Тёмный

#zandaaani 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 97 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 118   
@bemmicrocredit5554
@bemmicrocredit5554 4 месяца назад
Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa
@jeremiahmsemwa8323
@jeremiahmsemwa8323 4 месяца назад
kipa ndo star...😂😂😂 na ni kweli kabisa
@AllyPaliwe
@AllyPaliwe 4 месяца назад
Diara ndo star watimu!! Aziz alitaka kuwapanda watu kichwan
@allahisone6386
@allahisone6386 4 месяца назад
Eeweeeeeh_🤔
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 4 месяца назад
Yaniii bado hamjasema😂😂😂😂😂
@JudithNiyogushima
@JudithNiyogushima 4 месяца назад
Alitaka kumpima hakili Rais wetu kama nani
@MariaMsuku
@MariaMsuku 4 месяца назад
Yanga tuko na misimamo yetu safi sana kiongoz
@SalimAbdallah-mi1wc
@SalimAbdallah-mi1wc 3 месяца назад
Analeta kiburi wakati uwongoz ndo umefanya Kawa mfungaji bora😂😂
@mrnovic_8370
@mrnovic_8370 4 месяца назад
Za ndaniiiiiiiiii kabisa😂😂
@reinfridlipili5666
@reinfridlipili5666 3 месяца назад
YANGA hawana tabia ya kuvumilia upuuzi hata uwe star kiasi gani! Hayo yapo Simba sana.
@barakapaul6685
@barakapaul6685 3 месяца назад
Ndio sababu Kuna mastar nyie mlipata wapi 🌟😂 utopolo family 🐸
@zuhurajabiri3900
@zuhurajabiri3900 3 месяца назад
Mbona mkude aliwasumbua Mkafyata midomo
@chng1990
@chng1990 4 месяца назад
Yanga wachezaji wanakaa kambini wanasafiri na viongozi kila mahali hyo upande wa pili
@wolfugangtesha5724
@wolfugangtesha5724 4 месяца назад
Upi huo😅
@barakapaul6685
@barakapaul6685 3 месяца назад
Upi huo utopolo wewe
@kijakazinyalinga7003
@kijakazinyalinga7003 3 месяца назад
😊nasimba wange kua ivyo inge kuapoa
@Jimmsuva-be5dc
@Jimmsuva-be5dc 4 месяца назад
Haiwezi kua yanga coz mechi za mwisho aziz alikua anatafuta magoli pia yanga wanatembea always na viongozi
@bone102
@bone102 3 месяца назад
​@TheGreatAmbrosehawafuatilii tatizo Wakat aziz ki ndio aliyepost video ya magoli yake na kuandika thank you kibao
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 4 месяца назад
Momo unajikoshaa Aziz contract yake inaishaa hyoo maneno yakutafuta Kick
@vaxminja9053
@vaxminja9053 4 месяца назад
Aziz K hafanyi hivyo. Ni Chama aliambiwa na Mo
@felixluguga645
@felixluguga645 4 месяца назад
Aziz Ki alifanya majuzi na ndio Diara akataka kurudi dar kabla ya mechi
@bone102
@bone102 3 месяца назад
Sasa Chama ameng'aa msimu huu na Chama ndo kapost thank you kwenye page yake Simba golikipa gani staa Kiongozi gan wa Simba katoka nchi yenye mitutu Mzee mbona Code nyepesi hyo Kiongozi wa Mitutu ni hersi katoka Somalia kuna vita na Goli kipa staa ni Diara na anayezingua ni Aziz ki na ndie aliyepost thank you kwenye page yake Code nyepesi sana hyo mzee
@videozaaj1069
@videozaaj1069 3 месяца назад
Hao ndo yanga hawanaga kulamba mtu mikundu yaani kama hutaki nenda mamae,sem simba kuna mafala wengi wanaogopa wachezaji
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 4 месяца назад
😂😂😂 Huy Momo khaa.
@ArafatMabruk
@ArafatMabruk 4 месяца назад
Arafat uyo
@elishakayagwa9371
@elishakayagwa9371 4 месяца назад
Yeye akitaka aende tu, tutasajili wengine
@songombingo108
@songombingo108 4 месяца назад
Chama bhana. Kajifanya ndo Okwi wa Madunduka.
@kinyanyaonline3658
@kinyanyaonline3658 4 месяца назад
We baupo kabisa ni AZZK mechi mbili ya ihefu na dodoma .diara ndio star
@bone102
@bone102 3 месяца назад
Sasa kwan Chama msimu huu kang'aa na Kiongozi gani wa Simba katokea nchi yenye mitutu na tuambie wapi chama kapost akaandika thank you ila utopolo yaani Code nyepesi hii umeishindwa kuelewa 😂😂
@RAZAKIMMALINDA
@RAZAKIMMALINDA 4 месяца назад
Master ki uyu 😅😅😅
@CyrilMethod
@CyrilMethod 4 месяца назад
Atena Bhna.Na za ndaaaaaaniiiiii lkn hasemi nani anataka muhangaike Ninyi kumjua ndo za ndaniiiiiii
@thetrends472
@thetrends472 4 месяца назад
Waliorudia zaidi ya mara moja likes hapa
@Deadskytz
@Deadskytz 4 месяца назад
Like huwa za nini ?
@IsmailMadrelya
@IsmailMadrelya 4 месяца назад
Kwakweli hii Code imenishinda nimerudia zaid ya mara tatu lkn Code ni pasua kichwa ,,,Thank u nyingi nia Azizi Key 🔑,,Kudive ni Diara kiungo anaetoka sehemu moja na boss sijui nan sasa ,,boss katoka kwenye mitutu mara Tandale hili Tikitik lazima lioze haliliki haswaa,,
@sofiamsuya2254
@sofiamsuya2254 4 месяца назад
Azizi ki Diara Boss ni CEO from congo Kiungo ni max zengel
@IsmailMadrelya
@IsmailMadrelya 4 месяца назад
@@sofiamsuya2254 Duuuh Hatar sana 😢
@nizoplatinumztz8025
@nizoplatinumztz8025 4 месяца назад
Aziz ki Boss ni Rais ( asiri ya msomari) Star ni Diara Kiungo ni Sure boy
@malietamaliet
@malietamaliet 4 месяца назад
Mech zidi ya ihefu nusu final na dodoma jiji aziz ki rais alimwambia amuulize sure boy amuulize kuhus rais wetu na diarra ndo alikasirika akasema kam aziz ki anafanya hivo na mm sitaki
@jifunze0042
@jifunze0042 4 месяца назад
ni azizi ki obviously,na kweli star wa team yetu ni diarra
@farajasospeter9668
@farajasospeter9668 3 месяца назад
Jamaa liongo sana hili mdamwingne
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 4 месяца назад
Arafat mchezaji? Mechi na dodoma aziz kama hakuonekana uwanja wa ndege Dodoma vile?.
@theodorahcharles4183
@theodorahcharles4183 4 месяца назад
Nan huyo jamn
@ISSASHABANI-sw7lx
@ISSASHABANI-sw7lx 4 месяца назад
Na hapo Yanga ndipo inapo kuwa juu
@Thomas-lm1dq
@Thomas-lm1dq 4 месяца назад
Huyo Aziz Ki, kiungo aliye takes aulizwe alikozaliwa boss hapo code imekataa kufungulia. Star wa timu ni Djigui Diara.
@idrisaabdallahmadenge3155
@idrisaabdallahmadenge3155 4 месяца назад
Kiungo mkude
@Thomas-lm1dq
@Thomas-lm1dq 4 месяца назад
@@idrisaabdallahmadenge3155na huyo kiongozi nani?
@selemanmaganga-le4zg
@selemanmaganga-le4zg 3 месяца назад
Sureboy katokea mtaa mmoja na raisi wa yanga
@zuhuranasoro8923
@zuhuranasoro8923 4 месяца назад
Mbona code imekataa kufunguka kwangu? Kulia Kuna Chama kushoto kuna azizi..lkn mzee wa thank you nyingi ni azizi. Na kama ni azizi mbona basi hua namuonaga kila safarini?
@omarymtotela3751
@omarymtotela3751 4 месяца назад
Mechi ya arusha alichelewa na dodoma pia
@andrewzimba692
@andrewzimba692 3 месяца назад
Mzungu wa simba goal keeper
@JumaNdihagule
@JumaNdihagule 4 месяца назад
Huyo chama
@DoreenMlay-e8g
@DoreenMlay-e8g 4 месяца назад
chama
@othmanbudi
@othmanbudi 4 месяца назад
Ndo wachezaji wa kiafrika
@DavidFindah
@DavidFindah 3 месяца назад
Uongooo huo Aziz alikua kwenye mbio za kuwania kia2 hawezi kuleta utovu wa nidhamu
@abdalahfundi7936
@abdalahfundi7936 4 месяца назад
Ayoub lakred😅
@smartworldtz
@smartworldtz 4 месяца назад
Wakwanza hapa nipeni subscribe zangu jamani😅
@OmariNgurangwa
@OmariNgurangwa 4 месяца назад
Uwongo uwooooo
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 4 месяца назад
Waongo Hawa wanachonganisha yanga na wachezaji waongo wakubwa yanga ni ileile
@IgnasJohn-sv4vn
@IgnasJohn-sv4vn 3 месяца назад
Mm simpendi huyu yupokama demu kakaa kiumbea mbea kama wadada wanaokaaga mlangoni wakati wewe unapita Na pisi kali.
@saidinyakayemba490
@saidinyakayemba490 3 месяца назад
Hiyo ni style ya kufikisha wala si mbea
@الزغويالزغوي-ض3ن
@الزغويالزغوي-ض3ن 3 месяца назад
SI MSHABIKI WA MPIRA ILA HII STORY IMENIFANYA NISIKILIZE TABUL'IZZAKI 😂😂😂
@CLEMENTBONIPHACE-z9o
@CLEMENTBONIPHACE-z9o 3 месяца назад
Momo huw naangalia hii nabak kucheka tu aisee
@ChalesDikwe
@ChalesDikwe 4 месяца назад
Yan we kuma tu
@AyubuMsindo
@AyubuMsindo 3 месяца назад
Mbnawatuwanalijuwa hlo
@ShaabanSimai
@ShaabanSimai 4 месяца назад
Hahaha eti tabul azza key
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 3 месяца назад
Sasa🐸🐸🐸 watakasirika😂😂😂
@ayoub1906
@ayoub1906 4 месяца назад
Ila harmoniz
@saidothman4527
@saidothman4527 3 месяца назад
Uongeani tuu unajua huu ni umbea.
@CosmaMwale
@CosmaMwale 3 месяца назад
Wenimwongo
@NorahLembris
@NorahLembris 4 месяца назад
Acha test za uongo
@Danieldanizo-d1t
@Danieldanizo-d1t 2 месяца назад
Sema Ricardo ni muongo huyu jamaa
@saidothman4527
@saidothman4527 3 месяца назад
Yaaani momo ni mbeyaaa
@rafikiyako6697
@rafikiyako6697 4 месяца назад
Sasa raisi wa Yanga si anasafiri na timu karibia kila mechi
@thobiasshigela9046
@thobiasshigela9046 3 месяца назад
Muarabu wa simba na chama
@chuchumeta8374
@chuchumeta8374 3 месяца назад
Uongo timu yote ilikuwa nyuma Aziz ki kumsapoti afunge
@AvevaAlonyce
@AvevaAlonyce 18 дней назад
Mhh
@makame186
@makame186 4 месяца назад
Uyo ni mwamba wa Lusaka
@FikiliKalua
@FikiliKalua 4 месяца назад
Azizi
@aisha.abdallah.3979
@aisha.abdallah.3979 4 месяца назад
Mh uongo bhana.
@zuhuraomary2782
@zuhuraomary2782 3 месяца назад
Mwache aende
@Jimmsuva-be5dc
@Jimmsuva-be5dc 4 месяца назад
Nani huyo
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 4 месяца назад
Aziz k
@ahmedplan.b9229
@ahmedplan.b9229 4 месяца назад
😅
@kudramzee5769
@kudramzee5769 4 месяца назад
Slow gun daima mbele nyuma mwiko
@kunpeter4071
@kunpeter4071 4 месяца назад
Ni slogan mkuu, slow gun n "bunduki ya polepole" tafsir yake🙏
@ameirfaki9277
@ameirfaki9277 4 месяца назад
Sante momo.......hahahahha
@JosephTibu
@JosephTibu 3 месяца назад
UTOPOLO NDIYO WAKATI WENU
@SalmaChamy-tg4bo
@SalmaChamy-tg4bo 4 месяца назад
Wameshaanza tena udaku
@MnoileAbedi
@MnoileAbedi 4 месяца назад
Wahambie
@ABDALLAHMWATANDA
@ABDALLAHMWATANDA 3 месяца назад
YANGA WANA VITU VYA AJABU ..ILA MAFANIKIO YANAZIBA MAUTUMBO YAO........
@AzhadSaid-j1t
@AzhadSaid-j1t 4 месяца назад
Xavi mtupu
@CastorJonkey
@CastorJonkey 2 месяца назад
😅😅😅
@BasuleBasule
@BasuleBasule 4 месяца назад
Game Na Dodoma
@husseinwabibi8639
@husseinwabibi8639 3 месяца назад
Eti tabul isack😂
@stn4873
@stn4873 4 месяца назад
KI AZIIIIIZZZZZ
@pendothomas7885
@pendothomas7885 3 месяца назад
Uongo huo
@SADIKIMAPESA-yn7mo
@SADIKIMAPESA-yn7mo 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@davidjohn540
@davidjohn540 4 месяца назад
ACHENI KUJAZA WATU UONGO, NI KWAMBA HAKUNA HELA YA KIMLIPA KI, HIVYO VINGINE NI VISINGIZIO VIMETENGENEZWA, KWAMBA AZIZ KI ASAFIRI PEKE YAKE RAIS ASIJUE WAKATI MAZOEZINI YUPO KWENYE MECHI ZOTE TUPO
@andrewzimba692
@andrewzimba692 3 месяца назад
Inonga
@ngido255
@ngido255 4 месяца назад
Wananchi hawabembelezi mtu labda huko mpate mpate
@mrnovic_8370
@mrnovic_8370 4 месяца назад
😂
@bemmicrocredit5554
@bemmicrocredit5554 4 месяца назад
Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 4 месяца назад
Unakichwa kigumu huyo n azizi na kiongozi alimwambia stars n kipa yani diarra
@Kabeya410
@Kabeya410 4 месяца назад
Ki aziz na Diara ndo staa na yule kiongozi asili yaje ni kule kwenye mitutu Somalia code kafungua kabisa na kuhusu huyo staa kainesha kama diving kipa. Mna vichwa vigumu
@mathewdickson8891
@mathewdickson8891 4 месяца назад
​@nicholousmtemi3902 we nd kichwa hovyo kabisa 😂
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 4 месяца назад
@@Kabeya410 nashangaa watu wagumu hawaelewi
@bemmicrocredit5554
@bemmicrocredit5554 4 месяца назад
@@nicholousmtemi3902 sasa wewe ambacho hujaelewa nn comment yangu ni kuwa hiyo issue ilitokea wakati wa maandalizi ya mechi na dodoma Jiji ndio maana hiyo game diara hakucheza kabisa na huo mgogoro unahusu diara na azizi kwahy elewa kwanza ndio ujibu comment ya mtu
@ArafatMabruk
@ArafatMabruk 4 месяца назад
Arafat uyo
@mamajumamukure5471
@mamajumamukure5471 4 месяца назад
Arafat kafanyaje sasa😊
@mwanangusana
@mwanangusana 4 месяца назад
Sa Arafat mchezaji wewe ??
@Cassm898
@Cassm898 4 месяца назад
😂
@bemmicrocredit5554
@bemmicrocredit5554 4 месяца назад
Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa
@jifunze0042
@jifunze0042 4 месяца назад
hapana hapo anaongelewa azizi ndio alileta dharau na ndio anaeandika thank you nyingi mtandaoni
@mwanangusana
@mwanangusana 4 месяца назад
Hakuna code uyo anatunga tu
@bemmicrocredit5554
@bemmicrocredit5554 4 месяца назад
@@jifunze0042 ni azizi ndio lakin huo mgogoro unahusu diara na azizi na ilikuwa kwenye maandalizi ya mechi ya yanga na Dodoma Jiji
@jifunze0042
@jifunze0042 3 месяца назад
@@bemmicrocredit5554 naomba unifungulie zaidi nielewe,ilikuaje kwani kaka?
Далее
НОВАЯ "БУХАНКА" 2024. ФИНАЛ
1:39:04
Просмотров 432 тыс.
How Many Twins Can You Spot?
0:17
Просмотров 11 млн