI MUNGU SUBHAANAHU WATA'ALA AMWONGOZE KATIKA MAJUKUMU YAKE ,AAMIIN YAA RABBAL 'ALAAMIIN.
@benjaminbill6727
@benjaminbill6727 Год назад
Huyu Jamaa nampenda buree 💯💯
@Santzmedia
@Santzmedia Год назад
Vzr Endelea kuufuatilia SAN TZ MEDIA
@ashaali7154
@ashaali7154 Год назад
Vyeti feki hivyo acha kutudanganya.
@Santzmedia
@Santzmedia Год назад
😂😂😂😂😂
@AlliyHamisi-z4k
@AlliyHamisi-z4k 2 месяца назад
Jamani makonda mungu akuvushe kwenye atali
@ShilaEliasi
@ShilaEliasi 2 месяца назад
Yup wapi
@ShilaEliasi
@ShilaEliasi 2 месяца назад
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Tumekumiss ukuu wa mkoa Dar 💯
@Santzmedia
@Santzmedia Год назад
👊👊👊💌
@kivyerabanduka1854
@kivyerabanduka1854 7 месяцев назад
Huu uongo
@peterbayo4677
@peterbayo4677 7 месяцев назад
Upishi
@karenstephen8738
@karenstephen8738 7 месяцев назад
Wewe kanjanja wahead unatuletea utopolo tupu
@CostaAntino
@CostaAntino 2 месяца назад
Tupeukweli isiwe ya magufuli
@mungholomakalanga8958
@mungholomakalanga8958 3 месяца назад
MUNGU mwema akutunze mwanangu
@Paulo-j1v
@Paulo-j1v Месяц назад
Yani daaa mungu yu nawe
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 месяцев назад
Jaman tuache mahixtoria hixtoria haya tufunduxhane jinxigani ya utaftaji wa pexa nyingi mahixtoria haya wara hayatujengi cho,chote
@Santzmedia
@Santzmedia 11 месяцев назад
Swala lako zuri tunakuahidi kulifanyia kazi Johnson
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 месяцев назад
Kuna baadhi ya vijiji wanajua bado raixi nyerere.
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 2 месяца назад
😂😂😂
@aminaomary5567
@aminaomary5567 5 месяцев назад
Mtani wangu ongera sana.Kumbe ni mwanangu wa kwanza ndio maana nakupenda sana.❤❤❤👍👍By Mngoni .
@Santzmedia
@Santzmedia 5 месяцев назад
🤝👍
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 месяцев назад
Kachoma mkaa Mbezi Luis??!!! Mtu ana digrii halafu achimbe mchanga miaka ile ya zamani?
@Santzmedia
@Santzmedia 5 месяцев назад
Kwani kuchimba mkaa ni nini??
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 месяцев назад
​@@SantzmediaMkaa huchomwa misituni na Mbezi Luis ni jijini Dar hakuna misitu ya kuchoma mkaa. Mchanga wala hakuchimba kwani miaka ile ukimaliza digrii kazi nje nje. Fake news
@JamesJuma-zy8cn
@JamesJuma-zy8cn 11 месяцев назад
Wasukuma inaonyesha ndo nguzo ya nchi hii
@DudddyWhyCant
@DudddyWhyCant 2 месяца назад
Si utani ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@neemanziku5403
@neemanziku5403 11 месяцев назад
Nampenda makonda na ukoo wake wote mwaaa😍
@Santzmedia
@Santzmedia 11 месяцев назад
Usiache kutufuatilia Neema mengi mazuli yanakuja
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 5 месяцев назад
Habari zingine ni feki
@Dorka12-n7b
@Dorka12-n7b 3 месяца назад
Watu hutoka mbali but God's time is the best
@Santzmedia
@Santzmedia 3 месяца назад
Hakika!!!?
@JamesJuma-zy8cn
@JamesJuma-zy8cn 11 месяцев назад
Hata mm nataman kuwa mwanasiasa kama ww
@mutalemwamarcelventure.mae2058
@mutalemwamarcelventure.mae2058 11 месяцев назад
Kwani wanachuo na Wana siasa Wanapatahaje hizo pesa ijapokua hawajawai Fanya kazi siku nyingi jamanii twambiheni na çc
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Год назад
Naomba no.ya Poul Makonda tafadhari
@chescomolla5557
@chescomolla5557 11 месяцев назад
Bashite
@aminaomary5567
@aminaomary5567 11 месяцев назад
Asante mtangazaji kwa kutuhabarisha,tupe na viongozi wengine.Makonda hoyoooo
@Santzmedia
@Santzmedia 11 месяцев назад
Endelea kutufuatilia Amina ahsante kwakuwa nasi karibu sana
@AshuraMsangi-dl7ry
@AshuraMsangi-dl7ry 11 месяцев назад
Hongera kaka yetu makonda mungu akutunze na kukulinda katika uongezi wako. Malaika wa mungu wakutunze
@Santzmedia
@Santzmedia 11 месяцев назад
Endelea kufuatilia SAN TZ MEDIA pia usiache kubonyeza batani nyekundu iliyoandikwa subscribe
@NeemaJohn-q1r
@NeemaJohn-q1r 10 месяцев назад
Wasukuma hawanaga mbamba sababu niwasemakweli hawanatamaa hawatakidhuluma maana wahurumasana
@jonsondsflosa5619
@jonsondsflosa5619 11 месяцев назад
Hii nchi nimaxkini burudani za nn
Далее
Mkasi | S10E13 With Paul Makonda
29:47
Просмотров 14 тыс.
DAD REVEALS MY MAGIC TRICKS 😱🤣
0:37
Просмотров 95 млн