Тёмный
No video :(

MWANAJESHI MSTAAFU ZANZIBAR ALIYESHIRIKI KUWAKAMATA WAUAJI wa HAYATI MZEE ABEID KARUME "WALIKIMBIA" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 17 тыс.
50% 1

MWANAJESHI MSTAAFU ZANZIBAR ALIYESHIRIKI KUWAKAMATA WAUAJI wa HAYATI MZEE ABEID KARUME "WALIKIMBIA"...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 82   
@globaltv_online
@globaltv_online 7 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@omarali797
@omarali797 5 месяцев назад
Maswali mazuri sana. Sema huyu Mzee Muongo sana. Jumbe ni mswahili mwenye asili ya bara, kama Mapinduzi alikuwa kashafika Makerere na msomi mzuri. Ali Hassan Mwinyi katoka Mkuranga, hakurudi tena, naye kusomeshwa mpaka UK.
@Nedjadist
@Nedjadist 3 месяца назад
Acha ubaguzi, mkiachiwa wenyewe patakuwa vurugu. Tetea Muungano uboreshwe tu. Angalia Sudan.
@user-km7xi4ev9j
@user-km7xi4ev9j 2 месяца назад
​@@Nedjadist Nawe wataka ushughulikiwe kwa maana huwezi kujiendesha mwenyewe. muangalie mau zinde
@alimohammedomar3412
@alimohammedomar3412 7 месяцев назад
Kaondolewa mkoloni sultani kakabidhiwa mkoloni mtanganyika, kichekesho.
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 5 месяцев назад
Nchi ilikuwa salama mpk alipouliwa mzee Abeid amani karume
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 7 месяцев назад
We mzee hujaongea ukweli bali uongo uliopitiliza
@madetetv6576
@madetetv6576 6 месяцев назад
Wewe ulikuwepo? Yani unambishia mtu ambaye yupo toka hujazaliwa na qlishuhudia tukio
@seanmurray6516
@seanmurray6516 7 месяцев назад
Kuna siku mutasimama mbele Ya Allah na kila mtu atahukumiwa kwa kosa lake
@mangofish9079
@mangofish9079 7 месяцев назад
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@saadamar6712
@saadamar6712 7 месяцев назад
Ikiwa lengo la kufanya Mapinduzi ni kujitawala na kujiamulia mambo yetu wenyewe. Leo kila unachotaka kufanya lazima waamuwe Tanganyika
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад
😮WEWE UMO TUU HUJIJUWI MUUWAJI WA WAZANZIBARI NA YEYE KAULIWA MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU WANAFIKI MADHALIM WEZI WAONGO HAKI ATAILETA IN SHAA ALLAH AMEEN.
@jarsjam8894
@jarsjam8894 6 месяцев назад
Sie karume alopindua Nyerere ndie alopindua na mpaka Leo muko chini ya bara nyooni mnauliwa ovyo
@jarsjam8894
@jarsjam8894 6 месяцев назад
Walishirikiana na Nyerere kumuuwa karume yuleyule alomsaidia mapinduzi
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 месяца назад
Bora tungetaaliwa na ao waarabu kuliko ngozi yeusi zilizojaa tama maisha magumu sana
@sayidabdillah8505
@sayidabdillah8505 7 месяцев назад
Dhamira yetu ya Zanzibar bado hatujafikia maama maamuzi ya nchi ya Zanzibar bado kabisa hatuamuii sisi wazanzibar tunaamuliwa na watu kutoka tanganyika Kiukweli ameondoka abdallah jamshed amekuja mtanganyika ni vile vile tofauti kwamba jamshed alikuwa ni white race mtu mweupe or mwekindu na mtanganyika ni Black people mtu mweusi Kwa weusi wake mtanganyika na anavyoturawala zanzibar hatuoni km tumetaliwa lakini bado zanzibar tuko chini ya utawala wa tanganyika Huo ndio ukweli Km tanganyika na Africa tunapendana basi ni wazi kuwa tanganyika waiwache zanzibar ijitawale wenyewe katika utambulisho waoo wa taifa huru la afrika
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 5 месяцев назад
Jamshed ni mt wa Oman na dhamira ilikuw kuwaondosh waoman lkn shida imeanza baada y kuuliwa mzee karume km angekuwepo zanzibar ingalijiendesha wenyew ndo maana hotuba ktk hotuba zke alikuw anasema muungano ni km koti
@gangmore9091
@gangmore9091 7 месяцев назад
Ukweli upo wazi yaliyotokea yanajulikana kila mtu atahukumiwa alichokichuma insha Allah
@abunufilaabunufila2152
@abunufilaabunufila2152 7 месяцев назад
Mzee muongo sana
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
Mapinduzi yalikuja pinduwa serekali halali ya wazanzibar chini ya uhuru wa muengereza ambao mataifa mbali mbali wanaadhimisha ikiwemo Tanganyika yaliotokea zanzibar ni husda ya karume na Nyerere mungu awalipe kwa matendo yao ila kwann hamkupinduwa wakati wa muengereza???
@abdulhakimjuma9112
@abdulhakimjuma9112 7 месяцев назад
Jaribuni kutuaminisha uongo wenu lakini hatuwaamini tunajuwa nyinyi ni maadai wetu
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 6 месяцев назад
Af hauna ata ushahid wwte uwonqo wao Thanks Allah mitandao iko wazi tunaona kila kitu
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 6 месяцев назад
​@@mussakiziyzi408ni uongo mtupu na ushahidi upo wakutosha tu na mashahidi was kwanza ni wao wenyewe baadhi yao wakitaka kutubia husema ukweli
@saadamar6712
@saadamar6712 7 месяцев назад
Ikiwa mtu mweusi hana thamani mbele ya mtu mweupe. MZEE Ali Hassan alikuwa Katibu Mkuu Wizara ya Elimu. Jee MZEE Mwinyi ni Mweupe??😂😂
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 7 месяцев назад
Wazee Sisi vijana Bado tutaendelea kuwalaumu sana mlikua na dhamira njema sana ya kufanya mapinduzi ila kwann mkatuingiza tena Ktk Domo la Tanganyika bado dhamira ya kujitawala na kufanya mambo yetu wenyewe haijapatikana maana hatupo huru
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 5 месяцев назад
Tusiwalaum sana Wazee kwasbb mambo yaliharibik baada ya kuuliwa mzee Abeid aman karume kwasbb km utaskiliza hotuba zake alikuw anasema muungano ni km koti unaweza kulivua dhamira yke ilikuw nzuri lkn kuna wtu waliomsaliti ndo maana akauliwa
@KijukuuMtemi
@KijukuuMtemi 4 месяца назад
Ww mzee mmewauwa waarabu Sasa ivi ao mlowauwa wanatuletea msaada nyie njaa Kali
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
@user-jx7ot4ru7l
@user-jx7ot4ru7l 7 месяцев назад
Hujuwi kitu babu kuhusu mapinduzi
@jarsjam8894
@jarsjam8894 6 месяцев назад
Maendeleo hakuna labda kuharibiwa wtt wenu ili musiwe na wanaume
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 6 месяцев назад
Kwanini mlifanya mapinduzi ilihali mlishapata uhuru na kujitawa?
@khadijabuberwa3362
@khadijabuberwa3362 3 месяца назад
Kadama nikamatu mpaka kufa kwako uko kadama
@fathiyaabdallah4323
@fathiyaabdallah4323 3 месяца назад
Mhh mzee mbona humuogopi Mwenyezi Mungu unasema uongo mtupu. Au ndo sifa tu. Utajibu mbele ya Alokuumba.
@salimbinshaks1385
@salimbinshaks1385 7 месяцев назад
Narudi tena ww mbwa wacha uwongo mapinduzi haipo muda nayo pia imepinduliwa na tanganyika ukifanya dhambi na ww utafanyiwa hayo nimaneno ya allah
@salimbinshaks1385
@salimbinshaks1385 7 месяцев назад
Ww mbwa wachauwongo unachoulizwa sicho unachojibu mlipiga watu nakuwauwa hiyondiyo dhambi muliyoifanya lakini kumbukeni iposiku itafika
@shamsahamdan3274
@shamsahamdan3274 6 месяцев назад
Zamani kulikuwa kuna uchumi mikarafu na minazi sasa tutakula.barabara uchumi nini having.sasa
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 7 месяцев назад
Babu unajuwa kwamba sasa ni ulafi wa madaraka tu. Wizi Ufisadi dhuluma Mauwaji tu hawana lolote
@hafidhali3020
@hafidhali3020 2 месяца назад
Mzee umri huo bado wafurahia udhalim,na bahati mbaya kabisa na nyinyi mmetawaliwa na Tanganyika
@seanmurray6516
@seanmurray6516 7 месяцев назад
Huyu mzee ni muongo na halijui asemalo wakati wa mapinduzi Sultan hakuwapo alikua dar baadae akaenda Mombasa huyu mzee si mzaramo hata hajui asemalo ni chuki tuu.
@mhogomchungu7168
@mhogomchungu7168 6 месяцев назад
Sultan Katawala mwezi mmoja tokea muengereza kuondoka , madhila gani yalofanyika ndani ya mwezi mmoja. Na kwanini hawakuuwa wazungu ambao ni weupe zaidi ambao hata mmoja hajaguswa na wahindi ? Chuki , tamaa ya mali na madaraka ndio zilizofanya watu wauwane
@surusuru1994
@surusuru1994 7 месяцев назад
Wamesikia wa Zanziba mana huya wanajifanya mindomo mireefu polen saaan kwkubaguliwa na hongeren pia kw mpiduzi
@mangofish9079
@mangofish9079 7 месяцев назад
Hivi kila siku unasikia tumedhulumiwa tumefanyiwa hivi na vile hebu wahojini basi au familia zao wahojini ili watoe ushahidi sio porojo tuambieni nani au familia ipi jamaa zao waliuliwa au walifungwa bila ya hatia au walidhulumiwa nk.
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Mtangazaji kashikilia kumpindua sutltan. Kwani sultan ndo alokuwa na serekali.
@lenniefei6710
@lenniefei6710 26 дней назад
MULIPINDUA AMA MULIJIPINDUA ?! WAPUUZI WAKUBWA MUTATESEKA HADI YAUMMIL QIYAMA KWA DHULMA MULIZOJIFANYIA KWA MIKONO YENU WENYEWE ! MBONA HAMUKUMPINDUA MUINGEREZA ?!
@mohammedbakar4142
@mohammedbakar4142 3 месяца назад
Mzee acha na hiyo story humoud kauliwa na dereva wa mzee Abeid Amani Karume alikuwa anatoka ndani kinyume nyume
@johnkiimbila6799
@johnkiimbila6799 7 месяцев назад
Tito Okello mbona hatajwi.
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 3 месяца назад
Okelo alikuwa stering mwamba
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Huyu mzeee muongo wa mwishoooooooooooo.
@hajiameir8688
@hajiameir8688 4 месяца назад
Nyinyi wazee mmetuingiza mkenge mmegoma kutawaliwa na sultani ni sawa cha ajabu mmeenda kutawaliwa na tanganganyika inakuwaje? Hayo unayoyazungumza ni uongo na uzushi saivi mmebaki kuongozwa na kanisa
@abdullkhamis5406
@abdullkhamis5406 5 месяцев назад
Mbona nyinyi wewe mtaangazaji na huyu mzee kwani ni Sultani Gani khasa alie pinduliwa. Kwani Serikali ya Shamte ilikueko wapi au lini. Wacheni Kupotosha tafuteni elimu na mujifunze.
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 5 месяцев назад
Duuuuh mdomo wangu
@aminattai2676
@aminattai2676 6 месяцев назад
Uyo ushawishi ndio unamponza hakushiriki na hajui lolote,watu walikua kumi na sita tu itakuwaje asiwakumbuke muongo anajaribu kutakafuta umaarufu tu.hata wachezaji wa mpira miaka iyo ukiwauliza wanakumbukana wote itakuwa wauwaji wasikumbukane vipi
@lawskuli9876
@lawskuli9876 6 месяцев назад
Wauaji wamekamatwa Bubwini mara Mangapwani...mzee anafyatua tu. Pia huyu mzee anaonekana ni "racist"
@abdullkhamis5406
@abdullkhamis5406 5 месяцев назад
Huu ni Upuuzi Mtupu. Hebu jitathminini.
@user-lg6je8xh4p
@user-lg6je8xh4p 6 месяцев назад
Kikowapi sasa! Umeua wenzako sasa ona ulivyo dhalili. Nan anayekujali? Jifunzeni mlio na nasafi leo
@nkwazigatsha
@nkwazigatsha 3 месяца назад
Urongo mtupu. Huwezi kutaja mapinduzi bila john Gideon Okello ukawa sahihi. Haya hayakuwa mapinduzi bali kusalitiana ambapo Okello aliwasaidia lakini wakamsaliti
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад
JEMEDARI GANI MTU WA MALAWI WACHA KUSEMA UWONGO MAJAMBAZI YAMEWAUWA WAZANZIBARI 😮😮
@hafidhali3020
@hafidhali3020 2 месяца назад
Mzee mwenyewe hajuwi anaekula wala anapolala shati alilovaa nongo tupu huyu mzee ni homeless
@user-sl2hk8wp1p
@user-sl2hk8wp1p 7 месяцев назад
Mmmmmh
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад
😮HAKUNA MSHTUKO WOWOTE WEWE COMMANDO ULIKUWAPO WAPI WACHA KUSEMA UWONGO UMELAANIKA KAMA BARAKATI SHAMTE.😮
@user-ip4ie7pt6i
@user-ip4ie7pt6i 6 месяцев назад
Nyie mtatudanganya mpaka lini sulatani gani alie pinduliwa mbona kila siku mna tuletea viini macho tu
@user-sl2hk8wp1p
@user-sl2hk8wp1p 7 месяцев назад
Ukoloni bado upo jeshi jeshi jeshi mstaaf
@elioimer8423
@elioimer8423 6 месяцев назад
Muulize hivi :- Zanzibari au Wazanzibari wana jeshi bado?
@ashaali7506
@ashaali7506 7 месяцев назад
Nimefurahi umemtaja humoud umesem ukweli ila umeficha kdg
@muhammednassor3569
@muhammednassor3569 3 месяца назад
Wewe mtu mzima lakini huna lolote kidhab waheed
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Ananitawla muafrika mwenzangu ,yupi Karume,Mfaranyaki,Aboud jumbe,Antoni kisasi,Bakari jabu,Hamisi nyuni,Saidi washoto woote watwana kina Kaujore ? Hawa ndo wazanzibar ?
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 5 месяцев назад
Zanzibar imetawaliw na masultan 12 je hawa wote ni wazanzibar????
@martedimohamed6327
@martedimohamed6327 5 месяцев назад
Sultan wte walotawala zanzibar ni wazanzibar???
@selecohabeeb6658
@selecohabeeb6658 7 месяцев назад
Muongo miaka 22 ndani ya Jeshi umeondoka.bila ya cheo.......basi.ulikuuwa konda.....towa supporting documents kama.kweli Ulikuwa.jeshi...record zako.zitakuwrpo....lier pants on fire
@humoudseyd7310
@humoudseyd7310 7 месяцев назад
Mzeeee muongo hajuwi chochote anafyatuwa tu...anyway kwani saivi mejitawala nbona raisi wenu anachqguliwa na Nchi nyengine tanganyika Dodomaaaaaa tafauti yake nini sasa umeina wapi nchi ilojitawala na haina maamuzi wala bendera umoja wa mataifa tafuta history kwa mtu sahihi huyu mzee anataka anekane kwenye TV tu
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Hajui loloote pumba huyu.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 6 месяцев назад
Sasa mnajitawala?au mnatawaliwa?mbona bado mko chini mnatawaliwa?sultan aliwa achia Nchi kwa hiyari na mazungumzo nasio kushika silaha, mapinduzi yamefanyika kuwa ondoa wazanzibari wenzenu nyie kwa nyie, msitudanganye ati mapinduzi kumuondoa Sultan, Sultan alishawakabidhini Nchi yenu kwa amani
@globaltv_online
@globaltv_online 7 месяцев назад
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 7 месяцев назад
Dugh kumbe ndio sababu kuu basi Laazima yafanyike mapinduzi mungine maana zenjibar haina mauzi wala haijajitawala inatawaliwa na wageni wa tanganyika
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 5 месяцев назад
Ntangazaji weka sewa utawala wa sultan wa Muhammed shamte .lkn je Shamte hakuwa muafrika.
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 6 месяцев назад
😮 MWENYEZI MUNGU ANAKUONESHA UJAHIL NA UNAFIKI WAKO ULIOUFANYA TUBU KWA MOLA WAKO 😮😮😮
Далее
Italians vs @BayashiTV_  SO CLOSE
00:30
Просмотров 6 млн
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Просмотров 426 тыс.