Тёмный

RAIS MWINYI ATOBOA SIRI KUHUSU "TAXI BOAT" ANAZOTAKA KUZILETA ZANZIBAR 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 377 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@masoudalriyamy6298
@masoudalriyamy6298 8 месяцев назад
Mungu akusaidie
@MTAVASSYTv
@MTAVASSYTv День назад
Maashaallaah maashaallaa Allahu taala ajaalie yawe haya Nakuombea Dua njema mh:Rais wa Zanzibar nami ni katika wakupendao na kukuombea
@alibhaindaro9187
@alibhaindaro9187 9 месяцев назад
Maashallah muheshimiwa, Allah akulinde uzidi kuihimarisha zanzibar. ❤❤❤
@othmanawadh3964
@othmanawadh3964 9 месяцев назад
Amin . ALLAH azidi kutupa afya njema ili tuijenge nchi yetu
@ahmeidSeif
@ahmeidSeif 9 месяцев назад
Mashaallah
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 9 месяцев назад
Baraka Shamte salamu zimefikia omva radhi kwa Mhe Rais
@AbdulRahimhoward
@AbdulRahimhoward 9 месяцев назад
Allah Akubariki Mimi sijawahi kukupinga ulichofanya sasa ivi wengine hawajafanya mpaka sasa ivi
@asmasalummohamed5564
@asmasalummohamed5564 7 месяцев назад
Let's go Mr president
@jumamambo7471
@jumamambo7471 9 месяцев назад
Masha-alah alah akulinde kipenz cha wazanzbar
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 9 месяцев назад
DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE
@khalidibrahim4579
@khalidibrahim4579 9 месяцев назад
Hongera kwa maendeleo Ahsante kwa maendeleo Zanzibar iwe dubai
@duniamapitosotewamungu3467
@duniamapitosotewamungu3467 9 месяцев назад
nakubali uko kibiashara zaid wazanzibar wenye vigari vyenu vya Abiria ambavyo ndio vinakupatieni riks jipangeni na kulima
@hamadabdullahkhamis977
@hamadabdullahkhamis977 9 месяцев назад
Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..
@kimsamir965
@kimsamir965 9 месяцев назад
Safi sana rais mwinyi nakukubali sana nani kama wewe ubarikiwe sana mungu akuweke
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 9 месяцев назад
Safi sana mzee vijana tupo pamoja na wewe
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 9 месяцев назад
Jisemee ww
@Sidik-d7e
@Sidik-d7e 9 месяцев назад
MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salehjuma935
@salehjuma935 9 месяцев назад
Mitano tena kwako raisi wetu mpendwa hayo ndio mambo tunayoyataka In Shaa Allah
@kahilissa1862
@kahilissa1862 9 месяцев назад
In sha Allah kheri
@EvaristoMlowe-yp3pu
@EvaristoMlowe-yp3pu 9 месяцев назад
BIGUP SANA
@abdul-halimhafidh642
@abdul-halimhafidh642 9 месяцев назад
Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar
@suleimanrashid3918
@suleimanrashid3918 9 месяцев назад
Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.
@hijazhija316
@hijazhija316 9 месяцев назад
😂
@R10_Rajab
@R10_Rajab 9 месяцев назад
Hao Wageni pia tuna mpango wa kutembezwa kwa Mabus ya serikali mabus ya Garofa Moja ambayo juu yapo wazi ila msijali Serikali itaajiri madereva
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 9 месяцев назад
😂😂😂​@@R10_Rajab
@kimsamir965
@kimsamir965 9 месяцев назад
Rais wa future huna mbaya endelea kuleta maendeleo ya Zanzibar
@nafisahalai5536
@nafisahalai5536 9 месяцев назад
God bless you President Mwinyi. We love you
@hijahamadi5793
@hijahamadi5793 9 месяцев назад
Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.
@mnahakikibwenihaji9563
@mnahakikibwenihaji9563 9 месяцев назад
hizo pesa za tax bot zikibaki njoni mutusaidie sare za watoto wetu huko skuli wanawazuiwa wasiende
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 9 месяцев назад
Au sio Insha Allah kheri tupu
@hmedoggftherljih199
@hmedoggftherljih199 9 месяцев назад
Zanzibar ❤️💛💚
@SharifuMati
@SharifuMati 9 месяцев назад
Allah Akupe wepesi kwa hayo
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 месяца назад
Raisi mwinyi tunakupenda sana lakini mkuu wa wilaya wa kati sadifa anatunyanyasa anatutukana tumemchoka please hatumtak
@alhajrahassan89
@alhajrahassan89 9 месяцев назад
Hakika wewe ndio rais tulokuwa tunakutaka Allah atuweke inshallah tiweze kuja kuona Zanzibar yetu mpya inshallah Ameen 🤲🤲🤲
@mohddelo
@mohddelo 9 месяцев назад
Hawana sera hao
@bakarikombo6279
@bakarikombo6279 9 месяцев назад
Mitano x4 itafaa akipewa huyu mzee baba Zanzibar kama dubai
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 9 месяцев назад
Hatufamu hayo ss tutaka zanzibar yenye malaka kamili bila ya kungiliwa na wabara
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 9 месяцев назад
Na veep muheshimiwa kuhusu MV MAPINDUZI
@Asilimedia
@Asilimedia 9 месяцев назад
Ipo katika Hatua za mwisho kwenye matengenezo (ukarabati) unaofanyika.
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 9 месяцев назад
Nitaileta mpya msijali
@abdallahdullah8642
@abdallahdullah8642 9 месяцев назад
Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao. Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi. Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi. Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki. Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.
@allyvuai9762
@allyvuai9762 9 месяцев назад
Mitano tena dkt Mwinyi
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm 7 дней назад
Kwa hili mwinyi nakupongeza sana
@hajihassan5433
@hajihassan5433 9 месяцев назад
Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 9 месяцев назад
Maendeleo ni sacrifice lazma kuna upande uumie kwa muda ili badae vitu vikae sawa
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 9 месяцев назад
Ndo walivo kila kitu wanasema hatuwezi Sasa wataona
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 9 месяцев назад
Umeme bado kero zito
@afropanorama4730
@afropanorama4730 9 месяцев назад
Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu
@rehanijuma1421
@rehanijuma1421 8 месяцев назад
Haya sasa
@alihaji215
@alihaji215 9 месяцев назад
Tutajitawala wenye msitutowe kwenyenjia ya reli
@SaidJangoli-hr7ww
@SaidJangoli-hr7ww 9 месяцев назад
Napia huku shumba mjini hii bandari bado imeganda hatujuwi lini itakwamuka
@zaeexplore
@zaeexplore 9 месяцев назад
oyaaa mwinyi mitano tenaaaa
@AidaniJohnKomba
@AidaniJohnKomba 5 месяцев назад
mwinyi namkubali sana hapepesi maneno
@yassirmabuku7832
@yassirmabuku7832 9 месяцев назад
Dr Mwinyi tumuongezee miaka kama wenzetu wa china tumpe miaka 20 hadi 30
@haroubhbm5728
@haroubhbm5728 9 месяцев назад
Pesa imetumika kuhamisha taka so mchezo
@zainarashid1024
@zainarashid1024 9 месяцев назад
Wambie hao wapinga maendeleo wapuuzi wengine walikuwemo serikalini hawakufanya lolote
@yassirmabuku7832
@yassirmabuku7832 9 месяцев назад
😂 mbali na mipango ya dr Mwinyi kunikosa na Dj nae kanikosha
@htx1873
@htx1873 9 месяцев назад
The MWINYI’S Never disappoint.❤
@Daawa-l8s
@Daawa-l8s 9 месяцев назад
Mipasho ila mda ndio jaji mkuu.
@Asilimedia
@Asilimedia 9 месяцев назад
Huyu Raisi mitano tena Ikiwezekana tena na Tena
@saidyussufmzee4548
@saidyussufmzee4548 9 месяцев назад
😂😂 Mzee..
@RamadhanHussein-u6n
@RamadhanHussein-u6n 5 месяцев назад
Mh Mwinyi jenga nchi tunakukubali
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 9 месяцев назад
Mwinyi ushashiba aloooo
@mahamoudduchi3318
@mahamoudduchi3318 9 месяцев назад
Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini
@pajebeachtoys
@pajebeachtoys 4 месяца назад
Water tax
@AbdulSaid-bn2gi
@AbdulSaid-bn2gi 15 дней назад
Kwan ulishinda na ulipewa tu
@NassoroHaji-i8k
@NassoroHaji-i8k 9 месяцев назад
Tnataka maendeleo Yazidi kuongezeka na Pemba uijenge iwe na maendeleo Hususan Bandari ya Wete Pemba
@MdNasr-jm8pj
@MdNasr-jm8pj 9 месяцев назад
Na walodhumiwa vi inua mgongo wasaidia 😢
@amirmohamed2729
@amirmohamed2729 8 месяцев назад
Sasa wataka kuzamisha watu
@InnocentMbwago-f9f
@InnocentMbwago-f9f 9 месяцев назад
Mihezo
@salehkaroa2366
@salehkaroa2366 9 месяцев назад
Kisima watu M2 hawafiki kila kitu aaah haiwezekani Siasa za Chuki na ujinga zimeekwa mbele ilikua ujinga mtupu
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 9 месяцев назад
Huyu jamaa Ana uwa kazi za wananchi ma beachBoy wakae juu anapiga deal
@AleiHadji-js3ed
@AleiHadji-js3ed 9 месяцев назад
Unaharibu utatuharibia na Sisi brooo
@abdallahkassim8600
@abdallahkassim8600 9 месяцев назад
Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 9 месяцев назад
Kushinda kuchukua tu umeshinda wapi sema ukweli punzi isikuhadae amani yuko wapi sefu ali iddi yuko wapi salimini yuko wapi
@TahilaRamadhan-hz3pd
@TahilaRamadhan-hz3pd 9 месяцев назад
Na sefsharif yukowapii
@hajihassan5433
@hajihassan5433 9 месяцев назад
Wahakutokea wa kumkamata ndio kushinda huko huko.
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 9 месяцев назад
@@TahilaRamadhan-hz3pd sefu ametanguli mbele yy muliokuwa hamutokufa mutakaa duniani milele endeleeni kuzulumu tu
@Msomali-o7f
@Msomali-o7f 9 месяцев назад
@@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu
@allyvuai9762
@allyvuai9762 9 месяцев назад
Wacha ufala kaka mwacheni Rais afanye kwa maslahi mapana ya taifa letu
Далее
KWANINI ZANZIBAR INAANZISHA BIMA YA LAZIMA KWA WAGENI?
14:08