Nimeelemewa,nimeelemewa,nimeelemewa !,yaaani cjui nianzie wp kuwapa neno la kuwashkr,Uongozi mzima/vjn wetu pia wanachama/mashabiki,shkrn mno kwa DUA'A mujarab,asanteni sana kila la kheri chama lng,Wananchiiiiiii ! Aluta continua
What an insightful comment!! Absolutely true! No mbambamba, no blah blah...we need no many words in football however attractive they may look...we need actions...
Hongera sana sana sana 🍓 dar yanga afrika 🌍 tunatakiwa timu za tizifunge kama hivo maana hata kulalamika tumeonewa wasiweze na bado shuhuli haijesha tunaweza timu zetu zote tz. From skandinaviska
Naibu waziri full happy Tunakupenda sana wana YANGA Upo pamoja na sisi tunakuona kila hatua unaunga mkono kwa Club ya YANGA tunakukubali sana prezidaa wetu Basi kuna hapo kuna mijitu haikawii kusema Watacoment nakusema naibu waziri ni YANGA Yaani madunduka hawana jema hao Badala ya kufocus na litimu lao na msemaji wao wanaanza kufocus na majjini eti mayele katupiwa majjini ili mradi tu kumtoa YANGA mchezoni sasa ili mjue kama YANGA ya wasomi na inaendeshwa kisomi na viongozi vijana na mashabiki wote wa YANGA wanaopendeza kila idara kuanzia rangi za jezi zote mpaka ambazo sio jezi ni nguo tu zenye nembo ya YANGA basi pia tunapendeza mpaka mademu zetu wa wana YANGA full pozi na bado tutawakera zaidi tukirudi kwenye ligi sijui mtaramba dawa gani Labda mrambe juice za mo😂😂😂😂😂 Tutawakera sanaaa na pua zenu hizo kama simba jike na dume kule serengeti mbuga yao ya makolo😂😂😂😂😂 Msinune YANGA ikishinda kueni wazalendo watani zetu tukirudi kwenye ligi yetu ndo kila mmoja na dini yake lakini sio wivu kwenye hizi za kimataifa achani roho mbaya mnaona sasa mmekimbia na muarabu wenu sasa sijui ni muarabu yule au mdosi kama yule boss wao😂😂😂😂 YANGA mbele nyuma mwiko pira machop chop na marost kama yote na blich full kumeremeta Eti walikua wanasubiri tu YANGA afungwe na bingwa wa Algeria sasa bashaa wao kafungwa na bingwa wa ligi ya Tanzania bara Kudadadeki Eti kuna mchambuzi mmoja alisema mbwembwe nyingi mpira hawana baada yakuona watu wamepaka blich sasa nsubiri kwa hamu ajichanganye kuisifia YANGA Mi namkubali sana bro Kessy, miraji, Muro, mchome, 64GB Rikado momo, kampiska, shafii dauda, na timu yote ya cloudz na timu yote ya wasafi bila ya kimsahau Sisco na Muro❤❤❤❤all of U.
@@michaelatilio2107we kolokwinyo bin dunduka nani alikutuma usome? Kama hujaipenda sisi tumeipenda si unaona mwenye likes hizo za kumwaga!!!! Na utateseka sana mwaka huu kwa sababu yajayo yanafurahisha zaidi....sasa sijui utajinyonga? Kama una mpango huo wa kujinyonga mi najitolea kamba imara ambayo haitakuchelewesha 😂😂😂