Тёмный
No video :(

POMBE NA UKRISTO 

Servant Ivan Kibiki
Подписаться 656
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

15 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 21 день назад
Nakubaliana na wewe mtumishi,ila ni vyema kukaaa mbali na pombe maana mara nyingi umpelekea mnywaji kufanya matendo ya uovu pasipo kufikiri kwa usahihi,,,,,pombe uzima sub conscious mind.
@ubongosahihi
@ubongosahihi 7 месяцев назад
Waoooo Mwalimu siku fahamu Kama upo humu barkiwa 🎊🎊🎊🎊
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 6 месяцев назад
Umeeleweka vizuri mwalimu.
@blessingbisimwajanesbisimw6966
@blessingbisimwajanesbisimw6966 6 месяцев назад
Ubarikiwe mwalimu,naona mwengi ne hapo Tanzania anajiita mzee WA upako anasema pombe sio zambi
@valenakomba9218
@valenakomba9218 17 дней назад
Ameeee.❤❤❤❤
@gilbertmsangi5969
@gilbertmsangi5969 6 дней назад
Mwalimu niko kwenye group lako mwaka wa pili sasa ila leo ndio nimejua una youtube channel
@godwinkileo7702
@godwinkileo7702 5 месяцев назад
Maanayake kama walioambiwa wasinywe pombe maana yake pombe sio nzuri
@roseombay2086
@roseombay2086 7 месяцев назад
Amina
@mwenda8911
@mwenda8911 10 дней назад
Huu ni upotovu, mithali20:1 mlevi ana kelele,ni mwenye ungomvi, pia inadhohofisha afya. Pombe pia upotosha maandili. Genesis 19:32-38 baba hakujua akilala na wanawe. Genesis 9:20-27 inaketa laana kwa vizazi. mithali31:3 -7
@kalistokyando1670
@kalistokyando1670 4 месяца назад
Ndugu yangu usipotoshe watu. Utahukumiwa. Usipotoshe watu. Acha!!!
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 5 месяцев назад
Usipotoshe soma vizuri kwenye mvinyo hakuna utukufu ndomana kila alie pewa utumishi wa mungu aliagizwa asitumie hata mzinzi halaumiwi ila anafundishwa
@isayakigava9283
@isayakigava9283 4 месяца назад
Hajapotosha ila ametoa mtazamo tofauti na wa kwako,unanafasi yakutafakari zaidi kabla hujakataa au kukubaru
@gregorymhanze
@gregorymhanze 5 месяцев назад
Kuna sehenu ktk bilia inasema ole wao waamkao asubuhi na mapema kufata pombe /mvinyo hiyo imekaaje
@harunizephania6154
@harunizephania6154 2 месяца назад
Kama unakakuwa mtu safi usinywe pombe
@user-fq3xt6fe4n
@user-fq3xt6fe4n 7 месяцев назад
Mwalimu mwenzangu umenijibu maswali ambayo nilishindwa kuyapata na watu wote wa dini zote wameshindwa kupata majibu juu ya pombe
@ahmadamohamed1907
@ahmadamohamed1907 5 месяцев назад
Uelewa wako ndipo ulipoishia
@richardmwandanji65
@richardmwandanji65 5 месяцев назад
Usilewe kwa mvinyo ambamo humor Kuna uchafu vipi kamamtu anasema hiki chakula ni kichafu. Wawezakusema amekupa ule au wewe ndo umeamua ule uchafu
@lucaspaulo5371
@lucaspaulo5371 5 месяцев назад
We ndo umefundisha vizuri mno ila walokole hawataki kusikia hivi.
@JohnKapinga-wo1ow
@JohnKapinga-wo1ow 5 месяцев назад
Wewe ndugu fundisha vizuri pombe ni dhambi
@user-vy8tb2hq9w
@user-vy8tb2hq9w 3 месяца назад
Hatari wewe ! Unahatari kubwa bibiria ina makatazo mengi ya unywaji ya pombe !😢
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 6 месяцев назад
Rozi Mhando.kaleta agenda.
@servantivankibiki768
@servantivankibiki768 6 месяцев назад
Kivipi Rose mwando?
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 6 месяцев назад
@@servantivankibiki768 Ametoa wimbo unaohusu pombe
@paulndosa2649
@paulndosa2649 5 месяцев назад
Bora umekiri kuwa huo ni mtazamo wako and you stand to be corrected. Unapokuwa na Roho mtakatifu ndani yako ni udhihirisho wa kuwa unatembea na Yesu. Uko ndani ya Yesu na Yesu yuko ndani yako. Kama pombe inakuondolea Roho mtakatifu maana yake hauna Yesu ndani yako na hutembei naye na hujampokea, hivyo hauko salama kiroho. Biblia inasema wale waliompokea Yesu aliwafanya kuwa wanae. Sasa kama wewe si mwanae mbinguni utapitia mlango upi?
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 2 месяца назад
Samson km alikatazwa kunywa pombe ni kwasababu alikua mnaziri wamungu kutumia pombe sio zambi atakidogo
@NicolausMgosi-sz5qv
@NicolausMgosi-sz5qv 3 месяца назад
Basi kama SI mbaya ukitaka kunywa uwe unaiombea kama unavyoombea chakula kingine kila mtu atabeba frushi lake mwenyewe. Mungu akufunulie maana unataka kuelewa ila wagalatia 5:19-21 imekujibu
@user-tn9zj1oy8e
@user-tn9zj1oy8e 2 месяца назад
Mpotoshaji
@user-oi5bi2ey2v
@user-oi5bi2ey2v 6 месяцев назад
Tusome wagalatia 5:19-21
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 5 месяцев назад
Ulevi na ulafi ni miongoni mwa matendo ya mwili. Hapa Biblia haijazungumzia kunywa pombe wala kula chakula bali ulevi na ulafi. Kunywa pombe si ulevi, vivo hivyo kula chakula si ulafi. Kunywa pombe + kula chakula kupitiliza ndio matendo ya mwili.( Wagalatia 5:19-21)
@hassankimaro3633
@hassankimaro3633 4 месяца назад
Ndugu zangu kila kilichokatazwa na MUNGU huwa ni kizuri na kitamu Sana hivyo ni hiari yako kuamua kunywa pombe , kufirwa au kufira vyote hivyo vimekatazwa Ila huna haja ya kubishana we endelea aidha kuyafanya hayo au kutii maamrisho ya MUNGU
@wisdomhalisi......8891
@wisdomhalisi......8891 4 месяца назад
Pombe na MUNGU haijawahi kutokea, WATU WA MUNGU WAKIWA NA NGUVU YA MUNGU(ROHO MT) HAWARUHUSIWI KUNYWA POMBE, ANYWAYE POMBE YU NA SHETANI, NUHU ALIPOLEWA POMBE HAKUSEMA TENA NA MUNGU(MWA,9:20) MNAOSALI MKIMTAKA MUNGU NA NGUVU ZAKE LAZMA UACHE POMBE, NA WATU WA SHETAN MKIMTAKA SKETANI KUNYWA POMBE. NB..TUMEUMBWA WATU WOTE TUMTUMIKIE MUNGU NA SI SHETAN......MCHUNGAJI AKO NA SHETANI LAZIMA AMSAPOTI JOKA...... POMBE NI MARUFUKU.....
@LearntowinLTN
@LearntowinLTN 3 месяца назад
Uko sahihi ,naomba nikuulize swali kula chakula ni dhambi au kunywa maji ni dhambi?
@johannesjoseph7496
@johannesjoseph7496 21 день назад
Tenga mda umsikilize Tena.Biblia inazuia ULEVI,ulafi nk ila haizuii pombe au chakula--tunafundishwa kiasi kwa Kila jambo,tatizo la pombe ni kua ina addiction(ulaibu),ukianza na bia moja utajikuta ata 5 hazikutoshi,hivyo wanatheolojia wa kiprotestant waliona ni vyema kua na mtizamo wa kuzuia pombe kabisa,ambapo ni jambo jema kwa usalama wa kiroho wa waumini.Hakuna haja ya kukimbiza farasi juu ya mwamba Ili kuona kama utaanguka au la
@user-eb3jk4lc4s
@user-eb3jk4lc4s 4 месяца назад
Kunywa pompe siyo dhambi. ila kulewa ndiyo dhambi kunatofauti ya kunywa na kulewa hata Yesu alikunywa lakini hakuwa mlevi. matayo 11:18--19.
Далее
ETI YESU NI MUISLAM?
29:13
Просмотров 10 тыс.
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
Просмотров 32 млн
DARASA LA KIINGEREZA  HATUA YA KWANZA
10:24
Просмотров 20 тыс.
MAZINGE NA MCHUNGAJI
18:15
Просмотров 69 тыс.
TAFUTA MFARIJI SAHIHI UNAPOPATA MATATIZO
10:59
WASABATO WANABATIZA KINYUME NA IMANI YA KRISTO
39:47
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Просмотров 101 тыс.
YUPI WA KUFUATA KATI YA YESU NA MUHAMMAD: BUKAVU CONGO
1:43:34
Running With Bigger And Bigger Feastables
00:17
Просмотров 32 млн