Nivigumu kuherewa matendo ya Mungu kwasababu, wengeni wanajipandisha kuwa wana elimu, ila mungu kachaguwa watu ambao walie chini ili aka wahaibishe awo wanaojiwona kuwa wana akili, mungu anacho hitaji nikuwa kwamba mtu abadilike menendo yake mawovu nakumtumikia bwana, mengine yote yaku bishana hayana maana kwasababu kwenye hoja lazima mwingine aseme vibaya kuhusu mwingina, na kwasehu kama izo Mungu hapatikani, auwezi kumuuliza mungu kwa jambo alililufanya kutaka kuhepusha wamcha Mungu juu yama huwaji yaliyokuwa yanafanyika kipindi kile, Mungu akitaka kuokuwa ajali akili za mtu,
Mtu auwezi kutenganisha maisha yawatu walio tumwa na Mungu kwasababu mtu ili awoneshe kazi njema nikwamba watu walio mzunguka washuhudie kazi zake, sasa injili alio kuja nayo Yesu ilikuwa inahusu maisha yake yaku stajabisha, sasa utangenishaje kwasababu hakuwe injili tu ila nguvu za miujiza ili waliofungwa na matatizo mbali mbali waponywe. Kitu ambacho unahandika mwenyewe auwezi kufanya kosa ila mambo yakwamba mtu anaperereza yanakuwa na exaggeration, lakini nikwa mtu ku amini juu ya hayo au kuhasha
Intervew yakisom sio zile zawalio feli maisha wanakuja kutoa ushuuda wa uwongo mala nilikua jambaz mala nilikua mchawi awaeleweki kabisa apa sule nimekuelewa
Dah nimependa sana maneno aliyamalizia Dr.Sule,ALLAH akupe kila la kheri na akuepushe na kila la shari Dr.Sule kwa elimu bora unazotupatia ambazo hazina jazba wala papara yyt anatulia na kukuckiliza wala hazikeri maskioni mwa yyt yule.Jazaakallaahu lkhayr wabaa'adal khayr jannaatu nnai'iim.Aamiin
Siku nyingine mwandishi wa habari ukitaka kuwa balanced kwenye interview zako hakikisha unajua context ya story ili umuulize muhojiwa Hard questions, Mwandishi Hujui Biblia Akikupotosha hata huelewi chochote. Wewe na Huyo Shekhe wako wote Hamjielewi. Hii sio interview ni mtu anajisafisha kama amekukodi vileee
@@Naw89 Tunaongea kutoka kwenye nchi mbili tofauti ni ngumu kuelewa nilichomaanisha. Nakuombea Yesu aliyemtokea Paul akutokee na wewe ili awe ushuhuda kwako na ndugu zako wotee
lakini mkuu Dr Sule kasema mwishoni pale kuwa yeye kafundisha lakini sio lazima mtu afate. Pia anakubali kukosolewa alipokosea na yupo tayari kama una ishu mkaweke mjadala pale. sio vizuri kusema hajielewi. Yeye kasema basi na wewe kama kakosea nenda pale mkajadiliane mkuu. hivyo tu
Wakristo mbona mapovu mengi acheni dr sulle awapeni dozi Alafu acheni kumfundisha kazi mtangazaji hamumlipi nyie kazi ya channel yake ni yake nyie andaeni yenu
Mtume Muhammad (SAW) hakuanzisha uislamu. Neno Islam ni unyenyekevu wa moyo kwa Mungu. Mitume (AS) wote waliokuja kabla ya mtume Muhammad (SAW) walikuwa ni wanyenyekevu wa moyo kwa Mungu.
Hayo ni maneno ya watu tu biblia anaielewa mtu yeyote tu mwenye akili na kuona mapungufu yake. Kuna watu wamesomea elimu ya dini zote katika viwango vya digrii hata PhD ndio hao madokta na mitihani wamefanya na kupita na resechi au tafiti wamefanya Dr Selle anaeleza ya kweli ya vitabuni na kufafanua ukweli. Wengi tu wanangangania na kubisha tu. Wanangangania tu eti Yesu ni Mungu wakati iko wazi kwamba Mungu hakuzaa hakuzaliwa hana jinsia hakutahiriwa wala kufa na kufufuka. Yesu mwemyewe alisema baba mbona unaniacha wasamehe hawajui watendalo kesho tutakua sote katika ufalme wa baba yangu na pale alipoomba kwa Mungu kucha nzima. Yote hayo yanaonyesha kwamba yeye si Mungu lakini watu wanangangania tu Mungu Mungu yaano Mungu alibebwa Mimba na binadamu kwa amri yake mwenyewe halafu aliuawa na binadamu aliowaumba mtu anaamini tu mambo ya ajabu yasiyowezekans na kuniita anaelewa ana roho mtakatifu. Huyo roho mtakatifu ni nani na anakaa w api nadhani hata wayahudi hawamkubali. Sijui wayahudi walioletewa Yesu kama wana biblia yao na sijui imeandikwa nini kwani walimkataa Yesu
@@noahwamalwa4385 Yaan nyie mmepotea karibu kumfikia Firaun..Mpaka umri huo bado hujajua tu kama Yesu ni kiumbe kama mimi na wewe.Mtachomwa kama ibilis.
@@mwanaidiissa10 Kuwafanya mataifa kuwa wanafunzi 👉Ndiyo hatua ya kwanza ya udhihirisho wa Injili ✍️Mathayo 28:19. Amua kuwa mwanafunzi(Mkristo) upokee Injili 👉 & Isaya Isaya 61:1-4. Mathayo 10:8. Zaburi 34:8
@@Hussein-gx4qu Ukipiga ngumi ya jicho;unapiga ngumi ya sikio;ukiuliza unaonaje ,twauliza unasikiaje? Je! ni sura za Kitabu kipi BIBLIA au Quran zinazofaa kwa matumizi ya kuwafundisha,kuwaasha watu wenye akili timamu njia za Mungu? {1.} Quran👉Surat ankarabut (Sura ya Bui Bui) Surat Al baqara(Sura ya ng'ombe jike wa njano). Surat Jin(Sura ya majini). V/S {2}BIBLIA👉Waraka wa Paul kwa Wakorintho, Waefeso,Wathesalonike ,Wagalatia,Warumi nk. Swali langu kwako Hussein👇 Je!Sura za wadudu ,wanyama,majini wanazosomewa maamuma na Nyaraka za Rasul Bullus(mtume Paul) zipi zinafaa kusomewa au kufundishia watu wenye akili wamjuwe Mungu? 👌👌👌👌👌👌👌
Mungu pamoja nasi swali yesu tangu kuishi kwake ashawai kuitwa MUNGU ila wakiristo wasas awaelewek mala mwana mala mungu kwan huu Ukristo uko mala mbili au😅😅😅😅
Ukiona kule Israeli Kuna misikiti mahali lililokuepo hekalu enyi wakristo hmjasoma muone unabii wa Daniel umetimia mpinga kristo annabudiwa mahali patakatifu patakatifu pa hekalu ambapo sehem io aliabudiwa mungu yahweah bwana mungu was majeshi !!?
Quran3:54 Wamakaruu wamakaraaa ailah;wallah qaitor makhiriinah. [Walisema uongo,Allah akasema uongo,Allah ni mbora wa kusema uongo] Allah ni champion wa kamba aka baba wa uongo{mbora wa kusemauongo}Allah makir ....Mungu asemaye uongo 👌;na ninyi kina herbalist Sule watoto wake ndio mnaopenda kuutenda👉Yohana 8:44
Hiki ndo mnachokijua nyie, kudanganya watu kwa tafsiri za uongo! hakuna neno "uongo" katika hiyo aya ndugu acha kudanganya watu! Tafsiri sahihi ni "Walipanga na Allah alipanga, na Allah ni mmbora wa kupanga" Acha kupindisha maneno na kudanganya watu!
Aaah ndivyo mlivyomezeshwa huko makanisani kwenu ?😆😆😆 msiwe wavivu someni BIBILIA na QUR'AN nyinyi wenywe usisubiri usomewe utamezeshwa matango pori kama ulivyomezeshwa hapo 😆, hakuna TAFSRI hiyo, kwani nini mnapenda kumezeshwa vitu vya uongo? Mara ooh WAISLAMU wanafuga majini mara sijui nini yaani niuongo mtupu suala la USHIRIKINA ni suala la mtu binafsi na watu hao wapo pande zote yaani kwenye UISLAMU NA UKIRISTO watu hao hawawezi kukosekana........kwahiyo ndugu yangu kaachini USOME.....
Hizo ni Hadithi Kwa maana Yesu Kristo yupo wewe kwa maana ajakuitaji utapinga mpaka unaingia kaburini. Ukitaka kujua nguvu za Yesu Kristo nenda kwa waganga wanapo pandisha mashetani yao na uwaambie walitaje jina la Yesu Kristo wa Nazareti au mapepo yoyote yanapo wapanda watu hakuna atakae weza litaja jina la Yesu hapo ndio utakapo jua jina lililo kuu ni lipi.
Nyie waislam hamuijui ukristo kamwe dini yenu imeanzishwa juz juzi na muhamed angalia sule wenu anavyowadanga eti ukristo umeanzia etyokia poleni sana na dini yenu ya uwongo
Wanasikia na kusoma kwamba Yesu ni mtume aliyetumwa kuja kukomboa wana wa Isrsel na mahubiri yske yote alionyesha kwamba kuna baba yake ndie mwenye uwezo lakini watu hawaelewi au wanajifanya hawaelewi na kutunga yao
@@shabanijmrisho4715 Hivi unaamini miaka hii kuna Prophet? Mtume kaoa anavaa anakula anakunywa kwa sadaka za waumini maskini. Huyo ni dini ya kulaghai watu wakiwemo maskini na kujinufaisha kama ilivyokua Shakahola. Dini iliyojaa makanisa na manabii wa uongo wakijitajirisha kwa sadaka.Upande mwingine hakuna ataedanganya eti yeye ni prophet kama hajapigwa mawe. Huko hakuna cha kudanganya nor ani haikuchakachuliwa na masahafu hazutofautiani wala hakijaongezwa chochote cha kuhubiri
21 Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi. Yohana 20:21 Hiyo ni Asalam alaikum. Amani iwe kwenu.
Mueleweni huyu miaka 40 baada ya YESU kupaa huyu amekubali kuwa Peter alieishi na YESU aliishi na Paul..wakati huu Paul alikuwa na miaka 50 so anasema Paul alimuona YESU..sasa kati ya Muhammad na Paul nani?? Anaweza kuwa mkweli?? Cha tatu huyu ni mwehu wapi imeandikwa Paul alikuwa mrumi Paul alikuwa myahudi aliefanya kazi chini ya dola ya kiislam.. Paul alikuwa muasi mala ya kwanza baadae akaokoka kwahiyo unasema mtu akiwa muuwaji leo akisilimu anakuwa muongo?? Imekula kwako Paul mwenyewe alikaa jela baada ya kuanza kumtangaza kristo alibebwa kama mtumwa kwenda rumi Paul hakuwa mlumi someni waislam hawa mashekh wenu wanawadanganya
Oyah 😂😂 huko kwa mungu jaman sipati picha watu tutajibu nini... Jamaa yupo serious anapotosha watu😮 yan anachukua mstar mmoja anatafsir anavyotaka yy ili ifananie na anachokisema😂
Huyo ni msomi katika mambo ya dini yote assmayo si yake binafsi bali ni ya kweli toka vitabuni. Huyo ni dokta wa usomi katika madigrii na PhD katika mambo ha dini zote
Hivi You tube ni ya Wachungaji🤔 ⁉️mbona mala nyingi, yakitolewa maoni ya kweli mnaya pitisha mstali katikati (yanafutwa) hamtaki ukweli uliomo ktk Biblia yenu, 🥱⁉️
BIBLE. Sio kama gazette kusoma kama hadithi..... bible kwenye kila neno ndani yake kuna neno..... bible nikama kitendawili yani bila kua na roho mtakatifi huwezi kuelewa kamwe...... bible nifumbo..... Sulle aache kusoma kama gazette
Biblia ni mkusanyiko wa zaidi ya vitabu 66 vikiwemo vya uongo na kichakachua. Injili tu ndio maneno ya Mungu na ndio Yesu alikua akifundisha. Vitabu vya uhakika ni Zaburi torati na Injili vinginevyo vingi ni chomeka chomeka na kuchakachua
SHEBBY ULIAMBIWA HII TOPIC YA DINI NI NZITO KWAKO HUWEZANI NAYO HUYU MGANGA AKIKUDANGANYA HUTAJUA KAZI YAKO NIKUITIKA TU....HUJUI MASWALI YA KUUMULIZA....HUJUI BIBLIA NA HUJUI KORAN.... WAITE SHEHE OMAR AU HASSAN SALUM WAKUSAIDIE!! AMA MMELIPWA NA HUYU MGANGA AJE KUSAFISHA DINI YAKE??
Uyo sule ni mwongo sana !!!we mwandishi jiepushe nae uyo jamii lini injili ikabadilika! Hao watu si ndo wapinga kristo Kama yesu alivosema uliona lini uislam dini yao inakubali yesu mwana wa mungu si wapinga kristo hao
Wewe mtoto wa mama mdogo ulie fukuzwa na mama nyumbani kwasababu yajehuli ya mama yako ukakimbilia jangwani malaika akamtokia yule kijakazi kamwambia aludi nyumbani kijakazi akaogopa atahuwawa baba
Doctor sulle dini yake yeye mwenyewe imemshinda alafu anakuja kuzungumzy ukirsto yaan uyu jamaa anajua vitabu ila Hana upendo ni kupiga hela tyu .na anatumy dini kupotosha watu na hatufai huyu muwakilishi
@@zaidiissa3714 ndgu yangu soma biblia matendo nane na Yuko tofaut anavyovisema Kwa sababu ya kutokusoma maandiko Kila kinachosemwa na mtu ni amen tyu wakat mnapitezwa Kwa kukosa maalifa
Sasa amedanganya Nini inamaaba alivyo viongea havipo katika bibilia? Yani yeye kuuliza yesu kasurubiwa mdagani kati ya saa3 asuhi na saa6 mchana na saa9 jioni ipisaa sahihi alisrubiwa kutakakujuatu amshakua muongo??kweli nyinyi ni washabikitu wa ukristo wala hampotatali kujua ukristo wenyewe ndio maana mnaplekwapelekwatu kama kondoo mkiambiwa vueni chupi mzipeleke kanisani zikaombewe hataswali hamuuli imeandkwapi fasta mnapeleka mwisho mnaishia kufirwa nijuzitu papa ametangaza uhalali wa ndoa zajinsia Moja natayali mnafuata😂😂😂
Acha kudanganya watu unapo soma bibilia soma histolia nzima usitumie misitali michache kupotosha watu mwisilamu hamwamini yesu kuwa nimokozi bali mnamsomatu
Yesu si mwokozi,yesu n mtume wa 24 ktk mitume 25 mwokozi ni Allah pekee yesu n mtu Kama ssi kaka,wachungaj wenu n watu wa seraa,waulizen maswal magumu..Leo ukimuulz mchungaj atakwambia una mapepo hapana ndugu zangu msikubal kuitwa wanakondooo ,hmu amkeni waulizen maswal so wachungaj,kaka kabisa n takatif kuliko kitanda unacho lalia,lkn hujawah lla na viatu coz unaogopa kuchafua kitanda lkn always unaingia Kansan na viatu..amkeni ndugu zangu
Yesu alikuja kuleta wokovu sio kutangaza dini,hatutahukumiwa kwa dini bali utamuona Mungu kwa utakatifu tuh.na pia omba Mungu akupe ufaham wa kulielewa neno lake usilitafsiri kibinadam omba roho mtakatifu akujuze .Yesu ndio njia kweli na uzma
KUNA MPUUZI MMOJA ALISEMA ALIMWONA MUNGU NA NYERERE NA SUFURIA YA MAJI IKACHEMKA MAJI MBAKA MAJI YAKA KAUKA 😂😂😂 ANAKWAMBIA ILIKUA TAREHE 14 HII NDINI YAO NDIO WENGI WAO WALIMWONA MINGU NA YESU
Mnaweza kumuona Muhammad watu hawawezi kumuona YESU?? Muhammad amekufa YESU yupo hai ila mnaweza kumuona Muhammad ila watu hawawezi kumuona YESU leta points kwann? Paul hawezi kuwa mtume?? Mme muelewa huyu alitaka kutoa point kuwa Paul sio mtume mmemuelewa??
Wewe ndiyo muongo mkubwa kuliko wote duniani, Yesu ni bwana wapinga kristo hawatakosekana duniani mpaka ujio wake ,hata alipokua duniani wapo waliomkataa sermbuse ww mpiga kelele tunakucheck tu kwa mbali tunakuacha
Channel inayo muinua Bwana wetu YESU KRISTO kupitia Shuhuda na Channel hiyo hiyo inaleta Mpinga Kristo kudunisha Bwana YESU (INJILI )😢😢 MAAJABU 1 Wakorintho 10:21 📖 Hamwezi kunywa katika kikombe Cha Bwana na Cha Mashetani pia. hamwezi kuwa na sehemu katika meza ya Bwana na katika meza ya Mashetani pia. Kutoka 20:5 📖 BWANA, MUNGU wako, Ni Mungu mwenye wivu......
Ambae ni 1 hyo mungu na wala sio utatu 3 sababu mungu wetu ana wivu ushasema tayar jibu unalo mungu ni 1 tu hakuna utatu apa ndo cc waislam pamoja na bwana yesu mungu wetu ni 1❤❤❤❤❤
Christian : What do you think about Jesus? Muslim : Jesus is prophet and Muslim Christian : Jesus is Muslim? Muslim : Yes Christian : How is Jesus a Muslim when Islam was born 600 years after Jesus? Muslim : Muslim means that we all submit to Allah, And that is why Abraham and Moses were Muslims Christian : So why Muhammad said that I am the first Muslim in Quran, while Abraham, Moses and Jesus were Muslims before Muhammad! Muslim : Where? Christian : 6:14 , 6:163 and 39:12 Muslim :…… Christian : If there is a contradiction in the Quran, Quran is not from God, right? 4:82 Muslim : This is not a contradiction, whatever Jesus is prophet like Adam 3:59 Christian : How was Adam created? by dust 3:59 or by clay 15:26 or by blo*od clot 96:2 Muslim : …… Christian : Allah knows best? You don't even know how Adam was created, then you say Adam was created like Jesus! How is it possible? Muslim : That's right But Jesus is Just Prophet Christian : The Quran says that no one is God unless he can create a fly, right? 22 : 73 Muslim : Exactly Christian : If someone creates a fly! He is God? Muslim : Yes Christian : So Jesus created a bird from clay just like Allah created Adam 3 : 49 Muslim : No! Jesus has done this with Allah's permission, while Jesus is a creature! Christian : Jesus created a bird from clay (according to Muslim logic, Allah allowed Jesus to be God like himself, so Allah questioned his own uniqueness and And Allah rejects himself to be one and Allah destroyed Islam) and the Quran says that whoever creates is not a creature 16:17. So Jesus is not a creature, Jesus is the creator Muslim : ……,Allah knows best Christian : Yes, Allah knows best, because Allah Said to accept Christ(Messiah) and Allah as God Muslim : Where? Christian : 9:31 Muslim :This verse does not say this Christian : Are you Arab? Muslim : No, I read the translation Christian : So, why you act against Quran, Because Quran said We sent the Quran in Arabic and read it in Arabic to understand 12 : 2 Muslim : Okey, But the translation is the same as the Arabic text of the Quran Christian : Did the Quran tell you to read the Quran with translation or read it in Arabic! This is why Islam deceives by mistranslating the Quran and read verse 9:31 with its original Arabic text Muslim : I dont know, Anyway, Jesus is your God and Allah is My God! So We do not accept Jesus as God Christian : So, why Quran said My God(Jesus) and Your God (Allah) are same as One 29 : 46 Muslim : Astagfirallah, This is Shirk! Allah is One! Christian : So why Allah called himself "We" and "Our" 29:69 Who are "We" and "Our"? Muslim : …… Christian : Jesus is God even in your book :) Muslim : May Allah guide you to true path! I don't waste my time at you Christian : Another Day and Another Muslim
Aseme nini ama nini yesu ni bwana bado wamwaminie tunaona matendo ya yesu kupitia wale amboye wanahusuhuda ya kumeona yesu wetu, Mohamed alkufa kama watu wengine wote hakufanya chochote ya kufanana na yesu ,Nayeli ndio njia tu , aongee kwanini biblia inasema Urdu ndio njia na sio mohamed, kutumia vitabu tatu tu kichanganya watu , abaki hapo akiamini majini yake akiambia watu wamwoneekando kwa mafanikio , kuuza Pete za mapepo ,
Unaushamba sana kaaa na ujinga wako mkiambiwa kweli mnaluka kwa kuishi kwa kukalilishwa na wachungaji wenu yesu akufa ama vp bas kama kufa kwa manabii niishu nabii ELIA akufa alipaa moja kwa moja sasa na uyo vep 😅😅😅😅😅
Bibilia yenu yenyewe..inakataa yesu sio mungu..pia bibilia inasema yesu alitailiwa..sasa mungu huwa anatailiwa..?mungu huwa anakaa tumboni miezi 9 na kuzaliwa kupitia tulipo pitia wote.? Adam na eva..awajazaliwa wao tuwaite mungu au?..iyo bibilia yenu inawashushua wenyewe..yesu aliingia msikitini akaswali kiislam..bibilia inasema ivyo..?
Mwandishi anaonekana ana maswali lakini anaogopa kuuliza 😂😂 inabid tu asikilize porojo kipindi kiishe dah , Hivi mnadhani kujua Biblia ni kukariri mistari kama quran? Biblia lazima uielewe quran unaikariri tu sio lazima uelewe ndio maana wengi wanakariri kiarabu ila hawajui maana zake.😂😂 wanaanziaga madrassa.
@@usrahismail3196 Shida nyie mnakririshwa kiarabu na hamuelewi maana yake fanya research, utakuta mtu kakariri mpaka dua kwa kiarabu ila ukimuuliza maana yake hajui kuelezea kwa kugha yake, nishafanya research hiyo sijakurupka.
Kikubwa tunachokuombea sisi dr.sule.tunamuomba Allah akupe umri mreefu wenye heri nawe.na afya njema ili uzidi kutoa madini kwetu .waskia raha wallah mtu akikuskiliza unavyonguruma na kumpwekesha Allah.kwenye ufalme wake na dini yake.na kuichambua vyema dini fake.Allah akupe mwisho mwema wa shahada yaa Rabby🤲🤲.adi raha
Icho ndo akili yenu huwadanganya kama ni mungu😢 weee hamtatuingiza hko cc tunajua mungu ni 1 na hana wakufanana nae na wala hana mshirika... yesu ni muujiza wa mungu kataa uende motoni
KUNA MAPEPO UKIFYATULIWA NDUGU SULE UTAOKOKA NA UTAKUWA HURU,MAANA NAHISI YALE MADUDE YALO MMINYA MUHAMADI MPAKA AKASOMA,YANAKUBINYA NA WEWE UONGEE HISTORIA YA ELIMU YA UONGO INAYO PINGA BIBLE,MUNGU AKUSAIDIE UPONE MZEE.
Huyo ni dokta wa PhD aliesoma madigrii na falsafa katika mambo ya dini.Asemayo yote ni ya kweli toka vitabuni.Wengi wanamchukulia Poa huyu Daktari. Vitabu vyote viko kichwani mwake hayo si yake binafsi
Petro alipewa funguo ya kanisa la kwanza na roho mtakatifu. Paulo alitenda injili km mchanguliwa kwa mahana alikuwa apiga kanisa vita akuna na Mungu aka mugeuza toka Sauli na kuitwa Paulo aka hanza injili🎉