Тёмный
No video :(

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 

Ikulu Tanzania
Подписаться 284 тыс.
Просмотров 218 тыс.
50% 1

HOTUBA YA RAIS DKT MAGUFULI BAADA YA KUPOKEA TAARIFA YA UCHUNGUZI WA MCHANGA WA DHAHABU 24 MAY 2017

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 117   
@marianmartin7483
@marianmartin7483 2 года назад
Lala salama baba, vita ulivipigana😭😭😭😭😭😭 nikikuona machozi yanatililika. Mwenyezi MUNGU akupe makao salama huko uliko. Raha ya milele umpe e bwana, na mwanga wa milele umwangizie apumzike kwa amani Amina. Roho za waamini wapate rehema kwa MUNGU, wapumzike kwa amani, AMINA.
@onelovetz7935
@onelovetz7935 Год назад
Uko Kama Mimi kilip mbili tu machozi yananilega
@alfredlucas972
@alfredlucas972 2 года назад
Mungu akupe wepesi katika pumziko lako la milele rais wetu wa wanyonge
@peterkabigi
@peterkabigi 7 лет назад
Kwa hili kila raia mwenye nia njema na nchi atakuunga mkono.Hongera saana Rais.
@pizzaboy3640
@pizzaboy3640 2 года назад
HUWA cwezi kujizuia kabisa MACHOZI yanavyo nimwagika nikisikiliza hotuba ya huyu mwanajeshi kamanda rais aliye jitolea mhanga kwa ajili ya Taifa letu hakika wewe ni SHUJAA japo umelala RIP J P M
@mathewben6833
@mathewben6833 3 года назад
Kuna wakati hua siamini kama rais niliyemkubali nikamchagua hayupo tena duniani,daaah! YAHWEH is great.Pumzika kwa amani JPM hakika me binafsi kwa jitihada zako nakukumbuka
@frans_dede
@frans_dede 3 года назад
Mungu akupe pumziko la milele Raic we2 mpendwa Dr. JPM tutaendelea kulia mpak mwak 20100
@hajiissa9200
@hajiissa9200 7 лет назад
hongera sana rais wangu mpendwa .ninakupongeza sana kwa kuwanyoosha hao wanaojiita wajanja . namuomba allah akulinde na akupe umri mlefu wenye mafanikio
@omarisalimu366
@omarisalimu366 7 лет назад
Amiin
@omarisalimu366
@omarisalimu366 7 лет назад
Amiin
@yusuphwella9651
@yusuphwella9651 3 года назад
Chuma hicho, najickia faraja sana japo kwa muda wake mfupi impact yake ni kubwa sana, naifananisha na super sub iliyoingia ikapiga hatrick na kuchukua point tatu,
@motelalasem6755
@motelalasem6755 3 года назад
Upumzike salama namungu akusamehe makosa yako yote nakulilia kwauwazi na uzalendo kwa nchi yetu inaumasana,
@ismailkipalanga2812
@ismailkipalanga2812 3 года назад
Kila nisikilizapo hii hotuba, bado naamini kuna siku utarudi tena kuja kuwa hata mshauri tuu. RIP mzalendo wa kweli
@munaahmed8499
@munaahmed8499 3 года назад
Allah akulinde na kila shari rais wetu utuongoze kwa ufanisi kam unavyotuongoza insha Allah🤲
@mbokaandbahatitv8509
@mbokaandbahatitv8509 7 лет назад
Wewe ni rais wangu, siku zote nitakuheshimu, Mungu akutunze daima.
@MeshackAminieli
@MeshackAminieli Месяц назад
Mungu ana makusudi na watanzania maskini ndo maana akafanya hivyo shukrani kwa yesu kristo
@Lex_review
@Lex_review 7 лет назад
one day they will value your presidency
@abdallahmngoi8538
@abdallahmngoi8538 7 лет назад
dulamatelephone
@Zamb90
@Zamb90 3 года назад
The time is now bro
@felexmaphie8677
@felexmaphie8677 3 года назад
😭😭😭😭😭😭
@felexmaphie8677
@felexmaphie8677 3 года назад
Am just realising your comment sir.
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tumepoteza mtu muhimu Sana ktk nchi yetu🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 года назад
Jembedali wetu JPM ulisema tutakukumbuka kweli tumeanza maana uku Prof Muhongo hataki tena Bwawa la umeme la Rufuji ambalo ilikuwa ndoto ya Mwl Nyerere na ndio ukombozi wetu. Nakumbuka Mzee Mengi aliwai sema prof Muhongo ni Muongo...RIP Mengi. Alafu Ndugai anataka kuwaleta wachina na ule mradi wenye masharti ya ajabu ajabu. Ambapo tayari tunajua Sri Lanka wanatesena na mradi wa namna hii.😭😭😭 Ila hata kama haya yatakwama ss vijana tayari umetuonesha njia siku moja tutakuja kuyafufua kama wewe ulivyo fufua iliyokuwa ndoto ya Mwl Nyerere. RIP NYERERE NA JPM 💪🏿🙏🏿
@alfredjustinian9753
@alfredjustinian9753 3 года назад
Daah tutakkumbuka mzee aisehe lkn nmemuona proffeser anashangaa kwelikweli aisehe
@davidcharles5674
@davidcharles5674 7 лет назад
this is what I was asking leaving myself with unanswered qns. why were we not talking of natural minerals as OUR MAJOR SOURCES OF INCOME .... WHY WERE WE DEPENDING ON TBL, TCC...? THANX OUR PRESIDENT YOU KEEP ON ,,, WE TZ WER SUPPOSSED TO BE DONORS
@lgatura
@lgatura 3 года назад
Kila ninapo skiza hotuba ya Rais Magufuli , huwa si amini eti hayupo tena nasi , aisee ina uma sana , Sema mambo ya Mungu hayana Makosa , Pumzika kwa amani Rais wetu kipenzi, Mungu akupe pumziko la amani .. RIP
@rozinajumbe4237
@rozinajumbe4237 Год назад
Tunakukumbuka Baba ! Tumebaki wakiwa Baba wanyang'anyi wanatafuna urithi wa nchi yetu
@fettysalum8290
@fettysalum8290 7 лет назад
Mungu akupe uhai zaid rais wa Tz uendelee kufanya mema kwetu wa tz
@Dantaata
@Dantaata Год назад
hatuna la kufanya baba tangu siku umeondoka hadi leo tunaumia,, m/mungu asikuache baba yetu kipenzi
@user-dr2lk7im7r
@user-dr2lk7im7r 5 часов назад
Wema hawana maisha ........ Wimbo wa marijani rajabu, na ukweli kwa jpm. RlP jemedari wa vita.
@tatulalia8211
@tatulalia8211 Год назад
That's truth Dad but RIP God bless you for your jobs
@adelaidaruta2930
@adelaidaruta2930 2 года назад
Mwenyezi Mungu akuruhusu kutoka huko uliko uzidi kulipigania Taifa hili kama ulivyo lipigania ukiwa duniani mimi nitakukumbuka daima
@denismsanzya7145
@denismsanzya7145 Год назад
Upumzike kwa amani kaka yetu
@ISSAMITWE-iq1bo
@ISSAMITWE-iq1bo 10 месяцев назад
sintamsahau hayati magufuri ktk maisha yangu yote.mungu mpumzishe kwa aman amin.
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Год назад
Akika ulikuwa .nguli wa uongozi, kazi yako ni ilikuwa nzuli sana,
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 лет назад
lema uko wapi? mbona husemi?
@dct4lif
@dct4lif 7 лет назад
Tundu Lisu tayari ashaongea ujinga kama kawaida yake
@johnmalembo6464
@johnmalembo6464 2 года назад
Hii hotuba Ni ya kulikomboa taifa kwa vizazi vyote....tupate wapi Rais Kama JPM Tena.. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@kelvinchadulaga310
@kelvinchadulaga310 2 года назад
RIP mwamba wa african
@user-dr2lk7im7r
@user-dr2lk7im7r 5 часов назад
Ni muda mrefu tangu hotuba hii, lakini ni kama leo.
@manstiko5890
@manstiko5890 Год назад
Rest in paradise chuma tutakukumbuka daima
@danielimeshack3712
@danielimeshack3712 7 лет назад
nakupenda rais wangu 2020 ukishinda badili katiba uongoze mpaka utakopochukuliwa na mwenyezi mungu inauma sana lisu kachukua rushwa ya wazungu anabwatuka ovyoo piga kazi baba
@januaryevarist2093
@januaryevarist2093 3 месяца назад
Hii is miss you Dr jonh
@karimmveyange280
@karimmveyange280 Год назад
Hakuna atakeye kufikia kwa uadilifu wako na uzalendo na ubingwa wa ufufuaji uchumi bila kuomba omba mikopo.Hata wafanye vipi,tayari uliwaumbua.Tunawaona 0 tu . Haupo kimwili lakini Roho yako ipo na inaona hali ilivyo hii leo.Mungu atalipa hapahapa ktk ardhi na wote watashuhudia
@heridadia9634
@heridadia9634 3 года назад
R.i.p JPM 😭😭
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Год назад
Mzalendo wetu, leo tunaubiriwa neno uzalendo, najiuliza sipati jibu, Magufuli uko wapi? Kama nchi inaitaji wazaleno!!
@yohanabiby3581
@yohanabiby3581 Год назад
Yohana E Biby
@EmmanuelyLyanga-t3v
@EmmanuelyLyanga-t3v 5 дней назад
Tutakukumbuka daima pumzika kwa amani mtetezi wa wanyonge
@mgeni1233
@mgeni1233 Год назад
Alikuwa mkweli na ukiwa mkweli jua maisha yako mafupi
@abdallahmngoi8538
@abdallahmngoi8538 7 лет назад
mwishimiwa endelea kuchapakazi safi sana
@geopolitics94
@geopolitics94 3 года назад
Rest in Peace our beloved President 🇹🇿❤️
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Год назад
Sawa bac ninaumia sana nikifikiri
@JacobAlexander-sc1oh
@JacobAlexander-sc1oh 5 месяцев назад
sna la kusema kizuri hakidumu
@sethmotto4513
@sethmotto4513 2 года назад
Maisha Ndivyo Yalivyo!Kazi iendelee!
@abushirikijaji4014
@abushirikijaji4014 2 года назад
Ewe mngu tunakuomba umuweke mahala pema peponi rais wetu mpendwa natunakuomba uturudishiye rais ajae awe mkweli kama mpendwa wetu magufuli
@offblogmedia
@offblogmedia Год назад
Come take your chair father, we miss you already!! ( And, you knew it)
@kamuchidyblez2136
@kamuchidyblez2136 Год назад
Daaa ulale salama aisee kaz yake mola haina makosa
@kikosikaziupdate
@kikosikaziupdate Год назад
Tutakukumbuka daima
@avitimushi1541
@avitimushi1541 7 лет назад
The president and his TUME have walked the walk after the talk. Viva President Magufuli. Viva Tanzania
@farajastudioandstationery5798
@farajastudioandstationery5798 3 года назад
Nimemis Hii sauti kiukweli...!
@georgegeorge9688
@georgegeorge9688 Год назад
Mzee uko sawa Tanzania tuna watu wa ajabu sana, uwatunawafikiria hatupati majibu,
@jonasjaphetthomas6434
@jonasjaphetthomas6434 2 года назад
We ndo rais sasa tunayemtaka watanzania walobaki woteni .....Watajua wenyewe wapo kundi gan siwapendi sijui kwanini!
@nuhunyambulapi5320
@nuhunyambulapi5320 2 года назад
We missed you today Mwamba
@arjunelly540
@arjunelly540 2 года назад
😭😭😭😭😭Inauma jamn
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 Год назад
This guy was a legend
@msandigeorge8355
@msandigeorge8355 Год назад
Was.
@sadamkuntukumu3672
@sadamkuntukumu3672 Год назад
Kwanin samia suluhu afanyi hivi
@konzerasokoni1773
@konzerasokoni1773 2 года назад
Natamani siku zirudi nyuma ufufuke ungetawala milele... Wengi washakuelewa lakin ndo ivo too late
@mudhihirugara8845
@mudhihirugara8845 5 месяцев назад
Jeembehiro bwana pumzika salama
@mrishoselemani7521
@mrishoselemani7521 7 лет назад
MWENYEZI MUNGU AKULINDE
@johnnestory9970
@johnnestory9970 Год назад
JPM utakumbukwa daima,kwa mazuri mengi uloyafanya kwa watanzania wengi!
@godfreykwejah
@godfreykwejah Год назад
Kwa kweli utaendelea kuishi mioyoni mwetu, na akili zetu bado zinakuenzi!
@MeshackAminieli
@MeshackAminieli Месяц назад
Ata saaulika alikuwa kichwa cha taifa
@kakamau0384
@kakamau0384 Год назад
Hivi huyu jamaa alikuwa na kasoro gani jamani katika Nchi hii lkn!!?? 😭 Tutakukumbuka baba
@tgeofrey
@tgeofrey 7 лет назад
Kimenuka Shamba la Bibi
@lameckmulokozi4685
@lameckmulokozi4685 2 года назад
Tutakuenzi baba lala kwa hamn
@FortiMtolela-xl2nb
@FortiMtolela-xl2nb 21 день назад
😢❤
@blackmartin2395
@blackmartin2395 Год назад
😭😭😭😭😭 kwel tulipoteza
@Joseph-lu4yj
@Joseph-lu4yj 2 года назад
Ikulu haina hizi video kweli ? including mkataba wa bandarui ya bwagamoyo ?
@moshykimario7601
@moshykimario7601 2 года назад
The life time president
@susannaikuni8595
@susannaikuni8595 Год назад
Shujaa hutasahao lika milele lala salama
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 3 года назад
Mbabe kaenda na ubabe wake haaaaaa
@paulcosmas8031
@paulcosmas8031 2 года назад
Pumzika kwa aman baba
@maluhismadila9593
@maluhismadila9593 Год назад
Pumzika kwa amani bd tunakukumbuka baba
@paulkapele2797
@paulkapele2797 Год назад
Mahubiri,ya,moses,Maghembe,t,ag
@allykingu1752
@allykingu1752 3 года назад
Jembe toka chato?
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 лет назад
nchii ina wajinga wengi kazi yao kupiga kelele bungeni
@emmanuelshilinde2512
@emmanuelshilinde2512 Год назад
JPM
@adammrisho1990
@adammrisho1990 11 месяцев назад
Mpl
@ramadhanndemeye6932
@ramadhanndemeye6932 7 лет назад
je hicho chombo kina uzwa bei gani?
@zawadix9574
@zawadix9574 7 лет назад
Ramadhan Ndemeye I love this man true Patriot...... Tanzanians are cursed how can we be so stupid and dumb
@innocentmalingumu1541
@innocentmalingumu1541 Год назад
Pumuzika xalamal rais
@veromakoe5017
@veromakoe5017 Год назад
Mm
@clementmentusela171
@clementmentusela171 Год назад
In
@dmstephano8643
@dmstephano8643 6 лет назад
Jamen
@halajanyerere3512
@halajanyerere3512 2 года назад
Jpm rest in peace
@daudikapange9203
@daudikapange9203 Год назад
😢
@elipidiuskweyamba1394
@elipidiuskweyamba1394 Год назад
RIP
@isackkubimba819
@isackkubimba819 Год назад
Dodoma
@kefamwakipesile275
@kefamwakipesile275 3 года назад
bado unadumu ata hujafa baba wa pili wa taifa
@elishebawerema7155
@elishebawerema7155 2 года назад
😭😭😭😭😭
@clausemanuel9891
@clausemanuel9891 7 лет назад
daaah
@bizzosela6186
@bizzosela6186 3 года назад
😭😭😭
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😅😅😅😅😊😊😊😊😅😊😅😅😊😊😅😊😊😊😅😅😅😅😅😅😊😊😊😅😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😅😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😅😊😅😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊😊😊😊😅
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊😊😊😊😊😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊
@user-vh2pe9lu1v
@user-vh2pe9lu1v Год назад
😊 17:04 😊😊😊
@hermanisaay1904
@hermanisaay1904 2 года назад
Itv
@vandamemaress1350
@vandamemaress1350 4 года назад
Og
@bumsnyagenda9639
@bumsnyagenda9639 3 года назад
Kwa nchi za kiafrica hata hawakuelewi hata Kama ni wasomi watakuona unawabana tu maana wenyewe wanasema hili bara la wajinga Ila upo sahihi mzee
@yohanabiby3581
@yohanabiby3581 Год назад
Yohana E Biby
@nicholaus6859
@nicholaus6859 Год назад
Tuta kukumbuka baba
Далее
WILL IT BURST?
00:31
Просмотров 20 млн
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 7 млн