Safi sana naunga mkono sio upande wa usafirishaji bali iwe ni nchi yakufanya biashara masaa 24 iwe ni nchi yakepekee dunia sio afrika tu Tanzania Oyeeeeeeeeeeh 🔥
Kinyume na maumbile Allah ameuweka usiku ili watu wapumbzike ,Allah ametuhadharisha na shari za usiku kwani Kuna majini wabaya wachawi na wanyama wabaya usiku angalia suratul falaq
Wanofanya kazi hospital usiku mbona husemi, ndege zinasafiri usiku mbona husemi, walinzi wanalinda usiku mbona husemi, kikubwa hapa ni madereva kuzingatia sheria na jeshi la polisi kuimarisha usalama, suala la usiku wala sio tatizo, muwe mnaangalia pande zote punguza double standard ndugu
HIYO MZURI ,lakini tujue usiku hakuna Toch,usiku hakuna trafiki, madereva usiku wanakuwa huru sna kufanya lolote walitakalo maana hakuna polisi usiku,najua madereva wengi watalewa sana, watakula milungi sna, energy zinazochanganywa na konyagi zitanywewa sna, mama nashauli kila basi kuwe na askali ,mmoja awe anasafili na basi mojawapo huo usiku,bila hivyo .,serikali iandaee makabuliya kutuzikia,na waongeze hospital za kuwalaza majeruhi
Kutoka dar mpaka kigoma una safiri mchana tu.......kutoka dar mpaka sumbawanga una safiri mchana tu ....vipi kuhusu ajili ya Lindi mabasi kugongana USO kwa USO vipi ulikuwa ni usiku.....mtangulize Mungu kwa kila jambo 🙏🏻
Zamani tulisafiri usiku , aliyesimamisha kusafiri usiku alikuwa Marehemu Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani 1994.Nadhani wako sahihi teknologia imekuwa sana
Wasafirishaji hii ni fursa ya kutoa huduma na kupata fedha, Sasa hii fursa msiitumie vibaya. Serikali isisite kuzifungia basi/kampuni zitakazo sababisha ajali kutokana na mwendokasi au uzembe
Binafsi ni wapongeze kwa hatua hizo,ila nina swali, Je maaskari watakuepo kwenye gari? maana katika hili Mungu asimame kila siku kwani Barabara ina changamoto Kama Dereva kusinzia,wanyama wavukao, mwendokasi,watekaji,Huduma mbalimbali zitapatikanaje, Mfano gari ikiharibika!! ,Niombe serikali itake mawazo ya wanaichi kwa mawazo mapana kuhusu hili.
Haya sasa ndio maendeleo tunayohitaji watanzania, kikubwa tuimarishe mifumo ya uongozaji ya barabarani kama uwepo wa kamera maeneo yote korofi au yenye ulazima na alama zote za barabarani zilizo ondolewa au kutoonekana vizuri basi zifanyiwe marekebisho ili kuwarahisishia madereva, Mwisho madereva waende sambamba na alama za usalama barabarani
Tuwe tunaangalia hali na mazingira yetu kweli tunataka maendeleo ila nafikir hili bado lataka muda Ningeshauri yafuatayo kwa sababu suala hili sio la kisiasa ni la maisha ya watu(1)kutafakar kwa kina kwa sababu barabara nyingi hazina taa wala kamera ni giza tupu Barabara nyingi bado ni mbaya Madreva wengi wanahitaj kupumzika usiku Hatuna mapolisi wa kutosha.kuzibit mambo ya usiku Changamoto nyingi bado zipo vilevile Mambo ya usiku siku zote ni magumu Usiku haushoni Nashauri kuwe na vibali maalumu kwa hiz safar na sababu Had tukamilishe.masuala ya msingi
Ila Me cjaunga mkono mana mungu ameweka mchana wa2 wafanye Kaz ili ucku wapumzke na pia na mdereva wapumzke baada ya majukumu ya cku nzima,, ila c mbaya watakao hitaji kusafr ucku luksa na WA mchana pia luksa Kaz iendelee!!
Binafsi naunga mkono wanaopinga wengi na wale wanaosema Mungu alisema tulale usiku mi naona hawana hoja za msingi sana Wanofanya kazi hospital usiku mbona hamsemi, ndege zinasafiri usiku mbona hamsemi, walinzi wanalinda usiku mbona hamsemi, kikubwa hapa ni madereva kuzingatia sheria na jeshi la polisi kuimarisha usalama, suala la usiku wala sio tatizo watalala mchana
Aseee, na traffic nao wafanye kazi saa24, kwakwel ajari zitakua ni nyingi sana kwasababu madereva wengi Huwa wanakimbia sana nyakati za usiku,, na hivyo marori mengi Huwa husafiri usiku ukiongeza na mabasi nayo barabarani usiku,, tatizo madereva ni kama usiku wanakuaga na Pepo la kukimbia,, kama hamjajipanga vizuri kuweni tayar kupokea ajar za kutosha, issue kubwa sio kuporwa, issue ni kuwagaidi madereva kufuata Sheria kama kawaida, maana usiku Yan mtu panapotakiwa kutembea speed 50 Huwa madereva hawaangalii maana wanatambua traffic wamelala hawapo barabarani, labda Kuna vifaa vya kidigitari vya ukaguzi lakin kama hakuna ajari zitakua nyingi
Acha kuwa domant , utakimbia wapi na umesikia kituo Cha mawasiliano Cha vts kiwe kinafanya kazi. Vts ni kudhibiti mwendo, police wanatdhibiti kwenye 50kph tu.
Kwa hiyo kaka paul ajali na vifo huwa zinatokea usiku tuu??? Ndio maana ikaitwa ajali na vifo kaka, vikija huwa havina taarifa au wewe unajua utaondoka vpy??, kuwa mpole
@@Moresa196 Kaka watu wanajaribu kureason kama mchana Tu ndio ajali kila siku, je huo usiku itakuaje? Lakini pili, je zile sababu zilizowafanya kukataza safari za usiku zimemalizika?,,,,ebu jaribu kuishirikisha akili yako kidogo katika maswali haya utabaini jamaa alilenga nini
Mchana tu ajali kibao na toch znanunuliwa je usku itakuwaje?halafu miji mingne usafr wakutoka nyumban kwako kwenda stend ni kipengele hakuna haisi wala bodaboda nikutafuta tuuawe tu na vbaka