Kazi ya kanisa nikuirekebisha na kuipanga dunia ikae katika njia sahii ya kumpendeza Mungu. Hivyo kila aliyepo duniani akifanya tofauti na Mapenzi ya Mungu inabidi aambiwe haijarishi nafasi yake.
Ni vyema ulivyowafichua ili umma uwaelewe kwani wanatia aibu badala ya kujikita zaidi kiroho wenyewe wanashuka na kupanda juu ya majukwaa ya kisiasa kila wakati !wanakera sana
Na yeye anafanya nini kwenye madhibahu… awaachie wenye kazi yao. Kanisa lina waganga njaa kama ilivyo serikalini kuna wezi na wabadhilifu wa mali za umma/wananchi! Kila mtu afanye kazi yake kwa maadili na uaminifu na Mungu na watu wake watamjua mtu huyo. Embu msituzingue na hizi kelele za kilevi cha madaraka na sifa.
Kumueka Makoka kwenye jukwaa ili ni kualibu kazi ya uyo mwamposa Kwanza maana uo ni ulopokaji amna Mungu apo niuongo uongo ,,Makonda kasome vizuri neno la Mungu umepotokaaa na hao wasio soma vizuri neno la Mungu
Ndo shida za watumishi kuwakabidhi wanasiasa Madhabahu mwisho wanaona wao wanajua kila kitu nakuanza kuwafundisha waliowakaribisha sasa wanauliza maswali kwasababu walicho wafundisha sio hicho wanachofanya kwanini wasiulize. Boss ni Mungu tu kwani mtoto Akikosea lazima umuombee na kumuonya acha watu juzi mwandishi wa millad Ayo akiwa anatimiza majukumu yake ukatoa maelekezo wamnyang,'anye Camera mbona hukuomba hapa unakuja unasema siasa. Sio Mungu anasema
Makonda unapotosha mambo taifa kama linaanguka mara zote viongozi wa dini walitumwa kuwaonya viongozi wa serikali kuhusu uovu wao Leo nimegundua makonda ni kiongozi mpenda sifa na sio kiongozi mzuri hamuwezi kufanya makosa na hamtaki maonyo
Sasa huyo mwamposa mwenyewe ni kiongozi wa Mungu wapi makanda fanya siasa achana na mambo ya dini uje kanisani kusali sio kuzungumzia serikali kanisani
Hapa binafsi nimeondoa credit yangu juu yako kaka yangu makonda kimsingi ni hivi, Huwezi mpangia mtu alie kwa kiasi furani watumishi wanao hoji kuhusu jambo furani bac na waheshimiwe kwa sababu sote tunahaki ya kuongea & kuhoji kwenye jambo ambalo linahitaji majibu
Kumbe na wewe Makonda ni mwana wa Mungu,mbona Mungu hajatuambia wewe ni mwanae wa pili😂. Halafu unadanganya watu kazi ya viongozi wa dini ni kuomba tu,kwani wao ni ombaomba?
Wewe una kifua ,nani kakupa kifua cha ugaidi . Kwa akili ya Makonda viongozi wa dini wasiambie watu kitu,ila wapige kelele hewani tu.Yeye haelewi kwamba yaliyoandikwa kwenye biblia waambie watu hai kama yeye😂.Umeinajisi Tanzania kupitia ukuu wa mkoa wa Arusha,kutukana viongozi wa dini na Mungu
Umevimbiwa makonda..huwezi kuwananga viongozi wanaohoji kupotea/kutekwa/kuuawa watu,wanaohoji haki za maasai wa ngorongoro.. umekuja na hasira na matusi.. hata JPM naye aliwasema vibaya viongozi wa dini akina archbishop Ruwaichi.. wewe na mwamposa ni wezi
@@OmmyJames-xn7ji lugha yako ndo unavyofundishwa kwenye imani... amekamatwa pamoja na wenzake na kesi iko mahakamani.. tunauliza wale wanaotekwa then kuteswa/kuuawa, wengine hawajaonekana.. acha jazba na mihemuko ya kidini,fikiri kidogo tu utaelewa. Sisi wote watanzania ndugu,tutunze amani yetu
Ndo shida za watumishi kuwakabidhi wanasiasa Madhabahu mwisho wanaona wao wanajua kila kitu nakuanza kuwafundisha waliowakaribisha sasa wanauliza maswali kwasababu walicho wafundisha sio hicho wanachofanya kwanini wasiulize. Boss ni Mungu tu kwani mtoto Akikosea lazima umuombee na kumuonya acha watu juzi mwandishi wa millad Ayo akiwa anatimiza majukumu yake ukatoa maelekezo wamnyang,'anye Camera mbona hukuomba hapa unakuja unasema siasa. Sio Mungu anasema