Kaka hongera kwa kazi nzuri. Naomba utuelezee Toyota Land Cruiser 300 Series aina ya GXR na VXR za 2022 ambazo zinasifika kutumia Mafuta kidogo ya Petrol Badala ya Diesel na Engine Capacity ni V6 Twin Turbo na siyo V8 za Diesel kama 200 series.🇹🇿🇹🇿
Next time ukitaka kuzungumzia magari makubwa kama haya fanya research ya kutosha..au mcheki troni motors akuelezee vizuri...there is no way utalinganisha chochote cha hii gari na ist..siyo taa wala switches za milango.
Yaan hii ni very basic review...kuna very important information ambazo kama car reviewer lazima uzitaje ambazo ndo features specific to that csr under the subject..or else video na audio quality iko poa. Hizo kufanana ni body style...but zipo na very different trims na specs.. check mwenzako dr mechanics yule ana touch details za muhimu sana kwenye review..so good ku improve kwenye eneo hilo
Snash... naomba nitoe ushauri... nafatilia sana reviews zako zote kiasi kwamba nimeeka notifications... ILA SEHEMU moja wazingua kwenye review za magari HUIELEZI GARI VIZURI INAVYO TAKIWA mfano kama ni ndani kwenye dashboard elezea technology iliyopo... mode features za gari zilizopo, gari inatofauti gani na gari zingine, KAMA ni engine elezea ubora wake wa engine , na engine iliyopo ni ina utofauti gani na zingine. Lakinj sio unavyo elezea tuu shwaaaaa shwaaaaaa.. fatilia gari kwa undani ijue details zake then toa review. NASHKURU KUTOA WAZO LANGU mmi kama CAR ENTHUSIAST.
Anachokifny hapa ni kutangaza biashara! Yaan..mwenye hilo gar amempa kulitangaza ili liuzwe kwaiy usitegemee kuskia changamoto zake kwa %100 But kwa uelewa wang hiyo engine iliyopo humo ni tatzo no 1 ila hawez sema
Umeona bro hajapata diter ya gari hilo hiyo gari sio VXR akiingia ndani kwenye VXR yenyewe mbona atafrai kinoma, hiyo ni VX wameipimpu shoo hiyo nimeindesha sana
Broo nakubali sana review zako lakin kuhusu magar jitahd kuijuagar vzur kisha ndio ufanye review coz nakuona unavyoongea kuhusu iyo gar km hukuwa umejipanga mapema kwaio broo kwa ushaur uwe ushaiangalia pemben kabla kurekod ila nakukubali sana💖
Car reviews unastahili kujitahidi. Watch @carnversation on how to review about landcruiser lc200. Ukisema si ya luxury nakushangaa ajabu. Baadae Toyota waliamua kuifanya iwe more luxurious wakaleta model ya Lexus 570
Likiharibika uwe na kitega uchumi cha uhakika maana chombo kinachoharibika thamani yake sawa na kujenga vyumba vya uwani upate kodi sivyo litapandwa na kuku na wengine watazalia humo
Ivi bro unaweza kutufanyia review ya gari kampuni ya Toyota Land cruiser zx khann 300 .Kaka Afu ivi Mana ya V8 , V6 n.k sijajuaga maana ya iyo v8 inamanisha nini kaka
Alafu hakuna kitu kinaitwa dar es salaam dar hii umefanya sababu ya matangazo ila hii review Bado ebu tupe background ya Toyota kidogo tupe series ya land cruiser au umetuchoka snash
Kiukweli huwa nakufatilia sana ila mimi kama derva wa V8 hii umeikosea, kwanza hiyo ni V8 VX ya 2014 na hapo wameipimp kuja kwenye show ya V8 VXR, Ukikutana VXR yenyewe mbona ndani utafurahi mwenyewe na mwaka huo zimetamba kilimo kwanza ambazo ni V8 GX na GX standard hizi VXR za juzi tu bro
@@KingGeoffreyMoviesReview tambua mwamba kwa kiwango chake amefanya kitu kizuri cz kibongo bongo hakuna tech guy kama huyu jamaa , me nampa heshima yake na sio vyema kumfananisha na reviwers wa mambele
@@godfreythomas9691 Mimi sisemi namfananisha na wenzie wa mbele hapana lakini hata nikifanya hivyo sio kitu kibaya ila nachokisema hapa na kukimaanisha ni kwamba hii review hapana hajaifanya vizuri amesonya Sonya sana kiufupi hajasema au hajui about Toyota land cruiser series kwa uzima amefanya tu Ili afanye tangazo na ndio maana hata uyo Rasta aliepo nae kwenye gari anatingisha tu kichwa lakini jamaa haelewi ila uwezo wa kufanya anao sana Tena mkubwa ila hii tunasema ushalizoea game
Wengi wana uwezo wakununua wanacho kiogopa cc zake kubwa mno ndyo maana selikali yetu yenyewe inataka kubadilisha namizozo kilasiku kwa MBA wakipaki magari wasiache Yana unguluma kz yanameza mafuta mno