rich mavocko unajua sana walioimba jibebe kuna nn chakuelewek mule haters kwa mavocko mtakaa sana huyu anajua ndio maan wcb mmeambiwa mtulize kende hapo hapo kwa wale tunaomkubl mavocko gonga like tumpeleke mambele jembe letu
toka kenya....supoti yangu richie nakupa.nairobii east afilika tumekubaliii,bonge la hit.wcf wapi.tel dem..talanta haibanwi asilani,ndo kazi mwanzo endelea kabisa zaidi ya simba
mavoko Unajua Ila nakushari acha mabifu yasio na msingi. Mambo ya wasafi achana nayo piga Kazi. Km Umemwelewa Mavoko gonga like za kutosha twende mbele
Kujiamin na kupamban kw kila hali ni kitu kizur sana na mavocco mungu amekupamba na ujasir na kujiamin mashallah honger saan tuko naw ppte Pali inshallah 😘😘
Man I have been following your musical career hata before Kaka Empire bro hauna nyota ya kusigniwa, azisha label, you are an eagle that's why you can only fly alone. #badboymwenyekipaji
Ulivyo kuwa kule nilikuwa silali,mda wote nasema roho yangu,nawaza kuhusu pacha wangu,nikasema marafiki ongea nae,lakin acha ibaki story,rudi,kumbe wanakutaman kwan we saivi ni ndegele ,,unatisha mzee baba
TUWE NA HESHIMA PIA KUPENDA KAZI YA MTU NA TUSITOE MATUSI WAKATI HUJUI MTU HATA SHIBE YAKE .....KWA NINI TUCHUKIANE KWANI ....MM NASIFU BURUDANI MZURI ULIO TULIA
Waziiii jeshi la mtu mmoja noma sana wataisoma namba walidhani kuhama kwao itakua mwisho wako saii umewaacha wanavaa vikuku ukiendelea ivi naona utawatembeza uchi shenzriiiiiiiiiii typeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mavoko nakupenda bro unajiamin tu sana wale wasokupenda itawacost mbona bado uko juu unawaka kama taa ya stima akuna cha wcb wala nn jikubali kaka tunakupenda sana team +254 wap wale wa kenya +974 😘😘😘fireeeeee
Nakwelewa xana rich chana nao ao sokwamba ukitoka wcb umeshindw maixha awakulishi. awakuvixhi kikubwa komaa kibish maishasikuzote hua ni hivyo mungu akusimamie ktk mishe zk
Huyu jamaa analaana sana duuh kaka unaweza jeshi la mtu mmoja mavokoooooo hatar sana mzeee km wao wasafi ss ni wachafu dah nimependa sana hapa hahaaaaaaa piga keleeeeeeeee....