Тёмный

Ridhiwani: Nape, Bashe hawawezi kufukuzwa CCM, hata Kikwete alipinga hoja ya Nyerere 

Dar24 Media
Подписаться 735 тыс.
Просмотров 134 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 80   
@bahishaalexander3641
@bahishaalexander3641 5 лет назад
safii,endelea hivyo hivyo kaka.nadhani uko vizuri katika kujenga hoja endelea hivyo hivyo.maelezo yako yamejaa uzalendo.wewe siyo mchochezi hata kidogo.
@evamacha4599
@evamacha4599 5 лет назад
Mh Ridhiwan huko sahihi Mungu akubariki kwa busara zako
@josephndaki8003
@josephndaki8003 5 лет назад
Huko# uko sahihi.
@salamashabani7922
@salamashabani7922 5 лет назад
SAFI SANA RIDHIWAN UNA HEKIMA KAMA BABA YAKO NA MUNGU ATAZIDI KUKUBARIKI NA KUKUINUA INSHAALLAH UTAFIKIA NGAZI YA MZEE WAKO KIKUBWA USIWE MNAFKI TU SIMAM A IMARA KATIKA HAKI UTAONA MAFANIKIO YAKO
@tanzaniayangu25
@tanzaniayangu25 5 лет назад
Safi sana kikwete Jr.
@mathiasrazalo8363
@mathiasrazalo8363 6 лет назад
ridhiwani uko vizuri geita nakupata vizuri
@petercosmas4376
@petercosmas4376 6 лет назад
safi sanaa
@nanziambaga7092
@nanziambaga7092 5 лет назад
Uko vizuri sana
@noahburton4946
@noahburton4946 5 лет назад
Liz upo vizuri mkuu
@abdulinassirmwadini8755
@abdulinassirmwadini8755 5 лет назад
nyayo za mzee kikwete haswaa . busara zilezile
@alexyjonny970
@alexyjonny970 5 лет назад
well said...tunapaswa kuangalia ni vipi tunajikwamua kutoka kwenye huu umasikini sio kugombana wenyewe kwa wenyewe.
@omarimwigula3248
@omarimwigula3248 5 лет назад
Jiwe hajui hayo
@magotikamese7951
@magotikamese7951 5 лет назад
Hongera sana Mhe.Ridhiwani Kikwete,unajibu maswali kikomavu sana. CCM imekujenga vizuri.
@furahamwajeka3708
@furahamwajeka3708 5 лет назад
uko vzr ridhiwani umeongea vzr sana umekomaa kaka
@jonfredyaverino3863
@jonfredyaverino3863 5 лет назад
umekomaa kisiasa safi sana
@charlesbarongo6922
@charlesbarongo6922 5 лет назад
Viva Ridhiwan
@danielmgonja9906
@danielmgonja9906 5 лет назад
mtt wa nyoka n nyoka, tunataka vijana mithili ya Magufuli tufike mbali
@OmariNkalami-nh6fl
@OmariNkalami-nh6fl 6 месяцев назад
Wezi2
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 6 месяцев назад
Kivip
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 лет назад
Safi xan
@mbwanarajab7238
@mbwanarajab7238 5 лет назад
Una roho safi kama baba yako...mungu awabark...sasa tunamkumbuka jmn
@omarmuhammed9655
@omarmuhammed9655 5 лет назад
Umeangea vzr ila sisi tunataka mandeleo sio porojo half mandeleo sio maji wala umeme barabara tunahitaji tupate afya bora na maisha bora kwasasa tumekosa mtu hata mlo moja hatimizi vizur miaka hasin bado tu huduma za kijamii hazipatikan kiukamilifu dah nyinyi watu wabata sana wataifa hili
@rehemadani3600
@rehemadani3600 5 лет назад
Uko good,sasa ccm ndala ndefu mmesikia maneno hayo mnaotaman mali kuliko utu, ili msitolewe kwenye nafasi zenu ujumbe umewafikia
@dachjunior4766
@dachjunior4766 5 лет назад
HIVI HIZO HUDUMA ZA AFYA PASIPOKUWEPO UMEME, MAJI UTAZIFANIKISHAJE WAKATI NI VITU VYA MUHIMU SANA? UKISHANIPA JIBU LA SWALI HILO JIBU NA HILI PIA ... KAMA HAKUNA BARABARA KABISA AMA HAKUNA BARABARA ZIPITIKAZO MWAKA MZIMA HAO WAGONJWA WATAFIKAJE HUKO MAHOSPITALINI, ZAHANATI AMA VITUO VYA AFYA? NA JE DAWA, VITENDANISHI NA VYAKULA KUTOKA MASHAMBANI AMA VIWANDANI AMBAVYO NI MUHIMU KUJENGA NA KUIMARISHA AFYA ZA HAO HAO WAGONJWA VITAWAFIKIAJE?
@ricksonmrema1693
@ricksonmrema1693 5 лет назад
Ridhiwani ww ni kijanaa mdogo ila unayo busara na hekima
@japhetlukumay2778
@japhetlukumay2778 5 лет назад
Nitasema ukweli Daima fitina kwangu ni mwiko!
@ramadhanihassani256
@ramadhanihassani256 5 лет назад
iki kichwa nahuyu kafunzwa na mzee wake ustaarabu nimzury anajua kutumia ulimi wake mbelezawatu mungu akuongoze kijana pambanaa
@charlesmurimi592
@charlesmurimi592 5 лет назад
Kweli MZEE, mti mwema hutoa matunda mema, na wewe ni mwema kama kikwete, enzi utu kaka.
@gidmpanz9254
@gidmpanz9254 5 лет назад
Pamoja wanataka kukuua kisiasa uskate tamaa
@iddydaruwesh8650
@iddydaruwesh8650 5 лет назад
Saaaaafi sana bro umekuwa kichama
@amashakigelulye7632
@amashakigelulye7632 5 лет назад
vizuri
@rajabupwagu7482
@rajabupwagu7482 5 лет назад
Uko vizuri
@siasatanzania1193
@siasatanzania1193 5 лет назад
Siasa Tanzania
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
Tz inalia😭, wabunge waCCM wmekuwa bubu😷, wako bungeni kutetea matumbo yao, wametishwa na mkuu wao lazima wapitishe kila kitu. CCM na bunge ni dhaifu.Tz inalia😭
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 5 лет назад
Nenda Somalia
@saimonmanyerezi7169
@saimonmanyerezi7169 5 лет назад
Tena huwezi sema ccm na bunge. Bunge linawabunge toka vyama vyote ni muhimu utambue hilo.
@paull8659
@paull8659 5 лет назад
@@saimonmanyerezi7169 , Bunge na spika ni wa CCM. wabunge wa CCM wana majority kwenye votes. Kila kinachoamuliwa na serikali ya CCM wanapitisha kama mabwege . Hawhoji hawaulizi, wameonywa na mwenyekiti wao( rais) wasihoji....elewa hilo wacha ujinga.
@davidkaguru9511
@davidkaguru9511 5 лет назад
Jiwe halijui hilo
@minskbelarus7255
@minskbelarus7255 5 лет назад
Mh RIDHWAN nakuona Kama HAZINA na kiongozi SHUPAVU wa Taifa letu. ALLAH akuzidishie na akulinde uwe mwenye Afya njema. Wewe ni mwana CCM,lakini ni MZALENDO KWANZA
@mbarakaomary3199
@mbarakaomary3199 5 лет назад
Du!!! safi sana kaka kwamfumo huo utaongoza mwanzo mwisho katika jimbo lako kwani nivyema kutambua kua hakuna mkamilifu Siku zote
@hassanmaganga1544
@hassanmaganga1544 5 лет назад
Naungana na wewe Ridhiwan shida kuna watu wako ccm hawataki kuambiwa ukweli
@ismailahmed5133
@ismailahmed5133 5 лет назад
we subiri babaako akuadisie ndo utuleteee online huku,,,,
@alexmichael8735
@alexmichael8735 5 лет назад
hapa nimekuelewa sana
@kassimomar7589
@kassimomar7589 5 лет назад
Ridhiwan kikwete
@ggmaths9636
@ggmaths9636 5 лет назад
Kiongozi uko vizuri
@sponsor7882
@sponsor7882 5 лет назад
HE,S SMART
@kfastak
@kfastak 5 лет назад
Hiyo unaongea wwe Mr.Jiwe hajui hyo..hyo miswada itawasulubisha wenyewe
@Ax-xpress
@Ax-xpress 5 лет назад
Tanzania bila CCM inawezekana.....bn 2020
@dachjunior4766
@dachjunior4766 5 лет назад
LABDA 2050
@emmanuelmtemi5574
@emmanuelmtemi5574 5 лет назад
Ah, mtu anakosa hata mlo moja kwa siku, imekaaje hiyo. Kijana wa miaka 25/30 analalamika maisha magumu. Vijana wengi kaxi wanayoimudu ni kupiga debe stendi. Sawa, hivi sasa ujenzi wa mji mkuu wa Dodoma unaendelea, ujenzi wa reli std geji unaendelea, ujenzi wa bwawa kubwa huko Rufiji unaendelea, ujenzi wa bomba la mafuta unaendelea, ujenzi wa barabara mbalimbali karibu nchi nzima unaendelea. Ujenzi wa majengo ya wizara mbali mbali huko Mtumba unaendelea. Mtu atalalamika hakuna ajira, ni mawili au vijana wengi wamedekezwa na wazazii wao au hawataki kujiongeza. Kalaga baho.
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 5 лет назад
Juzi tu Tanzania imepata oda ya kuuza mahindi tani LAKI SABA.hivi hawa wasiokula wanaishi dunia gani? Tunapenda kulaumu tuuuu. Serikali inahimiza uhuru na kazi. Katika dunia ya leo mashine ni nyingi ambazo zinaondoa ajira za mikono ivi hatuoni. Sasa mitaro inachimbwa na mashine. Magogo yanarandwa kwa mashine na kadhalika hatujaamka tu
@yusufukazamba2391
@yusufukazamba2391 5 лет назад
Wenye Neema ya hekima ya kimbingu tunakuelewa vema mh; Ridhiwani
@salmahassan5153
@salmahassan5153 6 лет назад
Ukovizuri kaka
@wazuriwapo6312
@wazuriwapo6312 5 лет назад
Mlio ahidi ccm kgm mbona hamuitendei haki? Kgm ilikosea nn ccm
@emmanuelndiuni1525
@emmanuelndiuni1525 5 лет назад
Excellent buddy
@saidechokozasaidechokoza3371
@saidechokozasaidechokoza3371 5 лет назад
Mbona rais hakubali kukoselewa?
@medkisalazo3890
@medkisalazo3890 5 лет назад
Magu apendi kukosolewa anataka kupigiwa tu makofi
@manenolugendo6396
@manenolugendo6396 5 лет назад
Dogo kaiva sana anaongea yupo Smart sana hongera
@ماجكموزجوني
@ماجكموزجوني 5 лет назад
Wapiga KULA kudadeki... 🌈
@alijafar8887
@alijafar8887 5 лет назад
Chama cha mapinduzi kilikua hakipo wakati wa uhuru
@labanussiame3360
@labanussiame3360 5 лет назад
unaongea busara tupu
@raphaelsamwel2640
@raphaelsamwel2640 5 лет назад
Nyerere si kama haya majoga mapoyoyooo!!!
@revocatusmanyama8621
@revocatusmanyama8621 5 лет назад
Uongoz ni hekima yes sio kukurupuka
@juniorbayyo6540
@juniorbayyo6540 5 лет назад
Busara kamaa baba ake big up mh
@hassanmatete7121
@hassanmatete7121 5 лет назад
No comment.
@alexanderndayishimiye924
@alexanderndayishimiye924 5 лет назад
Fukuzeni hao mafisadi!!! JPM chapa kazi dunia nzima iko nyuma yako!!!
@KassimSalumu-fk6yk
@KassimSalumu-fk6yk 6 месяцев назад
Kivip
@muhidinihassani520
@muhidinihassani520 5 лет назад
Ninyi ccm hamuambiliki mnataka kutuletea vita na kuua watu kwanini mwakiuka KATIBA? Anaekiuka KATIBA Alaaniwe wote ni walewale hakuna Hirizi Wala makufuli
@sadickwaziri3182
@sadickwaziri3182 5 лет назад
Maendeleo ya mtandaoni yapo mbunge wetu wa chalinze
@sethstiven3393
@sethstiven3393 5 лет назад
Mi nikikumbuka China nakata tamaa gas mtwara, wema ni akiba chalinze jitasimini
@franklyne2977
@franklyne2977 5 лет назад
Kwel huyu jamaa alikuwa noma sana siyo mtu Nzr kabisaa kipindi cha awamu ya nne cha baba yake huyu dogo hasa gesi na ngada ni dhambi nyingi alifanya jmn
@ashymsigwa8380
@ashymsigwa8380 5 лет назад
Wewe utatutoa kwenye umasikini kama baba yako natamani uwe raisi hata leo
@davidjosephmsuya1929
@davidjosephmsuya1929 5 лет назад
Ashy Msigwa alaf ww ridhiwani mbona unaeleweka bila rushwa jamani big up sana kk
@tereseamasawe8111
@tereseamasawe8111 5 лет назад
KKNGU RIDHIWANI KAMA HAO KINA BASHE NA NAPE WANALETA SHIDA KTK CHAMA KWA NINI WASITOLEWE CCM?
@abdyickarimabdyickarimnurr5020
Wewe teresea masawa akina bashe watolewe ndani ya chama mbona wewe unaiba mme wa mtu mwenye mme anakuvumilia au tukuseme
@yasinshaban4933
@yasinshaban4933 5 лет назад
Umeambia hawaja fanya kosa isipokuwa wapo ktk moja ya majukumu yao..!!!
@babarenee4797
@babarenee4797 5 лет назад
@@abdyickarimabdyickarimnurr5020 sio vzr kuumbuana bana!!
@lissack8903
@lissack8903 5 лет назад
Sijui kama umemuelewa
@richardnzenga4795
@richardnzenga4795 5 лет назад
Sijajua Kama mwanachama akikikosoa chama chake pale kwenye kasoro ni utukutu. Kwa wenye mtazamo huo wako kinyume na katiba ya chama hicho.
Далее