Piga kaz mama kusemwa kawaida mh hayati alifanya kazi usiku na mchan lakin wananchi hawakumshukuru sembuse wewe piga kazi kusemwa kupo mama nawapenda wamama wote
Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia Mungu wetu sote
Ati mungu ambariki rais samia!!!!!!!!!! Baraka gani tena zaidi ya hio alioipata.? Chakushangaza wanaomuombea ni wlalahoi tu. Ati analipenda taifa hahahaaaa!!!!!!!!!!!! Mama kashikilia fedha atasifiwa na watu kuliko mungu!!!!!!!!
Hamna kitu apa maisha mnayo nyie tu sisi twajipambania wenyewe eti nan kama mama mi namtambua mama yangu mzazi tu labda na mamkwe tu ndo wa muhimu kwangu hawa
Huyo ndio Amiir Jeshi mkuu kwa hiyo kila mtu ataulizwa kwa nafasi yake tusione leo tunapua tukajisahau lazima tuoneshe kivitendo kama hili jambo tunalikemea sio linaishia midomoni
@@alimau7939 tuimarishe na kusimamia mafundisho ya dini zetu..wanaotoa misaada ushoga ndo utamaduni wao... vinginevyo turudi dini zetu asili..matunguli,mizizi kama kawa..
Mimi simshangaai yoyote anae Sema kuwa hampendi samia kwan hata muumba mbingu na ardh basi kuna watu wahampend jee samia na pia huwez kupendwa wote yy mwenyewe anajuw hilo
Atwa husna sitephano mama kwakweli wanawake tunakupenda sana ILA tunachagamoto yamaisha hasta Mimi ninamagumu sana tusaidie HATA mitaji munguatakuogezea nadaiwa madeni telehe 12 10 2023 nadaiwa natu 700000 anakujakunifilisi Dani sina hatahela nisaidie mama
Siku zote wenye wivu na wengine hua na chuki jukumu letu nikumwombea Samia Hilo lakua haumpendi sio jukumu lako hiyo nafasi ungepewa hata wewe Leo ungefanya nn kaa kwa kutulia acha husda utakufa vibaya kijana
Ila samia usigombee tena acha nchi iongozwe na wanaume hela ulizo nazo utakula mpaka kufa ni nyingi ni ushauri tu lakini sio kwamba sikupendi ila hilo jukumu la wanaume
Mimi simpendi Kwa kweli Yaan tutaabka Sana watu wadogo nataman JPM arudi leo kesho huyu mama jau tupu angekuwa magu huo mgogoro wa kariakoo angekuwa ashamalza