Тёмный
No video :(

YUPI WA KUFUATA KATI YA YESU NA MUHAMMAD: BUKAVU CONGO 

WARNING OF LAST DAYS
Подписаться 7 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 158   
@user-tu5co2zw9m
@user-tu5co2zw9m Месяц назад
ubarikiwe mwalimu ndacha
@SamsonKinyua-yr6lz
@SamsonKinyua-yr6lz Месяц назад
Haki najivunia kuwa mkirsto amen amen❤🎉
@JojoSrena
@JojoSrena 27 дней назад
Na mimi pia
@mwoso
@mwoso 2 месяца назад
Hapo injili ya yesu kristo iliingia kabisa maskioni mwa watu! Ubarikiwe mwalimu Ndacha.🙏
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 месяца назад
Paul nawe Mungu akubariki akupe kila hitaji. Uliombalo kwa Mungu uishi milele na familia yako kwa kweli unaijua Biblia Mungu akubariki🎉💕🙏🏾
@kingofjungle510
@kingofjungle510 Месяц назад
Hata mimi nampenda Paul
@tomisomutua25
@tomisomutua25 Месяц назад
Amen
@rehemashariff3119
@rehemashariff3119 2 месяца назад
Ameeeeeen hakika huu ni ukweli Yesu ndiye njia iliyo nyoka
@frankmwakalinga7455
@frankmwakalinga7455 2 месяца назад
Mungu akubariki sana Professor Ndacha Mungu akuinue sasa kwa injili hio ya kweli🙏🙏
@melizakwamboka8004
@melizakwamboka8004 Месяц назад
May God bless you ndacha mtumzi wa mungu🙏🙏🙏🙏
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 27 дней назад
Upotevu too
@niwagwenemayeye972
@niwagwenemayeye972 13 дней назад
Barikiwa mtu wa Mungu Yesu na ajulikane na watu wote
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 месяца назад
Yesu ni mwema sana pr Ndacha wape habari njema watoke huko waje kwa Yesu ubarikiwe sana
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 Месяц назад
TUJE TUKATE VIUNO SIOO
@bubasha88
@bubasha88 14 дней назад
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
@LaizaLaiza-oj9uw
@LaizaLaiza-oj9uw 2 месяца назад
Kabisa yesu niuzima wa milelele
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Месяц назад
Sikuli ukisema hivyo iyo nikumpinga yesu direct Yohana 17:3 Na uzima wa milele ndiyo huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na yesu kristo uliyemtuma
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Месяц назад
Yesu anamtukuza Mungu wewe na ndacha mnamtukuza yesu Ukifa tu na hiyo Imani Mutoni
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Месяц назад
Mathayo 7:21 Si Kila mtu aniambiaye Bwana Bwana atakayeingia katika ufalme wa mbinguni bali ni yeye afanyaye mapenzi ya baba yangu aliye mbinguni 7:22 wengi wataniambia siku Ile Bwana Bwana hatukufanya unabii Kwa Jina lako na kwa jina lako kutoa pepo Na Kwa Jina lako kufanya miujiza mingi 7:23 Ndipo nitawaambia dhahiri Sikuwajua nyinyi kamwe ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu
@jumamnyonge2148
@jumamnyonge2148 Месяц назад
Yesu hawatambui wacheni kujipendekeza kwake
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 27 дней назад
mashallah uwislam nuru allihamdullilah ❤❤❤❤
@Joao-iw9bd
@Joao-iw9bd 21 день назад
Ndacha njoo Mozambique ufundishe watu❤❤
@erickagwe8841
@erickagwe8841 2 месяца назад
Jina la Bwana Yesu lisifiwe kwa ulimwengu wote
@jasonplayz4394
@jasonplayz4394 2 месяца назад
Akuna aliye kama yesu nani mwanahume kama yesu hallelujah milele na milele ❤❤❤love your so much my
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Kumbe wewe hujui mwana huoa au hujamii ukiona mwanamme hakuna tumtilie mashaka
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 27 дней назад
Iyo kafiri ndacha inamutukana mtume wadaraja prof Muhammad uwislam nuru ❤️
@EMIDISumaili
@EMIDISumaili 24 дня назад
Wewe kuma
@innocentndikumana8928
@innocentndikumana8928 23 дня назад
@@EMIDISumaili mujinga kafiri soma ujuwe haki
@ElizabethAoko-p8q
@ElizabethAoko-p8q 9 дней назад
Acha ufala
@athmanidi7388
@athmanidi7388 Месяц назад
Wakiristo Yesu NI Mungu kwenu Ama Mwana WA Mungu.?
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 месяца назад
Kwa kweli pr Ndacha Mungu akubariki waeleze hao hawajui kitu wanawafata waarabu hata hawajamuona
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Wewe hujui hata unasemaje nn nikuulize jee wewe unaamini kuwa yesu aliuwawa na viumbe ambao yeye amewaumba na kumpandisha msalabani Jee ulikuwepo siku kinafanyika hicho kitendo au Kama ulivyouliza na wewe ulimuona au unafata maji tu Kama kaa ureda?
@athmanidi7388
@athmanidi7388 Месяц назад
Tafadhali Ndugu Yangu kwa Mkiristo Yesu NI Mungu tafadhali
@user-wi4nb7fg8v
@user-wi4nb7fg8v 2 месяца назад
Tena uko na msomaji mzuri Paul waambiee Mungu awabariki sana
@RobatiSiplian
@RobatiSiplian 2 месяца назад
Mangy akubaliki sana
@junicnamuwenge6957
@junicnamuwenge6957 2 месяца назад
Hallelujah 🙌🙌🙌🙌🙋🙋💃💃🇸🇦🇸🇦🇺🇬🇺🇬
@MaryNjeri-ox1ry
@MaryNjeri-ox1ry 2 месяца назад
Ndacha Mungu akusaidie
@SamuelmuneneMuthoni
@SamuelmuneneMuthoni Месяц назад
Be blessed ndacha barikiwa
@BakulikiraMushengezi
@BakulikiraMushengezi 2 месяца назад
Ubarikiwe baba.
@LuisFaustinoLuis
@LuisFaustinoLuis 2 месяца назад
Ndacha mungu akubaliki sana amina
@SimonRiikah
@SimonRiikah Месяц назад
MUNGU akurinde mwalimu ndacha kwa mafundisho
@salumdjumabizmana0110
@salumdjumabizmana0110 19 дней назад
wallah kwa yule anaefuata mihadhara hawezi kuwa mkristo hata kidogo . namshkuru Mwenyezi MUNGU kunifanya muislam. ukristo sio njia wala sio dini
@wacekebbro
@wacekebbro 12 дней назад
siwezi fuata mchawa mohammed
@CadetYuma
@CadetYuma Месяц назад
Mungu awe Nawel sikuzote za maisha yako.
@LuisFaustinoLuis
@LuisFaustinoLuis 2 месяца назад
Mungu akubaliki sana ndacha
@ShilohPraise04
@ShilohPraise04 2 месяца назад
Ndacha tunakutaka Burundi
@mwambakibucheche1119
@mwambakibucheche1119 Месяц назад
Yesu ni Bwana
@jamesmukindia3797
@jamesmukindia3797 2 месяца назад
I love pst dacha
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Hee vp kwani ushayafata maneno ya papa?
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 месяца назад
Yesu ndio njia na kweli na uzima. Nakupenda yesu
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Kwa hio tumkanyage au ni barabarani tupitishe gari?
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 Месяц назад
@@hassanjuma2772 utafahamu 2
@hamisahtuman5595
@hamisahtuman5595 2 месяца назад
Paulo Msomaji uko vizr
@user-ek7bx6sk6f
@user-ek7bx6sk6f 2 месяца назад
ALLAH AKBAR Uislamu ndio dini ya haki mtajaribu namna zote na vyovyote muwezavyo ila mjuwe hiyo dini inalindwa na pekee Muumba kwa hiyo haiwezi kuanguka iatabaki imara na Nakiri kuwa Muhammad (S.A.W) Ameteuliwa na ALLAH ili kuifundisha
@costantineevarist5110
@costantineevarist5110 2 месяца назад
Uislam wa wa kikatoriki
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Mhammad (s. a. w) aliye teuliwa na mungu yupi yule alie baka kitoto cha miaka 6 au? 😂😂😂😂😂
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Na kwanini allah hasikii kiswahili chako anasikia kiarabu?
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Pole sana na hiyo dini yako ya kulithi ya ukafiri kutoka uarabuni
@PeterMagoye
@PeterMagoye 27 дней назад
Sasa dini ya majini nayo unajivunia nayo na amri za kiislam ni za kiajabu
@user-km2fj5cs4v
@user-km2fj5cs4v 2 месяца назад
Yesu ndiye wa kufuuatwa wala hakuna mwingine
@DakorTrony
@DakorTrony 2 месяца назад
Muhammad
@everlynewanyama
@everlynewanyama 2 месяца назад
Kuna muislamu apo ady nmemuhurumia😂😂😂😂😂Ndacha kiboko yao tangaza injili ady kieleweke ❤
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 месяца назад
😂😂😂😂 Hana lolote 😂😂😂
@HenryMsika
@HenryMsika 16 часов назад
Ukweli unama waisilamu ludini kwayesu
@ramadhanchenga4606
@ramadhanchenga4606 Месяц назад
Waislamu hoi
@wilsonkantabula1715
@wilsonkantabula1715 2 месяца назад
Mwamed ni mfuasi wa Yesu. Waislamu wameamriwa kumkiri masih kwa kinywa Chao. Kwenye Quran.
@richardodoyo7558
@richardodoyo7558 2 месяца назад
Ngeraa mtumshi wa MUNGU kutangaza injili ya YESU KIRITO AMNAAA
@ArmandMananira
@ArmandMananira Месяц назад
Amen,
@MohamedMeja
@MohamedMeja 2 месяца назад
Ndachaa ni fujoo tu hana moja ajualo
@qerysir4410
@qerysir4410 2 месяца назад
wew kaoshe matako maana hapo ndipo akili zako zilipo
@MajiiIfande
@MajiiIfande Месяц назад
Ndacha amehubiri ukweli , kufa na kuzikwa kaburini ni kumfuata Muhammad? Hii ni hoja mufilisi ,haina andiko wala uthibitisho
@user-ux5qk8fl4u
@user-ux5qk8fl4u Месяц назад
Waislam sijui kwanini wanafata dini yanamna hii.
@CelestinoCasimiro
@CelestinoCasimiro Месяц назад
Wewe ndacha yeso ni wawa zilaeri tu pekeyao
@PendoGakumbi
@PendoGakumbi 2 месяца назад
Kimeumana! Wale wa am proud to be muslam. Mko wap
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 месяца назад
Am proud to be a Muslim ❤
@CelestinoCasimiro
@CelestinoCasimiro Месяц назад
Armani iwe nawe chee
@danielobeboex-marine9186
@danielobeboex-marine9186 2 дня назад
Ukweli unauma u christo ndi dini aliye na maskio na askie
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 месяца назад
injili ya yesu kristo lazima isikiwe na kila mtu,dunia yote ili siku ya mwisho ukiulizwa usipate cha kujitetea na Mungu mwenyewe.. Mimi namfuata yesu kristo daima
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Waislamu ni makafiri wanafuata kafiri mwenzao mhammad aliekuja kupinga na kupotosha njia ya Mungu wa kweli ya ukiristo iliyotangulia
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@smadon5638
@smadon5638 2 месяца назад
Nyie Wakristo ndo munaabudu Binadamu Yesu,eti Mungu du😂
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
@@smadon5638bora sisi wakiristo tu Muabudu yesu mwana wa Mungu aliye hai ambae yuko mbinguni na siku ya khiama atakuja kuwahukumu nyie makafiri pamoja na mhammad wenu kwasababu nyie makafiri mmemuasi Mungu wa kweli muumba mbingu na ardhi Jehova mnaabudu jiwe la uarabuni misikiti yote imeekekezwa saudiarabia nyie waislamu mnaposali mnatazama saudiarabia ndo Mungu wenu aliko na hilo jiwe haliskii kiswahili linaskia kiarabu 🤣🤣🤣🤣
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
Muhammad ni kafiri
@rukiakadzo8053
@rukiakadzo8053 Месяц назад
@@Juniorjacob-le1rr hivi tayari ama una jingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@obedkalinga9704
@obedkalinga9704 2 месяца назад
Eti macca ni katikati ya dunia, akili za waislam zinawatosha wenyewe sijui anatumia kigezo kipi maana tuliosoma geografia kama muhimili wa dunia ni macca
@geofreymulei5695
@geofreymulei5695 2 месяца назад
Dacha kiboko yao wapashe
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Ikiwa ndacha kiboco Inamana anaishi mtoni
@RITAChepngetich
@RITAChepngetich 16 дней назад
I think iyo mti unayesema si mti halisi ni wewe na mimi kama hauna matunda masuri mungu atavuna nni fungukeni akili pamoja na roho senu nyinyi waislamu mnaelewa kimwili
@FredizMhagama
@FredizMhagama 2 месяца назад
Mmh wenye dini wamelishwa matango pori na mudy
@ruthhamisi2902
@ruthhamisi2902 2 месяца назад
Injili inaeleweka mwenye masikio na asikie
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 2 месяца назад
Sule wacongo kuwanafundisha kwautaratibu batubasikuye uko nasemanini mudahalo sivita kunawatu naowafwata kwaiyo inaomba kufundisha kwautaratibu
@saidira726
@saidira726 Месяц назад
Sasa kwa nini wewe ndacha na wenzako mnakuja kutetea alie kuwa hai? Ipo siku mate yatakukauka
@user-ls2qx1xq1r
@user-ls2qx1xq1r 2 месяца назад
Mnajua wakristo tatizo sio kumkubali yesu na kumsifu tu kufata vitendo vyake mujuwe hakuna muslam anomkataa yesu mwenyezi mungu kaleta manabii wengi tu akiwemo yesu yaani issa ilikufata njia ya mwenyezimungu anayoitaka tumjuwe mola mmoja tuu wa kuwabudiwa na namna ya kumuabudu kumsujudia na kumuoba yeye tu yesu alikua anasujudu kama anasujudu alikua anamsujudia nani kama yeye ni mungu tatizo la wakristo mnamchukia mtume muhammad bure muhammad kaletwa ili kukutoweni katika shirki kumwita yesu mtoto wa mungu au wengine wana sema mungu wengine utatu maana nyinyi wenyewe hamjielewi yesu mtume kama mitume iliopita nyinyi wakristo hamtafakari au mnajisemea tu mnafanya mchezo na utukufu wa mungu kama ni kigezo chenu kua ati yesu kamfufua mtu au kazaliwa bila ya baba huo ndio uwezo wa mungu akitaka jambo lake liwe husema kuwa na likawa na kutumia viumbe vyake kufanya miujiza hebuni kaeni ufikiri sawasawa wakristo vitabu vya mwenyezi vinavyo eleweka ni ijil zabur taurat quran bibilia imetuka wapi usituletee sijui bibili imo taurati sijui imo ijili tunataka vitabu vya mwenyezi mungu vinyojulikana hichi ni kitabu ni ----- kutoka kwa mwenyezi mungu wakristo hamna kama unamfata yesu hebu basi tuonesheni kitabu chake na wallahi mkiwa nayo ijili au zaburi au taurat kamili ikiwa kama quran kitabu kamili basi wakrito nyote utakua wailam
@bustedislam3578
@bustedislam3578 2 месяца назад
Yesu alisema ukimwamini kama yeye ni mwana wa Mungu ubatizwe. Je, wewe unayemkubali ulisha batizwa?
@user-vl7zi7rz8y
@user-vl7zi7rz8y Месяц назад
Alafu tofautisha manabii wengine na yesu kwasababu yeye yukojuu ya vitu vyote
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Месяц назад
@@user-vl7zi7rz8y Yesu yuko tafauti na wengine. Yeye alimuita Mungu baba yake, alitumwa na Mungu kama mwanawe, ni mtakatifu na hakufanya dhambi, alitoka kwa Mungu na alirudi huko, alikuja kwa jina la baba yake Mungu na anahaki ya kuitwa hilo jina Mungu, ata hukumu walio hai na walio kufa, yaani marehemu Muhammad atahukumiwa na Yesu, alisamehe dhambi za watu...
@khammadjeffa515
@khammadjeffa515 2 месяца назад
Wewe kazi yako ni kujenga hoja tu.
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 2 месяца назад
Sule utateteya mtume? Simtume ajiteteye?
@JamesMoses-jd1yq
@JamesMoses-jd1yq 2 месяца назад
Ndacha una kiti chako chako mbinguni
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Mbinguni ataenda kwa ndege au kwann mm Nina uhakika kuwa atalala ardhini kawa kina Musa Ibrahim yakub na wengine wewee kamau napinga Pinga tu lkni Hilo ndio ukweli wenyewe umekuja kwa udongo utarudi kwa udongo
@mrjulius5840
@mrjulius5840 2 месяца назад
Kwahyo bwana mtume alioa mtoto mwenye miaka 6 ?
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba Месяц назад
Lakwanza unasema uongo lapili ule alieowa mtume haikuwa dada Yako
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
@@SwidikiKabemba mtume wenu alikua mbakaji
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
@@SwidikiKabemba mbona abake mtoto mdogo mshenzi Sana yeye
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba 29 дней назад
@@Juniorjacob-le1rr kutusi usiomtambua yaonesha ushenzi kamili.kwanza wewe ni murongo waajabu kusema miaka6 ,jazba yauongo inaacha unasahau namna walikupashaka
@DakorTrony
@DakorTrony 2 месяца назад
Quran ni ya waharabu hata imeandikwa kiarabu
@thekingdragon8358
@thekingdragon8358 Месяц назад
NA BIBILIA IMETOKA WAPI
@user-fi4qy9se4r
@user-fi4qy9se4r 2 месяца назад
Sasa km yesu ni mungu mbona asulubiwe wakristo karibuni kwenye uislamu
@ramadhanmahongole9293
@ramadhanmahongole9293 2 месяца назад
Hahaha kwisha habari zenu waislam kwanza waislamu ni makafiri mana wamekuja nyuma ukiristo ulitangulia ndipo. waislamu wakaja nyuma kupinga na kupotosha njia ya kweli ya Mungu ya ukiristo
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
​@@ramadhanmahongole9293hebu tuelimishe nn ukristo uliotangulia ili tuelimike maana hakuna ukiristo Kuna kristo ,na kristo ni jina la mtoto wa mariamu Sasa Kama wewe ndo umepata dini Hilo jina lake sawa ,
@eliyandondole
@eliyandondole 2 месяца назад
Mchungaji ndacha wewe hatari sana bado wagumu tu kuokoka
@smadon5638
@smadon5638 2 месяца назад
Yesu alitumwa kwa Wayahudi Makabila 12 ya Waisraeli,hakutumwa kwa Wafrika 😂😂
@bustedislam3578
@bustedislam3578 2 месяца назад
Hii ni hoja ya anayemfwata marehemu Muhammad aliyerogwa...
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
​@@bustedislam3578 marehemu tena 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bustedislam3578
@bustedislam3578 Месяц назад
@@Juniorjacob-le1rr Marehemu kabisa kabisa. Aliyekufa ni marehemu. Na waislamu wanapashwa kumswaliya ili waone kama Mungu wao anaweza kumrehemu. Ni hatari
@wilsonkantabula1715
@wilsonkantabula1715 2 месяца назад
Quran inasema yesu atakuja kuhumu wapinga kristo. Mpinga kristo ni nani?
@user-fi4qy9se4r
@user-fi4qy9se4r 2 месяца назад
Ndacha hujui lolote wewe
@mrjulius5840
@mrjulius5840 2 месяца назад
Kumbe MUHAMAD ALIROGWA ? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hassanjuma2772
@hassanjuma2772 2 месяца назад
Kuna vitu vinahitaji elimu Pana Sasa tungelikuwa sote tunachukulia Kama elimu yako basi ingelikuwa tabu kwa mfano muhammadi alirogwa na yesu alichukuliwa nashetani hivi vitu vinahitaji elimu ,na siku zote neno usilo na elimu nalo usilitamke
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
Hahahahaha
@Juniorjacob-le1rr
@Juniorjacob-le1rr Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@SwidikiKabemba
@SwidikiKabemba 29 дней назад
@@mrjulius5840 ndio muhammadi alirogwa lakini hakuroga kama vile Yesu aliroga mti usizaematunda
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 месяца назад
Ndacha Mungu akubaliki
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 месяца назад
Ndacha Mungu akubaliki
@claverirambona6068
@claverirambona6068 2 месяца назад
Ndacha Mungu akubaliki
Далее
ETI YESU NI MUISLAM?
29:13
Просмотров 10 тыс.
Cute kitty gadget 💛💕
00:23
Просмотров 4,7 млн
13 al talah
3:53
Просмотров 1,8 тыс.
Uungu wa Yesu.
1:16:39
Просмотров 3,2 тыс.
MASWALI NA MAJIBU- NDACHA NAKURU
1:06:53
Просмотров 144 тыс.
WAFU WAKO WAPI ? KASARANI DAY 4 BY FRANCIS NDACHA
57:16
MASWALI NA MAJIBU KUUSU MUNGU WA KWELI : BUKAVU CONGO.
2:03:21
WEWE NDACHA NITAKUUA MIMI NATISHA //Prof MAZINGE
29:23
Просмотров 330 тыс.