Kaka Joel Nanauka mungu Akupe maisha marefu sana kaka mimi nipo japan lakini Unanifundisha mambo mengisana mwezi wa8 Nitakuja na nitajitaidi nikutafute 🙏🏿
Mumenitoa mbali sana kaka Nanauka sichoki kukufatilia zikipita siku tatu sijakusikiliza huwa nahisi kuumwa nilitaka kukata tamaa ukanipa moyo naiona kesho yangu nzuri kupitia speech zako Mungu akutunze and see you at the top
Mimi nitakua nimeserve millions of money na ntafungua biashara ya pili mwez wA 12 trh 31 ntakuja hapa hapa serve my comment ....n this is possible due to the ebook of money formula najilipa sio tu 5% but 10% each day. Bless u bro.
Ahsante sana kwa elimu mwalimu, ila naomba hiyo sautu ya music inayosikika uibadilishe kama itakupendeza wazo hili, tafuta muziki mwingine mzuri maana sauti ikikutana na music nzuri somo au simuluzi inakuwa na ladha zaidi. Ahsante sana
@@user-ut7ul5bv6b unaposoma au kumsikiliza mtu jaribu kwanza kuelewa ulicho kisoma au ulicho kisikia kabla hujajibu, soma ili uwelewe nasio usome ili ujibu
Watu wenye malengo na wenye ndoto ngumu Yan ukiwaza kwa akili ya kawaida unaona kabisa it's impossible Ila tunaforce mpaka ijulikane, gonga like hapa and let's see each other at the top
Kaka nakupata naona unaniongelea mim hapa najiamin sina kitu kwa sasa najiamin na ninaamin,nitaakikisha napambana aijalishi changamoto ganizitanikuta ila lazima nitamize maono yangu maana mungu ndie mtoaji bas kaka naona uduma yako ipo kiroho kabisa mungu amekuinua kwa ajili ya watu
Mungu Akubariki Sana ufikie viwango vikubwa kama vya akina Dr. Myles Munroe. Unaiwakilisha vema Sana nchi yetu ya Tanzania Hakika Tunajivunia Ume kuwa Masada Mkubwa Sana kwa nchi yetu na Dunia nzima kwa Ujumla. See you at the Top I❤ that.
Saa nyingine nenda direct kwa mada wengine bundle ni za shida kk mm nakubali sanaa lkn siku hizi kambe watufunza kingereza sio km pale mwanzo ulikuwa good coach lkn umekuwa postor na translation umesawai km ww life coach