Тёмный

RAIS SAMIA ASHINDWA KUVUMILIA ANYANYUKA KWENYE KITI KUCHEZA WIMBO WA MAMA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 263 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 153   
@jacintamakokha1522
@jacintamakokha1522 6 месяцев назад
Wow, this is truly a beautifully meaningful celebratory song !! Mama Samia, H.E the President of Tanzania, we do honour you truly. God bless you.
@paiwanjara3502
@paiwanjara3502 Год назад
Mke wa uncle Magu Mungu azidi kumbariki sana
@florarog548
@florarog548 Год назад
Mungu akutunze mama
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Год назад
Piga kaz mama kusemwa kawaida mh hayati alifanya kazi usiku na mchan lakin wananchi hawakumshukuru sembuse wewe piga kazi kusemwa kupo mama nawapenda wamama wote
@mariamponera6386
@mariamponera6386 Год назад
sana na wema wa mtu unaonekana ukiwa haupo machoni mwao
@SnaniAli-u5k
@SnaniAli-u5k Год назад
Mashllah sio siri yule anaeshuhukika na mavazi kwa Rais samia vazi hili kusema kweli mama limemtoa kwelikweli kapenda sn mashllah
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Год назад
Naona Kikosi Kizito cha Wamama , Kwa hakika mnaweza tena Saaana , na Mungu awabarik Saaana, Tanzania kwanza Mengine baadae
@rockzenamtui6296
@rockzenamtui6296 Год назад
Hongera sama mama samia kwa kweli umeweza hata hayati Magufuli alijua hii miradi itasimama ila Mungu anakupigania unamalizia miradi
@allykingu4348
@allykingu4348 5 месяцев назад
Farid. A. Majid
@muna1165
@muna1165 Год назад
Yaani katika wa mama wote apo mama SALMA KIKWETE AMEPENDEZA SANA❤
@JamilaFurahisha-n6i
@JamilaFurahisha-n6i 8 месяцев назад
Ongera sana cristian bellah kwa wimbo mzuri sana
@MohammedHussein-l8p
@MohammedHussein-l8p 3 месяца назад
Mungu Mpe afya njema rais wetu Mungu ibarikia Tanzania yatu
@josephfrank4446
@josephfrank4446 Год назад
❤love mama
@helencyprian8745
@helencyprian8745 5 месяцев назад
Mungu ambariki mama yangu na mama nyerere, mama magufuri, mama mkapa, mama sokoine mama warioba, mama membe na wengine wote.
@aminamavura6834
@aminamavura6834 Год назад
Mama yangu ndo kila kitu uu uwuuuuuiii
@ThomasMcha-jk5yt
@ThomasMcha-jk5yt Год назад
Salute My Mamaaa!!
@mohamedhussein-qb5sg
@mohamedhussein-qb5sg Год назад
Much love for All these Mothers ....surely mothers are the pillars of every Nation . much love from Kenya
@francenguruchuma9029
@francenguruchuma9029 Год назад
Hivi aliyomuwekeaga sumu ommy dimpoz anajisikiaje aisee🔥🔥🔥
@janewashe7276
@janewashe7276 Год назад
😂😂😂Aki ya nani anaumwa sana sana
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Год назад
Anajutia na adhabu ikimngoja siku ya qiama chake
@QueenSophie-rj7hu
@QueenSophie-rj7hu Год назад
😂😂😂 atakua ashakufa
@zainazaina9301
@zainazaina9301 Год назад
Ninyamaze miee sina uwezo wa kuweka wakili
@rizikiabdalla2501
@rizikiabdalla2501 Год назад
😁😁😁
@christinamsoka
@christinamsoka Год назад
Namwangalia Rais wetu na mama MAGUFULI tu.macho yanaganda kwao tuu nawaza mengi.
@kwangahudispensary7238
@kwangahudispensary7238 7 месяцев назад
Yawaze yaliyo positive..dhana mbele ya Mungu ni dhambi
@emmanuelnyinyigwa8043
@emmanuelnyinyigwa8043 Год назад
Sawa mimi ngoja nijiandalie ikulu ya mbiguni huku dunian sina changu tena
@msungimashauri
@msungimashauri 5 месяцев назад
Wow I Love you Mama ❤#NasimamanaMama
@edithajonh2970
@edithajonh2970 Год назад
Kwa sifa hizo wanawaume tutaanza kuolewa Sasa Kama wanawake wanashika nchi na kuwa na pesa kuliko sisi inakuaje et
@hajjimanyikahp979
@hajjimanyikahp979 Год назад
❤mama
@Bibishosh
@Bibishosh 5 месяцев назад
Hongera mama❤😂 Umewapa Mama's kujiamini Shukrani saana ❤😂
@bashirumandwanga130
@bashirumandwanga130 Год назад
Tunaipupia Dunia kwa kula ata visivyo alali na kuipamba kwa thamani nying Dunia inatuaga sisi tunaikumbatia tunajisahau kwa nyazifa za dunian Chuma utakavy Chuma hapa Dunian ila siku ukifa Dunia haitakupa chochote isipokuwa sehemu ndogo ya ardhi ambayo uzikwa ndani yake Tusijisahau tena hasa viongozi wetu wengi wenu si waadilifu munajar sana maslai yenu Binafsi kuna maisha baada ya Dunia Mungu wetu sote
@kekiplus1andonly
@kekiplus1andonly Год назад
My forever love christian Bella❤❤😊😘😘😘😘
@lovenesskawa8469
@lovenesskawa8469 Год назад
Hongera sana Mama Samia na wamama. Wote
@HanifaBruno-lv1qf
@HanifaBruno-lv1qf 7 месяцев назад
Mama ww hoyeee; kazi iendelee.
@PaulNyerembe-pj8fm
@PaulNyerembe-pj8fm 7 месяцев назад
Hongera
@ConfusedMonarchButterfly-bp5dx
@ConfusedMonarchButterfly-bp5dx 5 месяцев назад
Mungu hakubalik
@kalumunankarage9432
@kalumunankarage9432 Год назад
Rais Samia anachapa kazi siyo mchezo. Achana na hao wanaojikweza kwake lakini bahati nzuri anawajua.
@hassanparamana2215
@hassanparamana2215 Год назад
nimewaona wakina mama makomandoo wote ndani ya dance 👏💪🇹🇿🇦🇪
@SamsonyFransisco-gf2yd
@SamsonyFransisco-gf2yd Год назад
Nawaza Sana siku mungu akisema atuache Tujipambanie Hapo ndipo Tutajua kuwa alieturoga Ni Nan?
@jescarwegoshola1754
@jescarwegoshola1754 6 месяцев назад
Kwakweli nakuombea hekima,busara na maarifa tuvuke salama,nani kama Mama🙏
@zawadimbwambo1091
@zawadimbwambo1091 2 месяца назад
Ati mungu ambariki rais samia!!!!!!!!!! Baraka gani tena zaidi ya hio alioipata.? Chakushangaza wanaomuombea ni wlalahoi tu. Ati analipenda taifa hahahaaaa!!!!!!!!!!!! Mama kashikilia fedha atasifiwa na watu kuliko mungu!!!!!!!!
@emmanueljoseph1496
@emmanueljoseph1496 8 месяцев назад
Hongera mama Samia kwakuleta suluhu
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Acha ninyamaze tuu, japo ninayo mengi yakuongea 🤔🤔
@AshuraHatibu-tp3hy
@AshuraHatibu-tp3hy Год назад
We ongea shauri yako
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Год назад
Ata ukiongea sidhani kama watakusikia mpendwa.. ni kupambana na hali zetu... Tu🚶
@jamesmahatane2723
@jamesmahatane2723 Год назад
🇹🇿nime waona wakina mama shupavu wa Tanzania wote hongereni sana
@googleus4903
@googleus4903 Год назад
Mama KIKWETE❤
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Hamna kitu apa maisha mnayo nyie tu sisi twajipambania wenyewe eti nan kama mama mi namtambua mama yangu mzazi tu labda na mamkwe tu ndo wa muhimu kwangu hawa
@skylandhomes6943
@skylandhomes6943 Год назад
Umeongea Kweli kbs
@marygregory7566
@marygregory7566 7 месяцев назад
Ila Huyu mama anakuaga na Upendo wa kweli kwa watu toka moyoni
@EdnaMbowe
@EdnaMbowe 8 месяцев назад
Hongeren Wamama
@roseamos2812
@roseamos2812 Год назад
Hakuna kama Mama
@googleus4903
@googleus4903 Год назад
Vibe la PINDI CHANA❤️😍
@Richard_Range
@Richard_Range Год назад
Inapendeza sana kumuona mpaka Mama Nyerere na wamama wengine,❤️
@errydeo8865
@errydeo8865 Год назад
HAKUJA PALEKWA FURAHA WEWE
@Richard_Range
@Richard_Range Год назад
@@errydeo8865 Angalia video kabla ya kukurupuka kuropoka ropoka!
@aminakyungu8414
@aminakyungu8414 Год назад
Wakina mama oyeeee
@SatlankaSatlanka
@SatlankaSatlanka 10 месяцев назад
Imetisha
@gracemurondoro3869
@gracemurondoro3869 6 месяцев назад
Amen
@AbubakariSaidi-mp4nk
@AbubakariSaidi-mp4nk 7 месяцев назад
maashallah
@andrewjuma2485
@andrewjuma2485 Год назад
Mama hoye hoyeeeer
@oman1oman179
@oman1oman179 5 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤tupo
@alimau7939
@alimau7939 Год назад
Nyinyi chezeni huku munaliacha taifa linaingia kwenye janga kubwa la ushoga
@dancerboy2686
@dancerboy2686 Год назад
😂
@magretkijanga6038
@magretkijanga6038 Год назад
Duh,raha jipe mwenyewe,ushoga yeye ndo mwenye kuletaaaa
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Rais wetu mwanamke,,wanaume tufirane wenyewe then lawama kwa mwanamama!! Hayo ni mambo ya maadili...wakubwa wa dini zetu mbili ni wanaume..tupambane
@alimau7939
@alimau7939 Год назад
Huyo ndio Amiir Jeshi mkuu kwa hiyo kila mtu ataulizwa kwa nafasi yake tusione leo tunapua tukajisahau lazima tuoneshe kivitendo kama hili jambo tunalikemea sio linaishia midomoni
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
@@alimau7939 tuimarishe na kusimamia mafundisho ya dini zetu..wanaotoa misaada ushoga ndo utamaduni wao... vinginevyo turudi dini zetu asili..matunguli,mizizi kama kawa..
@eastafricaqualitychickenfa9916
Yani Duniya bwana
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Год назад
Hii safi sana mtu wa nguvu👊
@sss3s867
@sss3s867 6 месяцев назад
MNAJARIBU KUSEMA NCHI ILIKUWQ IMEFUNGWA NA HAYATI MAGUFULI NA FUNGUO ALIKUWA NAZO MAMA 😮😮😮😮
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
HONGERA MAMA SAMIA
@philipowyinjones9645
@philipowyinjones9645 Год назад
Nimemuona Mzungu wa Yanga naye pia n Mama
@mohamedsuleiman2785
@mohamedsuleiman2785 Год назад
Mimi simshangaai yoyote anae Sema kuwa hampendi samia kwan hata muumba mbingu na ardh basi kuna watu wahampend jee samia na pia huwez kupendwa wote yy mwenyewe anajuw hilo
@clementmwita2433
@clementmwita2433 Год назад
Atwa husna sitephano mama kwakweli wanawake tunakupenda sana ILA tunachagamoto yamaisha hasta Mimi ninamagumu sana tusaidie HATA mitaji munguatakuogezea nadaiwa madeni telehe 12 10 2023 nadaiwa natu 700000 anakujakunifilisi Dani sina hatahela nisaidie mama
@clementmwita2433
@clementmwita2433 Год назад
Mama
@salhakyande3905
@salhakyande3905 5 месяцев назад
@abdulmalikkidege2731
@abdulmalikkidege2731 Год назад
🔥🔥🔥
@jumannemwebeya-xv2ji
@jumannemwebeya-xv2ji Год назад
Akitoka mungu nafkiri Tz inafuata kamasikosei, mama umeupga mwingi congratulation mungu akubarki
@johnman4619
@johnman4619 Год назад
Hakuna cha salma kupendeza hapo .kulikuwa mashindano yakuvaa au
@mirajijumbe6568
@mirajijumbe6568 Год назад
Siku zote wenye wivu na wengine hua na chuki jukumu letu nikumwombea Samia Hilo lakua haumpendi sio jukumu lako hiyo nafasi ungepewa hata wewe Leo ungefanya nn kaa kwa kutulia acha husda utakufa vibaya kijana
@fardoshnassor7847
@fardoshnassor7847 7 месяцев назад
🎉
@RashidDady-cb7hg
@RashidDady-cb7hg Год назад
Kuna mtu hapo kila sehemu yupo
@spillovereducationtutorial3228
hahahahah
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 Год назад
Safi sanasana !
@halidiomari1377
@halidiomari1377 Год назад
Nice ❤
@athuman7480
@athuman7480 7 месяцев назад
Kwambali nimemuona kalikonji wa yanga
@g-father9352
@g-father9352 Год назад
Apewe hip hop moja sasa ,,.
@JoycemsangiJoyce-go9su
@JoycemsangiJoyce-go9su 5 месяцев назад
Mim nimenyamaza
@SabahHassan-z7d
@SabahHassan-z7d 6 месяцев назад
Hàkuna kama mama..mfa mama kaumili.Hakuna mama wawili
@masoudmasoud8698
@masoudmasoud8698 Год назад
Nimegundua wanaume tunakufa mapema sana 😢😢
@aronatv47
@aronatv47 Год назад
Haaaahaaaa..Ndio unajua Leo Pole
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 Год назад
Muache kututesa na kutusumbua kipindi mkiwa na umri sio mkubwa sana
@AminiMsellem-gk3yy
@AminiMsellem-gk3yy 9 месяцев назад
Chezea mattress lazima tuqahi kufa mizigonyote tunabeba sisi😂😂😂
@shemahabonayo1287
@shemahabonayo1287 8 месяцев назад
Anacheza nini.shezi anaye maliza wa tutsi congo. Malipo nihapa hapa
@dingadinga6674
@dingadinga6674 Год назад
Miaka 10 teena kwa mh mama
@ZainabAbdallah-p5k
@ZainabAbdallah-p5k 5 месяцев назад
Wachawee huu wamuwache mama etu ainjoi
@laurenciakamata
@laurenciakamata Год назад
Hakuna
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Ila samia usigombee tena acha nchi iongozwe na wanaume hela ulizo nazo utakula mpaka kufa ni nyingi ni ushauri tu lakini sio kwamba sikupendi ila hilo jukumu la wanaume
@holymakere
@holymakere Год назад
Mimi simpendi Kwa kweli Yaan tutaabka Sana watu wadogo nataman JPM arudi leo kesho huyu mama jau tupu angekuwa magu huo mgogoro wa kariakoo angekuwa ashamalza
@stellahsimon4460
@stellahsimon4460 Год назад
😲🤔🤐
@evampuya-mp9vf
@evampuya-mp9vf Год назад
Acha kumkosoa mungu ni chaguo la mungu mama yupo vzr mpaka raha
@mohamedhamismagoraonlinetv459
Yeye pia hakupendi
@johnmwambasi2299
@johnmwambasi2299 Год назад
Aliyo yafanya yanatosha sana hata kama ayana msaaada wa moja kwa moja kwa upande wa uchumi kwa mwananchi mmoja mmoja
@VeronicaMalya
@VeronicaMalya 5 месяцев назад
2:25
@seniorrm
@seniorrm Год назад
Nimeona kama manara anashangaa tu hapo kuna mwamba anapiga miayo
@wargall2
@wargall2 Год назад
mungu akutunze
@hurumadavid6210
@hurumadavid6210 Год назад
Na aji manara yupo
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 Год назад
🇹🇿♥️👏
@JoycemsangiJoyce-go9su
@JoycemsangiJoyce-go9su 5 месяцев назад
Ka hamuogopi kuyatamkaa
@margaretmwingira1339
@margaretmwingira1339 Год назад
😮
@nsuriitv2468
@nsuriitv2468 Год назад
Pongezi kwa akina mama Wote
@SaraaSaraa-i1j
@SaraaSaraa-i1j 5 месяцев назад
Mmh
@BON357
@BON357 Год назад
Awo nawo wakikosa kz
@Michoarbah
@Michoarbah Год назад
Maaamaa
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Год назад
Jk alisema akili za kuambiwa changanya na zako jpm akasema watanzania siyo wajinga
@saverarwezaura7785
@saverarwezaura7785 Год назад
ASANTE MAMA
@divainhaule
@divainhaule Год назад
Magu mumemuweka wp nyny chezen tu IRA mungu anawaona
@rukiamadati336
@rukiamadati336 Год назад
Vinzuri sana❤️🇹🇿
@annemuna6521
@annemuna6521 6 месяцев назад
Is that even a song🤔
@mwambamkombozi4672
@mwambamkombozi4672 6 месяцев назад
Haramu haramu haramu
@phinumedia4515
@phinumedia4515 Год назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-zaMVuSgHnIM.html WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWA TEKELEZEA MIRADI MPANDA
@johnman4619
@johnman4619 Год назад
Wamemua magufuli wetu kisa wivu .alafu munamuita muke wake mama janet .nye washawi mama mujane anahangaika kukosa usingizi
@aysharamadhani941
@aysharamadhani941 Год назад
Hongera mama kwa kuchapa kazi mwenyezi mungu akupe uvumilivu kwa wanadamu mama baadhi Yao hawana jema
@JOSYLINREVETA
@JOSYLINREVETA 6 месяцев назад
@JosphineKahara
@JosphineKahara 6 месяцев назад
Далее
Christian bella - Yanga Kiboko Yao
2:49
Просмотров 525 тыс.
Ilkinchi hotin oberasanmi deb o’ylabman🥹😄
00:26
RAISI AVAMIA SABASABA WATUMBULIWA VIONGOZI
2:24
Просмотров 23 тыс.
MUIGIZAJI TAUSI NA PACHA WAKE WAKIIMBA KANISANI
7:28
Ilkinchi hotin oberasanmi deb o’ylabman🥹😄
00:26