Kwa hiyo mama unataka mahakama ikiharibu mkuu wa mkoa asinyooshe mfano tumeona wizara ya ardhi ilivyoharibiwa na mahakama matokeo yake kukawa na zuluma za wanyonge, na uko Arusha tumeona kishindo cha makonda kilivyosaidia na hivyo mimi kama mpiga kura tunahitaji wakuu wa mikoa wa kutetea haki za wanyonge
Mpuuzi kweli wewe mashoga si waliamua wao wenyewe mtu mzima anaamua kutoa mkubwa kwa starehe zake wew inauma Nini kuna mambo ya maana kuongelea kuliko ushoga Na usagaji , Na ushoga ulikuwepo tokea dunia inaumbwa kama umalaya Na Tanzania ushoga ungekuwepo toka enzi za Tanganyika sio Jambo jipya
🤔🤔🤔🤔sawa sawa ila kwa wale majitu walioshiba na hawana nidhamu kwenye maeneo yao basi wanatakiwa kuwajibishwa kama viongozi wetu hasa wa mikoa na wilaya watachekelea uzembe, rushwa n.k basi tutavuna vitu viovu sana Tanzania na pia kama mahakama zetu hazitendi haki basi naamini wakuu wa mikoa na wilaya wanapaswa kukemea tena kwa ukali mno maana sidhani Tanzania itakuwa salama namna hiyo
acheni kutetea ujinga kwan amewapiga, wewe unaona ni sawa kujiuza ?fikiria mtoto wako anajiuza ? basi kama ni hivyo hata mwizi asikamatwe ? wa,madawa ya kulevya wasikamatwe unafikiri hao watu hawana elimu na uku wengi wao ni wasomi
Tatizo ni jinsi mnavyowachagua hao mnaowaita wakuu wa wilaya na mikoa. Wengine walikuwa ni vibaka sugu, wengine walikuwa ni wavuta bangi , ila kwakuwa mnachaguana kwa kujuana ndio matokeo hayo. Wengine wanajiaminisha kwakuwa wanajua hata wewe uliyewateuwa unawaogopa ndio maana umewateua pamoja na kuyajua maovu yao.Na wanajigamba hadharani kuwa ni watoto wako . Kazi iendelee.
Tatzo mama unawachekea sana tumia ule ubabe wa magu la sivyo raia wako watazidi kuichukia sana ardhi yao watu wanafanya mambo yao hawajali maslah ya nchi mama hukemei hlo 😢😢😢Doooh RIP magu daaaah 😢😢😢
Bila katiba mpya sawa nabule tumeshudia tume nyingi ziundwa mwisho wake atuoni mfa magufuli Alituachia mahakama ya mafisadi wananchi tukashangilia mpaka saivi atujui kama hiyo mahakama inafanya kazi tungepata katiba mpya ingekuwa mwarubaini kwa viongozi wanaotumia madaraka vibaya tofauti na hapo sawa na kutwanga maji kwenye kinu
Mama upo sahihi uongozi siyo kudharirisha watu hiyo siyo sawa nibora mtu awe mlevi wa pombe kuliko kuwa mlevi wa madaraka.wanaonyanyasa niwatu wako wanaonyanyaswa niwatu wako pia
Unachukua jiwe unaliweka sehem linakukera nn?nchi hii haina viongozi ni mawe tu lihamishie sehem nyingine amua tu anawateuwa mwenyewe vyovyote mtavoamua tutaishi tu kwa neema ta MUNGU
Unamwagikaaa etiiiiii tanzania da na ccm kufa kuzikana nchi hii weee mama ipelekeee unavotakaaaa na hakuna mtanzania atayekuafanya chochoteeee we tuuuze tuuuze mama ushogaas naona unapambana nao vyema piga kaz mama watz wamelala usingiz trump alisemaaa waafrica inatakiwa watawaliwee upyaaa we tawalaaa mama unavotakaaa
Rais wetu anania nzuri ya utawala wa sheria lkn amezungukwa na watu wanaopenda siasa za majukwaa kwa kutafuta sifa ndo maana utatashangaa kiongoz anashitukiza eneo flan akiwa na media sasa hio ni gafla au planned viongoz watumie karama na sio kila kitu kumdharilisha kwenye media nampenda Rais anavyotoa maonyo na namna anavyochukua mamz huo ndo utawala wa sheria