Huyu amepoteza muelekeo ila akipata anacho kitaka atajirekebisha ila anajidhalilisha nani sadaka tu anae jua dini ya kiislam awezi fanya mzaha kama huu mungu akuongoze
Mimi naona kila mmoja abaki naimani yake anayo amini siasa zinaumisa namakasiriko sana tunacho kitafuta nichuki na mungu naimani mungu apendi nibora tupoteze mda kwa mungu tusema akuna yesu au mtume muhamadi yaishe yupo mungu basi ijulikane naumia sana juu yamalumbano
@@AmerdaKavishe-pu3cf km hutaki kusoma huwezi elewa nn dini nyinyi bado munaa akili kwamba mzungu ndio kaleta dini sio usijidanganye dada fijiria kwa umakini maisha na punzi zisijudanganye mm nimemalizah
Huu ni ugonjwa sasa. Kila mtu anaumwa kichwa vyake. Sijuwi siku ikifika itakuwaje !!!!!!!! Maana huyu. Jamaa IBM anachanganya chakula ugali na udongo pamoja sijui lengo apate nini!!!!
Qur'an sio kitabu cha mwenye enzi mungu muumba wa bingu na nchi. Hapo ndipo wanapoanguki hawa wahubiri wanao toka kwa uislamu. We must acknowledge the bible as the final authority of the word of God. Yes you can read the Qur'an but you can't endorse it as the same as the bible. Many of them are preaching a mix of Christislam, which is a mix of the truth and a lie,
Kikubwa ninacho kiona unajiweka kileleni kuwa wew ni muelewa kushinda watu wote ila hakuna ukweli zaidi ya mmoja ukweli ni mmoja katika marumbano haki ipo katka dini moja tu
( DINI ) Nie neno la kiarabu maana yake mwa lugha ja kiswahili ( TARATIBU ) La kum dinikum waliya Dini maana yake nyinyi mnataratibu zenu na sisi tuna taratibu zetu.
Tatizo kubwa la dunia hii ni watu kutojua imani moja ya kweli na Mungu Yehova kujifunnua ktk Mwanaye Yesu Kristo na siyo ktk mwingine yeyote awaye. Na ndiyo maana huwezi kuingia mbinguni bila kuzaliwa upya mara ya pili yohana 3.5
Usipo kubali KUJIFUNZA maana yke ww badoo... DINI YENYEWE TUNA RITHI TU... SHUGHULISHA AKILI YAKO. NDIO MAANA HATA MASHEHE WANASOMA BIBLE, WACHUNGAJI QURAN USIPO FUNGUA AKILI YAKO UTAZIDI KUCHOCHORA KUELEKEA PORINI... UKIRUDI NYUMA FAMILA NYINGI NI MCHANGANYIKO KWA SABABU WENGI WAZEE WETU WALIRUHUSU AKILI KUTAFAKARI.
Wewe umekariri mistari mitatu. Hujaifadhi kichwani japo hata KURASA MBILI ZA BIBLE!!!!? ZAMA BROOO, ZIJUE BIBLIA ZOTE KIKAMILIFU MAANA ZIPO NYIIINGI THEN TAFUTA QURAN, YENYEWE IPO MOJA TUU kwahiyp huto pata tabu kujifunza.
Kwani wakati Yesu amekutokea alikwambia utumie Quran pia? Mohammed anapinga kuwa Mungu hana Mwana Biblia inasema Mungu ana Mwana wake wa pekee. Je,wewe upo wapi? Jaribu kukaa sehemu moja tukuelewe. Je,kuna urafiki gani kati ya Nuru na giza? Bwana IPM hebu kaa sehemu moja tukuelewe.
Wapi YESU Kasema Hakuna njia Nyingine ??? Tufanye Sawa , Je Umma wa Nabii MUSA Na Haruni ??? Je UMMA Wa Nabii IBRAHIMU Na LUTI ??? na UMMA wa NABII DAUDI na UMMA Huu tuliopo Wanabii MUHAMMAD Waende au Tuende Njia Ipi ??? 🤣🤣🤣😄😄😄
Maks midia naomba mumtafute bishop ngonya then mumuulize kuhusu hili swala mtu kuwa pande mbili ya madabwajat vuguvugu yani kwa Mungu wapo na kwashetwani wapo, narudia tena mumtate bishop ngonyani mumuulize kuhusu hili swala la mtu huyu naimani interview itakua poa jamaa anajua maandiko sio kawaida
Mwenzenu amekuja kupiga pesa kwenu akimaliza atard kundini atajisalimisha tena sababu anaujua ukweli ndomana haikani qurian na prophet Muhammad s.w.a😂😂😂 kibaya ni akifa tu kwenye hio dhulma ndo atakoma
SAWA KAFIRI ULIYEPOTEA L LAANA ZA MWENYEZI MUNGU MTUKUFU ZIWE JUU YAKO SHETANI WEWE VIONGOZI WAKO WANAJUWA UKWEL HAKUNA DINI ZAID YA UISLAMU NA QURAN NDIYO KITABU SAHIHI
@felixgitonga6783. 🤣🤣🤣 Ndio Mnavyojengwa Sumu MAKANISANI 🤣🤣🤣 Sikia MAMBO YA WALAWI 17:7 Wala Hawatatoa tena Sadaka zao Kwa Wale MAJINI , Ambao Huwafuata ili Wafanye UASHERATI Nao . 🤣🤣🤣😄😄😄 hapo Vipi ??? 2 MAMBO YA NYAKATI 11:15 Naye Akajiwekea MAKUHANI wa Mahali pa JUU , na Wale MAJINI , Na wa Zile Ndama Alizozifanya , 😄😄😄🤣🤣🤣 haleluya , Twende Na Akili zako Sasa BIBILIA Ni KITABU Cha MAJINI Weka Mbali na Watoto,🤣🤣🤣😄😄😄 KITABU Cha AYUBU 1:6-12 /2:7 Soma hiyo BWANA Anavyo Mtuma SHETANI ili Amjaribu AYUBU 🤣🤣🤣 Yaani nyie WAKRISTO Mnafurahisha Sana JINI Ana SHETANI Ametajwa Ndani ya BIBILIA Eti ni MTAKATIFU Lakini Akitajwa ndani Ya QUR'ANI Ndio DHAMBI 🤣🤣🤣, Ndio Uweke Mbali na WATOTO 🤣🤣🤣 Ndio Matokeo yake Hayo Hujui hata BIBILIA Umebaki Kuropoka Chuki 🤣🤣🤣😂😂😂 Someni VITABU Nyie Ndugu zetu katika ADAMU,
Jpm wewe nimfano tuu,ila kuna huyo anaitwa masih jadal,anahekima hakuna mfano,huyo ndie atakae kuja kutaka kusuluhisha ugomvi wa Israel na Palestine na atajiita yeye ndie Yesu.kwahiyo wewe tunakujuwa ni nani.
Katika interview yake ambayo imetumia dakika 25,katika muda wote huo ana court Ayah za Qur'ani, hamna hata Ayah moja ya Biblia ameizungumza au kuitaja.
Huyo ni kafiri KABISA na ninyi wenzake ndio mnamuunga mkono kwa sababu anachanganya ukweli na uongo pamoja kama mfanyavyo waislamu. HAKUNA UKWELI UNAOPINGANA:::: BIBLIA NA QURAN HAZIWEZI ZOTE KUWA VITABU VYA MUNGU. Na kitabu cha uongo ni vile kilichokuja nyuma na kuanza kukafiri yaliyotangulia. Ukweli ni ukweli tu hata mujiunge na kutengeneza mawakala waje wajifanye WACHUNGAJI na MANABII KAMA IPM WENU.
@@AgnessMpanduka-l5gUnaongea kwa ushabiki na mahaba niue. TUFANYE BASI IMANIBYOO NDIO NJIA YA KWELI... SASA MBONA CHOCHORO NYINGII....TAG,EAGT,ROMAN,CHURCH OF GOD,SABATO....... ....... WOTE WANAPINGANA WALA HAWAWEZI ABUDU PAMOJA.. WW UPO WAPI NA KWANINI WW NDIO SAHIHI??
@@farajisewe7416 Kwani waislam hawana Madhehebu Shia, Suni, Ahamadia, na wengine we uko wapi? Nachojua Madhehebu yote hayo ni makabila ya Kiarabu na koo zao itikadi zao sio itikadi za Mungu unazungumziaje?
Inawezekana ipm ni muoga maana anaongea lkn kiuoga anajibu Muhammad ni mtume wa mungu lkn kwa waislam yani katumia ujanja ngoja tumpe muda tumchunguze japo kwa wasio na elimu atawapoteza
Ndani ya Biblia takatifu Yesu alisema dini iliyobora ni kwenda kuwafariji wajane,yatima, maskini na wahitaji Kwa mali zetu....Mimi nipo ndani ya ukristo baada ya kuokoka huu ni mwaka wa 19 ndugu zangu wote ni Waislamu kwetu Kuna mashekh,mahustadhi.Nilimwona Yesu akinitetea kwa mambo mengi sana..nilikuwa mgonjwa sana kwa miaka mingi, nilikatiwa tamaa kabisa, niliponywa katika mkutano wa Injili wa mchungaji Moses Kulola.
Huyo ma hafidh hajawaona?ye mwenyew anaisoma makosa na haijui.mlioko karibu nae kafir huyo hamumuelez?Allah amuongoz inshallah asilimu ,maana huyo atachanika mara mbili kwa kutaka kuambatanisha ukafir na uislaam .
Huyu nabii hajui historia ya Uislamu na kushushwa kwa Quran... Biblia na Quran vinapingana sana kwa hiyo haviwezi vikawa vimeandikwa na Mungu mmoja huyo huyo... kimoja kinasema Yesu alikufa, kingine kinasema Yesu hakufa. Kimoja kinasema Yesu ni njia kweli na uzima..kingine kinasema njia ya kweli ni uislamu...Mungu hawezi kujipinga yeye mwenyewe. Kimoja kinasema tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo ya sheria kingine kinasema matendo mema yakiwa mengi kuliko mabaya unaingia mbinguni. Kimoja kinasena Yesu ni Mungu kingine kinasema Yesu sio Mungu....kwa akili za kawaida kitabu kimoja ni cha Mungu na kingine cha shetani.
Hii ni kazi ya shetani, wakristo, huyu sio Mkristo jamaa anatumiwa na majini na sio huyu tu wapo wengi shetani kawainua mfano yupo muislamu mwingine anajiita nabii eliyasa Hawa wote wanajifanya wanamfuata Yesu huku wakifundisha kuwa Qur'an nacho ni kitabu Cha Mungu, wakati ni kitabu Cha waislamu na majini Kwa itikadi Yao kubwa ya kumkataa Yesu sio mwana wa Mungu, (someni kitabu Chao Quran 72:1-3) ndugu zangu wakristo msiopenda kujifunza Biblia mpo hatalini kupotezwa amkeni msome Biblia muweze kupinga hizi Hila za shetani....Qur'an hakiwezi kuwa kitabu Cha Mungu wa kweli hicho kitabu kinapingana na vitabu vilivyo tangulia ni kitabu hatari Kwa wakristo someni ufunuo 22: 18-19 mtaelewa, majini ama mashetani wakristo tumepewa amri moja tu ya kuwakemea Kwa jina la Yesu Kristo.
@@Allymbaruku991-lj1om quran mm sisomi juu iniongoze no nasoma juu nijuwe waislamu wanaamini nini,quran si kitabu cha Mungu sasa ndasoma ndasoma je juu nielewe?
MPUUZI HUYO HAWEZI KUKUJIBU KAMA ALIVYOSEMA comment ni nyingi. Yeye kwa video hii ni sawa na bata aliyekunya watakaozoa uchafu wake hajui wala hajali!! ila huyu ni anaonekana na alivyojitambulisha anamwamini Mohammad kwa hiyo yeye ni MUISLAMU ALIYEKUJA KUUSHAMBULIA UKISTO kwa kutumia mbinu ya kujiita NABII/PROPHET. NA HILI LITUFUNZE YA KWAMBA SHETANI ALIYEKUWA AKIPAMBANA NA UKWELI KWA MBINU ZA KIZAMANI SASA ANATUMIA MPYA. Kwa nini nimesema ni muislam na mtumishi wa shetani ni kwa sababu hii BIBLIA NA QURAN HAZIWEZI KUWA ZOTE NI VITABU VYA MUNGU MMOJA ILIHALI ZINAPINGANA MAFUNDISHO YAKE. Mf. 1;Biblia humtambua Yesu ni mwana wa Mungu aliyevaa ubinadamu kwa shuuli ya ukombozi. Quran hukataa na kumfanya yesu aonekane kama manabii au mitume wengine.
Dini ya Muislam ni Dini ya Was tabu Mungu wao anajua Kiarabu tuu, tena anapatikana Maka na Shetani wa waislam nae yuko Maka huwa wanakwendaga kumpiga Mawe 😁😁😁😁 yaani wanachekesha sana alafu wanawadanganya ni Dini kutoka kwa Mungu kumbe Dini ya magumashi