Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Uyo anazingua mwenyewe...amesaidiwa sana na babu tale na mkubwa fella ila mwisho wa siku anawatukana tu.....mteja ni mtu asiyekumbuka fadhila..wachache sana ndo wakiamua kutoka huko ndo wametoka ila weng wao wakirud mtaan wanarudia Tena hayo mambo...mungu amfanyie wepes
Hili si swala la kutumia kwa umakini ila tu unga unaharibu akili, huyu mpaka kesho hana maisha magumu ila tu unga umeshamuharibu akili, hasaidiki hata iweje alilalamika eee kuna watu hawataki kumpa hata kolabo sasa amepewa kolabo alitakiwa kutulia kuanzia pale aendelee kuomba na wengine asaidiwe kimziki maana mpaka leo bado anajua kutunga na ana punch line poa sana lakini matokeo yake ukiingia kwa muhindi tu unakuwa mvivu wa kujituma na kuomba omba ukipata elfu kumi unaona kama milioni mia sababu unajua na kesho utapata tena, wanaompa hela hawamuhurumii ila wanazi kumuumiza alitakiwa apigwe pini asipewe hata mia lazima aibe baada yapo apewe kichapo afungwe akose ngada jela akitoka atakuwa na adabu na kusikia aibu kwa aliyoyafanya inaweza kumrekebisha kwamba ngoja niwaonyeshe watu kama uwezo bado upo.
Chidi alichezea hela kipindi chake na mastarehe sasa amebaki omba omba inasikitisha kwa kweli😢😢😢wasanii mjifunze ku invest kupindi cha ujana wanu sasa chidi umri umeenda hana chochote😮😮😮
Maisha ya hapo nyuma ya wasanii yalikua fuata mkumbo ndio maana wsanii wengi wa zamani wamekua ni wahanga wa madawa ya kulevya. Chid Benzi ni mtu ambaye amejitahidi sana kujitoa toka kipindi cha nyuma na sasa amebadilika nadhani Jamii badala ya kumuukumu na kumtupia lawama, imsaidie. Haswa wasanii wenzake wamshike mkono kwenye kupambana kujinasua na madawa,kujitoa kwenye madawa na akiwa hana ela ya mlo ni jambo gumu,Jamii imsaidie mpaka pale atakapo kaa sawa na kuweza kujiongoza mwenyewe kimaisha,tusinyoosheane vidole kwenye maisha kuna kuteleza kwa namna tofauti,Rayc alishikwa mkono na sasa amekua mfano kwa jamii zetu kwanini kwa chid tushindwe,Chid Benzi ni mtu ambaye bado talent yake ipo na huwa ni mtu ambaye akikaa sawa anaongea point sana
Ndio kaka sikae sikuzote naomba mujifunze kupitia yeye wasani unajua kupatia maumivu wanawake sio marufu ya masikini arikua anajuwa maumivu yangu angeenda ivo ivo sijawahi kumulaini sikuzote namumbea kwa Mungu ila niliwahi kumwambia kama amezowea kuumiza wengine kwangu kilio changu Mungu anasikia😢😢😢
Yupo wapi Harmo aka Tembo amsaidie huyu legend? mbona kwenye kusaidia mashabiki wake wapo kimya. Au watu wote ni jukumu la Diamond? halafu na mitusi juu. Mm sio shabiki wa WBC au Konde wala muziki..ila mimi ni shabiki wa maendeleo watanzania. Maoni yenu pls…na sio matusi.
Sasa hapo Cha kushangaza ni nini, ni mtu gani asiyejua Chid ameathiriwa na madawa, kwa kitendo hicho ni kawaida Sana kwa mteja ,,watanzania tunajua kukuza Sana Mambo hii ni sehemu ya 4 naona hii video kana kwamba ni kitu Cha ajabu Kwa mhanga wa madawa ,achani uzuzu wabongo
Ndo shida ya unga hiyo wslomuuzia wakiona umeishiwa wana ku dump huna kitu na sasa hali mbaya Taifa la kesho linapukutika binafsi simuonei huruma kabisaaaaaaa aende soba kigambono
watu wengi udhani mteja usaidiwa kuwa kumpa fedha chakula pakukaa, hapana mteja anaitaji tiba anaitaji kufanya jambo litakalo mweka mbali na vivutio vya uteja,,
Anawez tafuta pesa mwenyewe cha muhim ni kusaidiwa kuacha madawa,, Kwanza Asaidiwe katika kuacha madawa sababu Amebarikiwa sana na ni mwaume mzuri pesa atapata.
Uyo mwana wa maigizo sijamkubali ata kidogo alivyo mtreat chid hapo n uduanz sana. Unampa buku mbili na masimango eti atoe freestyle juu ya mbuku mbili aliyopewa daaaaah 😢
msichokijua ni kwamba chid hapo alipo co kuwa hana akili ila anafanya hivo akiwa na akili timamu sana. na anapima tu vile watu wanaishi nae katika hiki kipindi anachopitia. ila Mungu anakusudi nae. leo kwake kesho kwetu sisi,,badala ya kumdhihaki vibaya inatupasa tumuombee tu hichi kikombe akimalize kukinywa. Hakuna mapito yasiyo na njia ya kutokea ipo cku atakuwa sawaa na mlivyo wanafki mtaanza kumsema vzr ikiwa mmesahau maneno ya hovyo mnayo yasema sasa hivi. CHID NIMEANZA KUKUJUA ANGALI NIPO MDOGO SANA. VUMILIA TU, BINADAM NDIVYO TULIVYO ILA MUNGU BADO ANAKUPENDA SANA.WAKATI UNAKUJA NA UTAKUWA SAWA
Wanamziki wangekuwa matajili ila wale wanao wazamini kwenye nyimbozao ndio wanaokula pesazao yaniwanatapeliwa kwenye kazizao Kisha wanakuwa Hawanapesa ,mfano kama twent pasent gwiji lamziki
Tatizo sio hvyo kama mnanyosema kosa la chid Benz ni kumtukana onesmo jukwaanin Kwa kutumia kidole Cha kati kipind anapafomu pale ndo diamond kamaind lakin diamond alitakiwa amsaidie asimaind ni vtu nya kawaida ingawa amekosea chid anaitaji saport
Hivi ni vitu viwili tofauti. Kumtukana Onesmo na Utumiaji wa Madawa. Shida ya hayo yote yanaletwa na Uteja. Akiamuwa kuwacha Atasaidika. Unaweza kumpa Show Alafu Angukie kwenye Stage Awalaumiwa aliempa Show. Wajuwa Wabongo dakika Ugeuka. Akiamuwa Atakuwa Sawa tu.
Chid kachaguliwa kama mfano watu huwa hawaelewi now vijana mpo wap na kuna somo kubwa la kujifunza yeye siyo wa kwanza kuanguka kimaisha wapo wengi chid hajafeli ila kateleza vijana tujifunze wapi alipoteleza ili tusije fika huko na kingine hakuna jamaa mwenye akili nyingi angalieni interview zake
Me sioni haja kumuonea huruma chidi, kwasababu mwanzo alitumia madawa watu wakajitokeza wakamsaidia, sasaivi amerudi tena kwenye madawa, huyo mtu unamuonea huruma wa nini?
Kiukweli kabisa yaani...... Sio yeye peke yake na master wengi watakuja maisha ya mitandaoni sio mazur kabisa yaani.... Si mnawaona awa wakina giggy.... Watakuja uku wabadilike.... We unamini wema ni mtu wa kutangaza kipindi cha redio..... Fem inakuja na inaisha wasanii kuweni makini kuwekeza