Тёмный
No video :(

Polisi wa Dubai walivyomnasa HUSHPUPPI, Mnaija TAJIRI wa Instagram ALIYETAPELI Trilioni 1 mtandaoni 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 220 тыс.
50% 1

Polisi mjini Dubai wamefanikisha kumkamata Mnaijeria maarufu kwenye Instagram kwa maisha yake ya kifahari, Hushpuppi kwa kuhusika kwenye utapeli mkubwa wa mtandaoni. Fahamu zaidi kwenye makala hii

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 503   
@marympemba8843
@marympemba8843 4 года назад
SNS mnafanya kazi vizuri sana, mtangazaji unafanya reseach ya kutosha kwenye matangazo yako, asante kwa kazi nzuri
@Cherriechina
@Cherriechina 4 года назад
SNS you guys are doing great🤗🤗🥰yani mtu unatamani story isiishe uendelee kusikiliza.Very systematic🙌
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 года назад
Jamaa wako vizuri sana yaani
@marthawillium9920
@marthawillium9920 4 года назад
Exactly
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@ejelanta7829
@ejelanta7829 4 года назад
Hii ndo story za kuangalia,sio unaangalia udaku na umbea tuuu
@neemaremus4924
@neemaremus4924 4 года назад
Umeona eeee
@marympemba8843
@marympemba8843 4 года назад
Watu wana right to choose which story wanawatch, kitumuhimu kutokuwa mbea na kuwasema watu kwa umbeya wote. It good to mind person business and stop repeat what things has said in past decay. Grow people this is not time and place
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 года назад
Kabisa
@kelvinkonga6969
@kelvinkonga6969 4 года назад
Aaaah!
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 года назад
Hz ndio story sio umbea wa bongo kila kukicha jpya
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 4 года назад
kutomjua mungu huu ndio mwisho wake🙏🙏🙌
@shakilarasti
@shakilarasti 4 года назад
Kabisa
@prettyh7509
@prettyh7509 4 года назад
Wanaijeria balaaa waarabu watawauwa
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 года назад
Hawa jawamaliza hawajamaa wapo wengi inaonekana
@hellenelias2668
@hellenelias2668 4 года назад
Itakuwa ndiyo hawa waliomtapeli boss wangu hawa billion 1 🙌🏻🙌🏻
@khadijamalifedha4786
@khadijamalifedha4786 4 года назад
😀😀😀😀jmn muwe makini wanaija wamesomea wizi hata wawe makapuku ila wanawatapeli wadada wawatu jmn😀😀
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 года назад
Kumbe e
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 года назад
Uyu namtafuta na mim anifundisha il niwage umasikin
@Brodz-i3c
@Brodz-i3c 4 года назад
@@danielkiroka6331 njoo nikufundishe mimi washanifundisha 😂😂😂it's very easy.
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 года назад
Gisele fernandes npe location bg bossss
@justinekamugisha8983
@justinekamugisha8983 4 года назад
Huyu jamaa ni genius wamtumie vizuri.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@lulendamilu8265
@lulendamilu8265 Год назад
Mmh
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 года назад
Natamani habari iendelee Kwakweli wa Nigeria wezi na matapeli wa kutupa Kweli za mwizi 40 asante SnS
@simonmuchiri9894
@simonmuchiri9894 4 года назад
@ Mwanajuma O Muhundumla vipi hali
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 4 года назад
@@simonmuchiri9894 nzuri za kwako
@simonmuchiri9894
@simonmuchiri9894 4 года назад
@@mwanajumaomahundumla6504 freshy kabisa ....umepotelea wapi
@prettyh7509
@prettyh7509 4 года назад
Sahihi my
@victormushi6641
@victormushi6641 4 года назад
NYIE NDIO MNAFANYA TUNAIBA
@delphinefleurmanirambona8651
@delphinefleurmanirambona8651 4 года назад
I ' respect this Country Congrats 🎊 Emirat
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@KA-yz2ld
@KA-yz2ld 4 года назад
Mwenyezi Mungu tuepushie na tamaa kama za fisi
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 года назад
Aamin
@queenslandemile2536
@queenslandemile2536 4 года назад
Amiin
@rashidzayd7160
@rashidzayd7160 4 года назад
Aaamin
@sheilamjune1233
@sheilamjune1233 4 года назад
Good job police for Dubai 🙏🙏❤❤❤🇦🇪🇦🇪
@abrahamrhymoskinabo6214
@abrahamrhymoskinabo6214 4 года назад
Sasa najua kwanini matapeli wengi wanapapenda Dubai, adhabu zake ndogo sana
@jocyjocy3050
@jocyjocy3050 4 года назад
I repeat again !! Za mwizi never change , it’s 40 guys!!!!
@actionscene4753
@actionscene4753 4 года назад
Mbona kaiba miaka kibao
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG 4 года назад
Sema wanaija wanabebana sana akipata mchongo mmoja anabeba wenzie wanatoboa pamoja...... Kwenye swala la wizi wa mitandao jamaaa wapo vizuri sana sema wanakosea kuishi maisha ya hanasa .... Waizi wa mitandaoni USA na Ulaya wao wanakua wanaishi maisha ya kawaida sana japo wanamkwanja mlefu sana
@williamkhaemba2782
@williamkhaemba2782 4 года назад
Welcome to UAE where you cannot escape easily
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@fauahamisi1097
@fauahamisi1097 4 года назад
Hatareee Sana Hawa watu
@LeeUfudu
@LeeUfudu 4 года назад
Hão ndio wapigaji sio wale wanaopiga pesa za visima vya maji vya kijiji kkkkkk
@leprofesseri3505
@leprofesseri3505 4 года назад
E bana eeh unasimulia poa sana kaka sky🔥🔥
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 года назад
Mmmmh! Mashallah, ila maisha ya dhulma cyo ishu kabisa.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@rehemashafi4809
@rehemashafi4809 4 года назад
Duhh watu wataalamu sjui wanaiba vp mtandaoni mhm maisha aya
@semenitheclassic
@semenitheclassic 4 года назад
😆😆😆
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 года назад
😆😆😆😆
@venstonvedasto
@venstonvedasto 4 года назад
Ushasikia neno HACK?
@emmanuelzao
@emmanuelzao 4 года назад
Haha 😆 wewe tumia insta kuuza sura wenzio wana make mawe marefu sana 😂😂
@juliussanane1860
@juliussanane1860 4 года назад
Wanajeria Achana nao wako vizuri kwenye IT
@mdzainb3722
@mdzainb3722 4 года назад
Tatizo binaadam tunapenda miteremko sana aya hongera yake ngoja nayaya wamteremkie huko aliko na katika nchi za Africa naijeria inaongoza kwa kutapeli sijui wanajiskiaje nchi yao ikitwajwa kwa uwalifu mara kwa mara na mnaijeria si mtu wa kumuamini sio watu wazuri hongereni sana kwa kazi nzuri hawa wasitoke maisha yao yawe huko huko jela maana wakirudi huku uraiana watarudia tena
@saidmatola8015
@saidmatola8015 4 года назад
Hush Puppy ni noma, kabugi kidogo tuu, alitakiwa. Awekeze home, au nchi nyingine Africa inchi ambazo interpool hawapo.......
@khamismasaai5307
@khamismasaai5307 4 года назад
Wanaijeria huku UAE wanachafua nakuharibu sifa za wa Africa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 3 года назад
Saana
@shebywamilazo5142
@shebywamilazo5142 4 года назад
Yan kaka unajua kuelezea xana broo big up blessed
@itNeza
@itNeza 4 года назад
Jamani Mimi Nabaki na haya Maisha yangu Yachini, Ntayatengeneza pole pole Kihalali.
@marympemba8843
@marympemba8843 4 года назад
Umesema vizuri mungu ubariki kazi za mikono yetu, hakuna haja ya kupata utajiri wa kuiba kama hivyo. Walitumia majina feke pia wakajulikana, shida tupu
@omanimujsa9756
@omanimujsa9756 4 года назад
Duuuuuuh
@dannymusictz9442
@dannymusictz9442 4 года назад
Nice
@jacksonnyange5334
@jacksonnyange5334 4 года назад
Huna akili wewe
@itNeza
@itNeza 4 года назад
@@jacksonnyange5334 Wewe mwenye akili sasa. 🙄
@zeddysale217
@zeddysale217 4 года назад
Hongera kwa police wa Dubai
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@chibudonscott5807
@chibudonscott5807 4 года назад
Wasenge sana hawa jamaa,, 2017 sitasahau walinipiga Million 9. Nilidata kabsa.. Ila namshukuru Mungu now michongo inaenda poa🙏🙏🙏🙏
@shakiraabbas7538
@shakiraabbas7538 4 года назад
Duuu pole sana hata mimi walishanitapeli ilikia milion 8 hadi akili iliniruka kwakweli ile email ilifatiliwa jamaa mnaigeria hatari sana hawa jamaa
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 года назад
Polen😳
@edithayouma1528
@edithayouma1528 4 года назад
Poleni sana ndugu zanguni, siku 40 zimewafikia
@ashurajengela3926
@ashurajengela3926 2 года назад
@@shakiraabbas7538 duh jaman seriously?! 🥺🥺 Poleni sana mwee
@mabyserolouchcraig2431
@mabyserolouchcraig2431 4 года назад
Your perfect kwa kutuelezea story luv you big sns😚😍
@12322879
@12322879 4 года назад
Hizi ndo story sio umbea 💪🏿
@yasiniyamamoto8174
@yasiniyamamoto8174 5 месяцев назад
Hawa ni genius kuliko wote Duniani.
@sarajames9067
@sarajames9067 4 года назад
Asantee sky huchelewiii good good work
@wm9669
@wm9669 4 года назад
Good information. Asante
@ashabakari8313
@ashabakari8313 3 года назад
Awa Nigeria wanaitwa "Yahoo boys" nishidaaah!
@episawaki1281
@episawaki1281 4 года назад
Wanaume wa kinigeria sishtukiii.....vanesa clock is ticking jamni wanaume wakinigeria siyo watu wakuwaamini kbsaaaa
@mylasadick5189
@mylasadick5189 4 года назад
Y Vanessa clock Is ticking?
@noelmarapachi1808
@noelmarapachi1808 4 года назад
Mungu Amshike ili ikitokea kaingizwa mkenge Depression isi mmalize, aweze kui handle na kukubali na kuweza KUANZA UPYA
@rosemarymathew3022
@rosemarymathew3022 4 года назад
Ok 1
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 года назад
Mashaa Allah umebobea kwenye habari utangazaji wako mtu hachoki kukusikiliza , Congratulations
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@emilymula645
@emilymula645 4 года назад
Ati " thank God for...Keep shaming those who don't wish me well" Its said "Do not mock God..."
@jordanfromyt2861
@jordanfromyt2861 4 года назад
Emily Mula he got wat he asked for 😝
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@georgeburchard4872
@georgeburchard4872 4 года назад
Huyu ameisha!! Na marekani wanamtafuta!! Kwisha kazi!! Ila Kuna watu ni shida aisee!! Daaah! Na story yake naziona movies kabisa!! Ni movie kabisa!! Inasisimua Sana!!
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@salmaathuman9156
@salmaathuman9156 4 года назад
Jasho la mtu halipotea utatapeli ipo siku mungu atakuumbua tu na utaabika vibaya sana aibu tamaa mbaya sana nwisho wake ndo huo
@Okwirisam254
@Okwirisam254 4 года назад
😀😀😀😀this guy really enjoyed his life kwani iko nini....
@amanistarz1234
@amanistarz1234 4 года назад
Mmmmh noma sana
@tamaralyza3280
@tamaralyza3280 4 года назад
Mzungu anaona mwafrica ni Mtu hatari sana.
@kilogreekachananawatuwasio4054
Bravo kwa story mzuri 👏🇹🇿🇬🇷
@Kazubassyathyvry89
@Kazubassyathyvry89 4 года назад
Aiseee ana hakili sanaaaa,apewe kaziii tu huyu.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@actionscene4753
@actionscene4753 4 года назад
dah jamaa alibugi kujionyesha mitandaoni laiti Kama angelifungua hata kampuni dubai nakuuza petrol na huku anafanya utapeli kimya kimya asingekundulika kirahisi
@latifajanja2375
@latifajanja2375 4 года назад
Mungu analipa hapa hap duniani na zamwizi ni 40 karibu U A E ashpapi😃
@ashaally6662
@ashaally6662 4 года назад
😂😂😂
@tutakusaidiakupatagari8831
@tutakusaidiakupatagari8831 4 года назад
Nilikuwaga wa kwanza ku-comment kwenye page yake akanitumia laptop aina ya macbook Air, kumbe ni pesa halamu!!!?
@hildageofrey4816
@hildageofrey4816 4 года назад
Wee kweli
@tutakusaidiakupatagari8831
@tutakusaidiakupatagari8831 4 года назад
@ASIM MOHD mshenzi😆😆😆😆😆 nani anaweza hilo swala!!!
@moudrickyrashid5295
@moudrickyrashid5295 4 года назад
unahadithia fresh sana yan mpk unataman str isiishe.. kazi nzuri broo
@miriamngosha6856
@miriamngosha6856 4 года назад
Si ndiyo kazi anayoifanya Nicole wa amonize anajifanya et anauza mpunga na Michele tapeli mkubwa mfatilien mtapata kitu hishu zake a azifanyia maysia na wanaijeria uko wamejaa kibao wanatapeli matilion Ya watu this is true story bro nimekudokeza chukua hiyo
@nyamkamawanjara29
@nyamkamawanjara29 4 года назад
Kweli kabisa asee
@nyamakamatiku3392
@nyamakamatiku3392 4 года назад
Kumbe ni mwizi yule
@mocomoja4229
@mocomoja4229 4 года назад
Safi kwa taarifa nzuri
@ordotempliorientis8211
@ordotempliorientis8211 4 года назад
Nice presentation....thanks
@jacksonnyange5334
@jacksonnyange5334 4 года назад
Kama umemkabal Jamaa gongalike mwanaume nikujiongeza Bana
@kingcopper_tz
@kingcopper_tz 4 года назад
Bei yake imechangamka 😁😁 sky unajua sana kuandika simulizi bro
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 года назад
That how nigeria works is in the blood
@millicentayangokunting3728
@millicentayangokunting3728 4 года назад
True
@Inno-qz2ec
@Inno-qz2ec 4 года назад
Nakubali
@kijanahodari2080
@kijanahodari2080 4 года назад
Fake it until you make it,mutakoma munaopenda hawa wanaija
@aminaabdallah3644
@aminaabdallah3644 4 года назад
@@kijanahodari2080 😅😅😅
@emillykigira2556
@emillykigira2556 4 года назад
Thank you so much for the info. You have explained really well. Keep doing this good work
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 года назад
Wanawake wenzangu hata ukipata bwana wa naigeria usikubar akukatie pasport ukifuka huko unambiwa kuuza dawa,za kulevya
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 года назад
Duh mitiani kweli hii
@nancyfamilysharesmoments7634
@nancyfamilysharesmoments7634 4 года назад
Nimetoka kumblock sasahivi
@treyvissy9854
@treyvissy9854 4 года назад
Niliona hii jana Twitter wanageria wanaongelea hii ishu ..
@desekepi
@desekepi 4 года назад
Hii channel nailewa sana 💥💥
@nailaomar4810
@nailaomar4810 4 года назад
Weldon dubai police I like this country
@leahmwakongolo4432
@leahmwakongolo4432 4 года назад
Wow nice to
@hamzanasry8011
@hamzanasry8011 4 года назад
Yani wanaijeria sijuwi wanashida gani wizi ,kuuza madawa ya kulevya tabia mbaya mbaya Yani kwao nikawaida
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 4 года назад
Hamza Nasry true
@onlinemovie8580
@onlinemovie8580 4 года назад
@@naimayusuphu5864 hahahaah
@MtuSafi
@MtuSafi 4 года назад
@@naimayusuphu5864 ulishayakanyaga nn
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 года назад
Ndo walivyo nawajua san hao hovyo san
@allahisone6386
@allahisone6386 4 года назад
@@naimayusuphu5864 😆😆
@rassimbaengswahili6191
@rassimbaengswahili6191 4 года назад
Nimewakubali Sns hi Ni muhimu Sana Ahsante
@ashaally6662
@ashaally6662 4 года назад
Huwa Nasikia sana Wanigeria ni tishio nchi za kiarabu kwa wizi kumbe kweli 😂😂😂huwa nasikia mara kwa mara sana na India pia nasikia Wanaigeria wapo wezi wengi
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Sio Uarabuni tu ata Marekani wazungu wanalia.... Wanaijeria wameshindikana kwa wizi
@abubakarymsuluzya2195
@abubakarymsuluzya2195 4 года назад
Ndo hivo
@aishachambo3293
@aishachambo3293 4 года назад
Wezi sana wanigeria
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 года назад
Ndio watajua ajui
@benhorta5121
@benhorta5121 4 года назад
Indian na Nigeria hawa ni scammer balaaa sana
@kingkiwango1435
@kingkiwango1435 4 года назад
Afu unakuta eti ile mijitu ya huku ya tuma hela kwe namba hii nayo inajiona miamba!! Huu ndo utapel sasa
@ashanalinga8719
@ashanalinga8719 4 года назад
Machozi yawatu waliokuwa wanaibiwa kila siku Mungu amewalipia
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 4 года назад
Hyu hawatamfunga watampoteza pasipo julikana kafilisi watu sana hyu watamuuwa
@amedeuslyimo2315
@amedeuslyimo2315 4 года назад
Dahhh duniani kuna watu wanna akili za kipekee kabisa. Ila sijui Kama uyu jamaaa watamuacha hai
@enockmathayo2330
@enockmathayo2330 Год назад
Ni hataree
@josephstephen2047
@josephstephen2047 4 года назад
Wanaijeria wamesoma sana tena sana na ajira ni tatizo kubwa kwao hivyo wengi huishia kuwa matapeli konki
@hildageofrey4816
@hildageofrey4816 4 года назад
Tatizo wapo wengi sana million 195
@issaomari5297
@issaomari5297 4 года назад
Hushpupii kiukwel nimemfuatilia sana nikijua ni mfanyabiashara mkubwa namm nikataman sana kuwa mfanyabiashara kama yy mkubwa lkn kumbe alikuwa akini Inspire kitofauti tu acha maisha yaendelee nilimuomba mungu sana kwakusema mbona mamb yngu hayaend kama wengne like hushpuppi kumbe ni mwizi daaa usitaman maisha ya mtu kiukwel
@safiaabubakar1120
@safiaabubakar1120 3 года назад
Mpaka habari zako na shea na watu wengi hapa UK
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 4 года назад
Akitoka jela tumchukue aje afundishe kile chuo cha kishimba alichoshauri
@salumubakari4709
@salumubakari4709 4 года назад
yaani wanaijeria na sisi wametuibia vanesa mdee wetu
@mgoledaudi6051
@mgoledaudi6051 4 года назад
😅😅😅😅😅😅
@chainbre275
@chainbre275 4 года назад
Ndo Maana n'a Sema sns for life Juu mm huyu jamaa nimemufahamia tu hapa sns Nanakumbua ni baada ya Hamisa kumu wish birthday naye kumujimbu thanks love. N'a Chris alitueleza kwamba ni money changer wa hela za abroad n'a kupitia hiyo kazi yake basi amefanikiwa munooo kumbe ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii hakika siku za mwizi ni 40 days 2🙌🙌🙌
@asiajuma8330
@asiajuma8330 4 года назад
Jamani wanaigeria dubai ni wengi sana kumbe wengine ni matapeli wanaichafua afrika hawa wanaigeria
@maryamahmedkhamis1713
@maryamahmedkhamis1713 4 года назад
Watasababisha wa Africa warudishwe makwao kwa mambo yao ya wizi
@kenallday1115
@kenallday1115 4 года назад
Hushpuppi...Alikuwa akiishi ndoto za vijana wengi..kumbe alikuwa mwizi..kweli vitu vya ubatili hazikai
@mohamedwarsame2354
@mohamedwarsame2354 4 года назад
Na vijana wengi enzi JK walikuwa wana ndoto za uwizi na walikuwa na ndoto za kuibia serikali na wananchi kila kukicha na alipokuja JPM kukataa mirija ya uwizi wakawa wanamtukana Katika mitandao na kigogo2014 ni miongoni waliokatiwa mrija wa uwizi huo asee
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@pendooscar9322
@pendooscar9322 3 года назад
Wanaija wanapenda utajili yaan ata kufa wako tayari
@safanss9729
@safanss9729 4 года назад
😁😁😁😁😁😁Maana mbavu hadizinauma kwakucheka jamaa hadikatoka kitambi kwamali za zulma'duuuu sio p
@KEVOSHIZO
@KEVOSHIZO 4 года назад
Ningependa kua na akili zake
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 4 года назад
Aksante kwa kuelezea vyema.
@khadijakhadija6212
@khadijakhadija6212 4 года назад
Wanaharibu sifa za waafrica daah 😵😵😵
@ashaally6662
@ashaally6662 4 года назад
Ni kweli washahribu watasema waafrica ni wezi
@abubakarihamissi4178
@abubakarihamissi4178 4 года назад
Saaaana aise wanaijeria wana tamaa sana na wakishaingia kwenye nchi nyingine lazma waiharibu na wenzao ni wacameroon huku Europe waceroon wamedakwa juzi wanatengeneza euro fake walikuwa wanahonga mpaka €2000 kwa usiku tu mmoja kulala na mwanamke
@imanuelsimon9739
@imanuelsimon9739 4 года назад
Lakini wanarudisha hela zetu walichukuaga kipindi cha ukoloni
@geoffreymwandwani4490
@geoffreymwandwani4490 4 года назад
@@imanuelsimon9739 😂😂lol
@ndegejr4218
@ndegejr4218 4 года назад
@@imanuelsimon9739 😆😆😆😆
@yhasintakalenyula970
@yhasintakalenyula970 4 года назад
Hela kama hizi...na matumizi yake yanakuwa yaajabu.Wapambe wake nawapa pole.
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 Год назад
Hy auliwe au afungwe maisha yy na geng lake sio mtu wa kukaa mitaani at all
@asimaaathumani5739
@asimaaathumani5739 4 года назад
Safi sana
@sarahtaste2876
@sarahtaste2876 4 года назад
Miaka sita mbona midogo wanautani dubai embu msogezeni bongo afungwe maisha huku ukitembea tu student miaka 30 halaf utapeli mkubwa hiv ety miaka mitatu au sita
@millardyleonardy7296
@millardyleonardy7296 4 года назад
Nomaaaah sana
@Waytozanzibar
@Waytozanzibar 4 года назад
Sasa nimepata kujuwa kwanini watu Wesi wanauliwa ktk nchi za kigeni. Endeleeni2 kuwauwa.
@zaitunisinamenye1799
@zaitunisinamenye1799 4 года назад
Aca, wakamatwe walitesa watu kwa kuwaiba mtandaoni, na wako wengi uko Nigeria, ndo kazi zao
@chunaamina8719
@chunaamina8719 4 года назад
Duh jameni dunia hii
@abuukamugisha5994
@abuukamugisha5994 2 года назад
Jamaa alikula bata la daraja la kwanza anaenda kupumzika net kwa muda mrf sana
@mussaabobakar7537
@mussaabobakar7537 4 года назад
Jan ww upo sawa kwel kuliko yule mindo simba ndel yeye daimond tu kwenye tv yake ww unatoa vitu adim sana
@TradersEasyWay
@TradersEasyWay 4 года назад
thailand pia ina wezi wa mtandaoni.wengi, kuweni makini na biashara za double A paper kutoka Thailand.Watu wameibiwa mpaka basi.
@hassanisadiki824
@hassanisadiki824 4 года назад
Ila ktk hizi nchi za kiarabu wanaigeria, waCameron na wapakistani wanaiba sana pesa kwa njia ya mitandao
@francisrichard5033
@francisrichard5033 4 года назад
Watu wanaokamatwa kwa makosa kama haya hua wanapewa ajira serikalini especially marekani maana ujuzi wao ni wa hali ya juu, kwaio instead ya kufungwa unaenda kutumikia serikali for lifetime
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@makondefinest
@makondefinest 4 года назад
Wanaume hao.!
@mligosandrah7851
@mligosandrah7851 4 года назад
Ninavuoihrshimu hii nchi🇦🇪🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 Na Hawa wa Nigeria sitakagi mazoea nayo.Atapata adhabu na akitolewa watampiga burn hatoingia tena
@exaveryapplerbroker2501
@exaveryapplerbroker2501 2 года назад
ru-vid.com/show-UChontPobEVBh7hxiACIVP_g
@travisscott8617
@travisscott8617 2 года назад
Big up brother
@khadijaomar8427
@khadijaomar8427 4 года назад
Pesa uliyoitolea jasho huwezi kuichezea hivi
@RioIpo
@RioIpo 4 года назад
Wallah tena Didah
@slayingtee6044
@slayingtee6044 4 года назад
Kweli kabisa
@ashaally6662
@ashaally6662 4 года назад
Kweli kabisa
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 года назад
Ngoja na me nimuombe anifundishe
@danielkiroka6331
@danielkiroka6331 4 года назад
Sele Ally Yahaya mambo ya ait aya
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
Namuonaga uko ista anakubl bata kumbe tapeli🤣🙌🙌 kweli usitamn mali ya mtu mwingine 🙌🙌 yaani utaman mali na maisha ya watu wa insta utakufa maskin 🙌🙌🙌🤣apo kuna watu wanasema ni roll model wake 🤣🤣🤣
@khadijaomar2723
@khadijaomar2723 4 года назад
Amepatikana
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 4 года назад
😂😂😂
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 года назад
Kwel za mwiz 40
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
@@khadijaomar2723 sanaaa
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 4 года назад
@ShutterDe DON 🤣🤣🤣🤣🤣ongera il za mwizi n40
@allutacontinua5900
@allutacontinua5900 2 года назад
Unaonyesha vitu mitandaoni na unajua ni vya wizi mungu nifundishe kunyamanza
@azizisaidy8553
@azizisaidy8553 4 года назад
safi bro
@badiadam4056
@badiadam4056 4 года назад
Tamaa mbaya angeacha hiyo piashara,,,,, tayari alikuwa ametajirika duu
@frenkfrancis4151
@frenkfrancis4151 4 года назад
Noma sana
@siwemasaid2619
@siwemasaid2619 2 года назад
Natamaniiiii wangekuja na Tnia kutufichulia matapelii wapo wengi na makundi yao 👊🏻
Далее
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.
Why Nigerians own Empty Mansions in their Villages
25:18
Friends
00:32
Просмотров 177 тыс.