Kaka vipi mishe nigani big sasa Mimi nilikuwa naitaji kujuwa kuhusu hii Kama nikitaka kuagiza Gali mfana BMW naingia kwenye website ipi na upande wa malipo unatumia njia gani bank account au line ya simu nilikuwa naomba ufafanuzi zaidi
Nyingi mnazoziona sio wanafanya upgrade za vitasa na siti za ndani maana ya mwaka 2019 na 2023 body zake zinafanana vile vile kila kitu adi taa ko wengi wanaenda ku upgrade tu ni kama hizo v8 l300 mnazoziona mjini nyingi ni upgrade
Mkuu ningependaa unisaidie kufany review ya Subaru Forester yoyote kwasababu mimi ni mpenzy sanaa wa Subaru na ningependaa kuzifahau kiundan zaid kablaa sijafanya mpango wa kuinunua