Тёмный
No video :(

Duh! MAGUFULI Apagawa na VIUNO Vya ASKARI - "Mnakata VIZURI Sana" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 775 тыс.
50% 1

Duh! MAGUFULI Apagawa na VIUNO Vya ASKARI - "Mnakata VIZURI Sana"
Rais Dkt John Magufuli, leo Julai 15, amezindua makazi ya askari polisi wilayani Geita, mkoani Geita..
Hafla ya uzinduzi huo imehudhuriwa na Waziri mwenye dhamana ya Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, Mkuu wa jeshi la polisi, Simon Sirro, pamoja na mbunge wa Geita mjini, Constatine Kanyasu na Mbunge wa Geita vijijini, Joseph Musukuma..
#JPM
Https://www.youtube.co.... www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Category

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 204   
@ramamtetu2327
@ramamtetu2327 5 лет назад
Na Mzaha kidogo watu wanafurahi Lakini Ujumbe Umefika na Mambo yanaenda. Safi sana JPM
@ghulamjanmwipopo4925
@ghulamjanmwipopo4925 5 лет назад
Rama Mtetu
@quenterthomas1746
@quenterthomas1746 5 лет назад
Waaris
@filbertnashon7160
@filbertnashon7160 5 лет назад
Ni BUNDUKI TU ndo inawazuia kukata ,nje ya hapo,Wanakata saanaa Hadi ule wa INAMA😁😁😁😁😁😁😁
@michaelimbiru6739
@michaelimbiru6739 5 лет назад
Kuiva ile mbaya, hapo sawa Mzee Magufuli, luvs from Kenya
@fatmafa1896
@fatmafa1896 5 лет назад
Hongera Sana Raisi kazi nzuri kweli
@rajabukamo2229
@rajabukamo2229 5 лет назад
Cngulation prez daa katika watu muhim nchin ni walinda usalama na raia wake Asante polis wote
@shmaiderkiborey5144
@shmaiderkiborey5144 3 года назад
Namkubali Sana huyu mwamba JPM
@allyking324
@allyking324 5 лет назад
Huyu bodgad wa uncle hivi ana Cheka kweli
@husnauthman7609
@husnauthman7609 5 лет назад
Hahaha
@sembojwamaterial8409
@sembojwamaterial8409 5 лет назад
utasema kala mavi"😎
@fettylusogo7244
@fettylusogo7244 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@dechaggagirl6173
@dechaggagirl6173 5 лет назад
😂😂😂😂😁😁nakwambia mpk anaogopesha mwee
@chuwafrank1632
@chuwafrank1632 5 лет назад
Ally King haaahaaa😂😂😂anacheka Ila anang"taga ulimi kisir siri
@omariabuu633
@omariabuu633 5 лет назад
Duhhh noma sana
@ikramalmas7039
@ikramalmas7039 5 лет назад
Wale wanao haribu vikao vya wapinzani je
@gwizamorgan328
@gwizamorgan328 5 лет назад
Nampenda sana mzee wa hikma bwana Dr PM hata kama mimi sio mtz Mchagueni Huu Dr sio siri anaweza hana roho mbaya mbaya hata kidogo wa Tz mna bahati kwa kuwa na DR JPM
@adamumjomba82
@adamumjomba82 4 года назад
wewe unaongea nini sasa jpm ana mapungufu kama mtu yoyote yule , sio malaika ,anakosea Sana Na Ndio maana pakawekwa upinzani ,
@loishiyemollel8071
@loishiyemollel8071 5 лет назад
Hongera msukuma ,siku sio nyingi utapata kile ulichoomwomba IGP
@protamwenyegzaketv7408
@protamwenyegzaketv7408 5 лет назад
Acha ukabila Mbwa wewe
@deomkanula7983
@deomkanula7983 3 года назад
Unatukana mkuu wewe.?
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Ahsante mh Rais kwa kuwaambia ukweli maaskari wetu.!
@ekiintertrade4862
@ekiintertrade4862 5 лет назад
Safi sana Mr President unasomeka sanaaaaaa!!
@tabuselemani6869
@tabuselemani6869 5 лет назад
hahahahahaha Rais wetu bana 💪💪💪💪💪💪💪
@amaninaupendo.3539
@amaninaupendo.3539 5 лет назад
Amen amen. Mzee wetu unanipa raha sana . Mungu akubariki sana. Mungu ibariki Afrika yetu.Amen
@charlesamon8873
@charlesamon8873 5 лет назад
Maa asikal wanao onea raia niwengi Sana tembelea na huku utaona2
@azizimuhibu7771
@azizimuhibu7771 5 лет назад
Daaaaah, rais bhana
@abdallajuma6262
@abdallajuma6262 5 лет назад
Uwakumbuke kwa neema mzee hali mbaya wapi ongezeko mzee baba mwaka wa nne huo
@rehemamwanamajani3784
@rehemamwanamajani3784 4 года назад
Nice
@dieudonnensengiyumva2511
@dieudonnensengiyumva2511 5 лет назад
MH Mungu akulinde ndani ya uongozi wako! Tulibambikizwa kisi myaka ya awamu ya tatu na ya nne! Kwa awamu yako kuna mabadiliko!! Pongezi sana Mheshimiwa
@jeftagumbala7697
@jeftagumbala7697 5 лет назад
Huyo Jpm ni Rafiki wa Watanzania
@akimmbwego797
@akimmbwego797 5 лет назад
Penda sana JPM
@lilianngowo8316
@lilianngowo8316 4 года назад
heee
@jairuschichete2938
@jairuschichete2938 3 года назад
HUYU ndiye magufuli 🔓🔓🔓 na mafunguo🔑🔑🔑
@alinaalina5044
@alinaalina5044 Год назад
😂😂😂😂😂
@sophianyarotso5098
@sophianyarotso5098 5 лет назад
Kunoma sana 😃😃😃😃😃😃
@benjaminalfred5161
@benjaminalfred5161 5 лет назад
Hahahahahahaha eti mmeiva mambo yote
@alibell5246
@alibell5246 3 года назад
Dah jp leo umenichekesha dah
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Muheshimiwa Rais Askari wengi wanatumia nguvu na kuonea watu ila wachache ndio wana utu
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 3 года назад
Mangufuri wanachekesha wazungushe vizuri
@ibrahimwilliam6410
@ibrahimwilliam6410 5 лет назад
Hadi raha
@francesmgungile
@francesmgungile 3 года назад
Uncle magu
@princewill1444
@princewill1444 4 года назад
Noma sana
@nenolakristomaisha.5611
@nenolakristomaisha.5611 5 лет назад
YAANI HILI LIJAMAA NA KULIBARI RAISI WETU SONGA MBELE TUMEPEWA NA BWANA RAIS nami naomba uendelea VIZURI HUKU UKIKAZA NAWE PIA KUMCHA MUNGU UKISIMAMIA MISINGI YA HAKI NA UKWELI WA KI-MUNGU
@mafhalimahlalbeyt5446
@mafhalimahlalbeyt5446 3 года назад
Mi namutaka askar wakike muzalikiwa wabukoba. Ajitambulishe apa. Awe ni single
@hawaynatimam982
@hawaynatimam982 3 года назад
😂😂😂😂Jamaa muhuni huyu
@ericf.simkwayi2564
@ericf.simkwayi2564 5 лет назад
Mheshimiwa kituo cha nungwi zanzibar asilimia kubwa wanafanya kazi tofauti na weledi, sisi ambao tunatokea Tanzania bara, hakuna pa kusemea pengine jicho lako litamulikwa na kumuweka mkuu wa kituo tokea Tanzania bara kama ikikuoendeza
@hassanmpwepwe3826
@hassanmpwepwe3826 5 лет назад
kazi invur Sana jpm hapa kazi 2
@adiliwasanga4521
@adiliwasanga4521 5 лет назад
Askali wengiwao niwaonevu wachache sana ambao wanafanya kaz kiweredi
@mudimsangi6478
@mudimsangi6478 4 года назад
Mzee baba nakukubali sana kwa hotuba zako wala sisikitikii mb zangu
@jeftagumbala7697
@jeftagumbala7697 5 лет назад
MUNGU Amlinde daima Amina
@dominicponsian4360
@dominicponsian4360 5 лет назад
Up my President 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾💪🏾💪🏾💪🏾
@danitarimo5013
@danitarimo5013 5 лет назад
Safiiiii uncle
@eliaslukumay1661
@eliaslukumay1661 4 года назад
Nakupenda Burr mtaniwangu
@ramosfally2318
@ramosfally2318 5 лет назад
@abasamwame6583
@abasamwame6583 5 лет назад
Kiuno bila mfupa SAA hatar sana hata mm nimefurahika Mzee
@sophiajackson5001
@sophiajackson5001 5 лет назад
ahahahha mzee baba kaona viuno ahahahaha
@franknyant51
@franknyant51 3 года назад
Uandishi wako unamdhalilisha mheshimiwa rais; jitafakari
@mathiaszakaria7052
@mathiaszakaria7052 5 лет назад
Nimepita
@yasenijuma5699
@yasenijuma5699 3 года назад
Makufuli kapinda asifia miuno 😅😅😅😅😅
@kelvinmichae728
@kelvinmichae728 5 лет назад
wala usipoteze muda wakuwataka askari wajpange kwaajli ya uchaguzi Hata sipotezi muda wangu kupiga kura
@isackmwaluko113
@isackmwaluko113 5 лет назад
Cc ambao hatukutumbukiwa na wenye ajila mpya pamoja na tunayaona ya awamu ya tano yalivyonyooka..😂😂😂 kura zote kwa hapa kazi tu.😁😁😁😁😁😁kama ulitumbuliwa ndugu jirudi tu.
@silivanusfortunatusbambanz5216
Jpm safi
@esterfranktv7146
@esterfranktv7146 5 лет назад
Nakupenda Rais wangu nakuombea
@kiariedavid8370
@kiariedavid8370 5 лет назад
Kangi hoyeeeee!! viunooo hoyeee!! 🤣🤣🤣🤣🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mikingamojuma4895
@mikingamojuma4895 5 лет назад
kweli wameiva ktk mambo yote hahahahaaaaaaaaaaaaaa magufuri bana.
@kennedysinyangwe9549
@kennedysinyangwe9549 4 года назад
Nishida
@emmanuelmimbi2624
@emmanuelmimbi2624 3 года назад
Nao ni binadamu sio maraika
@zullaicamatola3431
@zullaicamatola3431 5 лет назад
Maunoooo 😍😍😍😍😍😍
@mustaphermussa3327
@mustaphermussa3327 5 лет назад
Jpm kz kz aina kulemba
@tabumussa6705
@tabumussa6705 4 года назад
Kiuno kinakatika vizuri jeshi mpo juu
@seventhwilson153
@seventhwilson153 4 года назад
Noumaaa uncle. Unno
@princebuganzilut2047
@princebuganzilut2047 5 лет назад
😃🙋🙋
@babaaskofu9814
@babaaskofu9814 5 лет назад
Hatare huyu
@dicksonsheja251
@dicksonsheja251 5 лет назад
Hahahaaaa shikamoo mkuu
@asifiwedeus4122
@asifiwedeus4122 5 лет назад
Dickson Sheja Trafic hasa wanaonea mno km hawajuwi hari YA vyombo vya ki tz kukuandikia kubambikiza makosa
@abdullyabdallah868
@abdullyabdallah868 5 лет назад
Hahahahahha wameiva mpaka kukata kiuno JPM bana
@CheMataka_official
@CheMataka_official 5 лет назад
Uyo ndio jpm mtake msitake
@violetmethod9433
@violetmethod9433 3 года назад
Picha ya Meri ya kutekwa
@kamistanzania7817
@kamistanzania7817 4 года назад
Sefu dhsrifu smsdi Zanzibar
@manenosamuel343
@manenosamuel343 5 лет назад
Hahaaaa a noma kwel
@jeanmubemba1204
@jeanmubemba1204 5 лет назад
VIUNO HAHAHAHAHHA MAGU KWA UTANI BANA DAAAA HII KALI
@kanchizofourshizo5195
@kanchizofourshizo5195 5 лет назад
tena. viuno. kama vote. tena axmjime.
@shefaashefaa1930
@shefaashefaa1930 5 лет назад
Haaaa hatari kweli
@tanzaniayangu25
@tanzaniayangu25 5 лет назад
Nawacheki tu kisha nasema hiiiiiiii!!!!
@givenboniface2676
@givenboniface2676 5 лет назад
pa1 sana magu
@witedsteward4168
@witedsteward4168 5 лет назад
Mbona sioni anayekatika hapo
@omaryommy404
@omaryommy404 5 лет назад
Vaa miwani inawezekana unamatatzo ya macho
@neemalulonga5177
@neemalulonga5177 5 лет назад
🤩
@georgerichard6951
@georgerichard6951 5 лет назад
Hua ana chekaa vzuri
@brownjumbe9
@brownjumbe9 5 лет назад
Hahahaaa mewiva
@elizabethmwandu6937
@elizabethmwandu6937 5 лет назад
Hahahaha hakika musukuma achaguliwe maaskari wanaozungusha viuno akiacha kuwatunza atakoma 😀😀😀😀
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 года назад
Aka kazee bwana
@nenolakristomaisha.5611
@nenolakristomaisha.5611 5 лет назад
HAHAHA. UJUMBE UMEFIKA BABA fundisha hii nchi katika Bwana
@pleasethank2962
@pleasethank2962 4 года назад
Singeli
@giftmsokele6681
@giftmsokele6681 5 лет назад
hahaha magu noma
@evaristmandilindi6147
@evaristmandilindi6147 5 лет назад
Hahhhha, ata wew uombe tu mh
@nassrapatrickpatrick5545
@nassrapatrickpatrick5545 5 лет назад
i love you
@edwinedwin8140
@edwinedwin8140 4 года назад
Kweli baba uwatunze
@emanuelshijangassa4761
@emanuelshijangassa4761 4 года назад
Hapo Vip
@superherotv1750
@superherotv1750 5 лет назад
😂😂😂Ni hatarii
@nemachalesi8085
@nemachalesi8085 5 лет назад
Super Hero Tv kwaya
@superherotv1750
@superherotv1750 5 лет назад
@@nemachalesi8085 kwaya ya nn tenaa
@madamcolethaa641
@madamcolethaa641 5 лет назад
Wasiojua kukata mauno kanyaga
@catherinejohn2067
@catherinejohn2067 5 лет назад
Hahahahahhhhh
@stevenjackson5585
@stevenjackson5585 5 лет назад
ee namna hiyo mjomba
@johnthomasi184
@johnthomasi184 4 года назад
Da
@dechaggagirl6173
@dechaggagirl6173 5 лет назад
Khaaaaaa huyu prezdoo atasumbua hahaha uwiiii
@gemmstore
@gemmstore 5 лет назад
Mizaha kama hij ni hatari sana kwa taifa
@tabumussa9406
@tabumussa9406 4 года назад
aaahaaaaa unooooo
@glorysimon775
@glorysimon775 5 лет назад
Mpaka viuno vimeiva
@pascalprince4408
@pascalprince4408 5 лет назад
Katiiiikaaaaaaaeeeeeee
@hellenmgungus1979
@hellenmgungus1979 5 лет назад
Yaani nimecheka
@stanslauschatata3483
@stanslauschatata3483 3 года назад
Hahaahahahaa magu kwenye ubora wake
@eshialabonita7736
@eshialabonita7736 5 лет назад
Mhhh viuno tena
@kenlubisia7045
@kenlubisia7045 5 лет назад
😂😂😂👏👍From Kenya
@charityericks8779
@charityericks8779 5 лет назад
Hahaha wanaweza haa fafanua
@rafabahezwa9368
@rafabahezwa9368 5 лет назад
Siku rais huyu akiondoka kiukweli hatatokea kama JPM baba hongera sanaa
@rehemamhengi5050
@rehemamhengi5050 3 года назад
Mh
@mpelienock
@mpelienock 4 года назад
Ha haaaaaa wameiva wanaweza mazoezi yote.
@oneypastory1871
@oneypastory1871 5 лет назад
Hahaha😂😂😂 noma saana
Далее
RC Mwanri Amvunja Mbavu Waziri Mkuu "Nchi inakata roho"
19:33
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн
Коротко о моей жизни:
01:00
Просмотров 389 тыс.
TOP 16: MAMBO ALIYOFANYA MAGUFULI NDANI YA MIAKA MINNE
29:07
Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni
7:05
Просмотров 1 млн