Mueshimiwa mungu akutie nguvu ili zoezi lizunguke tanzania nzima maadili yetu na utamaduni wetu urudi,,komesha na mavazi ya wadada wasio na adabu wanao poromosha maadili
Nimefurahishwa sana na hatua za kijasiri sana alizozichukua Mh. Chalamila mkuu wa mkoa wa DSM. Mambo haya aliyaanza kuyatekeleza Mh. Paul Makonda, lakini wakosoaji wakaingilia kati na kufanikiwa kudhoofisha operation hii nzuri. Uchangudoa siyo biashara lakini ni kugandisha akili kwenye deli la ascrm na baada ya muda mfupi shida na, malazi, umasikini, uvivu na ujinga hurudia asili yake. Mungu akutie nguvu Mh mkuu wa mkoa, CCM ina viongozi bado mahili sana lakini wanahaki za binadamu na waliozoea kula bila jasho watalaani na kuingilia kati kazi hii nzuri, msitokee hata mmoja, halipo tàifa linalofanikiwa bila kuchapa kazi za kufa na kupona. CCM oyeee!, Chalamila chapa kazi brother, umenifurahisha sana!!!
Asante Sana apo umesema yani nakupa big up jamani nafanyie kazi na hao mashoga ukinipa ruksa niwauwe miwakwanza manna wanatuchafulia nchi yetu mkuu yani minatamani wafe wote Mana wanaume wanazalilika kupitia uchafu wao
mimi nashangaa watu wengine wanatetea ,eti walikuwa wanatapa riski, sasa kwan wasiponunuliwa tuseme mtakufa njaa, RC chalamila umewaokoa dunian na mbinguni, big up
Tumuombe sana huyu mkuu wa mkoa na.hakika ni Mungu Baba ndani yake ..shukrani kuu ikufunike na wote wanaolitakia mema Taifa hili....Madaraka halali ni kusudi la Muumbaji wetu..ndiyo maana Mungu Baba aliye hai huyafuta machafu kupitia aliyemkusudia..🙏🙏🙏
Namshukuru MUNGU kwa jambo hili kumtumia mkuu wa Mkoa, wengine tulipita mitaani kukemea kwa sura ya dini, sasa MUNGU Ameitumia serikali. Barikiwa sana kwa hili
Ahsante kaka mungu akusimamie katika kazi yako upo vizuri ila ombi langu naomba ulichukue na hili kuna baadhi ya nyimbo nyingine sio mzuri hazina maadili hata kidogo kwa watoto wetu saivi wanapitia njia njia hizo kuharibika kwao nakuomba kaka ulisimamie na hili mungu akuongoze katika hili endelea kuchapa kazi nyie ndio viongozi tunaowahitaji kwa sasa
Na huyu ni Mkuu Wa Mukoa kweli.Haya niliyaona wakati wa Hayati Mzee Jomo Kenyatta miaka ya sitini na sabini kwetu hapa Kenya.Mungu awasaidie ndugu na dada zangu na majirani wazuri Tanzania.
Hapo Safisha,lakini wasaidieni kiuchumi Wabadirike kiakili na kiuchumi.na Ugumu wa maisha Tz. Siasa ziwe huduma kiuchumi Wasaidieni jamii kuwawekezea kiuchumii.Watu upenda maendereo. na Siasa porojo,hongera.M/Mkoa.upongezwe, kwa hilo.
Mungu akulinde Kila atuwa unayo piga kwa kutetea taifa linapotea nguvu kazi inaangamiya yani watoto wetu mpaka wakiume jamani ili nijanga kwa kweli mungu tusaidie
Tena shughulikieni sasa ya jinsia moja mashoga na wasagaji jtahdini Kwa hao maana hao mpk haki za binadam sasa hviii wanawalinda chalamila deal na mashoga na wasagaji maana hiyooo ni laana kbsaaà hata Kwa taifa.