Maendeleo bila haki ni utesaji wa watanzania kuuzwa Kwa raslimali za Nchi ni Utumwa kutozuwia rushwa na uzembe wa huduma za Afya uzembe wa wahudim na ghalama za matibabu yasiyo endana na huduma zinazotolewa na taasisi za Umma
Nitakufata wewe kwanza kwani wewe ndio Mungu unotowa huku u, wewe una yko mangapi Nani kakupa laana, laanatullah nirudi kwako kwanza, mmezidi matusi kwa mama yetu, Mungu kama wadhfa hajautaka mwenyewe, kachaguliwa na muumba,
Maandamano ni haki ya kikatiba ni zaidi ya sera, hata wewe hapo upo madarakani hakuna aliyekuchagua ni Kwa sababu ya katiba. Sasa nyie endeleleeni kufata katiba pale tu inapowapendelea ila inapowapendelea wengine mnatuma police, usalama wa taifa pengine hata jeshi mtakuja kuiingiza nchi katika vita.
Huyu mjinga maandamano sio Sera yenu lakini nihaki ya mwananchi wewe kama hupendi ni wewe na wajinga wenzio ambao mnaona maandamano ni mabaya kwenu lakini nikujulishe ndio njia yetu sisi wananchi sio kwa matakwa yenu na ninja nyepesi kujua tunakerwa kwakiasi kikubwa kwakile ambacho kinatufanya tuandamane
Hongera sana Mh. Rais. Umepambana sana ila unalazimika kufanya mbinu ya kushusha hela kwa wananchi ikiwezekana kwa kulipa madeni ya Wazabuni kuongeza mzunguko wa fedha. Mwenye njaa ukimwambia maendeleo ni sawa na kumpigia mbuzi jitaa