Тёмный
No video :(

LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 283 тыс.
Просмотров 26 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

1 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 112   
@Tobejr
@Tobejr 2 месяца назад
Every day i used to sharpen my life from your teachings,,,May our almighty God bless you.
@stellasoraya1138
@stellasoraya1138 2 месяца назад
Nakuelewa sanaa Joel birthday mate wangu lazima nitembee kwenye vision zangu
@user-qv3eo5pb3g
@user-qv3eo5pb3g 5 месяцев назад
Joel wewe umezid kunifanya niweze kupanga malengo na natarajia kuwa billionare inshaallah joel napenda kaz zako
@lampadshigonko3006
@lampadshigonko3006 5 месяцев назад
🤣 🤣 🤣 billionaire?
@RUCKY_
@RUCKY_ 5 месяцев назад
Huamni au usicheke huwezi kujua kesho ya mtu watu wana jipanga wewe​@@lampadshigonko3006
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen 🙏
@nasruddinali9197
@nasruddinali9197 5 месяцев назад
Insha Allah
@InviolataNduye
@InviolataNduye 3 месяца назад
Amen
@jumannemlimakala6442
@jumannemlimakala6442 3 месяца назад
Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
@TumaSuda-oz5mn
@TumaSuda-oz5mn 5 месяцев назад
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
@godfreygermanus
@godfreygermanus 5 месяцев назад
Wewe ndio maono yangu daaah
@ChantalNdayizeye-ol1re
@ChantalNdayizeye-ol1re 5 месяцев назад
Kwanza mimi,2026 lazima tukutane,,yan na changanyikiwa kabx,from burundi
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Tuombe uzima, Mungu atatufanikisha🙏
@RosemaryMusa-eb2gp
@RosemaryMusa-eb2gp 2 месяца назад
Ahsante Sana, Mungu akubariki na azidi kukuinua viwango hadi viwango hakika umekuwa baraka.
@NaomyPoul
@NaomyPoul 5 месяцев назад
Kaka Joel usiwe unajificha jamani tumezoea kukuona ukiwa unafundisha pia Asante kwa somo zuri🎉🎉
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 5 месяцев назад
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Big congratulations👏🏽👏🏽👏🏽 tunasubiria ushuhuda wako zaidi
@brackskinyozi3280
@brackskinyozi3280 Месяц назад
Asante nimejifunza kitu
@AbdallahFahm
@AbdallahFahm 4 месяца назад
Msshallah unaupiga mwingi brother
@Grace00187
@Grace00187 5 месяцев назад
Nafurahi coz today nimeamka mapema kumsikiliza bro wangu, now I have seen my self at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Wow, hongera sanaa🙏
@kennethchinguku
@kennethchinguku 27 дней назад
Mungu akubariki pastor Joel,zikomo
@mahambagislain9618
@mahambagislain9618 16 дней назад
Asante Kaka 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
@tawakaliramadhani1352
@tawakaliramadhani1352 12 дней назад
Kaka kuna vitu umeningizia kichwani vinaniongoza vyema shukrani sana
@MjataHashimu
@MjataHashimu 5 месяцев назад
Hongera xana braza
@user-rc6fe9xv1m
@user-rc6fe9xv1m 4 дня назад
Barikiwa Sana kaka Joel
@user-xo2ct8ju1m
@user-xo2ct8ju1m 5 месяцев назад
Elimu nzuri
@MANDALAS_LIFE_COACHING
@MANDALAS_LIFE_COACHING 5 месяцев назад
Thanks brother Joel Nanauka you were born to help many
@user-jb5wb1mf7e
@user-jb5wb1mf7e 5 месяцев назад
Mungu awenawe
@Joyly-it2cp
@Joyly-it2cp Месяц назад
Asante sana kwa mafunzo tangia nianze kukusikiza nimepata mafunzo mengi sana
@goldiegranted5501
@goldiegranted5501 5 месяцев назад
MAONO🔥🔥🔥🔥
@macksemuyango6108
@macksemuyango6108 5 месяцев назад
This Morning Today kuna kitu kizuri nimejifunza toka kwako MWL WANGU JOEL NANAUKA....
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Nashukuru sana tuendelee kujifunza🙏
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 5 месяцев назад
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@minaaminaa1781
@minaaminaa1781 5 месяцев назад
Akina sisi tuna enjoy zaidi tumuona hasa huwa nahisi nipo nae karibu akinipa advice
@user-ut7ul5bv6b
@user-ut7ul5bv6b 5 месяцев назад
Usichokijua ni kwamba mziki wowote ambao hauna sound ama vocal ni special kaajili ya kutuliza akili yako,Ufahamu wako na usiwaze mambo mengine..
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 5 месяцев назад
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
@HalimaAmadi
@HalimaAmadi 2 месяца назад
Mungu akupe maisha marefu kaka ❤
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 5 месяцев назад
Bora ukose macho lakini uwe na maono.
@user-nj5tz7bw9v
@user-nj5tz7bw9v 5 месяцев назад
Naamini Sanaa katika masomo haya nauhakika baada ya mda flani sitakua hapa nilipo Mana matokeo nayaona Mungu Akubariki🙏
@vanessasalema6087
@vanessasalema6087 5 месяцев назад
Noted.
@mwanaidihassan5868
@mwanaidihassan5868 4 месяца назад
Somo Zuri sana bro, Bado napambana nipate clear vision
@tabithampinga4606
@tabithampinga4606 5 месяцев назад
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
See You At The Top
@eugeniayaheze932
@eugeniayaheze932 5 месяцев назад
Barikiwa Sana Mr.J.N
@user-vg9is2oi4l
@user-vg9is2oi4l Месяц назад
Asant bro
@user-mc7if8vy3j
@user-mc7if8vy3j 5 месяцев назад
Ahsante kaka ubarikiwe xana xana mungu azidi kukuinua.
@user-cd8rc5jp2i
@user-cd8rc5jp2i 5 месяцев назад
Unajua mpaka unaboa Mungu akubariki❤❤❤🎉🎉
@PrinceMugasha
@PrinceMugasha 18 дней назад
Kaka nakupata naona unaniongelea mim hapa najiamin sina kitu kwa sasa najiamin na ninaamin,nitaakikisha napambana aijalishi changamoto ganizitanikuta ila lazima nitamize maono yangu maana mungu ndie mtoaji bas kaka naona uduma yako ipo kiroho kabisa mungu amekuinua kwa ajili ya watu
@rollahngimbwa6978
@rollahngimbwa6978 5 месяцев назад
Asante kaka joel, hkika nimejifunza kitu🙏🏽. Mwenyezi mng akutunze daima ufike mbali zaidi , akukirimie afya ilo imala sikhu zote. Balikiwa mnoo kaka Joel 🙏🏽🙏🏽
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen Ameen 🙏
@alexandermajula7268
@alexandermajula7268 5 месяцев назад
Akika unanijenga sana brother 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@sebastianmbazi2811
@sebastianmbazi2811 5 месяцев назад
Amen amen 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ahsante sana sana🙏
@AmisiHassaniTygo
@AmisiHassaniTygo 5 месяцев назад
See you at the rop, you changed people's lives bro, God bless you
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen Ameen
@raymondsulemansuleman485
@raymondsulemansuleman485 5 месяцев назад
KAZIYAKO NI NJEMAMNO,, NASHAURI VITABU UVITOE VIIIIINGI VISAMBAZE KATIKA NCHIYETU MAARIFAHAYA YATAINUA WATANZANIA WEENGI
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen nitajitahidi kufanya hivyo🙏🙏
@japhethcharles5791
@japhethcharles5791 5 месяцев назад
Mungu akubaliki sana Mr Joel ,
@JanvierVenas-ro9us
@JanvierVenas-ro9us 5 месяцев назад
uzudi barikiwa Kaka
@kainibachungege3430
@kainibachungege3430 5 месяцев назад
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Nashukuru sana, na ahsante kwa dua njema🙏🙏
@pilichuli4449
@pilichuli4449 5 месяцев назад
Barikiwa sana kaka joel
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen, ahsante sana🙏
@Sanagu05
@Sanagu05 5 месяцев назад
Ahsant sana kaka Joel kwa upeo wako tunazidi kupata maarifa kupitia wewe, Mungu azidi kukubariki kwa yote
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen Ameen
@jasminerashidi2782
@jasminerashidi2782 5 месяцев назад
Asante Sana mtumishi barikiwa mno
@mohdsaid5988
@mohdsaid5988 5 месяцев назад
Haya madini ya siku yatolewa siku hizi karibuni so valuable
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ahsante sana, nisaidie kushare🙏
@dullahtechtz3422
@dullahtechtz3422 5 месяцев назад
Amin kaka
@kuruthumukondo7149
@kuruthumukondo7149 5 месяцев назад
Thank u my brother ❤❤
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 5 месяцев назад
Gud message Bro 👍
@williamcosmas1986
@williamcosmas1986 5 месяцев назад
Nanauka wewe ni mwalimu wangu
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Nashukuru tuendelee kujifunza🙏
@user-gb1hn5ml8y
@user-gb1hn5ml8y 5 месяцев назад
From south Africa Durban sijachelewa sana mwalimu Asante limenifikia
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Hongera sana sanaa🙏
@Estermvungi-cl2zc
@Estermvungi-cl2zc 3 месяца назад
Mimi naomba mungu anijalie ning'ae kwenye biashara yangu
@mosesjengela7425
@mosesjengela7425 5 месяцев назад
its my honour to meet you for more guidence❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Mungu atatusaidia tutaonana🙏
@ViviKitchen23
@ViviKitchen23 5 месяцев назад
See me at the top Ahsante kaka joel Mungu akulinde❤❤❤❤❤
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameeen🙏🙏🙏
@user-yi6mp3mu7r
@user-yi6mp3mu7r 5 месяцев назад
Ahsante kaka joel tunazidi kujinza🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen Ameen
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 5 месяцев назад
Amen
@user-sk8hw5bx1v
@user-sk8hw5bx1v 4 месяца назад
Joel Nanauka ,, nakupenda sana kaka for real me binafsi umenikuwa life coach wangu katika maisha yangu
@irakazaeriekim4753
@irakazaeriekim4753 5 месяцев назад
Asante sana ❤
@tukaesanatu2754
@tukaesanatu2754 5 месяцев назад
Amen baba,mungu akubariki
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen ahsante sana sana
@williamcosmas1986
@williamcosmas1986 5 месяцев назад
Umenifanya nimfaham Helen Keller
@user-jx7nr7ll3x
@user-jx7nr7ll3x 5 месяцев назад
❤❤❤
@niriacatering172
@niriacatering172 5 месяцев назад
Shukrani sana
@user-lt3fx1tl4z
@user-lt3fx1tl4z 5 месяцев назад
Thanks bro
@Delphinusdeodatus-xu6nf
@Delphinusdeodatus-xu6nf 19 дней назад
🎉🎉
@RICHARDWAUSA-ep4xe
@RICHARDWAUSA-ep4xe 5 месяцев назад
@anoldjose7793
@anoldjose7793 5 месяцев назад
Bro Nanauka unajua adi unakela Any way mungu aendelee kukuweka ili uendelee kutuelimisha
@joelnanauka
@joelnanauka 5 месяцев назад
Ameen Ahsante sana sana🙏🙏
@officialColB-yx4kr
@officialColB-yx4kr 4 месяца назад
Amen amen❤ Joel nanauka
@user-sk8hw5bx1v
@user-sk8hw5bx1v 4 месяца назад
Umenijenga sana kaka
@user-xc4tm5ho4h
@user-xc4tm5ho4h 5 месяцев назад
Asante
@victor_silvanus10
@victor_silvanus10 5 месяцев назад
💪🏿
@Calvin-xc2fs
@Calvin-xc2fs 5 месяцев назад
🎉
@amanilwila1185
@amanilwila1185 5 месяцев назад
Vizuri brother nanauka.. But ningependa uwe unakuja na bonus ya online books ktk kila video ambazo tunaweza kuwa tunalipia.. GOD bless you
@mombasatv1994
@mombasatv1994 5 месяцев назад
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach
@EDMUNDSOSPETER
@EDMUNDSOSPETER 5 месяцев назад
#See me at the top
@godianathuman705
@godianathuman705 5 месяцев назад
Bro mimi changamoto yangu naomba uniphundixhe jisi yakutengeza bajeti
@DoriceSanga
@DoriceSanga 4 месяца назад
Kuna video ipo RU-vid namna yakupanga bajet na kitabu chat money formula tafuta vyote hvo vitakusaidia...
@joycemushi4916
@joycemushi4916 4 месяца назад
Broo nawitaji wa ebook of money formula nitapataje?❤
@abdulrahmaniselemani8569
@abdulrahmaniselemani8569 4 месяца назад
Hivi mtu ambae hana maino je afanye nini awe na maono?
Далее
LIFE WISDOM : VITA YA MAPENZI  - JOEL NANAUKA
14:48
Просмотров 17 тыс.
UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA
1:11:22
Maximizing your season - Joel Nanauka
1:23:37
EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA
9:19
Просмотров 101 тыс.
VITU MUHIMU VYA KUZINGATIA KABLA YA KUANZA BIASHARA
16:16
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Просмотров 82 тыс.