Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Rayc overreacted to jay-dees' post.....watoto sio vitu vya kumringia mtu aliyekupa ndie kaninyima mimi...tupunguze pride kwa vitu vnaeza ondolewa in a snap of a finger.forever +254
Mm pia nilisema hiki alichokisema Rey c jey d alifanya vibya kusema walaji unga angese tu sikuingia kwenye uraibu wowote hapo alifanya kejeli na haikua sawa kbsa
R c anatafuta Kiki upya ili arudi mjini na watu waanze kumsikiliza tena hawezi jifananaisha na lady jay dee hata siku Moja na Pia sioni kama mag ya JD Ina tatizo lolote
Hakula Unga ila aliangukia kwenye Ulevi wa Pombe!!! Mshenz TU Huyo!! Kila Siku na Michupa ya Pombe Kali kwenye Gari Tena baada ya Kuachwa na Clouds na Gardener!!!😂😂😂😂😂😂😂
Ivi wanawake tukoje!? Sasa wanampa faida nan kukashifiana!? Kila mmoja wao anamapito magumu ugumba unamua sana na uyo alotoka soba house bado inamkula akil kwa pito hili na huyo mtt anayeringia ateme mate chin mungu hakawi kukasirika akafanya yake,,, kibur n vazi la mungu binadamu hatuwez hakuna mtu jeur na kibur km firau yuko wap ss !? Why hatujifunzi binadam dini zili letwa za nini!?
Tusiwe watu wakuongeaongea vitu sensitive bila ya kufikiria tena Na tena kuna watu wanastruggle na mambo tusioyajua just learn to be human.ukweli ambao haukusaidii achana nao
Mmmh. Ingependeza kama haya makabrasha wanayotupiana yangekuwa kwenye mfumo wa nyimbo ili wapate hela kwenye mitandao kama wanavyofanya wadogo zao wa sasa. Au alivyofanya Kopa na Na' Hamisi enzi zile.
Eti ray c amempa nafadi lady jay de aice akili za unga ni zaunga tuu nyiyeee ray c ajapona guy's hide ni nMba ons tz kwa kuimba mwanamkee anaye pendwa na dunia pakitok jide ni zuchu eay c anaongea nn yy anamaisha gani uko ufaranca😂😂😂 aise wa tz niwazhamba juu iko ufaranca ndoo anajjona iko juu eti ajakuw km tiwa hee tkwa ni tiwa na jide ni jide
We nawe hujui muziki eti akitoka jide zuchu, hivyo vizazi havilingani ray c kafanya makubwa na mpinzani wake ni jide wote wanalikuwa wanapendwa sana, shida ni nyie mlietoka vijijini mmekuja mmemkuta zuchu
Jide wewe ni konando waache hao wavuta unga shisha wfrwj wataka kukufanya wewe ngazi wapandie usiruhusu yote waliyosema mangapi mpaka sasa bado uko naheshima yako 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Ila lady jaydee alikosea saana huwezi kusema hivyo maana hakuna mtu aijuae siku yake, raycee pole saana Mungu akuongoze uliyopitia yanatosha songa mbele achana na maneno
Rayc mbona yeye asiwe kama tiwa savage.anakelele.juzi tu kachangiwa akatibiwe mimacho ilikua ishakua mieupe anazubutu kujilinganisha na comando??,,pumbav sana hawa wasanii waliobebwa na kikwete