Тёмный

QUR-AN FEKI YAWAN'GATA WAISLAMU WALIMU WA MADRASA WALIPWA MAMILIONI KUIFUNDISHA NI MSIBA KWA WATOTO 

arkas online tv
Подписаться 132 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 34   
@ZikiriMohamedi
@ZikiriMohamedi 5 месяцев назад
Jazaqallahu khayra shekhe wang
@mariamhakim1463
@mariamhakim1463 5 месяцев назад
Suabhanallah Allah atulinde na Ailinde na Quran yetu
@mohamedgulamseni8109
@mohamedgulamseni8109 5 месяцев назад
Ya Allah ya Allah ya Allah ya Allah tuhifadhie Quran yetu Yaa allah
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 5 месяцев назад
AaaminaYaarabi😭😭😭
@SalmanMughal-lq5lt
@SalmanMughal-lq5lt 5 месяцев назад
SubhanAllah😭😭😭
@abduljuma7807
@abduljuma7807 5 месяцев назад
Mashekhe badilikeni nenda kwenye hoja Sasa ukianza kughani Nini maanayake mnasema naongea kifupi masaa 3 hamuelezi kitu mnaboa wakati wakughani iwe kughani naomba mnielewe Sina Maana ya kuharibu
@AhmedMohamed-so7db
@AhmedMohamed-so7db 5 месяцев назад
Mashallah sheikh msichoke kutuelimishe
@hamzakimaro3764
@hamzakimaro3764 5 месяцев назад
MAKAFIRI WANAJISUMBUWA TU,HAWATWEZA QUR"AN YA SAWA IPO VIFUANI MWA MAHAAFIDH WA KIISLAM
@salimjuma9450
@salimjuma9450 5 месяцев назад
Subhana ALLAH
@alliabdullah6180
@alliabdullah6180 5 месяцев назад
Laahaula walaquata illabillah
@Ommybabaa47
@Ommybabaa47 5 месяцев назад
Allahu Akibar🙏
@mealiipafu-wg7dx
@mealiipafu-wg7dx 5 месяцев назад
Allah atulinde🙏
@aliiddi7565
@aliiddi7565 5 месяцев назад
Allahu Akibar
@Nora-v1m3p
@Nora-v1m3p 5 месяцев назад
Allah ameahidi atailinda Quran.kazi bure wanaofanya ufisadi kuhusu kitabu kitukufu.Allah atuepushie balaa za waovu
@FASSALEHALIB
@FASSALEHALIB 5 месяцев назад
SUB HAANALLAH.
@SHEIKHMWAIPOPOTV
@SHEIKHMWAIPOPOTV 5 месяцев назад
Uwezo wenu baazi ya viongozi wa dini ni mdogo sana hivi unawezaje kuanzisha korani feki nendeni mkasome
@ianulomi
@ianulomi 3 месяца назад
Jina huyu Sheikh mwenye kulifaham
@ABUUDARDAAI
@ABUUDARDAAI 5 месяцев назад
asa unaifundisha ili iweje
@mnokotah4182
@mnokotah4182 5 месяцев назад
Acheni kujisumbua hakuna atakae weza kuichafua quraan
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
Hakuna mjinga wowote anaeweza kuleta mfano wa Quran musiongee pumba nyinyi masheikh
@FASSALEHALIB
@FASSALEHALIB 5 месяцев назад
MCHE ALLAH. CHUNGA MANENO YAKO.
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
@@FASSALEHALIB yaani wewe ndio hamna kitu kabisa
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
Nyinyi masheikh mimi nawashangaa Sana Cjui ndio tuseme mnatafuta kiki au Vipi, yaani mtu unakaa mbele anaongea kitu hakieleweki,sisi tunaamini qur'an kwamba hakuja mjinga yoyote atakaeweza kuleta mfano wake ilitakiwa musimamie hapo tosha
@FASSALEHALIB
@FASSALEHALIB 5 месяцев назад
MCHE ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA. SIKILIZA UELEWE.
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
Nielewe nini mjomba wewe ukishindwa kuilewa Quran Uje uelewe nini apo wakati Quran imeweka wazi kila kitu
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
@@FASSALEHALIB sisi waislam tumefundishwa tusiwe na mashaka juu ya kitu chochote kilichozungumziwa kwenye Quran Sasa nije nipate wasi wasi au uniaminishe kua kuna Quran feki wakati Allah kasatubainishia kila kitu mimi siwezi kuacha mafundisho ya Quran nikamfata mtu anaeongea pumba.
@SalamaKhamis-un8vn
@SalamaKhamis-un8vn 5 месяцев назад
Hivi kwasababu Mungu kaahidi kuilinda kur ani unadhani ulitakiwa ukae tu bila kushuhulika na dini yako
@IsmailJuma-zb5ni
@IsmailJuma-zb5ni 5 месяцев назад
@@SalamaKhamis-un8vn kwani mimi nimeongea kushuhulika na dini au nimesema hakuna mtu anaeweza kuleta mfano wa Quran mbona na wewe Kama ndio wale wale, Kama muislam hutakiwi kua na mashaka juu ya kitu chochote kilichozungumziwa kwenye Quran, sasa ukisapoti kama kuna Quran feki (mfano wa Quran) basi wewe itakua hujielewi.
@omarykibunta4950
@omarykibunta4950 5 месяцев назад
Sasa kingereza Cha Nini piga kiarabu
@ZablonLameck
@ZablonLameck 5 месяцев назад
wakati wanapewa fedha, wewe ulikuwa wapi?
@mamlomamlo9064
@mamlomamlo9064 5 месяцев назад
Quran ifuatwe vile vile
@ALLYnzeyimana-y6q
@ALLYnzeyimana-y6q 5 месяцев назад
Is he an article or a subject sheikh better speak Arabic for Islamic knowledge to clarify things this is for good purpose not criticism
@abduljuma7807
@abduljuma7807 5 месяцев назад
Kishki hawezi kulinda kulinda Qur an soma 15:9 na Allah tu mkiona mnahifadhisha na mnasapotiwa na wasio waislamu jueni mnajaza maji kwenye gunia 2:120 olewetu hatutafakari 1Qur an 38:29
Далее
Beyond the Debate | Dr. Zakir Naik | 142
3:14:33
Просмотров 1,5 млн
Ostaz Mazinge na Quran Feki KHIDMA ONLINE TV
17:23
Просмотров 2,2 тыс.
KISA CHA NABII MUSSA //Dt Pro MAZINGE
18:45
Просмотров 22 тыс.
HISTORIA YA MAJJINI // SHEIKH OTHMAN MAALIM
1:04:48
Просмотров 69 тыс.