Timu ya madaktari bingwa watatu wa kisukari, saratani ya matiti kwa wanawake na tezi dume ikiongozwa na Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Muhimbili, Prof. Mohamed Janabi inatarajia kuwasili Wilaya ya Namtumbo - Ruvuma Julai 25 mwaka huu, ambapo itaweka kambi ya siku tatu kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa magonjwa hayo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | Onike Masayanyika, John Mbalamwezi
29 авг 2024