Тёмный

TOYOTA LAND CRUISER V8 - Fahamu utamu wake na kwanini viongozi Wanapagawa nayo 

Snashtz
Подписаться 97 тыс.
Просмотров 175 тыс.
50% 1

TOYOTA LAND CRUISER V8, Fahamu utamu wake na kwanini viongozi wanaipenda lakini ubaya wake pia upo.

Наука

Опубликовано:

 

25 июн 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 232   
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 Год назад
Hyo gar Ni nzuri nje tu, ndani tulipigwa
@martinalberty8011
@martinalberty8011 Год назад
utamu wake ni pale unapostart engine hiyo sound yake daaah ni insane😍😍😍👌
@tukuyufm
@tukuyufm Год назад
Snash nakufuatlia sana, uko na kipaji cha hali ya ubora hongera sana kwa kufanya vipindi vizuri vya teknolojia kama hivi.
@israelmkaka2807
@israelmkaka2807 Год назад
Kabla ya Kutangaza kuhusu Magari,,Fanya Homework..Literature Review..Elezea Watu waelewe,,Aina ya Engine, Suspension,Fuel consumption,....
@prospersanga7942
@prospersanga7942 9 месяцев назад
Nilikuwa nasubiri one day ufanye review ya hii kitu, bonge moja la gari.... U made it
@stanleynombwe4865
@stanleynombwe4865 Год назад
Moja kati ya riview mbovu kutoka kwako mzee baba hii
@iconramar9366
@iconramar9366 Год назад
Good job . Tufanyie Review ya Lexus LX 570
@phylicegaj8523
@phylicegaj8523 Год назад
Asante sana bro nmependa uchambuzi wako, kazi nzuri, watching from +254
@Solomon785
@Solomon785 Год назад
Hello! Snash I’m your biggest fan from Sweden I want you to do a review of Toyota Prius I will be happy if you do that ❤
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Год назад
I have one..i own it for 5 years...ni Gari poa sema inataka mtu mfatiliaji na mtunzajia
@maryambello5519
@maryambello5519 Год назад
@@tanzaniacarschannel6975 g to
@polykarpgama4098
@polykarpgama4098 Год назад
​@@tanzaniacarschannel6975let me or, l,l. K PPP
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
Snash hili gari huna details zake hii umeipiga kichovu sana
@Kangaboy..
@Kangaboy.. Год назад
cha kwanza hii ni face lift imefanyiwa upgrading hii ni vx na sio gx yanii kwa ligha rahisi hii ni old model ya 2010
@user-rd4ih1ry2k
@user-rd4ih1ry2k 10 месяцев назад
Snash uko smart sana! Emb nifanyie review ya Lexus LX 570
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Год назад
Kaka hongera kwa kazi nzuri. Naomba utuelezee Toyota Land Cruiser 300 Series aina ya GXR na VXR za 2022 ambazo zinasifika kutumia Mafuta kidogo ya Petrol Badala ya Diesel na Engine Capacity ni V6 Twin Turbo na siyo V8 za Diesel kama 200 series.🇹🇿🇹🇿
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
Hapana unamdanganya hii hajaifanya vizuri hii kazingua
@charleswanyoike8000
@charleswanyoike8000 Год назад
Enda shule first ujifahamishe mambo kuhusu gari.... You are veeeery far!!!!!!!! Bure
@gisbertdamasius2192
@gisbertdamasius2192 Год назад
Its a good review in terms of video and audio quality ....but the presentation has no crucial details for a good understanding.
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
That's fact he's not prepared at all
@ferdinandkaulule127
@ferdinandkaulule127 Год назад
Ingekuwa vizuri sana kama ungeifanyia review ya V8 current model ya last year
@directorimmah_vfx3043
@directorimmah_vfx3043 Год назад
anaipata wap sas
@richardchijana9665
@richardchijana9665 Год назад
Kweli kabisa
@witnessmusa5454
@witnessmusa5454 Год назад
​@@directorimmah_vfx3043😂😂😂 walahi nimecheka
@KaizaMsigala-kj4un
@KaizaMsigala-kj4un Год назад
Daresalaam dar😅😅😅 snash bhna
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
???
@iddymaneno7332
@iddymaneno7332 Год назад
Jina la gari tu unakosea sasa V8 ndio gari gani iyo gari inaitwa Toyota Land Cruiser J200. Izo V8 sio jina
@barakamgonja2398
@barakamgonja2398 11 месяцев назад
200 series 😂
@elliahbenard9037
@elliahbenard9037 Год назад
Next time ukitaka kuzungumzia magari makubwa kama haya fanya research ya kutosha..au mcheki troni motors akuelezee vizuri...there is no way utalinganisha chochote cha hii gari na ist..siyo taa wala switches za milango.
@amaningobayi7114
@amaningobayi7114 Год назад
Brother tunaomba review ya Trailer ya EON...inayo tolewa na azam please
@jettwriters
@jettwriters Год назад
Kazi safi ila hii so review. Ni kutuonyesha tu linavyoonekana gari. Review yataka details hasa.
@salehegiza3305
@salehegiza3305 Год назад
Mzee baba speed 260km/hour.maana yake kama hakuna foleni wala touch ni saa moja tu Dar/moro
@kagomajmbaraka220
@kagomajmbaraka220 Год назад
260 huwez futa kizembe😂
@LostechTanzaniaLimited-he4xz
Gari inapaa au Barabara nzima inakuwsga na foren
@ishaqshomari4589
@ishaqshomari4589 Год назад
Huwa wanatembea masaa mawili kasoro kwa mwendo wao kulingana na nature ya barabara zetu
@jumasemi256
@jumasemi256 Год назад
uko vizuri mzee baba
@idmtech9868
@idmtech9868 Год назад
Mmmmmh hii gari leo hujaipenda nakufaham ingekula sifa hapoooo
@user-kw9yh1hz5s
@user-kw9yh1hz5s 5 месяцев назад
Moja ya ambayo ninaikumbali sana maisha I mwangu ni Toyota land cruiser
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 Год назад
Yaan hii ni very basic review...kuna very important information ambazo kama car reviewer lazima uzitaje ambazo ndo features specific to that csr under the subject..or else video na audio quality iko poa. Hizo kufanana ni body style...but zipo na very different trims na specs.. check mwenzako dr mechanics yule ana touch details za muhimu sana kwenye review..so good ku improve kwenye eneo hilo
@salomemwambete4603
@salomemwambete4603 Год назад
Snash... naomba nitoe ushauri... nafatilia sana reviews zako zote kiasi kwamba nimeeka notifications... ILA SEHEMU moja wazingua kwenye review za magari HUIELEZI GARI VIZURI INAVYO TAKIWA mfano kama ni ndani kwenye dashboard elezea technology iliyopo... mode features za gari zilizopo, gari inatofauti gani na gari zingine, KAMA ni engine elezea ubora wake wa engine , na engine iliyopo ni ina utofauti gani na zingine. Lakinj sio unavyo elezea tuu shwaaaaa shwaaaaaa.. fatilia gari kwa undani ijue details zake then toa review. NASHKURU KUTOA WAZO LANGU mmi kama CAR ENTHUSIAST.
@snashtz
@snashtz Год назад
Asante kwa ushauri na kwakutufuatilia
@danielmkama24
@danielmkama24 Год назад
Anachokifny hapa ni kutangaza biashara! Yaan..mwenye hilo gar amempa kulitangaza ili liuzwe kwaiy usitegemee kuskia changamoto zake kwa %100 But kwa uelewa wang hiyo engine iliyopo humo ni tatzo no 1 ila hawez sema
@shafikisuse
@shafikisuse Год назад
​@@danielmkama24❤
@machasofficialsite6221
@machasofficialsite6221 Год назад
​@@danielmkama24 kwann tatizo
@mangretmutinda
@mangretmutinda Год назад
❤ from kenya
@vincentogallo1210
@vincentogallo1210 Год назад
Wow this is nice showcasing in Swahili🎉🎉🎉
@snashtz
@snashtz Год назад
Thank you so much 🙂
@geofreyelbarick5220
@geofreyelbarick5220 Год назад
Pamoja mkuu ... 🔅
@geofreyelbarick5220
@geofreyelbarick5220 Год назад
@snash .. secret invasion episode two tyr ... Fanya ufanye review bro 💪
@elliahbenard9037
@elliahbenard9037 Год назад
N kukuongezea at top speed 260km /hr gari hii dar to moro n saa 1 tu...hayo masaa 3 n ya vitz.
@lucianoluciano6795
@lucianoluciano6795 Год назад
...jipange na upate detail nzuri kabla hutoa revew yako...vinginevyo rubish..
@masatumtani1588
@masatumtani1588 Год назад
Umeona bro hajapata diter ya gari hilo hiyo gari sio VXR akiingia ndani kwenye VXR yenyewe mbona atafrai kinoma, hiyo ni VX wameipimpu shoo hiyo nimeindesha sana
@benmsuya6016
@benmsuya6016 8 месяцев назад
Big up bro
@humanityshow
@humanityshow Год назад
Humu tz sio 😌💞💞💞
@sammalaxy9500
@sammalaxy9500 11 месяцев назад
Hapana sio gari ya 2014 ni ya 2021
@user-vg7zs4kq5j
@user-vg7zs4kq5j Год назад
Broo nakubali sana review zako lakin kuhusu magar jitahd kuijuagar vzur kisha ndio ufanye review coz nakuona unavyoongea kuhusu iyo gar km hukuwa umejipanga mapema kwaio broo kwa ushaur uwe ushaiangalia pemben kabla kurekod ila nakukubali sana💖
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr Год назад
Bado aja jiamini kwenye reviews za magari ana pwaya kwenye camera wakati wa kufanya review za magari
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
Anajua namna ya kufanya ameanza vizuri ame enda vizuri Sasa ameanza kushusha ubora kwa kukosa umakini snash
@wilsonmatunda4937
@wilsonmatunda4937 Год назад
Hajui kabisa kureview😂😂 Anamumunya mumunya tu! Anatumalizia bando zetu.Atafute kazi nyingine 😂😂
@johnbm4490
@johnbm4490 Год назад
Bro hii umeipiga juujuu sana asee
@danielmkama24
@danielmkama24 Год назад
Bro hii ya leo umelipwa kdg sana 😝😝 Wambie wawe wanatoa hela nzur nawe ufanye vzr matangazo yao
@collins_._
@collins_._ Год назад
Car reviews unastahili kujitahidi. Watch @carnversation on how to review about landcruiser lc200. Ukisema si ya luxury nakushangaa ajabu. Baadae Toyota waliamua kuifanya iwe more luxurious wakaleta model ya Lexus 570
@livingstonekiptoo6541
@livingstonekiptoo6541 Год назад
Kazi fafi
@robertmunyua1784
@robertmunyua1784 Год назад
Sauti nzurii ila kazi hadimuu,,, fanya upekuzi wa kinda alafu uje tenaa
@goodlucklukinga7817
@goodlucklukinga7817 Год назад
Hongera endelea kujfunza kuhusu magari ili utupe elimu vzur zaidi ya magari
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Likiharibika uwe na kitega uchumi cha uhakika maana chombo kinachoharibika thamani yake sawa na kujenga vyumba vya uwani upate kodi sivyo litapandwa na kuku na wengine watazalia humo
@adamwaziry2253
@adamwaziry2253 Год назад
Hujaitendea haki in details.kwa hii umetupiga
@salummussa1139
@salummussa1139 Год назад
Nakubali safari ipo hapo
@nkurunzizaachel1357
@nkurunzizaachel1357 Год назад
Hahahahahahahahahhah😂 2014 damn what fk alafu radio yakupachika hahahahha
@user-tw9xq2hj9f
@user-tw9xq2hj9f Год назад
uko vzuri kaka.. elezea obora wa engne
@lodrickmwambene133
@lodrickmwambene133 8 месяцев назад
Tanzania wezi jamani haswa TRA millioni 200 😂😂😂😂
@Mpakauseme
@Mpakauseme Год назад
Magari hayo sasa yanakuwa uniform kila mtu anatakakuwa na gari ya jinsi hiyo , bongo ulimbukeni mwingi sana
@YasirXuk
@YasirXuk Год назад
Nimeskia shillingi million 200 nikashinda kenya😂😂😂kumbe Tanzania jamani
@user-xr6nn9xz4s
@user-xr6nn9xz4s Год назад
Nimenda hiyoo,bila wasiwasi nitawatafuta wakati ukifika
@bakariibrahim8971
@bakariibrahim8971 Год назад
Vzr ila hujataja sifaa za gari ilooo
@munene-tv.304
@munene-tv.304 Год назад
Fany review ya gari ya outlander Mitsubishi
@joelogeto9507
@joelogeto9507 Год назад
Napenda mazungumzo yako kiswahili kiimeenda vyiuoo vikuu nakutizama kutoka kenya kaka
@snashtz
@snashtz Год назад
Shukrani
@RAHY_MOON
@RAHY_MOON 8 месяцев назад
Ivi bro unaweza kutufanyia review ya gari kampuni ya Toyota Land cruiser zx khann 300 .Kaka Afu ivi Mana ya V8 , V6 n.k sijajuaga maana ya iyo v8 inamanisha nini kaka
@SophlaJackson-nt1nc
@SophlaJackson-nt1nc 8 месяцев назад
V8 nii engine kubwa saana Nikama kuendesha aist tano au nne ivyo v8 niukubwa wa ingine
@user-cr2fd5xq5w
@user-cr2fd5xq5w Год назад
Naomba utupe riview Toyota Prado tx
@nikymatela7013
@nikymatela7013 Год назад
Snash tunaomba review ya GMC
@erickdaniel610
@erickdaniel610 Год назад
Dar es salam---Dar hahaahah umechapia
@issaadinaniissa6487
@issaadinaniissa6487 8 месяцев назад
Dashboard imefichwa kutokana steering haijanyooshwa sawa
@biotechforlife3420
@biotechforlife3420 Год назад
Mbona hujaongelea wese Consumption
@ayoubmwasile76
@ayoubmwasile76 11 месяцев назад
Kijana kwenye gali bado sana
@user-pf7hd2yg8k
@user-pf7hd2yg8k Год назад
Tupatie review ya gari vx toleo la 2020
@bhanaee
@bhanaee Год назад
Umenifurahisha sana🤣🤣kila kasoro utasema coz ni ya 2014
@MnankaSamo-mo3ib
@MnankaSamo-mo3ib Год назад
Dar es salaam to dar wanangu ame chapia😅😅😅😅🤣🤣🤣
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
Alafu hakuna kitu kinaitwa dar es salaam dar hii umefanya sababu ya matangazo ila hii review Bado ebu tupe background ya Toyota kidogo tupe series ya land cruiser au umetuchoka snash
@IbrahimIdrisa-xm7pq
@IbrahimIdrisa-xm7pq Год назад
Bro emu tufanyie v 8 new model sio ya 2014 ipo v8 2022 vipi kuhus hiyo tufanyie hiy
@frankkashner
@frankkashner Год назад
Huna content brother
@ahmedkipachu9629
@ahmedkipachu9629 Год назад
Hii gari simple sababu umesema ni GX, cheki ZX au VX-R siko na features kibao
@prospersanga7942
@prospersanga7942 9 месяцев назад
Ufanye review V8 ya 2020
@iddmohamed3711
@iddmohamed3711 Год назад
Hello pia gari imetengenezwa kitaalam na hawabahatishi na imeelezewa kwa maelezo yaliyo kamilika. Soma gari kabla ya uielezsa
@Salummassa-vs1rs
@Salummassa-vs1rs Год назад
Naomba review ya mercedeze Benz g wagon or g class please
@romessjunior5643
@romessjunior5643 Год назад
tulete saa model ya 2023 ambayo ni lc300
@masatumtani1588
@masatumtani1588 Год назад
Kiukweli huwa nakufatilia sana ila mimi kama derva wa V8 hii umeikosea, kwanza hiyo ni V8 VX ya 2014 na hapo wameipimp kuja kwenye show ya V8 VXR, Ukikutana VXR yenyewe mbona ndani utafurahi mwenyewe na mwaka huo zimetamba kilimo kwanza ambazo ni V8 GX na GX standard hizi VXR za juzi tu bro
@thebrainundefeated4792
@thebrainundefeated4792 Год назад
Ni kwel hata mimi nimeshangaa ndan nikagundua wamepimp!! Ila pamoja na yote V8 ni Machine.
@masatumtani1588
@masatumtani1588 Год назад
@@thebrainundefeated4792 na hiyo chombo inatembea bro asikudanganye mtu nimeishinayo three years
@Jameskaguo
@Jameskaguo Год назад
masaa matatu kama unapaa, ila kwa sasa changamoto ni nyingi sana
@fidelfidel-jz4iw
@fidelfidel-jz4iw 10 дней назад
Hilo ni gari kwanza nzito nguvu kubwa cha msingi Tanzania ina Gasi lakini wanaagiza Japan tanck zake haziwekwi wakati inawezekana mambo ya ajabu
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Год назад
Milioni 200 una nyumba 2 za kupangisha za uhakika unakula kodi kama mshahara wako wa mwezi
@pierreruben
@pierreruben Год назад
Hiyo gari umeiponda coz ni.ya 2014😂😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Hii sasa ndio gari hizo IST ni usafiri tuu ilimradi ufike 😂
@jumannemuyaha3401
@jumannemuyaha3401 Год назад
Iyo hela mbn ndogo
@bagengift3488
@bagengift3488 Год назад
Duu kumbe Automatic transmission 😮
@aliakrabi8321
@aliakrabi8321 Год назад
si mbaya ila endelea kujifunza. kuna mengi ya kitechnical kuelezea gari
@condradyjoseph4208
@condradyjoseph4208 Год назад
Dar es salam Kwenda Dar ni masaaa mangapi umesema???
@ibrahimaziz7158
@ibrahimaziz7158 Год назад
mzee naitaka iyo
@zahoroibrahim6219
@zahoroibrahim6219 Год назад
Umezingua leo
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
For real
@roykahoro7181
@roykahoro7181 11 месяцев назад
200million😮 tanzanian shillings..
@eliaspius4949
@eliaspius4949 Год назад
Kama ukimaliza kisahani Dar moro dakika kadhaa tu
@khelefshein176
@khelefshein176 Год назад
Ime upgradiwa
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
Ngoja nijichange
@jumamarco
@jumamarco 10 месяцев назад
bei yake sh ngapi
@MzirayPessa-qj4il
@MzirayPessa-qj4il 10 месяцев назад
Nina shida na namba yako kwenye mambo ya teknology
@godfreythomas9691
@godfreythomas9691 Год назад
Nice content , i see you far in the near future
@snashtz
@snashtz Год назад
Appreciated
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
Stop lying
@godfreythomas9691
@godfreythomas9691 Год назад
@@KingGeoffreyMoviesReview tambua mwamba kwa kiwango chake amefanya kitu kizuri cz kibongo bongo hakuna tech guy kama huyu jamaa , me nampa heshima yake na sio vyema kumfananisha na reviwers wa mambele
@KingGeoffreyMoviesReview
@KingGeoffreyMoviesReview Год назад
@@godfreythomas9691 Mimi sisemi namfananisha na wenzie wa mbele hapana lakini hata nikifanya hivyo sio kitu kibaya ila nachokisema hapa na kukimaanisha ni kwamba hii review hapana hajaifanya vizuri amesonya Sonya sana kiufupi hajasema au hajui about Toyota land cruiser series kwa uzima amefanya tu Ili afanye tangazo na ndio maana hata uyo Rasta aliepo nae kwenye gari anatingisha tu kichwa lakini jamaa haelewi ila uwezo wa kufanya anao sana Tena mkubwa ila hii tunasema ushalizoea game
@lawrencemgembe6322
@lawrencemgembe6322 Год назад
Dar to moro kwa mimi,hyo ni 1hr 30min
@adkajisi4536
@adkajisi4536 4 месяца назад
Vipi. mbeya to Dar
@imranulotu8768
@imranulotu8768 Год назад
Hyo ni ya mwaka 2008 sio 2004 sema tu wameupgrade wakaifanya 2014
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Год назад
Wame ipimpu sio😂
@collinsghambi7315
@collinsghambi7315 Год назад
Toyota blade na toyota auris tuaomba review za izo gari maana kumiliki golf gti au polo kibongo bongo ni mtihani😅😅😅
@nbaben10
@nbaben10 Год назад
❤❤❤❤
@AlsonKipomela-bq1vk
@AlsonKipomela-bq1vk Год назад
Miambili na kitu manaake taja Bei kamil tujue
@IbrahimIdrisa-xm7pq
@IbrahimIdrisa-xm7pq Год назад
daaah bro umezingua mbn v8 zipo nying zeny technology ya kisasa tupigie hizo
@mwendasalim5511
@mwendasalim5511 Год назад
Kumbe nikijichanga nainunua
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Год назад
Kilakitu Kinawezekana ✊✊
@ambakisyemwakinunu2002
@ambakisyemwakinunu2002 Год назад
​@@Mbeyaconscious kabisaaaa
@mosesmwailenge5192
@mosesmwailenge5192 Год назад
Wengi wana uwezo wakununua wanacho kiogopa cc zake kubwa mno ndyo maana selikali yetu yenyewe inataka kubadilisha namizozo kilasiku kwa MBA wakipaki magari wasiache Yana unguluma kz yanameza mafuta mno
@jumamussa1524
@jumamussa1524 Год назад
@@Mbeyaconscious 0
@jumamussa1524
@jumamussa1524 Год назад
@@Mbeyaconscious p
@shikopamedia356
@shikopamedia356 Год назад
Kwa niaba taomba na review ya gari aina ya Toyota rush.
Далее
TOYOTA FORTUNER NI BALAA/ INA MAAJABU /#0676577711
11:26
V8 LANDCRUISER: kubera iki abantu bayitinya??
5:08
Просмотров 46 тыс.
UZURI WA TOYOTA CROWN ULIYOFICHWA.
19:57
Просмотров 7 тыс.
Toyota LAND CRUISER 2024 (off-road)
7:09
Просмотров 2,7 млн
Range Sport 2023 Review | Hii ni zaidi ya Zote
6:24
Просмотров 19 тыс.
ИГРОВОВЫЙ НОУТ ASUS ЗА 57 тысяч
25:33