Leo ndio nimekuelewa. Fanya haya kwa masilahi ya watu wajue. Marekani ni ni hovyo sana. Tena Putin anawajua marekani kuliko yoyote.. TANGU 1997. Na 2002 . Walijitoa kwa kujua. Mimi ni mfuatliaji sana. Asanteee asanteee Paul Dotto
Ahsante sana sana aisee smaa ni professional katika uchambuzi. Kazi nzuri sana Ila nashangaa Kuna watu wagumu kuelewa sijui wanafanya makusudi an ndo wale wa kudandia gari kwa mbele. BLAZA NAOMBA USICHOKE KUTUPA MADINI HII NI SADAKA YENYE KUENDELEA, HEMU NIAMBIE KWA UCHAMBUZI KAMA HUU UTAUPATA WAPI KAMA SIO HAPA
Ruto ana muda mchache madarakani,ila tayari kaisha isaliti East Africa na Africa nzima kwa ujumla!Naimani ya kua USA,wanataka kuweka kambi kenya,ili wammalize Museveni.Tumuombe uhai,ila muda utadhihiri ukweli
nakubali sana na ww Dj sma. Ndio maana rais Emanuel macron aluenda ujeruman kumshawish mwenzake wa ujeruman kukubali kuingia Ukraine ila Kwa mgongo wa marekani
Nahisi hata hapa kwetu hawa CIA walitumika. Maana hata kabla ya uchaguzi wetu wa mwaka 2020-2025 Marekani walikuwa na mshawasha sana na mwenendo wa utawala na Viongozi wetu. Nakumbuka hata vita ya mashoga ilipoanzishwa Viongozi wetu walizuiwa kwenda Marekani na baada ya kifo cha yule mzee waksema waliwazuia kwenda Marekani kwa kosa la kupinga biashara za corona.
Dj sma naukubali sana kazi yako Kuna siku ulichambua Albert Pike letter to mazzin ninakuomba uielezeee kwa undani maana kule ulisema unaweza kuichambua barua Ile kwa muda wa masaa matatu tuchambulie kwa undani natamani kujua ni namna Gani vita ya Tatu itakavyotokea
Dj Smaa ni mchambuzi mzuri na anajua kufanya research, Wahuni tu ndo hawawezi kumuelewa na kuna mijitu asili yao ni kupinga tu kila kitu hata yakipewa facts na sources za habari yenyewe yako tu uongo.
Ukitaka kumuua paka mpe kina baya watu hawa Shangai kwanini kila jina baya mambo yote mabaya hupewa urusi haiwezekani ukiona mti unapigwa mawe ujue huo mti una matunda wakati wa na mshambulia gadafi tuta ambiwa kua gadafi ni dicteta fisadi mwishowe tuka gundua kua alikua ni mtu safi sana ila kwakua alikua tofauti na matakwa yao ila mwisho wa ubaya ume kalibia
Wana Sns tunapaswa ku'overstand vitu kuwasaidia wenzetu waliopo kwenye understanding level . Mpaka Sasa najiuliza why now all these ? .. Dj siungi mkono hoja kua jamaa huyo ni suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi no matter how sense he is .. suruhu ya changamoto zetu zakiuchumi ni sisi wenyewe zaidi zaidi tutaenda tafuta matatizo mengine tu ..
Mim nitakubali kama hiyo CIA ina nguvu wamuondoe Putin kama walivyo fanya Lybia au Iraq ndo nitakubali Wana nguvu duuh wao wana nguvu, ulimwengu wa 1967 umepita kwa sasa nchii nyingi zina maendeleo ki jeshi na uwezo