Hizo shuhuda hata kanisani kwako unaweza kuzipata, lakini shuhuda kama hizi zinafunua kazi za shetani ambazo ni mara chache sana kuzipata( unaweza ukatizama tu kanisani kwenu ni mara ngapi imetokea shuhuda kama hizi
Shetani Hana vita na mtu asiye mkristo wa kweli,kwa maana hawamsumbui lkn mkristo wa kweli ni hatari kwake kwamaana wakati wa maombi ya mkristo mapepo yanaungua na kuzimu inatetemeka na vitu vyao vinaharibika,ndiyo maana kuna vita kati ya mkristo wa kweli na shetani,lkn muislam au mpagani au anaejiita mkristo lkn hafanyi mapenzi ya Mungu hawana madhara kwa shetani manake anaweza kuwafanya chochote na wakati wowote.
Kwani wewe mpaka hapo hauoni Mungu amefanya nini? Mtu anaposhuhudia maana yake Mungu ameshafanya anachokifanya ni kumwaibisha shetani maana Yesu amesha ameshajitwalia utukufu.