DR MWINYI IKIWA UTALETA MAMLAKA YA NCHI ZANZIBAR TU BASI ITAKUWA UMEFANYA MAENDELEO MAKUBWA SANA ILA HAYO NI MAMBO YA KAWAIDA YENYE MASLAH YAKO BINAFASI TU TUNAKUELEWA MOYO WAKO UKOJE
Yote tuletee lakini ujue muheshimiwa... Juzi Kiwengwa tulikosa umeme masaa mengi sana... Umeme umeme nguzo zimechoka tunadilishe kila siku nguzo zinanguka.. yaani rais wetu anataka mengi mazuri lakini kuna wachache wanatuharibia... Hongera sana..
Namkubali RAIS MWINYI, fanya kila unalohisi lina maslahi kwenye nchi yetu na mengine pia tuletee yaliyokuwa mazuri, ipo siku tutaona na kukumbuka juhudi zako kwa nchi yetu, Allah atuwezeshe kuyaona mapinduzi ya kimaendeleo kwa Zanzibar
Rais chonde chonde mm naamini unaweza na mungu atakujalia in shaa Allah. Ila nakuomba usishindane nao hawa mwisho utatukomoa sisi wanamchi wanyonge.maana ukieka hvo vitaxi utatuumiza sisi wenye vitaxi vyetu vya vi alphard maana wageni itakua hawapandi tena. Tunakuomba utuekee tu hvyo trein na tena uweke moja yakuzunguka mji mkongwe Allah akujalie wepesi na uongoze tena ikibidi tubalishe katiba uchukue 10 tena.
Hongera kwa juhudi zako lakini mbona Zanzibar hatuhitaji usafiri wa treni kwa wala taxi boat, Zanzibar hali ya wananchi kiuchumi ni mbaya na sidhani kwamba hiyo treni na kituo cha boat kitasaidia lolote katika kuinua uchumi wao, Tunachojotaji Zanzibar ni Network nzuri ya barabara za kisasa zinazopitika mwaka mzima tu, Na hizo fedha Nyengine zipelekwe katika kero zilizoko katika Afya, maji , kilimo nk.
Asa treni mzee iende wapi wkt saiv suala la usafiri binafsi kila mtu anao. Nahc mabasi yanatosha km ulivyo ahidi. Lkn suala la water tax ni km vle boti ya bagamoyo ilioishia kupewa jeshi. Ivi niache kupanda basi mpk nungwi nipande boti mpk nungwi iyo nauli kiasi gani mpk ilipe gharama za uendeshaji na abiria wenyew mpk tupande na matenga yetu ya samaki. Suala muhim muheshimiwa tujengee bandari ya meli za kontena itakayo egesha angalau meli 3 kwa wkt mmoja angalau yenye ukubwa wa mita elfu moja.
Tunataka kila kitu kiwepo lakini, Maendeleo ya vitu yaende sanjali na maendeleo ya watu. Hali za wananchi kiuchumi ni mbaya sana, hiyo miradi ina dalili za kuongeza umasikini kuliko tija. Nakupongeza sana kwa maono lakini fanya moja moja tafadhali.
Maendeleo ya zanzibar yaendane na umaarufu wa zanzibar duniani,ni aibu nchi ndogo kua maarufu halafu maendeleo ziro,wakati umefika tuunge mkono kwa maslahi ya vizazi vyetu
Ndugu Rais hatupingi juhudi zako ila Hawa ndugu zetu wenye Gari za kubeba wageni vipi ushawatizama kwa jicho la Tatu kbl uwo mradi kuufanyia kazi chochonde utawaua na njaa sifikirii km mgeni atataka Gari ya taxi kupelekwa hotelini
Ss tupunguzie makodi kwni ss wnanchi tuna hali ngumu na maji bado hatupati hio tax bot kwnza mm nakushaur utufanye hayo kwnza ss mwngine bahari twaiogopa mambo mengi yapo yatuliwe tuhoi
@@TahilaRamadhan-hz3pd na sefu ni mtu 1 tu lkn mumewazulumu wanzanzibari wengi yy hamufi muungu anawaanza kuwahukumu hapa hapa dunia kwanza alikuwepo salimini amuri jeee yuko wapi sefu ali idi jee yuko wapi amani kabakia kichwa tu