Тёмный
No video :(

KIMENUKA; PROPHET IPM ALIPUKA LEO NA WACHUNGAJI MATAPELI WA PESA KWA WAKRISTO ATAJA NJIA ZOTE 

Maks Media
Подписаться 140 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 75   
@AndrewShola-ts5lp
@AndrewShola-ts5lp Месяц назад
Juu yako Mimi naamini kuwa mungu yupo kwa ukweli wako. Amen, amen..
@user-fu3cg3gv9g
@user-fu3cg3gv9g Месяц назад
Daah ok sawa acha maisha yaendelee
@deniskagwe571
@deniskagwe571 20 часов назад
Mungu Yuko juu yako
@RamadhaniRobart
@RamadhaniRobart 12 дней назад
Noma sana
@faustakomba8186
@faustakomba8186 19 дней назад
Mungu mwema atusaidie. Sana onekama mungu baba Tunaangamia Rehemia sana moyo Tuliza sana roho yangu inakutumainia
@Martadi-no2lb
@Martadi-no2lb 14 дней назад
Eneza injili Baba 🙏
@ecammunga9932
@ecammunga9932 Месяц назад
Mungu akubariki. Jina lako ni hilo tu?.kwa umono wangu ni kifupi .Ningekuomba ulifunguwe kwa kirefu.
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 Месяц назад
Dah nimejifunza sana
@GraceKazi-z8d
@GraceKazi-z8d Месяц назад
Mungu ni wetu sote
@shadyaomary
@shadyaomary Месяц назад
Excellent
@davinaheven4794
@davinaheven4794 Месяц назад
Asante
@estermarijan4713
@estermarijan4713 Месяц назад
Tuwe makini na hawa wakuja.Sio watu wote wanaipenda nchi ya Tz na amani yake. Hii tunu tuliopewa na mwenyezi mungu. Tumtumikie mungu njia ipasavo. Inchi yetu itakuwa na amani milele.♥️
@saimonijonas1471
@saimonijonas1471 Месяц назад
Sasa hivi kuna watu kutoka Kongo jirani zetu.
@fredrickgitonga1972
@fredrickgitonga1972 Месяц назад
Yeye mwenyewe tapeli
@TzMose
@TzMose Месяц назад
Kweli
@sibomanaadrien8957
@sibomanaadrien8957 День назад
Poster Mimi nakukubari Ila kwanini hatueni pete ya arusi?
@mauwachale
@mauwachale Месяц назад
Mmm
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 25 дней назад
Jamani wachungaji kwann msifanye kazi mliotumwa na mungu mnakashifu watumishi wenzenu
@FlorensiaMkombozi-et1ts
@FlorensiaMkombozi-et1ts Месяц назад
Simamia kweli ya Mungu lpm maana Mungu alisema shika sana ulichonacho asije mtu akakupokonya
@jacquelinemwakasala9563
@jacquelinemwakasala9563 Месяц назад
Jamani msimkandie prophet ipm anatufunza hapa ss wahanga tuliokumbwa na hiz mambo
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 Месяц назад
yeye mwenyewe tapeli mm nimefika mapaka kanisani kwake kipindi icho kanisa la mabati pembeni ndio alikuwa anajenga jipyaa lipo kwenye msingi nakwambia huyu muhuni sema uwezi elewa lkn tapeli kweli ukiingia kwenye kopi umeumia,cku hizi kila leo makanisa ynaongezeka lengo sio wokovu bali wizi,utapeli,kwakifupi wanadili na upande wa dunia tu
@jumasango9793
@jumasango9793 Месяц назад
Sema jina lake ili tusihingiye kwenye mtego kama ulihitwa na Mungu
@bartinkahenga1196
@bartinkahenga1196 Месяц назад
Omba MUNGU akupe macho ya Kuona. Unafeli wapi
@Mamshika
@Mamshika 29 дней назад
Du!!
@woah.africa99
@woah.africa99 Месяц назад
Huyo ipm nae tapaeli
@hashimchaoga9566
@hashimchaoga9566 24 дня назад
Prophet wa 24 ni Issa wa 25 na wa mwisho ni Muhammad. Wengineo ilishasemwa ukikaribia mwisho wa dunia watatokea wengi wa uongo sasa tunaona lugha yao ni pesa tu. Yesu alihubiri hata nje na alipanda Punda au alitembea kwa miguu hebu wasikilize wanazungumzia mamilioni
@LeahAmani-yz9wh
@LeahAmani-yz9wh Месяц назад
Eeeh! Jamani!
@anzurunindume
@anzurunindume Месяц назад
Malawi Ina Amani na utulivu ....
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
Ye mwenyewe tapeli..aliombwa bato na sule kakimbia😊...na skuizi hasomi somi tena aya za quran
@user-nb6yh2bn9y
@user-nb6yh2bn9y Месяц назад
tena Sula lake tuu linaonekana jangiri😮
@daudimichael7338
@daudimichael7338 29 дней назад
Afadhali kama hasomi tena aya za Quran maana ni aya za shetani tu, hakuna la maana.😂😂😂
@CizaDangote
@CizaDangote Месяц назад
Halafu hili lijamaa linajuwa Ayaa za Allah kabisa. Ila tuu tamaa imempeleka hovyo. Kwenye dini kaka
@woah.africa99
@woah.africa99 Месяц назад
Abu jahli pia l alikua anajua ila ni kafiri mmungu kamlani
@JAFARIKAHERA
@JAFARIKAHERA Месяц назад
Jpm nakuomba urudi ktk uislamu kwani muonekano wako na moyo wako haufanani naa maneno yako ya kila siku lazima utaje maeno ya kiisilamu hasa unapokua apo kwenye ofisi yako yakujitaftia kipato yaani kanisani
@user-qo2xd3hb8l
@user-qo2xd3hb8l Месяц назад
Yeshuwa ndie nabii wa mungu aliepewa kitabu cha injili, yesu alipewa kitabu gani?
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Huna lolote na ww ni wale wale hivi msiposema wenzenu hamna Raha acha hizo fanya yako
@Kalunirashidi
@Kalunirashidi 21 день назад
uyu mkeli unauma utapeli utawamaliza lana mchunguji m kweli sana wewe ndio unaziwiya mchungaji asisemi u kweli mungu atamsimamia ep
@ramadhaninyangasa7275
@ramadhaninyangasa7275 27 дней назад
Bado neema ya uislamu inakutafuta
@faizanassor9400
@faizanassor9400 28 дней назад
Ovyoo
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 29 дней назад
Sio kuhubiri Biblia waende kuihubiri Injili
@EvaristoMwasenga
@EvaristoMwasenga 27 дней назад
Leo mwamba nimekuelewa
@zeharaz4116
@zeharaz4116 Месяц назад
Mnafiki kuacha dini yake kwa tamaa ya pesa Allah akupe Hidaya kabla kifo hakija kufikia
@odilomwemeziernest646
@odilomwemeziernest646 Месяц назад
Yulemuhama mfuga majini au unasema dini ipii
@bartinkahenga1196
@bartinkahenga1196 Месяц назад
Dini ipi ?ya Kufuga Majini
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Месяц назад
WaNigeria wasialikwe kwetu wanakuja kutuibia kwa vile sisi wajinga .Tufumbue macho,Sisi siyo sham b a la bibi😢
@SmilingCityMap-xb9md
@SmilingCityMap-xb9md Месяц назад
Hii ndio dunia samaki mkubwa kummeza mdogo huo ndio mchezo wa watumwa wa shetani wanaopola mali kwa udanganyifu watumishi hao wapo kila kona ni kosa kuwaita wachungaji ni matapeli mchungaji wa yesu haibi hapoli mali
@jumajaffary9698
@jumajaffary9698 29 дней назад
Watu wangu wanapotea wachungaji wao wamewapoteza
@EvaristoMwasenga
@EvaristoMwasenga 27 дней назад
Leo kama umenena yamana kwel
@seifserenge3340
@seifserenge3340 Месяц назад
Wewe wajiita mtume, utume huo kakupa nani, na icho kitabu chako kinaitwaje. Kazi yenu utapeli tu. Enyi wakristo acheni kudanganywa, msichezewe akili zenu na wachungaji
@user-mi8lu8jn1x
@user-mi8lu8jn1x Месяц назад
Ukweli kabisa
@user-dz8ol9nk4u
@user-dz8ol9nk4u 29 дней назад
Akiwemo kiboko Tapeli mkubwa
@samuelmhando4914
@samuelmhando4914 Месяц назад
100 x 10,000=1,000,000 ni million 100 siyo BILLION 1 stori inautata.
@mrfashion1687
@mrfashion1687 Месяц назад
Bro rudi shule, hiyo hesabu umeifanya vibaya
@bilid4128
@bilid4128 Месяц назад
​@@mrfashion1687😂😂
@dhinatsimbano8854
@dhinatsimbano8854 28 дней назад
Ee! Ee! Eeeee! Hiyo uliyoandika ni milioni kumi au elf kumi 😂😂😂 uko kwenye kukosoa zaidi.
@Blessing_uk
@Blessing_uk 27 дней назад
Samuelmhando.sikilza vzr story alafu upge maesab vzr..wwndo maesabu yako hayako sawa..
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Unatafuta umaarufu TU
@user-ub8ig1rl7h
@user-ub8ig1rl7h Месяц назад
Ingekua wayne wote walk ivo kwa wake zao, mmmmingekua raha
@user-qo2xd3hb8l
@user-qo2xd3hb8l Месяц назад
Umesema humtaji lakini ni mwanyumba, Sasa tumemjua!
@veronicankhwazi7954
@veronicankhwazi7954 Месяц назад
Alikuona nyota yako mmefanana ndio mana alikufata. 😅😅
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 Месяц назад
Ni mabishop wa shetani,wana nguvu za kishetani..WanaNigeria ni matapeli wakubwa duni a ni.Nchi za Uarabuni hawataki kuwaona kabisa. Madawa ya kulevya ni kama c h ai tu
@lwezaurawilliam4498
@lwezaurawilliam4498 Месяц назад
Ipm ulisema una degree Saba unatafuta ya nane hivi wizara ya mambo ya ndani ikihitaji your academic background hautaonekana na wewe Tapeli??? Kwa sababu Nina uhakika huna !!
@PatrickMathias-cs9qc
@PatrickMathias-cs9qc Месяц назад
Kama unauhakika thibitisha acha utoto ww
@bensonmongi996
@bensonmongi996 Месяц назад
Interview yenyewe mnaunganisha vipande bila umakini, hapo uliposema wanaigeria wasomi, vipande vimeungwa Tena vinautofauti
@jumasango9793
@jumasango9793 Месяц назад
Tukutane mbinguni
@jeanmiruho4770
@jeanmiruho4770 Месяц назад
Mze nauliza kanini watumishi wa Mungu munapendeza kuchafua wenzenu watumishi? Kupitia wapagani faida?kilamutu afanye kazi kivyake bila husda gisi mulivyoitwa!!munaleta haya saaana
@hassanisaidi5422
@hassanisaidi5422 Месяц назад
Wachawi ninyi, viongozi wenu pia wachawi
@RamadhaniRobart
@RamadhaniRobart 12 дней назад
Noma
@user-od2mc4mj4e
@user-od2mc4mj4e Месяц назад
Kudadadake mtasema yoote mnachezea MUNGU 😂
Далее
KWANINI TUTUMIE JINA LA YESU?
51:52
Просмотров 9 тыс.
MAADUI ZAKO WAMESHUSHWA CHINI-RABBI ABSHALOM LONGAN
59:46